MASKINI CARINA! MSHONO WAFUMUKA TENA GHAFLA - ALIA MAUMIVU - "NIKINYWA MAJI YANATOKEA KWENYE MSHONO"

  Рет қаралды 22,321

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 452
@globaltv_online
@globaltv_online 4 күн бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@Maggie824
@Maggie824 4 күн бұрын
Strong woman Mungu tu😢😢😢Mungu tu
@esterbaraka1164
@esterbaraka1164 4 күн бұрын
😭😭😭😭😭 ningekuwa na hela ningemsaidia huyu dada naumia daaaaah😢😢😢😢😢😢😢 mungu akupe uponyaj 😭😭😭😭😭😭
@khairatndassiwa8613
@khairatndassiwa8613 4 күн бұрын
Allahu Aqbar ......Allah tupe zako huruma na utusamehe sana makosa yetu..na umponye huyu binti Yaraby kwa huruma zako ...
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 4 күн бұрын
Nimepata wazo kuhusu huyu dada mumepima damu kama labda anakosa vitamins ,kuna vitamins flani maalum ambavyo vinasaidia vidonda vya mwili kupona haraka ukiwa na upungufu ndio vidonda vinachukua mda kupona . Pia kuna ugonjwa ambao unaweza kusababisha vidonda visipone mwilini please apimwe damu na akaguliwe vitamins vyote na upungufu wowote ule wa mwili nina uhakika vidonda vikipona nayeye pia atapona,tatizo ni vidonda haviponi😢 Pokea uponyaji katika jina la yesu kristo Carina na damu yake ikutakase , na ikuondolee uchawi na maovu yote , Amen 🙏🙏🙏🤲🏾🤲🏾🦋
@OkVg-p4d
@OkVg-p4d 4 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@catherinenenula7450
@catherinenenula7450 3 күн бұрын
Sio shida kidonda utumbo kutoboka ingali kumeshonwa
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 3 күн бұрын
@@catherinenenula7450 utumbo unatoboka kwasababu hauwezi kujiunganisha ukashikana kwasababu mwili una mapungufu ya kuponesha vidonda sijui umenielewa?
@MtatuziTz
@MtatuziTz 3 минут бұрын
@@theresaelizabethelijah117 kama shida ina eleweka waweke sawa mana toka miaka io ni kama kapewa mateso ila asife ateseke2 na pesa zitafutwe ziishie apo2
@Husnasalumu-e1v
@Husnasalumu-e1v 4 күн бұрын
Hakuna ugonjwa usokuwa na tiba isipokuwa uzee na umauti yarabbi tunaomba mponye dada huyu msamehe alipokosea hakuna ajuae we ndo mjuzi zaidi amiin.
@FaudhiaHaule
@FaudhiaHaule 3 күн бұрын
Kwakwel 🤲
@NasraNasra-l9q
@NasraNasra-l9q Күн бұрын
Allahumma Aamiin 🤲
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 4 күн бұрын
Mama leo katoa rambirambi million 50,, msaidie huyu dada jamn😢😢
@LuluAquai
@LuluAquai 4 күн бұрын
Mm siwezi kumuomba rais kama ivo sikuzote ye haoni,anatoa 50ml kwa watu walishakufa,wallah mm M'mungu angenipa uwezo ningetoa kwaajili ya Allah,50ml pesa ndogo sana,matajili wapo kibao dah
@LuluAquai
@LuluAquai 4 күн бұрын
Mm siwezi kumuomba rais kama ivo sikuzote ye haoni,anatoa 50ml kwa watu walishakufa,wallah mm M'mungu angenipa uwezo ningetoa kwaajili ya Allah,50ml pesa ndogo sana,matajili wapo kibao dah
@FettyTz-g9x
@FettyTz-g9x 4 күн бұрын
Daah huyu dada ananiumizaga kila nikimuona mungu ndo anajua inshaallah mungu atamuondolea maumivu hayo😢
@jeniphabutondo1448
@jeniphabutondo1448 16 сағат бұрын
Dada pole sana huo ni uchawi, naomba umpokee Tesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako na utafute watumishi wa Mungu wenye nguvu ya Mungu watakuombea na utapoma. Usitafute manabii wa uongo wanao tumia uchawi wakijifanya watumishi wa Mungu. Na Mungu atakuponya, Bwana Yesu akiwa upande wako hakuna uchawi utakao fanikiwa katika maisha yako.
@AllyIbrahimu-q1y
@AllyIbrahimu-q1y 4 күн бұрын
Huyu dada ni mrembo anapitia magum san eeh kijana mwenzng mshukuru mungu kwa afya na uzima mungu zidi kutupa afya pia mponye dada uyu kwa uwezo wako
@YussufOthman-wj3lu
@YussufOthman-wj3lu 4 күн бұрын
اللهم اشفها أنت الشافي وأنت المعافي لا شفاء إلا شفاؤك شفاء لا يغادر سقما ولا ألما
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 4 күн бұрын
اللهم امين يارب العالمين
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 4 күн бұрын
Nimejikuta nalia to pole kipenzi Allah akufanyie shifaa ya haraka kwa uwezo wake Allah utapona haraka Amin 👏 👏😭😭😭
@amisafaraji5796
@amisafaraji5796 3 күн бұрын
Aamiin
@sharifajamal5764
@sharifajamal5764 4 күн бұрын
Kama kuna mkono wamtu Basi amusamehe hawa anaumia jamani mbona uchungu hivi inatosha😭😭😭😭 au amuuwe tu dada wawatu na family yake wanaumia sana
@MwanahamisiBwanga
@MwanahamisiBwanga 4 күн бұрын
Dad's ananiumaga roho hyu basii tu mwenyez mungu ww ndy muamuzii kama n mkono wa mtu bas mungu simama nakama n ww mungu basic yatosha😢😢😢
@GloryArman-xn9ly
@GloryArman-xn9ly 4 күн бұрын
Huyu dada anakaa wapi jamani
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 4 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢Asikitisha wallahi 😢😢😢😢
@donaldelias2267
@donaldelias2267 4 күн бұрын
Usikute alifuatwa kupewa onyo au katazo akaonyesha dharau au kukana kosa,na hayo ndo madhara yake
@shamilashabani4288
@shamilashabani4288 4 күн бұрын
@@GloryArman-xn9lyMwanza
@RoseKimath
@RoseKimath 4 күн бұрын
Kama kuna mtu anamfanyia hivi ee Mungu nakuomba hasira yako iinuke juu ya huyo mtu anayemtesa huyu bint Mungu wewe uonae sirini ndiye mwamuzi wa mambo yote Baba ..lakin kama ni mapenzi yako basi Mungu nakuomba rehema na neema zako umpe uponyaji Baba
@StelaMwombeki
@StelaMwombeki 4 күн бұрын
Mama Mtakatifu Rita Muombezi wa mambo yaliyoshindikana namuombea uyu dada msaidi kwamachozi yako yasiyokoma.Mponye uyu dada.najua wewe ushindwi. Kitu
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 4 күн бұрын
Rita ndo nani?
@epimarkjohn1056
@epimarkjohn1056 3 күн бұрын
Ni mtakatifu ambaye huwa sisi wakatoliki na wasio huwa tunasali novena kupitia huyu mtakatifu na anaponya.​@@sleeprelaxation8431
@eufrasiamtundu1806
@eufrasiamtundu1806 20 сағат бұрын
Amina E Rita mtatuzi wa mambo yaliyoshindikana na mtatuzi wa mambo makubwa fanya Jambo
@KulthumAly
@KulthumAly 4 күн бұрын
Subhanallah😢😢😢😢😢 ALLAH MPONYE DADAETU ANATESEKA SANA😢😢😢😢
@nasramohamedi4095
@nasramohamedi4095 4 күн бұрын
Jamani km Kuna aliyemroga embu amwachie jamani inatosha Sasa km alikosea bado kashajifunza please inatosha😢😢😢
@Maggie824
@Maggie824 4 күн бұрын
Kweli wachawi wapo
@samwa9496
@samwa9496 4 күн бұрын
Wachawi wapo jamani acha kavisa
@GhatiSamcho
@GhatiSamcho 4 күн бұрын
Mwenyez mungu ata Kama ni mkono wa mtu ww unaweza baba muinue dada huyu mungu baba msaidie dada hawa 😭😭😭😭😭
@TonnyJimmy-z5c
@TonnyJimmy-z5c 3 күн бұрын
Hivi serikali inaonaga habari za huyu dada?Mbona mmekaa kimya,HUYU NI MTANZANIA MWENZETU.🇹🇿DO SOMETHING FOR HER PLEASE 🙏🙏🙏
@AminaNzoka-i8q
@AminaNzoka-i8q 4 күн бұрын
Mungu mponye mtoto wako huyu ili aje atangaze ukuu wakooo hakuna linalokushinda Mungu 🙌 Amiin 🙏
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 4 күн бұрын
Amen 🙏 😢
@NuratySaidi-n3w
@NuratySaidi-n3w 4 күн бұрын
Allah atakuponya dada angu pore sana
@philipomponeja2457
@philipomponeja2457 21 сағат бұрын
Mungu Baba ulie ziumba mbingu na nchi! navyote kwajina lako kuu lenye nguvu na mamlaka yote mponye huyu dada Sasa Baba! unaweza! Aaaamen🙏🙏🙏🙏🙏
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 4 күн бұрын
Duuuh huyu dada ya Allah mponye mja wako huyu😢😢😢😢
@dorcusstephen-cu9wh
@dorcusstephen-cu9wh 3 күн бұрын
Da Hawa Mungu atakusaidia utapona tunakupenda tunakuombea❤❤
@husseintayar699
@husseintayar699 3 күн бұрын
Kama mitihani ya mungu tunamuombeq allah amuondoshee mtuhani huuu..lkn kama ni mtu anamfanyia haya mungu amlaaan na ampe mates makubwq Zaid yake...allah mpone hawq ameeeen
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 3 күн бұрын
Ndugu Hussein "Allah" andika kwa herufi kubwa Shukran
@rahmatonystan2691
@rahmatonystan2691 4 күн бұрын
Pole sana mngu atakufanyia wepes😢😢😢😢😢😢😢
@hadijasufiani6167
@hadijasufiani6167 4 күн бұрын
Pole sana kipenzi Mungu akupe shuffaa upone haraka yarrab inshaallah ❤ Mungu yupo pamoja nawe
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 4 күн бұрын
Ameen
@NasraNasra-l9q
@NasraNasra-l9q Күн бұрын
Waislamu wa Tanzania ni vipofu au , viongozi wa dini hampooo, au mnataka hada muitwe mpigiwe magoti , basi hata Dua tuu jamani😭
@zaitunimalessa269
@zaitunimalessa269 4 күн бұрын
Emungu wangu msaidie huyu dada anapitia magumu yarabi wew ndio muweza wakila kitu tunakuomba yarabi mponye mja wako yarabi 🤲😢
@SabahAlly-w4r
@SabahAlly-w4r 3 күн бұрын
Wallah ningekuw n uwezo ningemsaidia hyu dada 😢😢allah akup shifaa wallh nmelia
@saumbliz8983
@saumbliz8983 4 күн бұрын
Subhanallah yuwaumwa lakini uso wake una nuru Allah amfanyie wepesi ampe shifaa ya haraka Inshaalla'Allah
@ellenpendamani6069
@ellenpendamani6069 3 күн бұрын
Jamani masikini Dada Caren..Da ..kweli hii familia imeteseka sans wanatanzani nawaomba kwa Neema na Utukufu wa Mwenyezi Mungu mkuu tumchangie hapa Kila mtanzania akitoa 20000 kwa watanzania 2000 tu kuna miliioni kadhaa zinazokaribia pesa inayotakiwa tumsaidieni huyu mwenzetu jamani tufanye sehemu yetu na Mwenyezi Mungu amjaalie kupona kwa rehema zake..Amen
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 2 күн бұрын
Tanzania yetu kuna viongozi kuna rais samia rais wetu mama wa wanyonge muone uyu dada anateseka kwa muda mrefu saana wasanii wapo wanaojiweza msaidieni apate msaada jamanini msingoje mtu afe ndiyo mjitokeze na sisi wanachi tumchangie kwa ajili ya allah allah amponye ampe ponyo tukufu yarabby 🤲
@Sadfa122
@Sadfa122 4 күн бұрын
Eeeh mwenyezi mungu mpunguzie maumivu anateseka sana daah na Kuna mkon wa mtu aone huruma so kw kuteseka mung atasimama na wew utakuwa swa
@jojokweka1902
@jojokweka1902 Күн бұрын
Pole sana Hawa😢 Mungu wa mbinguni nakuomba ukamguse kwa mkono wangu
@RahmaAlly-r6x
@RahmaAlly-r6x 3 күн бұрын
Mungu akusaidie dadat.kiukweli nimfano wakuiga Kwa jins ulivyo nasubra.namateso juu.tunakuombea saana dadat.
@FatmaHusein-o8w
@FatmaHusein-o8w 3 күн бұрын
Pole sana Allha akufanyie wepesi kwa uwezo wake Inshallah
@mwendemercy4488
@mwendemercy4488 Күн бұрын
Mungu akuponye naalie kufanyia hivi akumbuke hipo siku yatamrudia mara 7 , 77 mungu sikia kilio chauyu dada jaman huo upasuaji 24 mungu fanya kwake apone😢 nalia jamani mungu nakuomba huo ugonjwa umponye.
@OmanOman-c9d
@OmanOman-c9d 4 күн бұрын
Pole sanaa🎉🎉
@AliceNgowa
@AliceNgowa 22 сағат бұрын
Mungu yuko naye kuamin ipoa siku atamfungua ❤❤
@EsterMsuya-kn7tm
@EsterMsuya-kn7tm 2 күн бұрын
Dada pole sana naumia sna nikikuona. Mungu akuponye jaman
@JamesMatolo-ye2fd
@JamesMatolo-ye2fd 4 күн бұрын
Lugumi msaidie uyu dada asee 🙏🙏anateseka sana asee
@aminagama510
@aminagama510 4 күн бұрын
Kweli jamani lugumi amejenga majengo kwa ajili ya watoto wanaoishi maisha magumu amsaidie huyu dada..mimi naumia lkn uwezo cna 😢
@Saada-g4j
@Saada-g4j 4 күн бұрын
Asimuoji sana naona kama munamzidisha maumivu
@zubeidahkhanji8238
@zubeidahkhanji8238 Сағат бұрын
Usikate tamaa, mungu akupe subra inshallah unapepo yako si kwa mtihani huo wallah kikubwa Subra na dua zetu
@FaudhiaMohamed-m1t
@FaudhiaMohamed-m1t 22 сағат бұрын
Mtihani wallah naumia 😔😭😭😭unaweza ukakufuru wallah
@MariaGesero
@MariaGesero 4 күн бұрын
Mungu aliye kuleta duniani akuponye.
@RosemaryMasunga
@RosemaryMasunga 3 сағат бұрын
Mungu wetu yupo na anajua Wakati wa Mungu ukifika muujiza utatendeka na uponyaji utatendeka namshukuru Mungu unasimama na Mungu hukati tamaa ,pooleeni saaana
@PendoMichael-rj4ne
@PendoMichael-rj4ne 4 күн бұрын
Yesu akuhurumie. Njoo kwa Yesu atakuponya, yeye ana huruma, ana upendo, anaponya bure kabisa. Watafute watumishi wa kanisa la Efatha au kanisa lolote lenye nguvu ya Mungu.
@ShukuMengele
@ShukuMengele 3 күн бұрын
Mungu wa mbinguni mkumbuke tena kwanaranyingineeee 😢 inauma sana kama binadamu. Mwenzetu daah Mwenyezi Mungu akukumbatieee kwenye mbawa zake tu na kupenda sana mdogowetu jaman 🙏🙏🙏🙏🙏
@MatridaVicent
@MatridaVicent 2 күн бұрын
Mungu amkumbuke huyu dada jamani😭😭 anateseka mnoo
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 4 күн бұрын
Hivi ina maana wenye hela kweli wameshindwa kumsaidia huyu dada???😢
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 4 күн бұрын
Nashindwa yani 😢😢
@esterbaraka1164
@esterbaraka1164 4 күн бұрын
😢😢 kweli jaman wakina diamond, alikiba na viongozi wengne jaman kuweni na moyo wa huruma 😭😭😭😭😭😭😭😭 jaman umaskini huu 😭😭😭
@TatoTato-t7s
@TatoTato-t7s 3 күн бұрын
​@@esterbaraka1164kama vile awamuoni sijui kwanini awamsaidii dada anateseka sna
@AngelMassawe-nz9sk
@AngelMassawe-nz9sk 4 күн бұрын
Serekali imwombee mkopo wa udhamini wa hela watanzania tutamchangia kwa chochote hadi itoshe najua utu wa watu ktk Tanzania yetu hatuna za mkupuo ila kwa kujichanga tunaweza hatutaenda na kitu siku zetu zikifika nahatujui tutamalizaje Mungu hutufundisha kwa mifano hii
@aminagama510
@aminagama510 4 күн бұрын
Yaani
@khaulalivigha8722
@khaulalivigha8722 20 сағат бұрын
Mungu akulipe kwa hili inshaalaah iutakuwa sawa
@MwamvuaMussa-f1r
@MwamvuaMussa-f1r 2 күн бұрын
Mungu msaidie uyu dada apone ayo maumivu tunaumia watanzania
@FatumaAbdalah-sj3dz
@FatumaAbdalah-sj3dz 3 күн бұрын
Pole yote mipango ya mwenyezi mungu😢😢😢
@christinaezekiel1490
@christinaezekiel1490 4 күн бұрын
Mungu wangu,Baba angu,Jemedari wangu mkuu,ninakuomba mfanyie wepesi dada hawa,Mungu ikajulikane wewe upo kwa kuwashangaza wanadamu Yesu mpatie uponyaji
@GraceMaftaha
@GraceMaftaha 3 күн бұрын
Eeeh mungu ulie umba mbingu nainchii naomba umjalie uyu dada apone jaman ww ndo mungu amabe unaweza kwakila changamoto tunazo pitia ukwel dada uy kila nimunapo ali yak bdo aijatengamaa naumia mnoo jaman alie fanya ili na yeye ataukumiwa siku yak ya mwisho mateso anayo pitia uyu dada inatosha duh inaumizq xna nataman ck moja afrah pia aseme kwasasa jaman naendelea vzur nanimepon so sote tuwo uzunika tutafurah kusikia ivo mamy mngu akutie nguvu inshalah 🙏
@fatumakidoa4006
@fatumakidoa4006 4 күн бұрын
Kama kuna mkono wa mtu please 😢muachie Hawa ameteseka mno please 🥺🥺🥺😢😢😢😢😢Allah akupe shifaa ya haraka
@mfanisifoundation6904
@mfanisifoundation6904 2 күн бұрын
Nayy mwenyewe ndo mwenye ukweli kama kuna mtu alishawahi kupishana nae kwa aina yote akamuapia mambo mabaya aweke wazi ili watu wamsaidie kumuombea msamaha
@fatumakidoa4006
@fatumakidoa4006 2 күн бұрын
@mfanisifoundation6904 kweli 🤲
@Aishajohn-o3m
@Aishajohn-o3m 4 күн бұрын
Mama Samia kwani umuoni mwanao jmn msaidie uyu mtoto wako plz mama🙏
@esterbaraka1164
@esterbaraka1164 4 күн бұрын
Kabisa kwann zile pesa za gori lamama amsaidie huyu Dada naumia mm 😢😢😢😢
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 4 күн бұрын
Allaah Akupe shifaa Amiin
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc 3 күн бұрын
Poleni sana
@carolinemwanjala2224
@carolinemwanjala2224 4 күн бұрын
Muunguwanguwee! Timiza mapenzi yako kwa Huyo mtoto.nalia roho yangu. Nakuombea sana sana. Nakupenda hang on there❤
@OthmanSalim-z6v
@OthmanSalim-z6v Күн бұрын
Allah atakusaidia dada yangu
@JanethRomani
@JanethRomani 2 күн бұрын
Pole dada angu mungu atakufanyia wepesi kipnz chetu❤❤
@zainabumikidadi9148
@zainabumikidadi9148 2 күн бұрын
Dah ee mungu najaribu kuvaa viatu vya huyu dada nashindwa naamin mungu ndie mjuz ee mungu msaidie mja wako huyu yaaarabih😢🤲🤲
@SalamaSalum-fz8zx
@SalamaSalum-fz8zx 2 күн бұрын
😭😭😭 pole sn dada yangu allh atakufanyia wepes
@EstinaCharles-nb1rk
@EstinaCharles-nb1rk 3 күн бұрын
MUNGU 🙏 pekee ndo muwezaa, poleeeee sana kipenziiiii,
@salmanassor8732
@salmanassor8732 4 күн бұрын
Dahhhh huyu dada anateseka kwa kweli
@GladnessKaheza
@GladnessKaheza 3 күн бұрын
Mshukuru mungu kwa kila hali ulionayo saiv...Ee mungu mponye huyu dada yan maumiv anayopitia ni makali sana😢
@MuzdalftKifily
@MuzdalftKifily Күн бұрын
Dh mungu atamlan alofanya unyama uwo kweli mbon tunakosa aman hiv dh😢😢😢😢 inauma sana tena san
@aminamollel3571
@aminamollel3571 4 күн бұрын
Mungu Mungu Usielala Mungu Usieshindwa Mungu wangu Baba Yangu wambinguni wewe hujawahi kushindwa Eee Mungu Nashindwa nikwambieje Munguuuuuu wa Rehema na Huruma Muangakie kwa jicho la tatu binti huyu Tunakuomba Mungu wetu Mfanyie njia pasipo na njia bint huyu wewe ukiamrisha kila jambo linakua nakusihi Amrisha Mungu wangu
@WardaYousuf-g2n
@WardaYousuf-g2n 4 күн бұрын
Subhana Allah Allah akujalie shifaa
@bupeexaud2844
@bupeexaud2844 2 күн бұрын
Mbona nlimona na Taz kashindwa kumsaidia jamani mungu amponye huyu dada.
@ShidaMomba
@ShidaMomba 3 күн бұрын
Pole sana
@AminaJuma-g2f
@AminaJuma-g2f 3 күн бұрын
Dahh pole sana
@hajramahumba7133
@hajramahumba7133 3 күн бұрын
Maumivu unayopitia nimaumivu mama angu anapitia tushahangaika mpaka tumekata tamaa 😢 Allah you pamoja nawe dada angu mwenyezi mungu yupo in Sha llah
@MunaIssa-z8j
@MunaIssa-z8j 4 күн бұрын
Dah pole sana mungu akuafu ila ndgu jaribu na upande wa pili
@hedayamohammed2781
@hedayamohammed2781 2 күн бұрын
Hawa anapitia mateso makubwa mno Allah yashfiiq 🤲
@SarahCharls
@SarahCharls 2 күн бұрын
Du Mungu amhurumie japo hatujui chanzo Mungu atusamehe lkn palipo na rehema uponyaji upo ktk jina la Yesu aishie milele😢😢
@nyamgindamachage4422
@nyamgindamachage4422 4 күн бұрын
Usikate tamaa dada Mungu yupo atakuponya utapata furaha tena
@ummySheikh72
@ummySheikh72 4 күн бұрын
Sina la kusema wallah! Mungu msamehe huyu mwanaadamu wako! 😅😮 subhannallah😭😱
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 4 күн бұрын
Huyu dada kma mimkono watu basi amwachie au amuuwe tu ampunzishe mana haya mateso anayo pitia sijui nisemeje ha! Uwiiii
@KhadijaMuhammedi-r5u
@KhadijaMuhammedi-r5u Күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭YAARABIIII , YAARABIII ,,, MPONYE HUYU KIUMBE WAKO ,, KAMA KUNA LAANA IVUNJE YAARABIIII 😭😭😭😭😭😭😭😭
@Rahma-h3x6w
@Rahma-h3x6w 2 күн бұрын
Mungu akuponye dada angu sina mengi zaidi yakukuombea mana najikuta nalia
@AdelphinaCaspar
@AdelphinaCaspar 55 минут бұрын
Eeh mungu msaidie huyu dada jamani😭😭
@FatumaJuma-b2g
@FatumaJuma-b2g 4 күн бұрын
Allah akuafu Dada Amiiiiin Yaraab 🤲
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 Күн бұрын
Allah amfanyie wepesi InshaAllah ..dah! Inauma jamani natamani ningekuwa billionaire ningefanya kila kitu kwa hawa. Naumia sana
@SabinaSulley-x7v
@SabinaSulley-x7v 4 күн бұрын
Pole sana dadangu Mungu wa mbinguni akuponye
@rehemaabdalla4942
@rehemaabdalla4942 4 күн бұрын
Pole sana hawaa Allah atakupa afueni inshallah nenda pia kwa sheikh suleiman anasaidia watu sana
@HadijaSelemani-n5y
@HadijaSelemani-n5y 3 күн бұрын
Mungu wa mwanzilishi amponye hawa umsamehe dhambi zake katika jina la Yesu aachia uponyaji kwa mwili wake
@NemaAli-zh6hr
@NemaAli-zh6hr 4 күн бұрын
Enheeee Mungu huyu dada basi inatosha Baba 😢😢😢
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 4 күн бұрын
Haki ya mungu 😢😢 It's too much
@umfarid247
@umfarid247 2 күн бұрын
Pole mdogo wangu mug atakuondoa Kenya mtihani
@ErastonEmilly
@ErastonEmilly 2 күн бұрын
Dada pole sana ila ungenisikiza shauri langu ungepelekwa kwa watumishi wa Mungu wa kuombeye,Mwamposa ao Kuhani Musa
@AbubakariKisuju
@AbubakariKisuju 4 күн бұрын
Allahuakbar"allahuakbar"allahuakbar"yarabiy msaidie hawa apone
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 4 күн бұрын
😭😭😭😭😭dah,,naishiwa maneno jmn km ni mwanadamu ndo anampa mateso hv hyu dada Mungu yupo na atamlipia hpa hpa inshallah😢😢
@MakrinaKihundo-r8j
@MakrinaKihundo-r8j 3 күн бұрын
Mungu akuponye dad man unateseka san
@AishaMbega-mg9fo
@AishaMbega-mg9fo 2 күн бұрын
Alhamdulilahi Allah msaidie mja wako Hawa apone yaallaah mponye hawa wewe inaweza hushindwi YARABII
@sakinajuma4208
@sakinajuma4208 4 күн бұрын
Mungu wangu
@jasminhamisi-u8r
@jasminhamisi-u8r 3 күн бұрын
Pole Sana dada Allah akudimamiye upone
@evakessy3282
@evakessy3282 3 күн бұрын
Carina kama ma hospital na misikitini wameshindwa..... Basi amua moja mchague YESU hata kwakujaribu tuu halafu uone
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 2 күн бұрын
Hakika
@MayarashidiMayarashidi
@MayarashidiMayarashidi 4 күн бұрын
Dini zote zetu tujitokeze kwa upande wa maombi kumuombea dada hawa apone akae sawa kwa kweri anateseka tena sana maaumivu yake ayavaliki mungu awe nawe ndani mnje akuokoe kwa haya maradhi unayo pitia
@LucaiyaKyaka
@LucaiyaKyaka 4 күн бұрын
Pole sn Mamaa Allah akujaalie afya akuondolee makubwa ya matatizo yk Inshaallah
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
Goodluck Gozbert - WAONYESHE (Official Video)
3:40
Gozbert Ministries
Рет қаралды 261 М.
MUSIC | Gospel singer Mmatema Gavu working on new music
8:01
SABC News
Рет қаралды 3,7 М.
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН