POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA

  Рет қаралды 94,789

Global TV  Online

Global TV Online

14 күн бұрын

POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 164
@alfristricks7515
@alfristricks7515 11 күн бұрын
Global hongereni, Columba Lebaba unajua kuhoji. Jamaa wa Millard "Ng'omba" anatoa habari nusu nusu. Anahitaji kuboresha taaluma ya kuhoji.
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 12 күн бұрын
Huyu atakuwa aliwekwa msukule akawa anafanyishwa kazi sokoni sasa ghafla kaponyoka akiwa anapelekwa kazini😅
@ezralameck4150
@ezralameck4150 10 күн бұрын
😂😂
@user-fi5om2ps1p
@user-fi5om2ps1p 9 күн бұрын
😅😅😅😅
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 8 күн бұрын
😂😂Ni kama
@GetrudyGt
@GetrudyGt 10 күн бұрын
Mungu amtetee huyu Baba inaonekana Kuna jambo nyuma ya pazia Mungu makusudi yako yasimame kwake wale maadui wa siri wafe wao kwa jina la YESU.
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 12 күн бұрын
Nivizur wafukue waangalie kilichopo kwenye kaburi!!, Mambo kama ya Mkoa wa Kigoma yameanza!! watu wanakufa na kufufuka, chezea wachawi wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lilotz-we7xq
@lilotz-we7xq 11 күн бұрын
Kwahiyo kigoma tu ndo Kuna wachawi?sehemu zingine jee hayakuepo hayo Acheni kuwachafua wanakigoma
@vero57
@vero57 12 күн бұрын
Washirikina wame feli, mwamposa safi 🙏🏾🙏🏾
@MouhammedSeif
@MouhammedSeif 11 күн бұрын
Acha fikra potofu
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 10 күн бұрын
😂😂😂😂 eti mwamposa dah mmelambwa sana
@nashnene6326
@nashnene6326 12 күн бұрын
Hapa hakuna uchawi, kuna mistaken identity tu
@evancemushi8529
@evancemushi8529 10 күн бұрын
Sure
@katotoriznath6233
@katotoriznath6233 10 күн бұрын
Dah na magufuli angefufuka tu jaman😢😢
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 8 күн бұрын
Kabisa yaan...!!
@utotomtakatifuvingungutiparish
@utotomtakatifuvingungutiparish 11 күн бұрын
Ukifuatilia vizuri, utaona marehemu amerudi na anadai shamba lake....vipi kama wanataka kumdhulumu shamba lake wakatengeneza mazishi ya mchongo?
@doreenlema7612
@doreenlema7612 4 күн бұрын
UMEONAEE
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 12 күн бұрын
Samia ni mama mwerevu sana naelewa sasa kwanini kamtuma makonda kuwa mkuu wa mkowa arusha,juu ni mkowa wa kwanza mtz wenye vituko vingi.tena vyakusisimuwa.
@leokamil6284
@leokamil6284 12 күн бұрын
Kamtuma kwa manufaa ya chama chao ,kuvunja upinzani. Kwa akili yako unajidanganya
@samsonsimon3138
@samsonsimon3138 11 күн бұрын
Hili jambo linahusianaje samia na makonda kw kufufuka jamaa huyu au wao do wamemfufua
@mnyama-xc8py
@mnyama-xc8py 8 күн бұрын
Jamani Sasa mama kaingiaje hapo ,mbn kizaz hiki kimekuwa Cha kijinga hivi daaah
@Official83640
@Official83640 12 күн бұрын
Arusha na Kigoma kwa matukio ya ajabu kunaongoza Dar tunaongoza kwa kutekwa tu😂😂😂
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 12 күн бұрын
😂😂😂😂
@knight6757
@knight6757 12 күн бұрын
😂😂🇹🇿
@latifamubba100
@latifamubba100 12 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@knight6757
@knight6757 12 күн бұрын
@@latifamubba100 😂
@Zubaiba
@Zubaiba 12 күн бұрын
😂,😂🎉🎉
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 10 күн бұрын
Hyu mzee mbna amekataa, isijekua yuwahusika tu😂
@godsonmasseri7622
@godsonmasseri7622 11 күн бұрын
Welcome back brother tuendeleze mapambano 😂 utupe na stori za heaven 😂
@tumainimsaki6651
@tumainimsaki6651 11 күн бұрын
😂😂😂
@manlematz821
@manlematz821 8 күн бұрын
Huyu ni mzee sio kijana
@visionstudios6804
@visionstudios6804 8 күн бұрын
Hii ndo comment nilikua natafuta
@seneu.2128
@seneu.2128 5 күн бұрын
Tz tupo nyuma sana hii habari ilipaswa kuwa kwenye vyombo vya habari vikubwa kama tbc, itv na maswali ya msingi yakuhoji ni uzembe wa mortuary ya mkoa kufanya makosa yakutoa mwili wa mtu mwingine bila kujirizisha vizuri, Kuna watu wapo sehemu wanatafuta ndugu Yao amepotea kumbe mtu alipata ajali na ameshaenda kuzikwa kimakosa.
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 12 күн бұрын
Leteni manispaa tunachangia
@hendrymwita8436
@hendrymwita8436 11 күн бұрын
😅rambirambi wialishagawana na msosi walishakula. Marehemu amerudia malipo yaliyomuaga😂😂 karibun Arusha home town city
@Sonia_abass
@Sonia_abass 11 күн бұрын
Na urithi tumegawana
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 10 күн бұрын
Wakae wenyewe huko😂😂
@jesuittemba663
@jesuittemba663 12 күн бұрын
Aisee
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 11 күн бұрын
Tutapeleka wapi ndo swali gani Hilo? KWAIO HILO KABULI LA MTU AMBAE YUKO HAI LIENDELEE KUBAKI HAPO ILII ??WAFUKUE WATHIBITISHE..
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 10 күн бұрын
Huyu mzee aeza kua yuwajua kinachoendelea
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 12 күн бұрын
Hiki kijamaa kinaongeaaaa mpaka kinakera
@alitante4279
@alitante4279 11 күн бұрын
Mwenyew ashasem hajafa nyie nani mpingee😂😂
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 11 күн бұрын
Ndio hapo sasa
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 11 күн бұрын
Wazee ndoo wanakwamisha hili taifa kusonga mbere ndoomana hatuendaniii namda kisa hawa wazeee wazembe
@user-ex4hi7fj5c
@user-ex4hi7fj5c 11 күн бұрын
Mungu wangu watu tunaoendaga kununua viwanja tuwe makini... Fikiria ndiyo waendako kununua KIWANJA na muuzaji ni Robert
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 9 күн бұрын
Daa makonda awe pole wasije wakamtoa akili tu maaana Arusha bw salutee
@MonicaBeni
@MonicaBeni 11 күн бұрын
Serikali inawapiga matozo kila siku alafu mnakaa kimya alafu mnakuaga mnanguvu Kwene mambo ya ujinga tu
@EdwardKisota
@EdwardKisota 11 күн бұрын
Basi mchongo huo. Kama mnakataa kufukuwa kaburi
@christinamatai2408
@christinamatai2408 11 күн бұрын
Duuuuuh!!
@navioma4882
@navioma4882 12 күн бұрын
Dho hatarii😢😢😢
@asteriashios1852
@asteriashios1852 11 күн бұрын
Au walinzika mtu siyo wao
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 11 күн бұрын
Walizika mtu sio wao
@morningstarartproduction8436
@morningstarartproduction8436 11 күн бұрын
Hivi Izo taratibu zote, zilifanyika kwenye kufufuka Kwa yesu kweli??
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 11 күн бұрын
Yesu kaburi lilikuwa wazi
@estherkimario7940
@estherkimario7940 9 күн бұрын
Fukueni maana yawezekana walizika mtu tofaut bhana me siamini haya anafufukaje kwani ni yesu
@jacobmwalituke8981
@jacobmwalituke8981 12 күн бұрын
😂😂😂 kitu kilichukuliwa msukule kikaponyoka😂😂
@olivernyange2349
@olivernyange2349 12 күн бұрын
😂😂😂😂
@sophsoph4740
@sophsoph4740 11 күн бұрын
Kimetoroka😂😂😂
@MukulasiKapela
@MukulasiKapela 10 күн бұрын
Jamaa amekuwa yesu
@LeahMkwabi
@LeahMkwabi 11 күн бұрын
Walizika mtu ambaye siyo mlfanywa mazingaombwe😅😅😅😅 mshikaji alimkimbia makonda 😂😂😂 kaona upepo mzur wa makonda kaona ajitokeze😢😢😂😂😊
@moseskillagane160
@moseskillagane160 12 күн бұрын
SIJAFAAA😅😅
@MsodokiTheson
@MsodokiTheson 12 күн бұрын
Usalama wa Taifa ni Idara yenye maarifa mengi sana
@lwakainaza
@lwakainaza 10 күн бұрын
Ndio lakini haiwajibiki ipasavyo.
@hamidmussa838
@hamidmussa838 12 күн бұрын
Kweli Hajafa.
@BrigediaKilindo-r5p
@BrigediaKilindo-r5p 8 күн бұрын
Sio kweli
@SteveTom-nd3us
@SteveTom-nd3us 8 күн бұрын
Hapo n wapi
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 11 күн бұрын
Mungu yupo moindeni jamani kaka wa watu, Mungu amemuokoa
@DM.2200
@DM.2200 12 күн бұрын
Vizazi og na wadudu wameamua
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 11 күн бұрын
Maiti wa mchongo Ndugu walichukua rambirambi tu 😂😂
@Max9_captain
@Max9_captain 11 күн бұрын
warudishiwe rambirambi zao😂😂
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 11 күн бұрын
@@Max9_captain kiendacho kwa mganga hakirudi 😂😂😂
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 10 күн бұрын
mwenyekiti yupo sahii
@AyubuFumbi
@AyubuFumbi 7 күн бұрын
Mmmh
@ezralameck4150
@ezralameck4150 10 күн бұрын
Pastor lugha alotumia hapo duuh kwel chuga jau😢
@SeleKipanda
@SeleKipanda 10 күн бұрын
Acheni kufanya biashara kupitia imani hii ni harari sana ndugu zangu
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 11 күн бұрын
UNAONGEA SANAA
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 10 күн бұрын
Mtu hakufa aliyezikwa ni mwingine walifikiri ni yeye.....mpeni shamba lake jamani aendeleze mapambano
@martinlema4192
@martinlema4192 10 күн бұрын
Ndo maana Mungu anatenga wafu na walohai!
@EliakimOchieng-e6c
@EliakimOchieng-e6c 8 күн бұрын
Jamani amefufuka tukubali
@Zenamkuta
@Zenamkuta 11 күн бұрын
Watu kweli wanajua kuloga😢😢
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 8 күн бұрын
Waongo hao hajafufuka
@edinamadebele973
@edinamadebele973 11 күн бұрын
Swali ni moja tu, huyo Robert kama alikua hajafa ck ya mazishi yake alikua wapi? Maana msiba ulifanyikia kwao, na je hata tetesi za msiba wake hakuusikia?
@ShukraniChomolla
@ShukraniChomolla 10 күн бұрын
Hilo nalo neno
@LizenMaker
@LizenMaker 10 күн бұрын
Wakifukua atakufa moja kwa moja waache tu kama wanampenda huyo ndugu yao
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi 8 күн бұрын
nisiku zammwisho imeandikwa someni mandiko
@AlexMosha
@AlexMosha 11 күн бұрын
Waliotoa taarifa ya ajali na kifo siyo wa kweli na watu wengi hawangalii maiti
@lellovenance5702
@lellovenance5702 9 күн бұрын
Hao wachawi ndio wanakataa hata huyo mzee nna wasiwssi nae huyo mbona anabisha hivoo
@KhadijaNkya
@KhadijaNkya 11 күн бұрын
Mmmh iyo ni ajabu
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 8 күн бұрын
Huyu mzee wa boma anajua kilichozikwa uko kwenye kabur ndio maana anakataa lisifukuliwee
@vailethjames1934
@vailethjames1934 11 күн бұрын
Ndugu mwandishinkama auna maswali usiulize sana utaonekana sio professional mwandish uliza maswali yenye mantiki common unauliza maswali kiuchonganishi chonganish tu
@KhadijaNkya
@KhadijaNkya 11 күн бұрын
Jaman atuwambie imekuwaje mpaka amefufuka au alitolewa msukule nin?
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 8 күн бұрын
Bunge serikali na jeshi 😹😹😹alosema jeshi kamichekesha kwenye msiba
@Rodahpaschal
@Rodahpaschal 12 күн бұрын
Kwani yeye mwenyewe alieonekana anasemaje
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 11 күн бұрын
Wenawe.umenichekesha.eti.anasemaje
@anthonyluhumbika4693
@anthonyluhumbika4693 10 күн бұрын
Jamaa anakataa kabisa sijafa!,nimekufa? acheni utani
@anigrandy9888
@anigrandy9888 11 күн бұрын
Au mama yake alizaa mapacha,wakifanana sana na wanaishi sehemu tofauti siyo rahisi kugundua maana ukimwona huyu unafikiri umemuona yule😂sa mziki ndo huo,pacha kafa mwenzake anazua yake huku duniani,nawaza tuuu🚶
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 11 күн бұрын
Nguo ni zile zile
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 11 күн бұрын
Huyu baba km angekuwa msukule wala asinge kuwa hivyo anavyoonekana yuko na akili zake timamu kabisa hawa ndg walizika mtu sio wao bhn
@emanuelyohana3049
@emanuelyohana3049 8 күн бұрын
mmefungwa Jamani fukueni acheni utani
@v.klightofficial6455
@v.klightofficial6455 12 күн бұрын
Hiyo ni kiki yule mzee anataka kutoa album yake ya kwanza😂
@ZamoyoMugabe
@ZamoyoMugabe 11 күн бұрын
Hapo ni mipango ya watu wachache waliopanga ilo tukio kamata watu waseme jamaa anaonekana ana misimamo mikali
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 8 күн бұрын
Huyu ni kama walifanya yy msukule
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen 10 күн бұрын
Wafukue usiku😂😂Si lazima ukue mchana
@wakayakaya6
@wakayakaya6 9 күн бұрын
Wafukue muumbuke nyoko 😂😂😂😂 shamba linatakiwa
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 11 күн бұрын
uyo aliwekwa msukule😮
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 11 күн бұрын
Marehemu apunguze kiherere kuuza,kiwanja ajenge,atakufa kikweli,atajiju,
@BrendaHaruna-r6j
@BrendaHaruna-r6j 12 күн бұрын
Duh amechukuliw n wakuu nd karudi n Ujio mya😂
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 9 күн бұрын
Huyo mzee anayekataa atakúwa mwanga
@hamidmussa838
@hamidmussa838 12 күн бұрын
Hapo ushirikina tu!
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 12 күн бұрын
Wazungumzaji kweny hii habari wanaakili sana?
@alitante4279
@alitante4279 11 күн бұрын
Watu wamegomaa😂😂
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 10 күн бұрын
HUYO ANAYEPINGA KUFUKUA HUWENDA NI MCHAWI ANALINDA SIRI
@user-db1uy6hv9q
@user-db1uy6hv9q 10 күн бұрын
Huyo hakufa ila walimnguuza msukule2
@ezralameck4150
@ezralameck4150 10 күн бұрын
Mbona kama aloffuka haziaomi vzr🙄
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 11 күн бұрын
Fukueni hao ndo wanajificha kwenye vivuri vya wachawi
@happynkya9770
@happynkya9770 10 күн бұрын
polic si ndo wanafukuaga waone kilichopondani ni nn
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 8 күн бұрын
Unaongea sana acha police wafanye kazi yake
@saidausi9917
@saidausi9917 9 күн бұрын
Serikali ifukue mbona kule Kahama walikuwa lifukuliwe
@eliambowe2576
@eliambowe2576 9 күн бұрын
wazee sijafa nipo mapambano ya endele
@zakiaramadhan8284
@zakiaramadhan8284 12 күн бұрын
Kusumbua tu police na kupoteza mafuta ya serikali
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l 11 күн бұрын
Weee unavuta bangi pesa za Kodi zao zinakuuma au vp
@GraceanaLenaika
@GraceanaLenaika 9 күн бұрын
Kama sio msukule bc alikuwa pachaaa nauyo pacha alikuwa ajulikan
@francomwacha2262
@francomwacha2262 11 күн бұрын
Yawezekana walikua mapacha na walipotezana..
@user-eq5jr9yy1y
@user-eq5jr9yy1y 10 күн бұрын
Wafukue jamaniii
@nicethgabriel3319
@nicethgabriel3319 11 күн бұрын
Huwo mwez mzima alikua wapi?
@RemisonMwesiga
@RemisonMwesiga 9 күн бұрын
Kwan mnadhani kuna anayependa kufa
@dingadinga6674
@dingadinga6674 8 күн бұрын
Huyu mzee anaepinga hatumuelewi
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj 9 күн бұрын
Tunaomba mwendelezo..bhna itakuwa walizika mtu mwingn
@user-ww4so9ks9c
@user-ww4so9ks9c 12 күн бұрын
Macho ya mchungaji ni madogo hakuona vizuri mwili
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 11 күн бұрын
Na ndugu zake waliopigiwa cm kwa sababu alipogongwa na pikipik hajafa palepale alipelekwa hospital ambako ndiko alipofia na ndugu walimuona alama zake domo umekatika na meno hana
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 12 күн бұрын
Waufukue huyo walie mzika akitafutwa kwao na wazazi wake je
@user-od3ro4vw2c
@user-od3ro4vw2c 10 күн бұрын
Asa lazima muhakikishe msibaki n maswali
@FredyMolley-zq3em
@FredyMolley-zq3em 10 күн бұрын
Nyiny apan fukueni kaburi mujue nikweki mulizika nan serikali siiko jaman
@AYUBU959
@AYUBU959 10 күн бұрын
Kuhoji anajua tatzo editing
@RAJABUShaibu-mx2iy
@RAJABUShaibu-mx2iy 11 күн бұрын
Icho kijamaa kimwenyekit kichawi
Kenya protesters breach parliament barricade, enter compound | AFP
1:02
AFP News Agency
Рет қаралды 406 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 536 М.
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 53 МЛН
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 52 МЛН
If the President wants you dead || James Khwatenge
18:32
The Wicked Edition with Dr. King'ori
Рет қаралды 421 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 536 М.