God bless you Mungu akubariki na akulinde na magonjwa nahatari zote Amen
@johnferdnand20485 жыл бұрын
Kama umemuona RPC anatia huruma gonga like
@officialjohanesmkandara43015 жыл бұрын
John Ferdnand kwanza nilijua yeye ndo anatumbuliwa
@princessaidal11305 жыл бұрын
John Ferdnand yaan mm ndo mpaka nime feel kulia nilivyoona akitia huruma sana,, nyie watu wanoko kumbe umemuona nww
@watakaniitaje12155 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 Yaani inavyoonekana na yeye Ana yake ndo maana alitaka kama kulia
@princessaidal11305 жыл бұрын
John Ferdnand kabisaaaaa
@lwitikomwakibete75255 жыл бұрын
Raisi wangu pole kwa kazi ngumu unazofanya
@abdul-rahimkadhi23225 жыл бұрын
Diwani yuko vizuri ...big up
@munguaibarikitanzanianawat92545 жыл бұрын
Mueshimiwa raisi kuwa na subr katika hatua .maana binadamu hatuko sawa mungu akupe subra katika kazi ishallaha..allah akulinde na mitiani unayo ikuta asante penda sana rais wetu
@phiniasphinias89635 жыл бұрын
diwani yuko vizur aiseee.kama anajiamini hiv..
@hamisikaliza99605 жыл бұрын
Nakupenda sana Mzee wetu Rais wetu, pole sana kwa kazi ngumu
@iddyprod31875 жыл бұрын
JPM ulikuwa wapi toka zamani....?...tutaandamana ili uongoze nchi hii hata miaka 40
@kahroogall56955 жыл бұрын
Thanks so much Mimi pia naomba ataware mpaka 2035
@solomtz70495 жыл бұрын
Ndio mimi nimekubali aongoze miaka 40...tutafika mbali
@noronhacompanylimited53705 жыл бұрын
iddy prod mimi nitayaongoza hayo maandamano mstari wa mbele
@msemwawalter8375 жыл бұрын
Huyu Rais anamaliza MB zangu kihalali.
@shamimushittindi14185 жыл бұрын
Kumdanganya john c rahisi kama unavyofikiri
@princessaidal11305 жыл бұрын
Shamimu Shittindi kabisaaaaa
@salumhamzahamza19205 жыл бұрын
Huyu mama Yuko vizuri Sana kwa kuelezea changamoto
@watakaniitaje12155 жыл бұрын
Afu yupo serious kwa maendeleo
@rhiophiri96455 жыл бұрын
Africa needs presidents like magufuli,Tanzanians give magufuli support
I love this! You can and you must, but you need to recruit new young blood to think and see like you do so that when you retire they keep maintaining your system, you can not do it alone abeg ooh!
@paccomabula14563 жыл бұрын
Magu has performed your wish.....the parliament is full of young people.
@mozasaid38695 жыл бұрын
Hapa kazi tu! Hakuna kubembelezana!!!!
@bikailamhando59695 жыл бұрын
Asante sana mungu akupe maisha marefu raisi wetu asante kwa kufika kwetu chigugu
@safinaeli57015 жыл бұрын
Nitazidi kukuombea rais makufuli.nakupenda mpk naumwa
@abediiromba12005 жыл бұрын
Yuko vzr sana
@alirahma89675 жыл бұрын
Manshallah raisi wawanyonge,mungu asimame nawewe
@eliasboniface88875 жыл бұрын
Wewe ni katapila huchoki, maamuzi magumu, kweli wewe ni jembe mungu wetu tunamshukuru Sana wewe nimfuatiliaji hongera sana
@alisilima38685 жыл бұрын
Maguu oyeeee
@amazingswahili50255 жыл бұрын
This is my president!
@kikongajoel26935 жыл бұрын
Rais kweli unapiga kazi sana mungu akubariki
@upendompokigwa50455 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akulinde kwa kazi nzur asante baba magufuli
@a.a.a.s83225 жыл бұрын
Kiboko ya wazembe. Hakuna ujanja hapa.
@alloycejames52857 ай бұрын
Kwenye kazi magu was wonderful
@waltermbelwa49735 жыл бұрын
Kweli hapo ni kazi tuu.Mambo ya uuhandsome mwisho Chalinze.
@jenyyusuph49735 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Hii naona chalinze karibu huko ubena karibu na moro
@luizabahati51985 жыл бұрын
KWA KWELI HATUTAKI KUBEMBELEZWA SAA HIVI TWENDE HIVIHIVI HII STYLE NI NZURI..ZEGE HALILALI
@hassanovajunior69725 жыл бұрын
Nyoosha kabisa Baba Jesca watakuelewa tu
@zikirination67695 жыл бұрын
Kazi kwel kwel awamu hii Kama una presha yakushuka Bora ukae pemben
@leinaamos95595 жыл бұрын
Hii changamoto
@emilynathanielluvanda82985 жыл бұрын
NCHI imempata kiongoz
@AllyJSingu5 жыл бұрын
Asante mkuu ubarikiwe sana
@stephanokanyika63215 жыл бұрын
Piga kazi baba magufuri
@klaragreen79995 жыл бұрын
YAANI UONGOZE TU KAMA NYERERE HATA MIAK 100
@adnaandangaa3565 жыл бұрын
Nakuelewasana nawazitapke
@saifysaid75565 жыл бұрын
Mama anakwambia mm naweza haraka haraka
@costantinejoseph49075 жыл бұрын
ogopa sana sauti ya zege isikufikie kuanzia leo natubu kwa mungu kukupinga ila taendelea kuwa upinzan
Powerful President no-nonsense. Why can Uhuru stand like this man and act instead of just talking.
@leokamil62845 жыл бұрын
Inabidi nicheke mpigieni au hamtaki🤣🤣🤣😂😂😂
@angellomarcel56775 жыл бұрын
Diwani yuko vizuri sana,mkuu wa mkoa anajiamini safi sana,kamanda wa Takukuru wa mkoa..masikini chaliii...sa sijui alikuwa nje ya mkoa kikazi maskini ya Mungu...Magufuri nadhani uongezewe tu muda wa kutawala, katiba si inabadilishwa tu...kwani kitu gani..bhana
@nyangimarwa34487 ай бұрын
Dah jamani pumzika kwa amani Baba
@mamymamiza29245 жыл бұрын
Yani rais nakupenda mpaka naumwa mungu akupe afya
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
huyu regional commissioner is doing his job. well done sir! oh hapa ni mtwara...safi RC wa Mtwara
@sharifaabdullah68255 жыл бұрын
Magufuli kanyaga
@PeterbokemwitaMwita20 күн бұрын
Rip😢
@gililwise5 жыл бұрын
Wanawake tunawezaaa tupeni nafasi ya uongozi.hingera mama kwa kutuwakilisha vema.
@halisiaisaya78325 жыл бұрын
Haya mie naweza haraharaka.
@slimjumakimamba39795 жыл бұрын
Yani nilikuwa natizama comment kuna mtu kainyaka. Kumbe du umeinyaka nimecheka sana
@alfoncentabwa71335 жыл бұрын
hakika rais wetu kaz unayo ngumu xana viongoz unaowateua wanajisahau xana
@mamymamiza29245 жыл бұрын
Hii ndio maana ya hapa kazi tu kubembeleza mwisho awamu zilizo pita piga kazi baba mambo ya kujimwambafai oyeeeeeeee maendeleo tunayaona🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@klaragreen79995 жыл бұрын
Mtanyooka mwaka huu..PUMBAVU
@mustafaabdallah8225 жыл бұрын
Pita kibaigwa kongwa
@BaloMega5 жыл бұрын
ABUSIVE OF POWER!!
@ashurar27215 жыл бұрын
Woyoooo maliza baba apa kazitu
@humayduwe17625 жыл бұрын
Mama umechomoa betri
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
tungepata watu 10 kama former Prime Minister and minister for home affairs Agustino Lyatunga Mrema, duuh wangeshirikiana vizuri sana na Mh. John P Magufuli
@fredymjindoseverine12807 ай бұрын
RIP
@venanceshija20255 жыл бұрын
Rpc Anataka kulia😂😂😂
@kiuwamhina28025 жыл бұрын
Wanaosema asiongezewe muda wakafie mbele ya safari cc wananchi tushamwongezea, wanataka wavivu na wezi tu serikali tumewashitukia tunamwongezea
@leonardjohnson20585 жыл бұрын
KIUWA MHINA tatizo hujui hta bei ya sukari
@yesuanaokoamtumainiyeye13605 жыл бұрын
kweli aongezewe muda
@leonardjohnson20585 жыл бұрын
Allon Yocktan hujui anae kulisha anavyoteseka
@princessaidal11305 жыл бұрын
Magufuli hakikisha unafika Kagera hasa wilaya ya Ngara kuna ushenzi usioelezeka
@geofreygkivamba91105 жыл бұрын
Jumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@sudymgeni7015 жыл бұрын
Duh mwaka wakazi tu. Papo kwa papo zawadi unapata
@micamathew64335 жыл бұрын
Yaan watu wengine ni wakwamishaji kweli. Sasa na walaaniwe kisha watupwe mbali. Mana wao ni wanyama hawafai kukaa na binadamu wenye kumcha Mungu. Lkn kumbuka ufisadi ni dhambi.. Sasa nashangaa watu siku hizi hawamwogopi Mungu. Inanishangaza kweli.
@bakarshaban7035 жыл бұрын
Nenda tanga korogwe vjijini kijj Cha mwenga hakna huduma ya umeme Wala afya mpaka elimu
@Nuruchoir7 ай бұрын
Jmn
@uledimtumwa24065 жыл бұрын
Kazi ipo
@britonngale66445 жыл бұрын
Magu wape adabu hao
@agneserasto98065 жыл бұрын
Hukweri rahis wetu Mpendwa tunakuona hunavyofanya jitiada zote hunazowapigania wananchi wanyonge kweri hunawapambania KI hushujaa
@florakankutebe39875 жыл бұрын
Nakuelewa sana kiongozi wetu
@evodiushenerico24975 жыл бұрын
Wew ndo jembe letu
@eddyphonce22875 жыл бұрын
Duh,
@albertremmy34795 жыл бұрын
namuonea huruma sana huyu kamanda wa takukuru mkoa wa mtwara. najiuliza hivi kwamfano yupo hospitali kalazwa au yupo kwenye msiba afu anaskia habari hii dah! pole kamanda.
@msovietimjamaa30175 жыл бұрын
Kweli ndgu
@oslonorway6645 жыл бұрын
alitakiwa awepo muwakilishi tuache siasa
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Albert Remmy Kunapokuwa na ziara ya mkuu wa nchi, kila mwakikishi wa eneo hilo anatakiwa kuwepo, kama ana udhuru anapeleka mwakilishi wake baada ya kutoa taarifa ya udhuru alionao
@thabitngangila85625 жыл бұрын
Asiyekupenda lazima atakubali tu.
@fatumalema38915 жыл бұрын
Njoo Kilimanjaro rais wa wanyonge
@xelinerparis73655 жыл бұрын
Yan siku nikiteuliwa ntalia kilio cha kisulisuli
@shadrackjoseph58315 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu mjalie rais wetu aishi miaka mingi zaidi duniani, aongoze inchi yetu miaka 30 kama katiba itaruhusu
@tedymwandara54805 жыл бұрын
😂😂😂😂
@moranilesoile91255 жыл бұрын
Njoo manyara mh jpm raisi wa wanyonge
@ommarymgeni15365 жыл бұрын
bab piga kazi tunakukubali nenda hata kondoa ukawatumbue wamezidi sanaaaa sanaaa
@kwesinjoku89405 жыл бұрын
This president a whole joke 😤
@saidymkariboymkariboy33305 жыл бұрын
hii ndo awamu ya tano bwana5
@Hassan-ot1mc5 жыл бұрын
Njoo wilaya ya muheza Tanga
@fauziaabeid37515 жыл бұрын
firimoni mboe
@ancomagu90255 жыл бұрын
WATANZANI SISI TULIVYO UWA TUNASIFIA WAKITOKA MADALAKANI
@ancomagu90255 жыл бұрын
@fortnite beast yani hata sierewi
@SaidSaid-cs7mm5 жыл бұрын
Mikutano ufanye pekeako daaaa 😄
@tanzania_education_theatretz5 жыл бұрын
You can't read in a dream because reading and dreaming are functions of different sides of the brain, which don't cooperate while dreams
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Haws ndio Viongozi wakipewa kueleza Matatizo ya Wananchi wanaeleza Vizuri sio Wale Wajinga wajinga Kusifia sifia wakati wananchi wanaishi kwa SHIDA..
@francejoseph87415 жыл бұрын
Wataelewa walizohea kula to na kulala
@abuuashyam84175 жыл бұрын
Jamani sheria na huruma,hatakuulizwa kama anaumwa au kapata zarura ganiii ya kwanini hajakuwepo,aaaaa,hii sasa toomuch
@athumanikhalid2165 жыл бұрын
Angetoa taarifa, kama ni kiongozi mwajibikaji!..
@abuuashyam84175 жыл бұрын
@@athumanikhalid216 hapana ubinaadam kwanza umuulizie japo kwasimu,
@pascalwissi48055 жыл бұрын
Pia tukumbuke Magufuri hakurupuki, lzima ktk ziara hii yote ana taarifa za.huyo mtu.
@simonsadala23865 жыл бұрын
Shkamooooooooooo Mh Rais hahahaaaaa
@salumnassor38455 жыл бұрын
Naskitika kwa nini tokea mwanzo sikumpenda hyu mzee
@christophermilings11425 жыл бұрын
pole mzee baba
@tedymwandara54805 жыл бұрын
Sio mbaya umejitahidi kuanza kumpenda.😂😂
@officialjohanesmkandara43015 жыл бұрын
Pole sana na hongera kwa kutambua makosa yako
@symonfx19955 жыл бұрын
Jamaa mpaka akatoke madarakani naamini baba yangu nae atakua ameteuliwa kua kamshina pia
@gauligunga95165 жыл бұрын
Mungu anamakusudi na Tanzania kwa kumleta mtumishi wako rais Magufuli
@leonardjohnson20585 жыл бұрын
Kwan aliechukua korosho ninan????? Siasa hizi
@ngakayukadogo84755 жыл бұрын
Leonard Johnson itakuwa hujaelewa,korosho zilibebwa na serikali na pesa ikatolewa hao waliotajwa wakazipiga ndio maana wanadaiwa, sijui siasa inaingiaje hapo mzee
@leonardjohnson20585 жыл бұрын
Ngakayu Kadogo kwa hyo bunge la mwisho wazir alitudanganya??
@ktravel35275 жыл бұрын
Hilo ni deni la mwaka 2017 hizo korosho zilinunuliwa na vyama vya ushirika sio serikali
Rais asiyejuwa hata jina la kijiji alichofikia,hii ni kali.Rais anayemfukuza mtu kazi hadharani kwa kosa la kutokuwepo kwenye mkutano bila ya rais kujuwa sababu gani iliyomfanya huyo mhusika kushindwa kuwepo hapo.Ama kweli mmepata rais jiwe ,
@fortidasfidell26815 жыл бұрын
Asante sana mkuu wa nchi ya Tanzania.
@YassinYassin-vw2zb5 жыл бұрын
Unataka hapa ujuwe sababu ipi wewe unafaham bosi wako anakuja halafu unatoroka nikwamba siyo mchapa kazi kwani siangeacha muwakilishi wewe ndiyo huelewi taratibu zakikazi hongeara sana rais wetu