USTADHI SHAFII AKATAA KUWATUMIA MAJINI NA PETE ILI KUJIPATIA FEDHA ASEMA NI SHIRIKI NA UTAPELI

  Рет қаралды 2,087

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

Ай бұрын

MWENDELEZO WA MAHOJIANO YETU NA USTADHI SHAFII JUU YA KUFATA ELIMU YA MANABII KATIKA UISLAMU NA KUTUMIA PETE NA MAJINI KATIKA TIBA

Пікірлер: 10
@omargargaar5611
@omargargaar5611 Ай бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah akuhifadhi sheikh Shafii una ongea ukweli wa haki
@Ismailmusa-y6b
@Ismailmusa-y6b Ай бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh wangu uzidi kutufumbua macho na kutulingania
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 26 күн бұрын
Kushika fimbo ni utamaduni/culture wa Kiarabu.
@kalamamuller-qe1yd
@kalamamuller-qe1yd Ай бұрын
Sheikh shaffi na ndo maana na kukubal
@maase2023
@maase2023 25 күн бұрын
Majini yenyewe anayo basi?
@myself4128
@myself4128 21 күн бұрын
Sasa kama Shirk ni dhambi ISIYOSAMEHEKA?ni waislamu wangapi hawajashiriki kufanya shirk???na hao walokuwa wakifanya na wakaacha mbona wanapoteza Muda wao kuswali wakijua hukumu yao Ishapita???
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 29 күн бұрын
Huyu Mzee ana chuki tu, Mzee wa mitaani
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 29 күн бұрын
Sasa Suleiman alijulikana kwa Pete au sura? Wewe Mzee vipi? Iyo shetani alochukua Pete ya Suleiman bila ya shaka na sura yake pua ilibadilika akawa kama Nabii Sueliman sio Pete tu
@seifserenge3340
@seifserenge3340 Ай бұрын
Uko poa mhadhiri wetu, wape watu au waislam elimu wasitegemee au mapango au majini ili wapate utajiri hio ni shirki, watu wafanye kazi kujipatia kipato.
@AbduMohammed-fn6ot
@AbduMohammed-fn6ot 26 күн бұрын
Kwa mtazamo na akili ya kawaida kama utakuwa unafuatilia mawaidha ya ustadhi shafii na interview zake utakujakuona yakuwa kama hajakomaa na hajajuwa hii dini vizuri, jaribu kuwatizama masheikh wotee kuanzia sheikh wa mkowa wa dares salaam sheikh mkuu wa Tanzania Dr sule na baazi ya masheikh wanao trend kama jeshi LA mtu mmoja sheikh mziwanda na wengine utaona wakiwa nanaongea na kufanya mawaidha Yao huwa wanatumia ile sign au saini ya tuliyoizowea kuuita ni saini ya freemason wanayoitoa mapapa na baadhi ya wasanii au wanamuziki wakubwa wa amerika na duniani kwa ujumla, ustadhi shafii hajaijua dini vizuri hau hajasoma vizuri bado Ana safari ndefu ya kurndelea kuisoma dini maana dini haina mwisho Sema inaitaji muda na subra kuijuwa, na ukishaijuwa dini...............
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 200 МЛН
SIRI YA PETE NDANI YA JINA LAKO BY Sheikh Yusufu Diwani الغزالي
26:51
KWANINI ABU MUAWIYA SIO SALAFIY |RADDI KWA QASSIM MAFUTA | Muhammad Bachu.
1:04:43
SHK.OTHMAN ASIMULIA ALIVYOTUKANWA NA KIJANA BARABARANI MATUSI MAKUBWAMAKUBWA
11:39
MUFTI ASHANGAZWA NA VUTENDO VYA WAISLAMU
40:49
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 597