JOHN HECHE ASIMULIA ALIVYOACHA UALIMU wa SERIKALI na KUTIMKIA CHADEMA AKIWA KAZINI...

  Рет қаралды 23,542

Global TV  Online

Global TV Online

4 ай бұрын

JOHN HECHE ASIMULIA ALIVYOACHA UALIMU wa SERIKALI na KUTIMKIA CHADEMA AKIWA SERIKALINI...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 43
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 4 ай бұрын
J. Heche moja ya hazina tuliyonayo hapa Tz. Mungu akubariki sana kiongozi
@mataypanga5262
@mataypanga5262 4 ай бұрын
Hongera sana Heche kwa viwango vyako vya elimu
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 4 ай бұрын
WE'LL SAID MR JOHN HECHE
@hamadimziraymziray-ry4vi
@hamadimziraymziray-ry4vi 4 ай бұрын
Hazina yetu hy❤❤❤❤
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 4 ай бұрын
Ni kweli chama cha walimu Ina mifumo michafu sana imenyanganya serikali baadhi ya walimu na kuwaajiri upya matumizo mabaya ya fedha za walimu
@George-jz3jg
@George-jz3jg 4 ай бұрын
Heche kuwa mkweli kuna siku moja umesema kuwa wewe uliacha ualimu kwasababu ya kumpiga mtoto alipokuja mkuu wa wilaya hiyo kesi ikaibuliwa uliposemeshwa ukachukua vifaa vysko ukaondoka
@mauamkamba4906
@mauamkamba4906 Ай бұрын
Marehemu alikua mshamba sana. Funza waendelee kumtafuna
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 4 ай бұрын
Inaonyesha ulikuwa mkorofi shuleni
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 4 ай бұрын
Na kusema ukweli siyo hasira na tunataka tume iwe huru mmetutesa vya kutosha
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 4 ай бұрын
Kitu kinacho wafanya walimu wasiwrze kufanya Kwa uhuru, ni kutishiwa, na wenyewe kushindwa kujiamini.
@MilajiYasssni-pl6ox
@MilajiYasssni-pl6ox 4 ай бұрын
❤❤
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 4 ай бұрын
Ameingia SIASA ili alambe RUZUKU 😢😢😢😢😢
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 4 ай бұрын
Useless
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 4 ай бұрын
Hili la walimu inasikitisha kwa kweli. Juzi juzi kwenye wilaya mojawapo mkoani Rukwa walimu walialikwa kwa semina ya siku mbili, wamelipwa dsa 40,000/=, i e. 20,000/= kwa siku 😮
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 4 ай бұрын
✌️👍👊.
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 4 ай бұрын
Si kinatawala chama kimojja?
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 4 ай бұрын
Fact
@tobiaspaul9203
@tobiaspaul9203 4 ай бұрын
Loli modo wangu
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 4 ай бұрын
We fisiemu unayejifanya uko ulaya acha uongo ulaya hata house girl anatoboa sembuse mwalimu ATI asijenge we unaumwa mavi mkaharishe mbwa wee
@jovinkenesya484
@jovinkenesya484 4 ай бұрын
Uko saw kka
@samuelmbogo7448
@samuelmbogo7448 4 ай бұрын
Huja tembea, changamoto za waalimu hata huku ulaya (UK) zipo. Huku ulaya UK mwalimu kujenge nyumba au kumiliki nyumba ni changamoto. Punguza kulalamika, kila ikisikika ama kuhojiwa nikulaumu ,kushutumu! Sasa wakati mwingine haueleweki una taka nini au chama chenu kina simamia nini!. Rushwa ulaya ipo tena sana tu.
@prosperreuben1724
@prosperreuben1724 4 ай бұрын
Kwahiyo kwasababu umaskin upo ulaya tusikerwe na umaskini tanzania tujivunie umadkin wetu sio
@Ushauri235
@Ushauri235 4 ай бұрын
Acha wewe utalinganisha na huku
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 4 ай бұрын
Huku Ulaya UK, 😂😂😂😢 Daaah
@coolruler6820
@coolruler6820 4 ай бұрын
Kalale wewe hujielewi,,,,unaishi kwa kukuriri, kwahiyo unamanisha kilicho ulaya lazima kiwepo na Tanzania?
@csato9415
@csato9415 4 ай бұрын
🧠 🕳 🗑😒
@saidrajabu635
@saidrajabu635 4 ай бұрын
Kumbe nawewe nimzee wa selena
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 4 ай бұрын
Hivi wewe hizi hasira zako wanafunzi walikuwa wanakuelewa kweli!!!
@sambulugu9988
@sambulugu9988 4 ай бұрын
Hahahaha huyu angeua wanafunzi hasira nyingi kuliko tija!
@issackmwakyami2740
@issackmwakyami2740 4 ай бұрын
Sio kwamba Hana hasira,ila ana hasira na ma ccm
@user-mw5rd2zm5r
@user-mw5rd2zm5r 4 ай бұрын
Safi jibu zr​@@issackmwakyami2740
@deodatangereza960
@deodatangereza960 4 ай бұрын
Asichezee ajira za watu,kazi imemshinda anaingia mafichoni chadema kwa wasio na mielekeo wenzake hana lolote!!!
@bedatarimo9679
@bedatarimo9679 4 ай бұрын
Edb😢dgl
@emmanuelmwambona3438
@emmanuelmwambona3438 4 ай бұрын
Waliruka fensi hahahaha
@aminielkombe66
@aminielkombe66 4 ай бұрын
Huwezi taja top 3 Professions ukaacha Uhasibu
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 4 ай бұрын
Inaonyesha ulikuwa mkorofi shuleni
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 8 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 30 МЛН
LIVE: Donald Trump speaks at MAGA rally in Michigan
1:43:56
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 642 М.
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 8 МЛН