Achilieni mara mbili kwa wiki jameni hii inachelewa sana kama mnaniunga nipe like❤
@LewiiBrizy14 күн бұрын
Pia na kubaliana na wewe .....msichukue mda mrefu kuwachilia iyo sehemu ingine.....sinema zote za kakoso na zipenda Sana ..asanteni wausika wote ..
@saidathmurekatete93814 күн бұрын
Kweli wanatukawiza sana
@Merry-ek5mj13 күн бұрын
Kabisa yani wanachelewesha sana angalau kwa wiki mara mbili
@AugustinNduwayezu10 күн бұрын
Nikweli
@iqttanzania8 күн бұрын
❤
@kingcicero170814 күн бұрын
Nilisema kwamba NTANZI ajamezwa na nyoka ile ilikuwa ni ndoto, kumbe ni mawazo na MWASI, leo mmeona acheni kuomba likes tu, muda mwingine toeni maono ndugu zangu. One love from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
@milliardere917714 күн бұрын
Ndo naelewa sasa
@user-qd7ey5cp5s14 күн бұрын
Kweli🎉
@bellrajkachafuo781314 күн бұрын
Wametucheza nilidhn n ndoto bana kumbe wazo
@irenekaro284814 күн бұрын
Mbn hiii hatari
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin14 күн бұрын
Kabsa watu hukumbilia kuomba likes tuu
@AdrianodePaul14 күн бұрын
Hongera snake boy ina views weng kuliko nyimb za bongo flavour wapi team clam🎉🎉🎉
@janviernzosaba714513 күн бұрын
Big up sana clam vevo unakipaji ca hali ya juu sana
@Mr.D.N.A12 күн бұрын
Unajisahau sana wew,sensema siku Moja ilikua na viewers 1M
@jordanbarweta342914 күн бұрын
Kuna jamaa mmoja ana manywele kibao na mandevu mengi amevaa kanzu fulan hivi sijui anaitwa Tanna sijui nan Dah Jamaa anaigiza vizur kinoma,Ana composer sana mwamba maua yake❤❤❤ 🔥 🔥
@sirviadominick13 күн бұрын
Namm nampenda
@HubaMsangi13 күн бұрын
Tanu
@user-es7xd3bg7c13 күн бұрын
Tanuuu❤❤❤ msaliti 😅
@jacksonmassato801714 күн бұрын
Tunaosubiria vita ya zinga na chief, gonga like hapa
@Kingmbayo14 күн бұрын
😂
@CandyLoud14 күн бұрын
😂🤣🤣😂😂 ila yahitaji wanao ona mbali ndo wataelewa nini umemaanisha😜
@bashirunakona294514 күн бұрын
Zinga kaenda kujipanga
@jescahaule480213 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hamisichipa900811 күн бұрын
Na inapoelekea Zinga atashirikiana na Ntanzi. Itakuwa noma
@lemmyajabu834814 күн бұрын
Tangu nianze kufautilia snake boy sijai pata like ata moja... 254 fans let's gather here
@zeyruqhassan462914 күн бұрын
Tuko
@BarackZephania14 күн бұрын
Huo ni ushamba kiwango cha lami
@SHEDDTz-k8g14 күн бұрын
Weee ni mshamba
@Kabeya41014 күн бұрын
Hovyo kenge manyoya inaomba like 😅utadhani kacheza 😅vya bure utauponza mk... We omba tu
@gracedzombo577214 күн бұрын
Huwa mkipewa hizi like munashiba ama😂😂😂😂
@aishasyala154714 күн бұрын
Siku bila akikufa naacha kuangalia snake boy....."waachaaa".....nampenda sana bilaa
@ArafaKajoki14 күн бұрын
Nilikuwa nasoma comment tu lkn niwambieni kuwa naipenda sana snake boy, mungu awabaliki wahusika nawafatiliaji poa❤️🔥
@mauaharun556414 күн бұрын
From Kenya kama wakubali snake boy gonga like tukipita🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@holykidke14 күн бұрын
From kenya 🎉🎉clam snake boy the best
@GilbertKasina14 күн бұрын
Nakubali
@mtasha588614 күн бұрын
😂 😂 Ruto must go..... Anguka nayo
@user-ck8ld8nz6o14 күн бұрын
Ww uliekuepo kenya unapata angalau kuanglia snake boy naona mupo vitani saivi sizan kam munaweza shuhulikia filam
@joshuasakwa154814 күн бұрын
@@user-ck8ld8nz6oTuko Kwa vita na nani wakati mandamano yenyewe tuko na simu na power bank data ikiwa on
@DonMapro-d6y14 күн бұрын
Waliogundua camera ya Leo ina balaa weka like
@luluelia-yo2rg14 күн бұрын
😂😂😂
@mohammedkidody56189 күн бұрын
😂😂😂
@djsonofficial548714 күн бұрын
Kazi nzuri sana clam👋ila director😂😂waliopenda namna singo(bubu) alivyoweza kuongea like zenu hapa😂👉
@MtiliCharles11 күн бұрын
Tangu nianz kufuatilia snake boy sijai pat like at moj from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@Mzalendotanzania14 күн бұрын
Kama unamkubali clam weka like hapo
@IsackDevidiMc14 күн бұрын
🎉
@Sempai_Adui14 күн бұрын
Mwambie awaishe kaziiii,asikae muda mrefu
@Maunya53014 күн бұрын
Tunasubr hd tunasahau matukio yaliyopita.
@nyereremkama384514 күн бұрын
Toa na wewe like na watu wakupe usiwe mchoyo wakati wewe unataka like
@hansmgaya470414 күн бұрын
Tuna sahau matukio ya nyuma
@KizaRachid14 күн бұрын
Namimi leo naombeni like zangu vipenzi vya snake boy japo nimechelewa dakika 40 tu a boy from 🇱🇷🇱🇷
@Wmoviesrecap914 күн бұрын
Aaaah noma sana
@machotz111314 күн бұрын
This is the real meaning of series I never thought of return of SHAHIDI and his family Ngoma inazidi kunoga
@ErickEzekiel-lj8mu13 күн бұрын
Clamo vevo na timu nzima hakika mmeuwa sana snake boy bonge la movie haijawahi tokea yani inafatiliwa na Africa nzima pig up sana kaka clam 🔥👍🙌
@julzproperties374414 күн бұрын
Nimekuwa wa kwanza leo Director Kasoso nipe like zako from Kenya 🇰🇪 twawatazama
@freddedresscode295114 күн бұрын
Wakwanza kutoka burundi Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮nipeni like zangu
@user-mv6vi1gv6f14 күн бұрын
Ibuja majahe 😂😂naguhaye izo like
@milliardere917714 күн бұрын
Niko buja tujuwane
@milliardere917714 күн бұрын
@@user-mv6vi1gv6fatubwire tugemure
@MayaOuthman-bd8bg14 күн бұрын
@@milliardere9177 Tujuane kbs😂😂
@MayaOuthman-bd8bg14 күн бұрын
@@user-mv6vi1gv6f Maramvya 😂😂😂
@sivamusic223413 күн бұрын
Dah mbn mnabagua jamani ebu nipe like ata 1000 kama kweri ww mfatiliaji mzuri wa #snakeboy #sivamusic #mama #mamaamina
@abudailamy257714 күн бұрын
Huyu jamaa ni fala sana yaan ameigiza ufala sana yaani mkewe amekuwa dadake fala sana
@AminaSadallah-yi1dv13 күн бұрын
Wee aseme ili afe kumbuka nabii Ibrahim na mkewe
@EnikahGeorge-fj6ow12 күн бұрын
So sad
@jeremiapeter68310 күн бұрын
@@AminaSadallah-yi1dv Ep iliyo pita mwanamke Ali mtoa Mumewe sadaka kwa mizimu ili Laaana itoweke kwa Hiyo jamaa yupo Sahihi tu..kusema huyo Ni Dada yake..una weza kuvimba mwishowe kifo ksicho na Faida yoyote..
@PetroMarko-x3g10 күн бұрын
Kaka hiyo nizuri sasa ila unaichelewesha sana
@PetroMarko-x3g10 күн бұрын
Kaka wahi kuitoa hiyo inayofuata
@pkcamlesh246514 күн бұрын
Hivi hizi likes mnaombaga huwa mwazipeleka wapi,Clam much love from Kenya 🇰🇪nakukubali sana
@linnusaloyce655914 күн бұрын
Moto ni ule ule ukija kuuzima umekoleza zaidi😂😂
@rachelpaul46014 күн бұрын
Wanaoumia kuona snake boy wanachelewa kutoa vipande wa like ili watuwahishie kaz
@user-dq8sy1ey5u14 күн бұрын
Wenye hawakwamini mtanzi alimezwa na nyoka mpo,hongera sana Clamvevo❤❤❤
Nimeisubiria hii snake boy Kwa mda mrefu sana nimeukubali sana na wewe kama umeikubali mwaga like yako apa😂😂😂
@user-xb3nk9cl6d13 күн бұрын
Utawa wa kibabe kwenda mbele jaman mtu anatetemeka had mke Anasema dada kwa uwoga ama kweli snake boy inafunza sana clam pokea🎉🎉🎉 yak
@BRARITOHCOMEDY14 күн бұрын
Nimeingoja kwa hamu sana na kwa hakika imefika.asante sana group wa clam vevo..wap likes zangu kutoka kenya kisii
@Shizzoh-f4k14 күн бұрын
Kama unamini kuwa mungu anakupenda tujuane kwa like❤️
@yassinmuoki998214 күн бұрын
Nilikua Nisha Anza kusema Kama jamaa kamezwa Sito angalia tena. Leo nime enjoy nika mkoko umeanza UPYAAA😂😂😂
@BushiriLouis14 күн бұрын
Shaidi 😂😂😂 wewe ndie kiboko, nakukubali sana mshikajiwangu🎉🎉🎉
@sergesntunzwenimana14 күн бұрын
Leo ndohuu Mimi snake boy 2ep27 nigonge like
@SafariJamal14 күн бұрын
Kumbukumbu zangu zinanambia wewe n Odama,,,,sio wageni machoni mwangu. Ziambie zikwambie zaidi.... 😢😢 Noma sana aisee. Big up VEVO from+254🇰🇪
@BacarDaudo14 күн бұрын
Eu só de Moçambique mais essa história gosto manique boa história bata palmas para Tanzânia❤
@user-ii1ym5fe7j13 күн бұрын
🎉🎉🎉
@user-eq6ju8qs2q14 күн бұрын
Bom trabalho pessoal 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Cabo Delgado_Mueda...🎉🎉🎉🎉🎉🎉Moçambique❤❤
@charlespatrick863214 күн бұрын
Ubuntu botho Leo tupo pamoja nipeni like nikupe like bega kwa bega
@MohamedKalivata-qr6sr14 күн бұрын
Hana baya tajirii wanao amini snake boy ya moto wa like hapa
@mohammedkidody56189 күн бұрын
Hii ni ya kwanza Tz nzima❤🎉
@OmarJeshi14 күн бұрын
Imagine Mimi tangu snake boy ianze sijapata likes ata mia😢bs acheni roho mbaya kiasi hicho maana nyie na mandug 5:32 u❤
@SinemaZaChina14 күн бұрын
safi mkuu kiliochangu ni kile kile muweke subtitle ya lugha ya kiingereza
@h.ghoyaa111013 күн бұрын
Kwa ajili yako ama ndio world wide
@SobiTz12 күн бұрын
Wazo Zuri pia
@muhiirwasadiki44814 күн бұрын
Congratulations, may Allah protect you and guide you in your activities. I am Congolese I really like your talents 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@ZulfaMjege14 күн бұрын
Tulokuwa tunaisubri kwa ham snake boy tujuan kweny like ❤❤
@patrickkalu447714 күн бұрын
Mmmmmmh
@LinaahSangah-ec2zw14 күн бұрын
Mimi.hapa kipenz changu❤❤
@Kwaricha14 күн бұрын
Boa noite amigo
@silviaalphonce14 күн бұрын
Nanii nae amekua wamwisho jmn 😎😊
@JUMAschibwanaChibwana123413 күн бұрын
Snake boy inatisha san alafu haina mpimzan viwaz nyingi san John Martin
@Christine-ho5us14 күн бұрын
Kazi nzuri Vevo sijui mbona watu huomba likes si mnijanue guys 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JUMAschibwanaChibwana123413 күн бұрын
Wanazifanyia nin hizo like wanazoziombaga
@apendwemwamahonje765014 күн бұрын
Watu wa mbaliz tujuan naifatilia San snake boy ❤❤❤❤
@user-nh5zw9fg1h14 күн бұрын
Woyooo mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🔥👌🔥👌🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👌👌👌👌👌👌👌gonga like hapa kama waipenda hii kazi❤❤❤❤❤❤
@husnabilali309914 күн бұрын
Clam unakitu baba utafika mbali Kaz nzuri sana mungu akuongezee ubunifu🎉🎉🎉🎉🎉
@nyamiziramadhani423214 күн бұрын
Anajua yaan katoa kitu cha kipekee sanaaaaa
@user-wh7jf1el8h14 күн бұрын
One love 💕💕 from ndola district of Zambia 🇿🇲💯💯💯
@user-gz5wr1bg3c14 күн бұрын
Na Mimi Leo niombe like Moja wakubwa
@HappyNicholas-be2yn14 күн бұрын
Nikisema wakwanza nitakua nawadanganya naomben like team vevo❤
@JUMAschibwanaChibwana123413 күн бұрын
Juma chibwana umetisha san
@MwanamisiBakari-xh3jo14 күн бұрын
Nakubali kazi nzuri clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤❤
@EMANUELKibelenge-wr2ep14 күн бұрын
Nice job ❤ God bless more work that mnayo fanya 👏👏
@SharifuAlbughuli14 күн бұрын
Mbn kam adama kam Ana love bite 😂😂😂😂😂
@eviepretty264611 күн бұрын
Inaonekan kabla ya kuingia location alipigw shoo Kali Jana yake🤣🤣
@zephbaraka14 күн бұрын
Very amazing..... following this episode all the way from Kenya .
@hammyboyofficial88514 күн бұрын
Wakwanza naombeni like zangu jamani...
@abdullyza53214 күн бұрын
yani snake boy inasisimuwa kila cku unatamani icmalize.....good talent creator director❤❤❤❤
@al-bleproshooteur192214 күн бұрын
Hii Kali caméra ya Léo daah nipeni like zangu wazee From m23
@JescaIrakoze14 күн бұрын
Kazi nzuili lakini mbona mmepunguza tena dakika afu munayuacha njia panda kuwa munawahi bana gonga like basi hap
@Krod23-p8s14 күн бұрын
Uyo jamaa aliye mkana mke wake aseee💔🥺
@mwarabumbarak434214 күн бұрын
Kwa sababu angesema ni mkewe chifu angemuua.
@LovelyBabynino13 күн бұрын
Ndio
@DuniaMayombo5 күн бұрын
Nikweli lakini inaumiza sn😂
@NaaMakanu14 күн бұрын
Mm wa mwixho naombeni like zangu❤❤❤❤❤
@davkatembobaba933811 күн бұрын
Ongera sana kwa timu yote. Mchezo iko vizuri kabisa kabisa.🎉🎉🎉 Like moja itakuwa vizuri jamani
@AsiaOmar-mr7bk14 күн бұрын
Ilikua nimeacha kuwangalia muvi za kiswahili baada yakumfuwatilia clam saiv siwezi kosa kuangalia waswahili wamerudi kwa moto kuna clam " rk & kp mungu awape maisha marefu na afya njema wazidi kutuburudisha
@BeatriceEmanuely-ow9bj14 күн бұрын
Fatilia ata mbwela media yuko vizur
@mohammedkidody56189 күн бұрын
Kabisa yn wote hawa wana vipaji wameamua kurudisha tasnia ya filamu Tz wanastahili tuzo❤🎉
@Pazijr14 күн бұрын
Natumai na mm leo nitapata like maana kila siku mnaomba nyie tu😢
@user-di5xq6xm3n14 күн бұрын
Clam vevo tengeneza ata vi chekesho kidog watu wanagombania msemo huku badala ya kufanya kazi😂😅😅 nyoo naijua iyooo😂😂😂
@BeatriceMussa-y4b13 күн бұрын
mmh sasa baba ao na odama si alijinyonga akafa jaman 😂😂 kafufuka !!
@alexkalonga532314 күн бұрын
Mi wa kwanza Leo naomba like jamn ata mbili tu!
@JonasGilbert-ei7sc14 күн бұрын
🎉
@FredYassineCheia-di7yj14 күн бұрын
Wa kwanza kutok mozambique nipeni like Zang 🇲🇿🇲🇿 good job
@DadeMussa-n8k14 күн бұрын
Nikupe like kutenda kinani
@jaffariomar425014 күн бұрын
Hata kama kuigiza lkn hicho kipande cha kumkataa mke wangu hilo haliwezekani