Joto la kiasa linaongezeka. Ahsante mama na Makonda kulianzisha.
@youngchezo27447 ай бұрын
Nice
@loserian-mj1gj2 ай бұрын
Kweli waxngu wameharibu
@maruhe19587 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nataka nikuite mjinga usijilinganishe na Makonda kabisa same like mbingu na ardhi. We heche mwongo
@Mundi-oz7os7 ай бұрын
Ni lipi umeliona kwa Makonda hadi useme kuwa Heche sio size yake? Umesikia Heche alichoongea au ulishaziba kabisa masikio?
@exaverysimon10647 ай бұрын
Kwel kabisa asijilinganishe na makonda
@kanoa6457 ай бұрын
Yaani ni mwongo sana, weweeeee kwa nini unongea uwongo? Kweli hata kujibu huwezi, yaani hueleweki
@MiriamAbdallah7 ай бұрын
Makonda ana nini
@KayongoOba-ht2rf7 ай бұрын
Eche shikamoo
@hildandumbalo58277 ай бұрын
Heche uko sawa 🎉🎉
@gabrielzakaria28107 ай бұрын
We heche unaropoka
@joshuac.mashida13787 ай бұрын
Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini
@ThomasMakarius-x9n7 ай бұрын
Bigup Makonda.
@dandeal22697 ай бұрын
unasema nini
@kanoa6457 ай бұрын
Big up makonda
@kanoa6457 ай бұрын
Kwani shida ni nini,....
@allyhamonizhamad44597 ай бұрын
MWEHU WEWE
@makulileboniface79627 ай бұрын
Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra
@sundaystanley53227 ай бұрын
Umeongea ukweli
@allonjoseph54677 ай бұрын
acha ujinga ww mwananchi mwenye shida kila siku mambo yanakuwa magumu unaanza sifia makonda kweli??? basi bwana kwel Mtz amesha rogwa sio buree
@ulomirabiel69807 ай бұрын
Anapendwa na wajinga tu.
@prosperreuben17247 ай бұрын
Magu alipendwa na nani labda wazazi wake na ndugu zake na wapenda kudanganywa kama ww mbona hakuwah kwenda mbeya
@JoshuaStanley-qu3im7 ай бұрын
Nikweli watu wanasombwa kutoka vijijini
@chichahamis6357 ай бұрын
Ndio chama kubea
@LovelyForestHills-qe8pe7 ай бұрын
Anae mpiga makonda mungu usimone
@gowekogoweko58037 ай бұрын
😂😂😂😂HECHE BWANAAA ETI TEMA MATE HII NI AKILI KUBWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@eliakazilo60787 ай бұрын
Kwa hiyo chadema wanapata pesa wapiii.ina maana kuna ,mabeberu wapo nyuma yao,wanawagadhili. Hii ni hatari
@TakasiSulle3 ай бұрын
Baadhi ya watu hamuelewi makonda hakuna kitu atakachobadilisha hanauwezo huo ndani ya ccm
@mkudesimba95187 ай бұрын
Marekani huo unafki wamepata wapi kama sio nyinyi wapinzani ? Kikulacho kinguoni mwako !
@saleheinnocent76367 ай бұрын
💪
@mashimbazephania35117 ай бұрын
Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2
@AbdallaMwagora-sm1rj7 ай бұрын
Nikweli kabisa mheshimiwa heche ,CCM ndio waliosababisha matatizo na hawawezi kutatua matatizo.
@nuranzubail81347 ай бұрын
CCM imetuletea shida kwa kuondoa ukoloni
@romamtalambuga77 ай бұрын
Heche akili hana
@KapondaZenaida-g3z7 ай бұрын
TANZANIA
@thomasmallya6707 ай бұрын
Hehe muongo. Hana aibu kabisa .
@mzeebabumzee7 ай бұрын
hakili kubwa eche jembe eche
@chandengao87957 ай бұрын
Makonda anaua chama Mama mtoe
@dottomatola59057 ай бұрын
Wewe ukimgusa mbowe utakuwepo cdm Ili liongo mpaka linapitiliza
@kilimanjaro77international267 ай бұрын
Sasa kwani sisi marekani? Chadema been on the siasa almost or near4o years but ni ushuzi mtupu
@michaelthobias99677 ай бұрын
Now wanashindana na makonda walihangaika na jpm kisa kusikiliza matatizo ya masikini kwahiyo makonda kuja na mfumo huo mnampinga poor kbsa chadema
@abedymtore27077 ай бұрын
Iyo mifano ya utoton inanikosha sana
@Pelegrinoemanuel7 ай бұрын
H😂😂😂😂😂😂 mtoa taarifa na mpokea taarifa
@awadhrajabu14037 ай бұрын
Chama Ni Dubwasha Na Makonda Ni Mtu Aliyekuja Kubadili Muelekeo Wa CCM
@zegelibilishanga60477 ай бұрын
😂sababu anapinga ushoga huyo ndiyo mwanaume
@MgangaDaud7 ай бұрын
Ndo mana viongoz wakubwa wa vyama vya upinzani sitak wapewe nchi maana vinaabudu xn marekani taifa la kishetani
@AmiliNkalamula7 ай бұрын
Wewe elim yako ndogo chadema wanajifunza kwamtu ariye faul hawawezi kujifunza kwa ariye fel kwahyo ndoo maana anataja marekan huyo ndoo ariye faul
@GODLuck-h1f7 ай бұрын
Kijana mmoja anawachemsha wote nyie,
@bugybuster57887 ай бұрын
Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa
Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia
@TiffuAbdallah-of5os7 ай бұрын
Na wale wanafunzi wanaolazimishwa p1 na walimu wao mhm
@mohamedwwnurumasagcom81717 ай бұрын
@@TiffuAbdallah-of5os hakuna mtu anayelazimishwa kuudhulia mikutano ila ni mapenzi ya wananchi kwa chama chao
@jakobongwara30387 ай бұрын
Mwizi nimwizitu wanaibiana wenyewe kwawenyewe
@DeusiMorisi7 ай бұрын
Mtoa taarifa na mpokea taarifa
@MarckyCholla7 ай бұрын
Nenden kaishini marekani tuacheni
@peterjengela17707 ай бұрын
Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.
@hildandumbalo58277 ай бұрын
Makonda Wamenfungia kwenda huko nje vile hakutaka watu wa jinsia moja sio mauaji
@jitabojilala61627 ай бұрын
Sasa makonda asipoenda ulaya hatoishi ?
@MarcoMahemba7 ай бұрын
Wewe ni mnafiki mbona umekua chawa Kwa Mbowe ,unatetea kila jambo la mbowe
@MarckyCholla7 ай бұрын
Upinzani acheni kuabudu nchi za watu.hata magu mlimkataa lkn sisi wananchi wa chini alitufaa mno
@allonjoseph54677 ай бұрын
Alivo wa faa baadae ikawaje?? kuna mambo muyaelewe jaman watz mbona ss vichwa ngumu kuelewa
@josephmussa06257 ай бұрын
Wewe umeelewa nini?? Kila mtu na nafasi yake kwani ukkmchukia makonda nini unaongezeka??
Watanzania waliowengi hawajaelewa mbinu za ccm na Makonda .
@e-mzambuli66477 ай бұрын
Heche
@FedyKafyulilo-iz2nw7 ай бұрын
Makonda hoyeeeeeeeeeeeee
@moriscollins44947 ай бұрын
Kumbe mnalipwa milioni 100 halafu mnasema ndogo mwee ngoja nipambane na madagaa zangu
@KidijeiNuru7 ай бұрын
We unaishi nchi gani
@loserian-mj1gj2 ай бұрын
Chadema si ni wahuni tu
@kanoa6457 ай бұрын
Sasa mbona mnaanza majibizano? Sindano imeingia pahaala pake?
@WiliamMlama-my2ib7 ай бұрын
Mbona hata ninyi mnasomba tunaushahidi
@leonelleo44257 ай бұрын
Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi. Acheni kutukuza sana wazungu
@adammbuba72307 ай бұрын
Tatizo CHADEMA ni waongo sana, hakuna mkutano wa Makonda ambao watu wamesombwa
@jonasdaniel10257 ай бұрын
Mimi nishahidi acha ujinga,, mbashite anafanya mkutano bunju sisi tumetolewa kigamboni temeke ilala,, Kwa magari!!
@isaacmwaseba99727 ай бұрын
Acha uongo wewe kila eneo na shida zake utasombwa ukaeleze shida wakati anayehojiwa hayupo@@jonasdaniel1025
@MiriamAbdallah7 ай бұрын
@@jonasdaniel1025wambie waelewe
@TiffuAbdallah-of5os7 ай бұрын
Wanafunzi na walimu wao wnafata nn kama sio kulazimishwa na ndo wanaojaza
@hatibuadam30226 ай бұрын
Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute
@mugemainyas52417 ай бұрын
ACHA UONGO WEWE
@TomasiklistophaMwinuka7 ай бұрын
Wananunuliwa hao wanao mshangilia tunaelewa ishu zote
@isaacmwaseba99727 ай бұрын
Na hao wanaopewa pesa ili watangaze ushoga hii nchi tumekataa ushoga wa marekani hawawezi ipenda Tanzania lazima wawatumie wapinzani wa serikali.
@amanandrew13567 ай бұрын
Umesema Albert nini?
@CalistusTitus-s5o7 ай бұрын
Uyu heche akili yake ni kubwa makonda anafanya sanaa tu hakuna uwalisia kile anachofanya jukwaani ni propaganda
@josephkabelege16227 ай бұрын
Heche gombea uenyekiti wa chadema . Unaweza sana.
@LameckKomba-r7b7 ай бұрын
Leo kk unamawazo yachuma chakavu
@iddiramadhani51117 ай бұрын
Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.
@seifkulwa33467 ай бұрын
Jana nimekutana magari kibao Mto wa Mmbu yamebeba watu kutoka Karatu je hao wamekuja wenyewe kwenye maandamano yenu Arusha?
@elinamilyatuu73377 ай бұрын
Comment nyingi zinaonyesha namna bado tunasafari ndefu kama watz😂😂😂 kuna watu humu ni bora sijui nisemeje
@BakariMuesi7 ай бұрын
Mikutano ya makonda imesaidia watu wengi sana
@PaskaliCharles-pz8ds7 ай бұрын
Usipokuwa muelewa anayekusababishia matatizo unaweza ukamwomba Masada CCM inamtumia makonda waonekane wema ili 2025 tuchague
@rithaurassa7 ай бұрын
Unaongea poit san unasimama kwenye ukweli, ila hii nchi. Ukisem ukweli ni shida tup , mafisad tup wamejaa ng aaa
@seifalzakwan56637 ай бұрын
Ekeni video full kama hamana internent acheni kazi
@samuelmbogo74487 ай бұрын
Huyu bwana mkubwa analalamika sana. Nashindwa. Kuwaelewa, nini wanataka.
@mawazoaliselemani7 ай бұрын
Hivi mi nashangaa sana watanzania,nani alisema kujaa watu ndio kuwa na sapoti ya wananchi au kukubalika?kuweni na Akili mi nilishawahi hudhuria mikutano mbalimbali ya kisiasa makongamano na hata sijawahi sapoti chama chechote cha siasa na wala sitopiga kura yeyote.wengine tunahudhuria kama sehemu ya mshangao na kusongesha muda😂 2:46
@jacksongidione-yo8vg7 ай бұрын
😢
@kanoa6457 ай бұрын
Weeee una ushahidi gani kwamba kapoteza uhai wa watu
@ezekielkiduge87307 ай бұрын
Unataka ushaidi hujui kuna ushaidi wa mazingira pia fiisiem mkubwa wewe
@mejamiela74367 ай бұрын
Sasa maswala ya malekan na tanzania inakujaje kwama nyie mnasikiliza marekqn sasa
@sundaystanley53227 ай бұрын
Asipoenda huko marekani anakufa
@kaaakwakutuliaa51797 ай бұрын
Chadema mlitakiwa kumtumia makonda kama kioo cha watanzania
@rebekakulwa61597 ай бұрын
We lifisiemu acha kutuzonga tunasikiliza heche akili kubwa we kakojoe ulale
@brucardkomba6167 ай бұрын
Kwan hii nchi imewah ongozwa na chama kingine, Maigizo yataturudisha nyuma Kila siku..