Ni kweli soma tuu tuu hiyo albadil wafe pamoja na huyo afande nae afe kabisaa maana nchi hii ya Tanzania haitachukua hatua yoyote wameshaanza kusema aliebakwa Hana shida Yuko salama wamedai watu tuwe na utu Sasa hapo ndo basi Tena camanda police katuma hivyo mtandaoni baba soma albadil waondoke
@KhamisBakar-o5u2 ай бұрын
😢😮
@AminaOmary-sm4wl2 ай бұрын
Jaman ndugu wa huy mtoto kazalilishwa hiv pigen tu al badr wafe maana roho zinatuuma sana afu kumetulia sana kama hakujatokea kitu
@AminaOmary-sm4wl2 ай бұрын
Sheikh me nauliz hiv wakisomewa Al badru waende tu hapa dunian maana tumeumia sana afu kesi cjui kama itaendelea na nijanga kubwa wamelifanya
@dstaroficial2 ай бұрын
Shkh kuwa makini na digital au waandishi ni bora uachane na ayo mambo utateleza din yetu inakataa izo shria zngine zoooote unatakiw uitangaze sharia moja tu ya uislam sasa kama unaogopa kusema kwel ni bora usiyagusia usond kurdhsha raia