Laa Rais anafanya kazi mpaka mamwonea huruma laa!! Mungu ampe maisha marefu
@gaspermganga89002 жыл бұрын
Rest In Peace my president the son of Africa. Naamini uliletwa na Mungu Kufungua macho watanzania na Waafrika kwa ujumla, muda sio mrefu watu wengi wataanza kugundua kuwa kifo chako wengi tulijua kitatokea kwasababu hakuna rahisi yeyote kwenye Historia ya afrika Aliyejitolea maisha yake kwa wananchi, akapendwa na Mataifa ya ulaya. Angalia, Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Ghadafi, kwame nkuruma, Na wengine wote. Afrika we must unite before it’s too late.
@mkemiamagege84773 жыл бұрын
Kwa hii kazi uliyoifanya Magufuli Rais wangu. Ndio maana walikuuwa!! Walioumia kwa kutopig misheni town zao no wengi kinyama!!
@maryammeme26156 жыл бұрын
Huyu rais Ni jembe sijawai ona duniani long live magu
@mr.yahzadochuno79146 жыл бұрын
I love my president❤️💛💚 magufuli forever
@jacksonpeter60993 жыл бұрын
Rest in peace Baba. Nilikukubali mno.
@neozoran2442 жыл бұрын
Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪
@eliaikawilhelm35413 жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba magufuli😭😭😭😭😭😭
@williammaroa39286 жыл бұрын
Hongera Sana Mzee jpm. kiongozi wa Mali ya umma
@nyangimarwa34483 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu wa nchi yake Daima hatutakusahau Kipenzi cha Watanzania utaendelea kuishi mioyoni mwetu Daima
@annafrancis96993 жыл бұрын
That is wonder full and nice one for our better president
@selemankishema57806 жыл бұрын
haya bana!!!! pole rais wetu funga majambazi hayo waishazoea wizi
@ibel4lf2 жыл бұрын
Our Late beloved president Pole sana nchi ilikuchosha... pumzika kwa amanj John P Magufuli
@kisayansimedia16263 жыл бұрын
Magufuri good job 👍
@sayibahati73166 жыл бұрын
Inatia huluma sana Mzee wetu,,,,,,mijitu haisikii,,ama kweli watu wakozoea wizi ni kazi sana kuacha
@jummawetu6 жыл бұрын
huu ndie raisi yaani afrika tukipata maraisi wa 5 kama mafufuli yaani tunatona ugaibuni tunalejea kwetu afrika UVWF tunamupongeza sana RAISI MAGUFULI
@rizbfighter85745 жыл бұрын
Hongera mh.rais tuko nawew kila hatua na tunakuombea Mungu akulinde uzidi kufanya kaz kwa mkono wa Mungu usikate tamaa atakaye kukwamisha fukuza Mungu anataka haki Fanya kazi ya Mungu
@mtotowaraila53976 жыл бұрын
Raisi mchapa kazi East African👊👊
@elisha56936 жыл бұрын
tuombe kwaajili ya rais wetu
@ayoubbusanya82906 жыл бұрын
Nimemuonea huruma sana raisi wangu baada ya kumaliza kuongea na Kusema "haya bana", inaonesha mawaziri wake wanamuangusha Sana maana kaonesha uchungu Sana
@emanuelmartin3896 жыл бұрын
Makonda apewe awaoneshe kazi
@emanuelmartin3896 жыл бұрын
Makonda apewe hiyo kaz awnyoshe
@mohamedfogo88206 жыл бұрын
Kwa kweli moyo ni safi Anaumia sana ila mijizi ktk nchi hii ni mingi sana.yaani bado wanamzunguka tu dah!!
@st99ngeni356 жыл бұрын
Ayubu Busanya Ina uma sana kwakweli. Tuzidi kuiombea hii nchi na raisi wetu ili tufike
@st99ngeni356 жыл бұрын
mohamed selungwi Ndiyo maana wanaompinga ni wengi....WATU WANATAMANI HATA AFE ILI MAMBO YARUDI KULEX2 KWA ZAMANI. NI LAZIMA WATZ TUKUBALI KUBADIRIKA NA TUMOE SUPPORT RAISI WETU
@erickkihuru45296 жыл бұрын
Hongera prezda kaz Nzur xana bandarn hakuna uongoz mzur angalia tena
@mtungilandegeya63126 жыл бұрын
Rais Magufuli kazi anayo ... maana mijitu inayomzunguka inajifanya mizuzu sana
@michaelkungi83045 жыл бұрын
Yetu macho bhana
@sheilatezura56526 жыл бұрын
Nakukubali rais wangu jpm.
@albertkimaro84936 жыл бұрын
Mungu akutangulie katika kuingoza Tz, nimesikitika sana hapo mwishoni ulipo sema "Haya banna" imeonesha ni jinsi gani unavyo kerwa,
@sentejr28213 жыл бұрын
Tunakukumbuka raisi wetu Raisi pekee aliependa wanyonge Dah RIP MWAMBA
@richardsoka24006 жыл бұрын
Uzembe wa hali ya juu! They have purposely done this, it is just an open sabotage by TPA and TRA leaders. Kudos President Magufuli. God Bless Tanzania.
@isayangwahi92516 жыл бұрын
Baba Magu piga kazi Baba Nakuombea wallah Mungu akulinde....Lazima wanyooke
@mathiasnsegenelo75986 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda rais wangu mpendwa,nakupenda kweli rais wang
@SuperKibwana6 жыл бұрын
Mjomba Magu, safisha tu nchi. Huu uchafu lazima utoweke kabisa na kwa Njia yoyote ile.
@ptriczkmdachi796 жыл бұрын
Seiff . hv
@ptriczkmdachi796 жыл бұрын
Seiff K ibwana
@ptriczkmdachi796 жыл бұрын
zZ.
@godfreyhiza10752 жыл бұрын
Miss U my president!!!!You are legend is with us
@mcjabbyevents49386 жыл бұрын
Endelea kutunyoosha mambo mazuriiii hakika wewe ni role model viva mheshimiwa tafadhali fika na mtibwa kuna majipu
@kulwawaziri38666 жыл бұрын
Sawa sawa rais wetu mpendwa John pombe magufuli tunakusapot
@mkemiamagege84773 жыл бұрын
Huyu Kikwete huyu Alichotufanyia katika nchi hii kwakweli. Mungu anjua kuna siku atamuaibisha kwa kila jambo alilotutendea wananchi kipindi cha uwongozi wake na kipindi ambacho alipotuondolea huyu Mzee kuiingilia Serikali ya awamu ya Tano.
@agnesakazinzurbadamwemanel89092 жыл бұрын
nimelia upya nilivyotazam hii video kwa mara nyingine raisi wetu leo haupo tena daa mungu mkali jamani pumzika kwa amani raisi wetu bado unaishi moyoni mwangu😭
@gemkachar6 жыл бұрын
Pole Mhe Rais. mwenyezi mungu yupo nawe.
@josephkinunda42116 жыл бұрын
Siyo mwepesi sn wa kucomment kuhusu mambo km haya lkn huu ni uzembe mkubwa ambao hata mm mwenyewe nikipewa nafasi km hii siwezi kuufanya. Hongera rais.
@PH-hg2vn3 жыл бұрын
Kweli wewe ulikuwa Kiongozi baba, basi Mungu alikupenda zaidi. Amina
@ChoroTesla3 жыл бұрын
Baaada ya hapo hizo ambulance ziliishia wapi naona ilikua km stunts tu kupata public sympathy
@rammyissa59282 жыл бұрын
Tutakukumbaka daima mzee wetu mungu hakupumuzishe kwahamani baba
@elisha56936 жыл бұрын
huyu Rais tumwache atuongoze mpk atakapo itwa na Mungu,maana anatusaidia sana
@ndelemwalonde21456 жыл бұрын
Dunia ya Leo haiendiii hivyoooo.
@basharahamtzhalisi68716 жыл бұрын
Hayo mawazo yako. Wako wazuri wengi, sema tu hawakupata nafasi hiyo.
@basharahamtzhalisi68716 жыл бұрын
ndele mwalonde. Kweli ndg dunia ya leo haiendi hiyo.
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.
@mpumulagrandson78802 жыл бұрын
Tunakukumbuka Sana JPM Allah akupumzike na akupunguzie adhabu ya kaburi Ameen
@kitangacharles58186 жыл бұрын
Nimekuelewa jpm
@loatalothi87846 жыл бұрын
Communication hata kwenye familia ikikosekana Mambo hayataenda, vivyohivyo na nchi viongozi,mawaziri,wakuu wa idara za serikali no communication Tanzania mnaichelewesha kuendelea,Mungu ibariki Tanzania yetu
@barakamasanja84662 жыл бұрын
Very good anko magu lala salama
@omarmwalimu926 жыл бұрын
Uwozo wote huu unahitaji katiba mpya ambayo itakuwa Smart kwa kumshughulikia mtu yoyote bila kujali cheo au hadhi yake.Kama Rais anapambana na rushwa ,je itakuwaje kama Mungu anamchukua kabla ya kumaliza kipindi chake? ,na je itakuwaje kama akimaliza kipindi chake ?.Je tunaimani gani kama Raisi atakayefuata atafuata sera zake?.Hapo ndipo tunaposema kuna umuhimu wa katiba mpya anayoendana na usasa na kizazi cha sasa ,katiba ambayo itaweza kumshughulikia mtu yoyote hata kama ni Raisi ama waziri. Msingi wa Utawala bora ni sheria ambazo zinaweza kufanya kazi hata kwa mtu hohehahe (fukara)
@abdullaabdullahmpakanjia23363 жыл бұрын
Duuh ww inamaono mazito Leo ameshafariki mboeyupojela anadaikatibampya samia ndo raisi kapandishakodikibao mabandoyamepandabei mraditafranit
@vailethkidady73222 жыл бұрын
Uliwaza mbali sana mtu wa Mungu
@agnesakazinzurbadamwemanel89092 жыл бұрын
daaa uliwaza mbali xana
@africatanzaniatours2 жыл бұрын
Respect kwako mzee
@jacklinekimario7872 жыл бұрын
Natamani hata Mungu aturejeshee magufuli kidg tu hatamwezi mmoja tu afu amrudshe akapmzke aliko🥺🤲tunataka MAGUFULIFICATION🤒 Dah rip legend❤️bba wa mioyo ya wanyonge
@gerardpaul23226 жыл бұрын
Mkuu mungu akupe ulinzi unamaaduwi wengi unauma xana bandar mkabidhi Makonda.
@mcjabbyevents49386 жыл бұрын
Mungu akuzidishie mheshimiwa
@kyaro59456 жыл бұрын
i cried mr President. thanx for seeing this.
@jimmyjay95942 жыл бұрын
Rest in peace king
@elvunielvuni66376 жыл бұрын
duuu nakuogopa kama motoooo mkuu magugufuri
@mropeamadeus54456 жыл бұрын
huyo ndie Mkuu Safi Sana
@mihambokitambo4216 жыл бұрын
jama Mungu amsadie rais
@yohanamagele36336 жыл бұрын
MIHAMBO KITAMBO
@barakamasanja84662 жыл бұрын
Magufuli raid bora mungu akupe ufalme mbiguni
@skeetergodwins25765 жыл бұрын
Baba fanya kazi ya kuwatumikia watanzania uliowaahidi. Tunakupongeza sana. Wewe fanya sehemu yako wasioelewa achana nao baba.
@elisanteshelukindo27456 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya JPM ,Bwana azidi kumpa hekima mara trilion
@keloboy78446 жыл бұрын
kazi juu ya kaz yani bamba tubamba
@emmanuelmichael30123 жыл бұрын
Daa speech zake sijui Kama zitasahaulika
@mirrykirungi32233 жыл бұрын
Rest easy my president daima tutakukumbuka tulikupenda ila MUNGU amekupenda Zaid umeondoka Bado twakuitaji
@malcomg10042 жыл бұрын
Sasa ni 2022,kma umeshammis sana jembe Magu gonga like tumuenzi Baba yetu
@joshuanyamkokoma14676 жыл бұрын
Mungu azid kukuongoza na kukulinda Raisi wetu
@machinefannatic996 жыл бұрын
Tanzania pasua kichwa, magari yanakaa miaka yanachomwa na jua, yanapata rust na corrosion taasisi za uma zinakosa magari ya kutosha na kuagiza mengine kijinga jinga
@bekabakari73943 жыл бұрын
Tumempoteza shujaa Mungu ndiye anaye jua
@barikichichimu35026 жыл бұрын
j..p..m mungu akubariki na akupe nguvu daima.saaaf sana .
@stevenlyando18016 жыл бұрын
magu anapiga sana kazi huyu mzee,kaniumiza sana roho mwishoni hapo eti HAYA BWANA duuuh
@ezekielkimaro16475 жыл бұрын
Live long my president!
@angelamarlow5103 жыл бұрын
Hakika utabaki kua ww kwenye moyo wangu Rais Dr Magufuli Nina Iman ulijichagulia fungu sahihi wakati wa Uhai wako,,
@franklazaro76606 жыл бұрын
upo sawa mzee wangu
@josephmkemangwa43896 жыл бұрын
Safi sana mkulugezi izo gali zije na ilinga gali ni chache ilinga!
@helmandidas7152 жыл бұрын
Tunakukumbuka Baba Magufuli
@ahmedysaidy98742 жыл бұрын
Hayo magari yana siri kubwa.
@godwinsanga24122 жыл бұрын
Matokeo darasa la saba ramadhani njombe 2021
@pauljuma57136 жыл бұрын
Ndo maana huwa namkubali Paul makonda unadhani uchafu kama huo angeuvumilia raisi angemkabidhi hyo bandari awanyooshe
@hassanimalangu70255 жыл бұрын
Mm sina chakusema zaidi ya kusema. Ccm hooyeeeee
@mussaikunda56412 жыл бұрын
namkubali xn Magufuli
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@upendorobert72986 жыл бұрын
duuh, nchi hii, huliwa na wenye meno. mawaziri wote ni mizigo tu. utafukuza wote tu
@mussataliye78155 жыл бұрын
Rais wangu najivunia sn kuwa na Rais kama ww mungu akulinde
@bahatimwakagugu9796 жыл бұрын
Komaa nao Baba'! Hao watumishi mizigo watanyooka tuu. Kwani zama zimebadirika mambo ya kukaa maofisini tu zimeisha. Hapa kazi tu. Ufisadi hauna nafasi.
@frankrobert28563 жыл бұрын
Big up
@shaurikiyanga60336 жыл бұрын
pole sana mkuu hii ndio tz
@kitimethegreat526 жыл бұрын
Yaani nimejisikia sana uchungu uchungu, kwanini mzigo wote huo ubebeshwe peke yako, wao wanakodoa tu mimacho.
@clementhiddi14864 жыл бұрын
Viongozi Tanzania ni aibu tu no accountability nor patriotism, rais anaumia sana.
@muzdalfaaladina69432 жыл бұрын
Dah nimekumis sanaa baba pumzika kwa amani😭😭😭😭🇹🇿
@hamisisonga43576 жыл бұрын
Kusema ukweli mawaziri baadhi bado wanaboa aisee kama hawajuw wajibu wao wapishe two wenye ham na kazi waje kupiga coz hawawajibiki ipasanyo piga kazi jembe tunakusapoti
@nestorykayombo86816 жыл бұрын
Mmmm magufuri ninoma
@aliyahmedahmed37226 жыл бұрын
Tusiangalie tulipo angukia... tuangalie tulipojikwaa.... kama CCM wataendelea kuongoza nchi, tusahau mambo ya wizi, rushwa kumalizika.... Magufuli ni mmoja tu...
@asiakheir38466 жыл бұрын
aliyahmed Ahmed ,kwelikabisa miminilisemahilo,labda awaondoshewote awekewapya.
@deogratiasmalenga75986 жыл бұрын
Ni chama gani kisichokuwa na wala rushwa kaka? Au unadhani katiba ya ccm inaruhusu rushwa? Rushwa imo mioyoni mwa watu na c kwenye chama.
@davidmushi67706 жыл бұрын
Rushwa haina chama,dini wala kabila ndugu unachoongea ni itikadi zako tu.. huyo Magu kakulia ccm lakini anapambana .. kila kona kuna matatizo yake ni vile hakujapatikana nafasi ya kuonesha makucha
@stahncalifornia2146 жыл бұрын
Maguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@elisha56936 жыл бұрын
Amen rais wangu
@suranchiman95446 жыл бұрын
hongera rais wetu
@benjagabril99944 жыл бұрын
Dah mzee anasema Aya bana vigogo munamuangusha 🚶🚶🚶
@R10_Rajab2 жыл бұрын
Leo nimejisikia kukukumbuka tu mzee dah No one is like you, No one watakuja wengi ila Hatotokea mwengine
@strikerhussein92126 жыл бұрын
hahahahaa mister prisdent big up naona vidume kimyaaaa vijasho lainiiii hahahaha ukiwakuta kwenye office zao c mikwala hiyo watumbue tu mkongwe .na ktiba tuibadili uendelee 2040
@sammweusimweusi7806 жыл бұрын
Mh rais watendaji wako hasa kwenye chama chako wanakuhujumu.
@sayibahati73166 жыл бұрын
MPE makonda bandari mkuu wetu,,,,,
@nuhumwakichui64063 жыл бұрын
Tutakukumbuka sana rais wetu
@mzakiruabdallha21132 жыл бұрын
Mungu ndo muweza
@Tiffany3406 жыл бұрын
natamani makonda awe waziri ausike na bandari watamkoma
@rafiikapanda21565 жыл бұрын
Fetry John chizi awezi kua wazili
@andason54062 жыл бұрын
Tutakukumbuka sn bb saizi wale uliowabana kwahaki saizi wanatusumbuwa sisi maskin
@odenmasebo97772 жыл бұрын
Rest in paradise my president
@hemedomary22816 жыл бұрын
Mh.Rais hakuna haja ya maneno mengi,piga chini hao kisha weka ndani kwa uzembe wao pia piga chini waziri.Haiwezekani hadi Rais aende bandarini ndiyo uozo ugundulike,hawa jamaa wanajua kinachoendelea juu ya hayo magari na mengine mengi tu hapo bandarini.