Mheshimiwa Dr John Joseph Pombe Magufuli mkutano huu umekufunua kuwa wataka Tanzania ipi katika biashara. Long Live Your Excellency the President
@benjaminlijongwa37155 жыл бұрын
Safi sana magufuli ,kuna raha sana kukaaa na kusikjliza watu.tunacheka lakini pia tunaielewa nchi yetu inavyokwenda.maana hapo lugha rahiisi inatumika. We love you Mr president
@ericklibaba11985 жыл бұрын
Mbeya wako makini Sana... Big Up mbeya city
@matldampeligwa94455 жыл бұрын
Safi sana mzee mahenge we are moving go go mr president
@wozzyzozzy99445 жыл бұрын
Mnagawana kama vile mlichanga. Mzee mahenge has killed it 😂😂😂😂
@mdachiog52115 жыл бұрын
Haaahaaaa
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Sio hiyo tu kakubali mbele ya Rais rushwa, rushwa kweli tunatoa uyu baba amenimaliza. Hataki dhambi ndogo ndogo 🤣🤣🤣
@khadijahassan35045 жыл бұрын
Nakupenda sana rais wng mungu akujaalie maisha marefu
@JESSAMable5 жыл бұрын
Proud of u DADY!
@africanlempe86045 жыл бұрын
Mshua kanifurahisha aisee
@gracios13245 жыл бұрын
Nimecheka kweli aisee😀😀kumbe huwa anaongea hivi,You must be very proud of him kabisa Jessam.
@JESSAMable5 жыл бұрын
@@gracios1324 anaongeaaa ni muwazi huwa hakwepeshii kwa kweli
@محمدعلي-م4ص3ش4 жыл бұрын
Mungu akubarik Rais wetu
@pendoernest86555 жыл бұрын
Ahsante sana baba kwa kujiamin. Mungu wangu wa upendo akutunze
@vicenttarimo87525 жыл бұрын
Umesema yote niliokua ninayoyasemaga nikialikwa kwenye vikao vya wafanyabiashara tunaokaaga na maafisa wa tra mzee ubarikiwe
@yonamwakanyamale50235 жыл бұрын
Shikamoo Mzee, anayezungumza...
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen Amen.Barikiwa nyote. Amen.
@glorykapenja94735 жыл бұрын
Bora ukweli kuliko kupakana mafuta big up mzee wa mbeya
@getaromagaiwa79185 жыл бұрын
Unaweza mzee upewe nyadhifa serikalini"""Hongera kwa hoja nzuri!!!!!
@raboymziki3365 жыл бұрын
Hili ndio bunge sahihi muheshimiwa @ahsante Mh Jpm
@asteriambwei955 жыл бұрын
Njoo kila mkoa rmheshimiwa rais wetu ndo utajua madudu yanayofanyika secter zote utashangaa kwa wafanyakazi hawa hawa wa serikali yako wanavyopiga hella za wananchi na wafanyabiashara
@hoseazakayo37795 жыл бұрын
Ahahah nakufurahia Sana Rais wangu kwel Mungu ametupatia Rais
@kwizeraelly92615 жыл бұрын
Wote tumwogope Mungu.Tukiwa na hofu na Mungu kuoneana hakutakuwepo,wivu,Chuki,wizi husuda vimetutawala binadamu.T umwogopeni Mungu kwanza.
@lucaschuma95005 жыл бұрын
Hahahaaaaaa mnagawana km mmechanga,nimecheka haki ya Mungu
@ramadhanimgaza39245 жыл бұрын
Hataree sana asee
@clementmathias95125 жыл бұрын
HILI BUNGE LA IKULU NI BORA ZAIDI YA LILE LA DODOMA, MJADARA HURU KABISA, SPIKA WA HILI BUNGE MSIKIVU NA HAKUNA MIONGOZO YA HAPA NA PALE... nashauri hawa wapitishwe kuwa wabunge tu maana wako vizuri mno na sipika wao😆😆😆
@yusufally4285 жыл бұрын
Hahahaha,kabisa
@jemahaonga7275 жыл бұрын
Kwa kweli maana unapata majibu ya papo kwa papo
@silasjonathan19525 жыл бұрын
Natamani hili ndio liwe Bunge la Tanzania.
@daluhardware93835 жыл бұрын
Kwenye mambo kama haya rais wetu mungu akuongoze ktk mikono salama maamuz yako hpo nisahihi mzee wangu
@clementmathias95125 жыл бұрын
@@daluhardware9383 Hebu mimi binafisi nikumbushe ni lipi kaliamua hapo
@cldmichashukim58644 жыл бұрын
i like this bless up Tanzania lets say no to hongo.
@sheryphamwenevalley61245 жыл бұрын
🤣🤣 dah mzee wa Mbeya hatar sana umejua kufunguka.mzee❤
@atanaskipera24225 жыл бұрын
hongera sana mzee
@jacksonrabson64395 жыл бұрын
Sina cha kulipa kwa magufuli MUNGU akupe maisha marefu
@mubarakamtuguta46425 жыл бұрын
swala la T,R,A ni tatizo kubwa saana Tanzania inapelekea kuwapa nafasi nchi za jilan kutumia madhaifu ili kukuza uchumi wao. contena la spare za magari kutoka china linatoka bandarini kwa ushuru mkubwa mnoo. inapelekea hata wengine contena linaandikwa transit nchi za jilan likifika mpaka linalipiwa ushuru wa nchi hiyo ya jilan likivuka linafunguliwa watu wanavusha mzigo roli zinarudisha mzigo dar. ushuru wa kulipiwa tanzania utakuta unalipiwa nakonde zambia. na asaiv watu wanaenda zambia kununua mzigo ulipitia bandari ya tanzania kwamba kwetu bei kubwa kutokana na ushuru lkn kule bei ndogo ila wametumia bandari yetu. T,R,A mnatumia kauli.mbui ya mzee vibaya saana. kueni na uzalendo na nchi yetu
@shukurukihwelo55755 жыл бұрын
Safiii sana nimekupenda gafra
@williamibrahim28235 жыл бұрын
Asante sana mzee wangu
@omaryntagala37405 жыл бұрын
Daah Mzee huyu ni noma nakubali
@danielmathias1603 жыл бұрын
Nmekuja hapa baada ya Kifo cha mhe Rais Magufuli RIP
@devotakapwepwe3635 жыл бұрын
Umeongea point Mzee wangu wenyewe wanaangalia mauzo masikini hawaangalii faida tunafanya biashara kweli hatukatai ila faida ni ndogo sanaaa. Sasa wanataka hata kidogo tunacho kipata wachukue chote masikini watoto wanataka Wale waende shule yani shida tupu
@visualservices88975 жыл бұрын
Napenda magufuli akicheka maana daah
@dawillygene5 жыл бұрын
Mie mtazamaji tu lakini nimecheka mpaka , mweshimiwa rais alivyosema huyu mzee ni kweli kabisa.
@dawillygene5 жыл бұрын
Cheka baba mh Rais hii ndio tz , kazi unayoifanya ni kubwa mno, hongera sana hii ndio tz tuliokuwa tunaitaka, na Rais tuliekuwa tunamtaka.kura yanguuuuuuuuu 2020 woooote wa nyumbani tutakupa tu tuombeane uzima.
@charlesmdoe83955 жыл бұрын
kwa kweli watanzania lazima tuwe wakweli na tumuogopeni mungu, tumepata mkomhozi wa wanyonge, mungu azidi kukupa nguvu raising wetu,
@modestamboya93825 жыл бұрын
Sema baba....
@felisterapornary26125 жыл бұрын
Nimekupenda bureeeeeee
@josephmalisa29875 жыл бұрын
Tungeomba kila mkoa uwe na Ikulu na vikao vya namna hii. Mungu ambarii sana raisi wetu
@angellamwanri84145 жыл бұрын
Very smart
@venancemuyunga52005 жыл бұрын
Safiii sana mzee umeongea kweli kama wamechanga
@silvestermandago50875 жыл бұрын
Mh unajua kucheka😁😁😁😁
@ezbonmwanjala43645 жыл бұрын
Magufuli Ni rais wa ukweli. Mungu amuongezee hekima Na busara zaidi ya apo
@ezbonmwanjala43645 жыл бұрын
Nakuomba mweshimiwa spika inga kwa mweshimiwa rais mambo anavyo endesha kwa kutumia akili Na maarifa
@johnkasonga96255 жыл бұрын
Congtrations Brazir
@shukurukihwelo55755 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu mumba wa mbingu na nchi ulie simika kila kitu kwenye dunia hii nakuomba usimike nguvu mpya kwa Rais wetu mpendwa John Josefu Magufuri ili astahimili vilivyo kukabiliana na changamoto zinazo kwaza watu wako , zinazo letwa na wasio wadirifu ktk nchii hii Eee Mungu utusaidie Amina
@samwellwiza53395 жыл бұрын
Mnagawana kama vile Mlichanga???!!
@danielpatrick65125 жыл бұрын
Asantee rais
@nemeskilagula31195 жыл бұрын
MH.Raisi tunashukulu kwa kuwapa nafasi wafanya biashara kuzungumza kile waliocho Nacho hakika ni democrasia mungu akubaliki sana kwa Kazi yako nzuri
@sarahmakima43235 жыл бұрын
Safi sana brother
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Raha sana
@bwiremark93115 жыл бұрын
Kaongea very technical
@davykim35515 жыл бұрын
Magufuli HOYOEEEE . Anaskiza vilio vya wafanyibiashara. HONGERA Mkuu. Kwetu Kenya, Rais nikuchoma bidhaa za wafanyibiashara bila kutoa sababu .
@nyambelewinfrida90745 жыл бұрын
Na bungen wangekuwa wanajadili mambo yenye tija tungefika mbali mapema sana sasa wanajali posho zao tu zikiguswa wanalalamika huku wananchi wao wanaumia.
@kabaiyukyasnider67975 жыл бұрын
Mzee wa mbeya amenifurahisha sana
@liverpoolfootballclub99855 жыл бұрын
Mbeya oyee
@vicentkebula66705 жыл бұрын
UDUMU MILELE MH RAISI WETU J.P.M. MUNGU MWENYEZI AKULINDE NA NJIA ZOTE NA MAOTEO YA SHETANI. SISI WANANCHI WAKO HATUNA ZAWADI NZURI YA KUKUPA ZAIDI YA KUKUOMBEA KWE MWENYEZI MUNGU KAMA LILIVYO OMBI LAKO LA KILA MARA UKISEMA, "WATANZANIA MNIOMBEE".
@clementmathias95125 жыл бұрын
Jinga
@mumybhay65615 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 babu inakudanjisha thanaaaa
@bashiryusuph3715 жыл бұрын
Mjadala nimzuri sana jpm uwe unawaita kila wakati na uwaite na madereva wa malori kidogo huo ndio uzalendo mkuu
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@juliuskitomari30575 жыл бұрын
Bunge la ndugai lifutwe tuu,libakie hili la JPM,JPM oyee!Laiti la ndugai lingekua nusu ya hili
@nicholausmwanzia23845 жыл бұрын
Julius Kitomari sawsaw
@johnkasonga96255 жыл бұрын
Jamani hii ndo tanzania
@josephtarimo23825 жыл бұрын
Endapo bunge letu lingeendeshwa kwa unahiri kama mheshimiwa raisi wetu alivyofamya kwenye vikao vyake huko ikulu tungenufaika sana sisi watanzania, ingefaa vikao vya bunge letu kuiga mfano huo kuliko kuendelea kuona mipasho, vurugu nk maana hali hiyo haitaweza kulifikisha taifa letu popote kwa kwani.
@simonlulenga70625 жыл бұрын
Magufuli tunakupenda bure! Mambo yako yanaleta matumaini sana. Huenda tukafika pazuri. Sijutii kura yangu kwako na nyingine inakusubiri wakati ukifika.
@dorothykilave37745 жыл бұрын
Kwa kweli tumepata Rais
@yasinjumahamis6267 Жыл бұрын
Magufuli nakukubar sana
@festomlowegypsum82145 жыл бұрын
Asante baba vamponji
@mpc90tz5 жыл бұрын
kazi tu
@hurumamatemba5865 жыл бұрын
Raisi wetu amefanya jambo zuri sana
@rubenibiseko33605 жыл бұрын
Uko vizuli rais wetu
@athumanomary14385 жыл бұрын
Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu wote kwa mwenyez MUNGU
@agnesmsenga68905 жыл бұрын
Mzeee Mahenge nouma saaaana
@paularstarik25835 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo, Kama na wewe umeipenda gonga like hapa
@mariamrehani54975 жыл бұрын
Hawa TRa ni mtihani mkubwa wapo kws masilahi yao tu
@paularstarik25835 жыл бұрын
Yaan hawa ndio wanaofanya biashara kua ngumu kabisa
@saidsanzunkoba39955 жыл бұрын
kuna vingne mh rais anavifanya viwe sheria lkn wengne nyuma yake wanafanya dili LA upigaji ndio tatzo linaloturudisha nyuma
@edsonmbilinyi85515 жыл бұрын
Good
@robertigohe93385 жыл бұрын
JPM LEO AMEFURAHI
@charlesmndibatyo74135 жыл бұрын
Duh mambo mengi kweli jamani!!!!
@jumakapo99145 жыл бұрын
Kweli kaliakoo wameja sana TRA wapo wengine wanashinda jangwani wanakula sana lusha
@williammwambokwa39945 жыл бұрын
sawa
@user-zj3ke9gc2u5 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee njoo na oman utu hoji mashaghara
@janethkagumila78885 жыл бұрын
Mh.rais tunaomba kuhusiana na hoja hizi ungepita kila mikoa pamoja na wilaya zote ili upate taarifa zote kwa kweli hawa TRA wanatuuwa sana.
@adammakoye41985 жыл бұрын
siku moja tualike na sisi wamachinga tuje tutoe majibu yetu.
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Magufuli kashika tama🤣🤣🤣🤣 wafanyakazi wa TRA, mmeona maisha yenu mnaajiriwa mnaenda kufanya wizi wa digital mkitumbuliwa mnasema Magu mbaya asikilizi mtu sijui anafanya maamuzi ya kidikteta.
@costantinejoseph49075 жыл бұрын
mzee ananamba ya canali dadek
@abdulybabumgwaobabu74075 жыл бұрын
Hawa ndio wazalendo Wa nchi yetu
@blandinamwarabu50255 жыл бұрын
Kweli Mzee kuongea asilimia 10 ya mauzo hii huwa inanipa shida sana na mimi wangelikuwa wanachukua kwenye faida ukilalamika wanasema.leta mahesabu na mahesabu yanatakiwa ya kitaalamu. Wanaotengeneza mahesabu wanataka milioni moja sasa si bora nipigwe tu huko TRA. Ni shida
@kwizeraelly92615 жыл бұрын
Idara hizi Mungu asimamie jamani kitu pesa ni kazi sn.Hata mm mwl. nina vita na raia wakati pesa sina hii dunia tuiache tu.Watanzania tumrudie Mungu wote tumeacha uzalendo.
@isaacmwansile48325 жыл бұрын
Maenge noma
@bhahebhengamba74895 жыл бұрын
Nikwel kabsa namaranying weng wanataman kuwa katika sekta hii wanasema kunashavu kubwa, asilimia kubwa ya rushwa ipo hukoooo! Mweshimiwa kaza kamba apo
@mrmago48703 жыл бұрын
Hili ndo lilikuwa "BEST BUNGE LA 2015-2020"
@shanimpenike75685 жыл бұрын
yaan baba umesema ukweli kabisa ,wafanya biashara tunakatwa sana
@sponsor78825 жыл бұрын
RAIS KAMA HUYU HAKUNA AFRICA
@richadfunka72815 жыл бұрын
bunge likiambiwa ni dhaifu halitaki sasa Rais amechukua usipika wa bunge.
@simonlulenga70625 жыл бұрын
Magufuli pole sana. Hiyo ndo hali halisi mheshimiwa.
@habibaissa67785 жыл бұрын
Kweli nimeamini simba hata awe mkali vp, lkn anazaa, yaani pamoja na ukali wooote wa JPM, wa kutumbua na kutengua bado tu watu wanapiga rushwa???? Kweli kiumbe mzito!! Hatarii sana!!! 😎😎😎
@emilydavidmdoe35525 жыл бұрын
Duuu aise Mh umewasikia wananchi wako,acha waseme wanayokutana nayo uwasaidie.Watenda kazi wasio waaminifu ni shida tupu.
@mbalu93625 жыл бұрын
Nimpenda bure
@AhmedAhmed-z6m7t10 ай бұрын
RIP JPM
@mosesptallah39335 жыл бұрын
Tanzania nini ya furaha tele, Mungu Ibariki TZ.
@sifasanga78665 жыл бұрын
Huwa napenda sana Magufuli akicheka.....yaani mimi naweza nisitake kucheka. Ila akicheka nacheka pia.....hahaha Magufuli love you nyan'ganyan'ga
@estamanundu69725 жыл бұрын
,,nimeipenda hiyo, mnagawana Kama mlichanga
@willykikwete72195 жыл бұрын
Nani ameturoga watanzania?
@asfdghkjxzcvnbm25805 жыл бұрын
bunge jipya la JPM, dodoma poleni
@juliuskitomari30575 жыл бұрын
hahahahahaha,mzee anaeleza kuwa wanatoaga rushwa
@shanimpenike75685 жыл бұрын
Mzee wa mbeya jeremia mahenge umesema kweli
@florenceshangwe75585 жыл бұрын
Mnagawana kama vile mlichanga hahahahahah
@athanasdamas28675 жыл бұрын
saf sana kanena ya ukweli tra wanasumbua sana makadirio makubwa tena bila kuangalia biashara kuna kuyumba sio kila sku unaingiza kipato kizur
@dr.johnsonnyamohanga61475 жыл бұрын
Hahaahaaaa Tanzania Revenue Authority, mnagawana kama vile mlichanga !
@mamarichsuper64235 жыл бұрын
Na wajasiliamali wanawake na sisi sijui tatasemea wapi
@salmansomaliboy77995 жыл бұрын
Mzee ya maana kabisa.....hhhhhhhhhjhhhhhhhh
@simpeponestory76375 жыл бұрын
Sindano imeingia hiooo
@halimakhalfan11965 жыл бұрын
tena hayo ma tra n mijiti ya ajabu kabisa.hayo yapo.yanafunga maduka ovyoo kisa umechelewa kulipa kod