ona MFANYABIASHARA HUYU Alivyomvunja JPM Mbavu

  Рет қаралды 242,524

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 169
@robsonwisdom4025
@robsonwisdom4025 5 жыл бұрын
mzeeeee....sema.....waponeeee....haoooo.....TRA.....wanaturudishaaaa...nyuma....sana
@marthamgeyekwa8413
@marthamgeyekwa8413 5 жыл бұрын
Mheshimiwa Dr John Joseph Pombe Magufuli mkutano huu umekufunua kuwa wataka Tanzania ipi katika biashara. Long Live Your Excellency the President
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 5 жыл бұрын
Safi sana magufuli ,kuna raha sana kukaaa na kusikjliza watu.tunacheka lakini pia tunaielewa nchi yetu inavyokwenda.maana hapo lugha rahiisi inatumika. We love you Mr president
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 5 жыл бұрын
Mbeya wako makini Sana... Big Up mbeya city
@matldampeligwa9445
@matldampeligwa9445 5 жыл бұрын
Safi sana mzee mahenge we are moving go go mr president
@wozzyzozzy9944
@wozzyzozzy9944 5 жыл бұрын
Mnagawana kama vile mlichanga. Mzee mahenge has killed it 😂😂😂😂
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 жыл бұрын
Haaahaaaa
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Sio hiyo tu kakubali mbele ya Rais rushwa, rushwa kweli tunatoa uyu baba amenimaliza. Hataki dhambi ndogo ndogo 🤣🤣🤣
@khadijahassan3504
@khadijahassan3504 5 жыл бұрын
Nakupenda sana rais wng mungu akujaalie maisha marefu
@JESSAMable
@JESSAMable 5 жыл бұрын
Proud of u DADY!
@africanlempe8604
@africanlempe8604 5 жыл бұрын
Mshua kanifurahisha aisee
@gracios1324
@gracios1324 5 жыл бұрын
Nimecheka kweli aisee😀😀kumbe huwa anaongea hivi,You must be very proud of him kabisa Jessam.
@JESSAMable
@JESSAMable 5 жыл бұрын
@@gracios1324 anaongeaaa ni muwazi huwa hakwepeshii kwa kweli
@محمدعلي-م4ص3ش
@محمدعلي-م4ص3ش 4 жыл бұрын
Mungu akubarik Rais wetu
@pendoernest8655
@pendoernest8655 5 жыл бұрын
Ahsante sana baba kwa kujiamin. Mungu wangu wa upendo akutunze
@vicenttarimo8752
@vicenttarimo8752 5 жыл бұрын
Umesema yote niliokua ninayoyasemaga nikialikwa kwenye vikao vya wafanyabiashara tunaokaaga na maafisa wa tra mzee ubarikiwe
@yonamwakanyamale5023
@yonamwakanyamale5023 5 жыл бұрын
Shikamoo Mzee, anayezungumza...
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen Amen.Barikiwa nyote. Amen.
@glorykapenja9473
@glorykapenja9473 5 жыл бұрын
Bora ukweli kuliko kupakana mafuta big up mzee wa mbeya
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 5 жыл бұрын
Unaweza mzee upewe nyadhifa serikalini"""Hongera kwa hoja nzuri!!!!!
@raboymziki336
@raboymziki336 5 жыл бұрын
Hili ndio bunge sahihi muheshimiwa @ahsante Mh Jpm
@asteriambwei95
@asteriambwei95 5 жыл бұрын
Njoo kila mkoa rmheshimiwa rais wetu ndo utajua madudu yanayofanyika secter zote utashangaa kwa wafanyakazi hawa hawa wa serikali yako wanavyopiga hella za wananchi na wafanyabiashara
@hoseazakayo3779
@hoseazakayo3779 5 жыл бұрын
Ahahah nakufurahia Sana Rais wangu kwel Mungu ametupatia Rais
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 5 жыл бұрын
Wote tumwogope Mungu.Tukiwa na hofu na Mungu kuoneana hakutakuwepo,wivu,Chuki,wizi husuda vimetutawala binadamu.T umwogopeni Mungu kwanza.
@lucaschuma9500
@lucaschuma9500 5 жыл бұрын
Hahahaaaaaa mnagawana km mmechanga,nimecheka haki ya Mungu
@ramadhanimgaza3924
@ramadhanimgaza3924 5 жыл бұрын
Hataree sana asee
@clementmathias9512
@clementmathias9512 5 жыл бұрын
HILI BUNGE LA IKULU NI BORA ZAIDI YA LILE LA DODOMA, MJADARA HURU KABISA, SPIKA WA HILI BUNGE MSIKIVU NA HAKUNA MIONGOZO YA HAPA NA PALE... nashauri hawa wapitishwe kuwa wabunge tu maana wako vizuri mno na sipika wao😆😆😆
@yusufally428
@yusufally428 5 жыл бұрын
Hahahaha,kabisa
@jemahaonga727
@jemahaonga727 5 жыл бұрын
Kwa kweli maana unapata majibu ya papo kwa papo
@silasjonathan1952
@silasjonathan1952 5 жыл бұрын
Natamani hili ndio liwe Bunge la Tanzania.
@daluhardware9383
@daluhardware9383 5 жыл бұрын
Kwenye mambo kama haya rais wetu mungu akuongoze ktk mikono salama maamuz yako hpo nisahihi mzee wangu
@clementmathias9512
@clementmathias9512 5 жыл бұрын
@@daluhardware9383 Hebu mimi binafisi nikumbushe ni lipi kaliamua hapo
@cldmichashukim5864
@cldmichashukim5864 4 жыл бұрын
i like this bless up Tanzania lets say no to hongo.
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 5 жыл бұрын
🤣🤣 dah mzee wa Mbeya hatar sana umejua kufunguka.mzee❤
@atanaskipera2422
@atanaskipera2422 5 жыл бұрын
hongera sana mzee
@jacksonrabson6439
@jacksonrabson6439 5 жыл бұрын
Sina cha kulipa kwa magufuli MUNGU akupe maisha marefu
@mubarakamtuguta4642
@mubarakamtuguta4642 5 жыл бұрын
swala la T,R,A ni tatizo kubwa saana Tanzania inapelekea kuwapa nafasi nchi za jilan kutumia madhaifu ili kukuza uchumi wao. contena la spare za magari kutoka china linatoka bandarini kwa ushuru mkubwa mnoo. inapelekea hata wengine contena linaandikwa transit nchi za jilan likifika mpaka linalipiwa ushuru wa nchi hiyo ya jilan likivuka linafunguliwa watu wanavusha mzigo roli zinarudisha mzigo dar. ushuru wa kulipiwa tanzania utakuta unalipiwa nakonde zambia. na asaiv watu wanaenda zambia kununua mzigo ulipitia bandari ya tanzania kwamba kwetu bei kubwa kutokana na ushuru lkn kule bei ndogo ila wametumia bandari yetu. T,R,A mnatumia kauli.mbui ya mzee vibaya saana. kueni na uzalendo na nchi yetu
@shukurukihwelo5575
@shukurukihwelo5575 5 жыл бұрын
Safiii sana nimekupenda gafra
@williamibrahim2823
@williamibrahim2823 5 жыл бұрын
Asante sana mzee wangu
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 5 жыл бұрын
Daah Mzee huyu ni noma nakubali
@danielmathias160
@danielmathias160 3 жыл бұрын
Nmekuja hapa baada ya Kifo cha mhe Rais Magufuli RIP
@devotakapwepwe363
@devotakapwepwe363 5 жыл бұрын
Umeongea point Mzee wangu wenyewe wanaangalia mauzo masikini hawaangalii faida tunafanya biashara kweli hatukatai ila faida ni ndogo sanaaa. Sasa wanataka hata kidogo tunacho kipata wachukue chote masikini watoto wanataka Wale waende shule yani shida tupu
@visualservices8897
@visualservices8897 5 жыл бұрын
Napenda magufuli akicheka maana daah
@dawillygene
@dawillygene 5 жыл бұрын
Mie mtazamaji tu lakini nimecheka mpaka , mweshimiwa rais alivyosema huyu mzee ni kweli kabisa.
@dawillygene
@dawillygene 5 жыл бұрын
Cheka baba mh Rais hii ndio tz , kazi unayoifanya ni kubwa mno, hongera sana hii ndio tz tuliokuwa tunaitaka, na Rais tuliekuwa tunamtaka.kura yanguuuuuuuuu 2020 woooote wa nyumbani tutakupa tu tuombeane uzima.
@charlesmdoe8395
@charlesmdoe8395 5 жыл бұрын
kwa kweli watanzania lazima tuwe wakweli na tumuogopeni mungu, tumepata mkomhozi wa wanyonge, mungu azidi kukupa nguvu raising wetu,
@modestamboya9382
@modestamboya9382 5 жыл бұрын
Sema baba....
@felisterapornary2612
@felisterapornary2612 5 жыл бұрын
Nimekupenda bureeeeeee
@josephmalisa2987
@josephmalisa2987 5 жыл бұрын
Tungeomba kila mkoa uwe na Ikulu na vikao vya namna hii. Mungu ambarii sana raisi wetu
@angellamwanri8414
@angellamwanri8414 5 жыл бұрын
Very smart
@venancemuyunga5200
@venancemuyunga5200 5 жыл бұрын
Safiii sana mzee umeongea kweli kama wamechanga
@silvestermandago5087
@silvestermandago5087 5 жыл бұрын
Mh unajua kucheka😁😁😁😁
@ezbonmwanjala4364
@ezbonmwanjala4364 5 жыл бұрын
Magufuli Ni rais wa ukweli. Mungu amuongezee hekima Na busara zaidi ya apo
@ezbonmwanjala4364
@ezbonmwanjala4364 5 жыл бұрын
Nakuomba mweshimiwa spika inga kwa mweshimiwa rais mambo anavyo endesha kwa kutumia akili Na maarifa
@johnkasonga9625
@johnkasonga9625 5 жыл бұрын
Congtrations Brazir
@shukurukihwelo5575
@shukurukihwelo5575 5 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu mumba wa mbingu na nchi ulie simika kila kitu kwenye dunia hii nakuomba usimike nguvu mpya kwa Rais wetu mpendwa John Josefu Magufuri ili astahimili vilivyo kukabiliana na changamoto zinazo kwaza watu wako , zinazo letwa na wasio wadirifu ktk nchii hii Eee Mungu utusaidie Amina
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 5 жыл бұрын
Mnagawana kama vile Mlichanga???!!
@danielpatrick6512
@danielpatrick6512 5 жыл бұрын
Asantee rais
@nemeskilagula3119
@nemeskilagula3119 5 жыл бұрын
MH.Raisi tunashukulu kwa kuwapa nafasi wafanya biashara kuzungumza kile waliocho Nacho hakika ni democrasia mungu akubaliki sana kwa Kazi yako nzuri
@sarahmakima4323
@sarahmakima4323 5 жыл бұрын
Safi sana brother
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Raha sana
@bwiremark9311
@bwiremark9311 5 жыл бұрын
Kaongea very technical
@davykim3551
@davykim3551 5 жыл бұрын
Magufuli HOYOEEEE . Anaskiza vilio vya wafanyibiashara. HONGERA Mkuu. Kwetu Kenya, Rais nikuchoma bidhaa za wafanyibiashara bila kutoa sababu .
@nyambelewinfrida9074
@nyambelewinfrida9074 5 жыл бұрын
Na bungen wangekuwa wanajadili mambo yenye tija tungefika mbali mapema sana sasa wanajali posho zao tu zikiguswa wanalalamika huku wananchi wao wanaumia.
@kabaiyukyasnider6797
@kabaiyukyasnider6797 5 жыл бұрын
Mzee wa mbeya amenifurahisha sana
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 5 жыл бұрын
Mbeya oyee
@vicentkebula6670
@vicentkebula6670 5 жыл бұрын
UDUMU MILELE MH RAISI WETU J.P.M. MUNGU MWENYEZI AKULINDE NA NJIA ZOTE NA MAOTEO YA SHETANI. SISI WANANCHI WAKO HATUNA ZAWADI NZURI YA KUKUPA ZAIDI YA KUKUOMBEA KWE MWENYEZI MUNGU KAMA LILIVYO OMBI LAKO LA KILA MARA UKISEMA, "WATANZANIA MNIOMBEE".
@clementmathias9512
@clementmathias9512 5 жыл бұрын
Jinga
@mumybhay6561
@mumybhay6561 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 babu inakudanjisha thanaaaa
@bashiryusuph371
@bashiryusuph371 5 жыл бұрын
Mjadala nimzuri sana jpm uwe unawaita kila wakati na uwaite na madereva wa malori kidogo huo ndio uzalendo mkuu
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 5 жыл бұрын
Bunge la ndugai lifutwe tuu,libakie hili la JPM,JPM oyee!Laiti la ndugai lingekua nusu ya hili
@nicholausmwanzia2384
@nicholausmwanzia2384 5 жыл бұрын
Julius Kitomari sawsaw
@johnkasonga9625
@johnkasonga9625 5 жыл бұрын
Jamani hii ndo tanzania
@josephtarimo2382
@josephtarimo2382 5 жыл бұрын
Endapo bunge letu lingeendeshwa kwa unahiri kama mheshimiwa raisi wetu alivyofamya kwenye vikao vyake huko ikulu tungenufaika sana sisi watanzania, ingefaa vikao vya bunge letu kuiga mfano huo kuliko kuendelea kuona mipasho, vurugu nk maana hali hiyo haitaweza kulifikisha taifa letu popote kwa kwani.
@simonlulenga7062
@simonlulenga7062 5 жыл бұрын
Magufuli tunakupenda bure! Mambo yako yanaleta matumaini sana. Huenda tukafika pazuri. Sijutii kura yangu kwako na nyingine inakusubiri wakati ukifika.
@dorothykilave3774
@dorothykilave3774 5 жыл бұрын
Kwa kweli tumepata Rais
@yasinjumahamis6267
@yasinjumahamis6267 Жыл бұрын
Magufuli nakukubar sana
@festomlowegypsum8214
@festomlowegypsum8214 5 жыл бұрын
Asante baba vamponji
@mpc90tz
@mpc90tz 5 жыл бұрын
kazi tu
@hurumamatemba586
@hurumamatemba586 5 жыл бұрын
Raisi wetu amefanya jambo zuri sana
@rubenibiseko3360
@rubenibiseko3360 5 жыл бұрын
Uko vizuli rais wetu
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu wote kwa mwenyez MUNGU
@agnesmsenga6890
@agnesmsenga6890 5 жыл бұрын
Mzeee Mahenge nouma saaaana
@paularstarik2583
@paularstarik2583 5 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo, Kama na wewe umeipenda gonga like hapa
@mariamrehani5497
@mariamrehani5497 5 жыл бұрын
Hawa TRa ni mtihani mkubwa wapo kws masilahi yao tu
@paularstarik2583
@paularstarik2583 5 жыл бұрын
Yaan hawa ndio wanaofanya biashara kua ngumu kabisa
@saidsanzunkoba3995
@saidsanzunkoba3995 5 жыл бұрын
kuna vingne mh rais anavifanya viwe sheria lkn wengne nyuma yake wanafanya dili LA upigaji ndio tatzo linaloturudisha nyuma
@edsonmbilinyi8551
@edsonmbilinyi8551 5 жыл бұрын
Good
@robertigohe9338
@robertigohe9338 5 жыл бұрын
JPM LEO AMEFURAHI
@charlesmndibatyo7413
@charlesmndibatyo7413 5 жыл бұрын
Duh mambo mengi kweli jamani!!!!
@jumakapo9914
@jumakapo9914 5 жыл бұрын
Kweli kaliakoo wameja sana TRA wapo wengine wanashinda jangwani wanakula sana lusha
@williammwambokwa3994
@williammwambokwa3994 5 жыл бұрын
sawa
@user-zj3ke9gc2u
@user-zj3ke9gc2u 5 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee njoo na oman utu hoji mashaghara
@janethkagumila7888
@janethkagumila7888 5 жыл бұрын
Mh.rais tunaomba kuhusiana na hoja hizi ungepita kila mikoa pamoja na wilaya zote ili upate taarifa zote kwa kweli hawa TRA wanatuuwa sana.
@adammakoye4198
@adammakoye4198 5 жыл бұрын
siku moja tualike na sisi wamachinga tuje tutoe majibu yetu.
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Magufuli kashika tama🤣🤣🤣🤣 wafanyakazi wa TRA, mmeona maisha yenu mnaajiriwa mnaenda kufanya wizi wa digital mkitumbuliwa mnasema Magu mbaya asikilizi mtu sijui anafanya maamuzi ya kidikteta.
@costantinejoseph4907
@costantinejoseph4907 5 жыл бұрын
mzee ananamba ya canali dadek
@abdulybabumgwaobabu7407
@abdulybabumgwaobabu7407 5 жыл бұрын
Hawa ndio wazalendo Wa nchi yetu
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 жыл бұрын
Kweli Mzee kuongea asilimia 10 ya mauzo hii huwa inanipa shida sana na mimi wangelikuwa wanachukua kwenye faida ukilalamika wanasema.leta mahesabu na mahesabu yanatakiwa ya kitaalamu. Wanaotengeneza mahesabu wanataka milioni moja sasa si bora nipigwe tu huko TRA. Ni shida
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 5 жыл бұрын
Idara hizi Mungu asimamie jamani kitu pesa ni kazi sn.Hata mm mwl. nina vita na raia wakati pesa sina hii dunia tuiache tu.Watanzania tumrudie Mungu wote tumeacha uzalendo.
@isaacmwansile4832
@isaacmwansile4832 5 жыл бұрын
Maenge noma
@bhahebhengamba7489
@bhahebhengamba7489 5 жыл бұрын
Nikwel kabsa namaranying weng wanataman kuwa katika sekta hii wanasema kunashavu kubwa, asilimia kubwa ya rushwa ipo hukoooo! Mweshimiwa kaza kamba apo
@mrmago4870
@mrmago4870 3 жыл бұрын
Hili ndo lilikuwa "BEST BUNGE LA 2015-2020"
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 5 жыл бұрын
yaan baba umesema ukweli kabisa ,wafanya biashara tunakatwa sana
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
RAIS KAMA HUYU HAKUNA AFRICA
@richadfunka7281
@richadfunka7281 5 жыл бұрын
bunge likiambiwa ni dhaifu halitaki sasa Rais amechukua usipika wa bunge.
@simonlulenga7062
@simonlulenga7062 5 жыл бұрын
Magufuli pole sana. Hiyo ndo hali halisi mheshimiwa.
@habibaissa6778
@habibaissa6778 5 жыл бұрын
Kweli nimeamini simba hata awe mkali vp, lkn anazaa, yaani pamoja na ukali wooote wa JPM, wa kutumbua na kutengua bado tu watu wanapiga rushwa???? Kweli kiumbe mzito!! Hatarii sana!!! 😎😎😎
@emilydavidmdoe3552
@emilydavidmdoe3552 5 жыл бұрын
Duuu aise Mh umewasikia wananchi wako,acha waseme wanayokutana nayo uwasaidie.Watenda kazi wasio waaminifu ni shida tupu.
@mbalu9362
@mbalu9362 5 жыл бұрын
Nimpenda bure
@AhmedAhmed-z6m7t
@AhmedAhmed-z6m7t 10 ай бұрын
RIP JPM
@mosesptallah3933
@mosesptallah3933 5 жыл бұрын
Tanzania nini ya furaha tele, Mungu Ibariki TZ.
@sifasanga7866
@sifasanga7866 5 жыл бұрын
Huwa napenda sana Magufuli akicheka.....yaani mimi naweza nisitake kucheka. Ila akicheka nacheka pia.....hahaha Magufuli love you nyan'ganyan'ga
@estamanundu6972
@estamanundu6972 5 жыл бұрын
,,nimeipenda hiyo, mnagawana Kama mlichanga
@willykikwete7219
@willykikwete7219 5 жыл бұрын
Nani ameturoga watanzania?
@asfdghkjxzcvnbm2580
@asfdghkjxzcvnbm2580 5 жыл бұрын
bunge jipya la JPM, dodoma poleni
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 5 жыл бұрын
hahahahahaha,mzee anaeleza kuwa wanatoaga rushwa
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 5 жыл бұрын
Mzee wa mbeya jeremia mahenge umesema kweli
@florenceshangwe7558
@florenceshangwe7558 5 жыл бұрын
Mnagawana kama vile mlichanga hahahahahah
@athanasdamas2867
@athanasdamas2867 5 жыл бұрын
saf sana kanena ya ukweli tra wanasumbua sana makadirio makubwa tena bila kuangalia biashara kuna kuyumba sio kila sku unaingiza kipato kizur
@dr.johnsonnyamohanga6147
@dr.johnsonnyamohanga6147 5 жыл бұрын
Hahaahaaaa Tanzania Revenue Authority, mnagawana kama vile mlichanga !
@mamarichsuper6423
@mamarichsuper6423 5 жыл бұрын
Na wajasiliamali wanawake na sisi sijui tatasemea wapi
@salmansomaliboy7799
@salmansomaliboy7799 5 жыл бұрын
Mzee ya maana kabisa.....hhhhhhhhhjhhhhhhhh
@simpeponestory7637
@simpeponestory7637 5 жыл бұрын
Sindano imeingia hiooo
@halimakhalfan1196
@halimakhalfan1196 5 жыл бұрын
tena hayo ma tra n mijiti ya ajabu kabisa.hayo yapo.yanafunga maduka ovyoo kisa umechelewa kulipa kod
@maimunageogre1664
@maimunageogre1664 5 жыл бұрын
Nimeipenda sana hiii
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 113 М.
BALAA..!!Rais JPM Ampokonya Ardhi Mfanyabiashara Huyu Hadharani
14:27
Global TV Online
Рет қаралды 161 М.
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,5 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOWATUMBUA WAFANYAKAZI WA 3 WA TRA
4:21
Mwananchi Digital
Рет қаралды 39 М.
Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
12:08
Global TV Online
Рет қаралды 141 М.
Magufuli aamsha dude jingine bandarini
7:49
Azam TV
Рет қаралды 1,1 МЛН
HOTUBA YA MAGUFULI KWENYE MKUTANO NA WADAU WA MADINI      22/1/20199
1:12:14
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
27:53
Global TV Online
Рет қаралды 304 М.
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН