Huyu mama siwez kumuelezea mama mnzur sana hana mabaya niliweza kuishi nao kama mfanyakazi wao wandan nlitokea bara dar salaam walinfnya kama mtoto wao walinpenda san hawakunibagu mungu mlaze mahari pema pepon amiin😭😭😭polen sana familia nzima bi akiba
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@tausimadezi2137Ай бұрын
Aameen Aameen Aameen 🤲🏻 Polee Pia ni Msiba wako
@AgustaZaile26 күн бұрын
Pimbi kweli wewe😅😅😅😅
@flavy_kipps40252 жыл бұрын
watu kama haw ndio wanaweza kushawishi mtu kuwa muislam sio walee wa kukashfu kila kitu mdada anautulivu wa kutoka ndani
@mohdhakim82162 жыл бұрын
Good
@mumaheza1512 жыл бұрын
Utakuwa inshallah
@jojosky3372 жыл бұрын
Kabisaa
@ilovejesus6662 жыл бұрын
We baki uko uko huku tumejaa
@mukafumumukafumu61002 жыл бұрын
Hatuna haja ya kuwa waislam ila kuwa waadilifu katika dini zetu inatosha.
@ahmadbadawi96642 жыл бұрын
Huyu bint pia dini kasoma huyu,speech yake yaonyesha,namuomba ALLAH nawe akupe mwisho mwema.
@fatumamuya72962 жыл бұрын
Amiin
@ismailchibonda50052 жыл бұрын
Real kabisa
@hawamashauri12182 жыл бұрын
آمين يا الله 🤲🤲
@husna345622 жыл бұрын
Amiin
@menalikechildren88362 жыл бұрын
hawa ndo wake unaoowa ukapata utulivu wa ndoa
@evancemapunda95122 жыл бұрын
Dada nae anaiishi akhera ndio maana ana ujasiri. Dunia kaipa nafasi ndogo tu.
@mwanalelee62 жыл бұрын
Ata ivo dada jasiri umejikaza sana unaongea ww,machozi yananitoka mm.Allah awape subra
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Sana tokea mwanzo wa msiba😭😭
@mwanjaarashidi74022 жыл бұрын
Poleni sana dada nimejifunza kitu kutoka kwako mashaalah
@lucykapinga3692 жыл бұрын
Amwn Imanii I Imeshiba Hapoo
@aysheromary79352 жыл бұрын
Yaan nikweli kabsa
@hudhaifatissa74902 ай бұрын
Hi!! Mbona kama nakujua mwana lele😊
@ireneshao17002 жыл бұрын
Poleni sana dada jamani siwezi kukaa kimya japo mkristo dada ume lelewa vizuri sana mama alikuwa ana Waleya kwenye misingi mizuri Mungu awape wepesi
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
🤝 nawe pia mwenyezimungu Akujaalie kilalakheri
@hamzahkanuni48302 ай бұрын
Mashallah ukti ALLAH akifanyiwa wepesi kwa kila jambo
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@iddirajabu45772 жыл бұрын
Kati ya wanawake wenye (AKILI NA HEKIMA),mwenyezimungu akujaalie mwisho mwema pamoja nasi,inshaallah
@mudybeka66982 жыл бұрын
Aamin
@salwasalum67582 жыл бұрын
Amiin
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Amin Inshaallah
@aishaabdulkarim26362 жыл бұрын
Allah atujaalie na sisi mwisho mwema yarabbi
@khadijahali48372 жыл бұрын
Ameen
@sayeedbinazan2 жыл бұрын
Pia Pongezi kwa presenter. Umekua mtulivu katika interview. Na umeumilza maswali ambayo yanafaida kwa wengine
@akidajulius83972 жыл бұрын
Da huyu dada, aliemuoa emepata mke, dada ni jasiri,dada ni mcha MUNGU,dada Amesoma dini,dada amelelewa kimaadili ya dini,niwanamke wa heshima,angalia alivyo pokea taalifa na jinsi alivyo ileta kwa ndugu zake na baba yake,MUNGU akufanyie wepesi dada umalize maisha ya dunia salama,
@halimahalima14882 жыл бұрын
Amiiiin yaarabih
@zaytunhijja67712 жыл бұрын
Sema mashallah
@saghirhassan79022 жыл бұрын
Asnt mkuu
@akidajulius83972 жыл бұрын
@@zaytunhijja6771 mashallah
@mamuumamuu77432 жыл бұрын
Ameen yarabbi
@victorvenantkaigarula62552 жыл бұрын
Nimemsikiliza vizuri huyu dada,amenifanya nitafakari mahusiano yangu na Mwenyezi Mungu...
@salmajumanne36342 жыл бұрын
Amin amin
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Kweli kbs
@ramlamussa6132 жыл бұрын
Sana yani jamani Allah atuhifadhi
@helenkambi39182 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hadijamandanje61892 жыл бұрын
@@ramlamussa613 amiin amiin ya Rabiialamin,Ila nasi tujikurubishe kwake na atujaalie tuwe wenye kunyenyekea kwake,amiin amiin amiin
@happylynguya34642 жыл бұрын
Waislam walioshika dini huwa wanamaanisha kweli kweli. Wanakuwa na hofu na Mungu na pia wanakuwa na imani na Mungu.
@mastidiadionis33352 жыл бұрын
Sanaa, mashaallah.
@zennalilomo56822 жыл бұрын
M.mungu atupe mwisho mwema,tuliobakia
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Hiyo ipo kote ndugu
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
maashaAllah Jazaakumullahu khaira 🙏 dada uko vizuri
@seifseif15722 жыл бұрын
Mama amekujenga Masha'allah ..Familia yenu ina'athari kubwa ya Dini Namuomba Allah msipungukiwe katika hili!!
@nuujaimaabdallah89312 жыл бұрын
Masha Allah Amiin
@edijuma24262 жыл бұрын
Ameen
@manxhakofficial52492 жыл бұрын
Maashallah
@Fx_expertmoneymaker0012 жыл бұрын
Ukisema Athari inamaanisha nn🤔🤔
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Allahumma Amiin 🙏
@assoistiquamat23972 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuna Allah Amrehem hajat Huu Akiba Wallah Alizaaaa😭😭naamewacha Watoto Wemaaaa Huu Nimfano Mwema Wamalezii Tuigee Maleziii Sinikutoka Burundi Mola Akubali Ibada Zakee Amsameh Ampe Yale Mazuri Aliyomuomba Amin
@fatumamuya72962 жыл бұрын
Amiin
@halimahalima14882 жыл бұрын
Amiiiin yaarabih
@MohdMohd-rd6jt2 жыл бұрын
Ameen
@fatumahussein34742 жыл бұрын
Amina ya rabbil'ala miin
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Wewe dada mume wako amepata dhahabu Ktk ndoa yake maashaAllah Allah Akujaalie kilalakheri dadayangu na ajaalie ndoa yako iwe ni yenye kheri na Barka tele na kizazi chako Allahumma Amiin 🙏
@SunnahMickdady2 ай бұрын
😊😊
@وزعغ2 ай бұрын
Amin
@karimkassingo571Ай бұрын
Aaaamin
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@AliiNsunzahRamadhan26 күн бұрын
❤❤❤❤
@linyamakasim1912 жыл бұрын
Jinsi huyu dada anavyoijua Dini nimempenda saaana,ni wachache sana kupata mabinti kama hawa, Mungu ampe baraka tele
@claudiangowi96282 жыл бұрын
mashaalah dada yangu, Mimi si muislam lakini nimekupenda yote uliyoongea.🙏
@annakadamanja21962 жыл бұрын
kabisaaaa nimempendaaaa sanaaaaaa
@scholamodestus93862 жыл бұрын
Natamni MUNGU anipe moyo wa subra kama wa huyu dada
@fatumamuya72962 жыл бұрын
Amiin
@hawajuma21632 жыл бұрын
Na hekma
@halimaabdi2026 Жыл бұрын
Kwa sote yarraby jamii islam ☪️ yarraby .
@saidirahisi64362 ай бұрын
MAASHALLAH! MOLA ATUZIDISHIE IMANI YA KUMCHA YEYE NA ATUJAALIE KIZAZI CHEMA KAMA HUYU BINTI INSHAALLAH!!
@afandechanel15072 жыл бұрын
Kwa niaba ya wa kristo wote ndani ya ayo tv tuna sema inalilah wa inalilah rajun kwa ndugu yetu alie mpoteza mama yake , Mungu awape nguvu hii familia
@assiahassan26712 жыл бұрын
na mm nakushuru Kama mwisilam huyu ndio umoja Mtume wetu tunaemkubali sote ISSA(yesu)katufundisha Amani na upendo ,Yani nimefurahishwa na Comment yako
@afandechanel15072 жыл бұрын
@@assiahassan2671 ubarikiwe tena na tena
@mwanaidomary71592 жыл бұрын
Aamin
@aminaally84752 жыл бұрын
Allahumma ameen
@pilimusa32172 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki
@sayeedbinazan2 жыл бұрын
Anaongea kwa upole na hekma kama mama yangu. Allaah Awape khery wazaz wetu. Daaah😭😭
@hekimayassin64752 жыл бұрын
Amiin
@rainessmgowole5976 Жыл бұрын
Mashaaaalllah
@noffelsalim8302 жыл бұрын
Na mm mungu anijaalie niende kuhiji Makkah,na nife huko huko nizikwe huko huko.
@alifaki46512 жыл бұрын
Mashallah Allah akujalie hatma njema dad angu nilitamani nipate mke kama ww
@hadijamandanje61892 жыл бұрын
Amiin amiin ya Rabii Allah akupe hitaji la moyo wako,namshukuru Allah nimeiwahi mwaka huu sijamaliza siku arobain,nakuomba Allah mtimizie hitaji lake huyu mja wako,amiin amiin ya Rabii
@carenmgongolwa81272 жыл бұрын
Ameen ameen
@noffelsalim8302 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 Amiina inshallah 🤲
@noffelsalim8302 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 mungu akujaalie uwe ni miongoni mwa walisosamehewa madhambi inshallah,
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Mmm mama huyu aliishi maisha matakatifu kweli hata na muonea wivu
@victorvenantkaigarula62552 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Bi Akida,Mwenyezi Mungu atuongoze katika njia yake na atujalie mwisho mwema,Amina.
@cresensiandimbo41952 жыл бұрын
Amina
@nuujaimaabdallah89312 жыл бұрын
Amiin
@allykingu69542 жыл бұрын
اللهم آمين
@fakihmohammed39232 жыл бұрын
Aamiin Yaarabb
@husseinyappi93302 жыл бұрын
Watu wanabahati kweli ukisikia mke mwema ndio huyu sasa
@jonathanntare47872 жыл бұрын
Mungu mwenyezi tunaomba Upokee mama yetu mfia dini na Mwenye Imani thabiti.
@apoloniaalex28252 жыл бұрын
Amen
@DativaMbowe3 ай бұрын
Amen
@faizanassor63362 жыл бұрын
ALLAH AKBAR ALLAH atujaliye mwisho mwema sisi na vizazi vetu AMEEN 🤲
@salmajumanne36342 жыл бұрын
Allah umma amini
@jasminjuma63902 жыл бұрын
Amiin yaraab
@nuujaimaabdallah89312 жыл бұрын
Amiin
@zumbeshauri81142 жыл бұрын
Dah ukipata mke kama huyu wallah utaogopa hata kumchepukia
@zanzibarspice86862 жыл бұрын
Namkumbuka Huyu Dada Tulisoma Pamoja Alfallah Muslim School Kama sikosei alikuwa ni Amirat Mpole sana
@mwajumamotto44252 жыл бұрын
Mashaallah, hata mimi namkumbuka nimesoma nae Mkunazini
@ummyomary63502 жыл бұрын
Allah Akbar
@alijuma76742 жыл бұрын
Kaka A.alkm warahmatullah ulisoma Alfalah mwaka gani mm nilimaliza 2008
@alijuma76742 жыл бұрын
Alhamdulillah huyu dada masha Allah
@zanzibarspice86862 жыл бұрын
@@alijuma7674 mm mwaka huo Niko Kidato cha Pili Darasa La Kina Mahfoudh na akina Aden..... Nyinyi mlikuwa wa Kina Saleh kama sikosei Dinyo
@wema36192 жыл бұрын
Imeelezwa Ktk Qur'an Kuwa Mtu Mwema Huonekana Nuru Ktk Sura Yake Masha'Allah Ukhut Nafikili Nawewe Nikati YaHao Watu Tulioelezwa Yaa-Rabii Matamanio Ya Moyo Wangu Nikuwa Kama Huyu Mja Wako Alietangulia Mbele zako na Kuwa Nakizazi Km Chake اللهم تكبر دعاء 🙏
@nuujaimaabdallah89312 жыл бұрын
Amiin
@abnaaa71972 жыл бұрын
Amiin
@neemamireillegbenye78982 жыл бұрын
Ameen 🤲🏾🤲🏾
@sweetiemollel75672 жыл бұрын
Innalilah wainalillah rajun
@HawaHawa-f7u2 ай бұрын
Allahuma amiina inshallah rabby tujaalie nasi na wazazi wetu na waislamu wote kwaujumla tuwe miongonii mwawaja wema
@tatuluanda65812 жыл бұрын
Eeeh mola namm niwe miongoni mwa kupata mwisho mwema
@yasenkontee47182 жыл бұрын
Ameen
@angelaurassa97482 жыл бұрын
inalillah wainalillah rajiun yaani we dada Allah akuongoze uwe kama mama yako nimekisikiliza kwa makini sana umenifanya nilie umeniongeze kitu katika imani Allah atujalie sote mwisho wema na watoto wema amiin
@latifahally38122 жыл бұрын
Innalillah wainaillayh rajiun 😭 dah dada nmekupenda dini unayo n una subira sana 🙏
@habityabsa9972 жыл бұрын
Subhanallah 😢 hakika Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtakaye! Bi Akiba ame pata bahati ya pekee. Msiba wake ni huzuni na furaha! Allah amghufirie madhambi yake na amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa 🤲🏾
@aimerancedido3454 Жыл бұрын
Allahuma ameen 🤲
@Hamis-ks1sy6 ай бұрын
Hhhuyhggguyyytttgf4rrfy
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@fatimaidresa1283Ай бұрын
Ameen
@didamanyanya48932 жыл бұрын
Mdada anajitaid kuongea mambo ya kheli mwenyezi mungu nisaide niwe kama uyu
@رقيهالخصيبي2 жыл бұрын
Hata nami nimempenda natamani niwe kama yeye MashaAllah wazazi wamejitahidi kumsimamia kwa kuishika tawhd ana mawaiza ukimsikiliza hadi raha
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Dida, Inshaa Allah, ALLAH atakupa hilo ulilolikusudia.
@zuhurayasini47172 жыл бұрын
Poleni sana nimejifunza kitu kwa uyu dada natamani nimuone live inalilah waina lillah rajiun kwa mama yetu kipenzi
@hayati94532 жыл бұрын
Mashaallah namuomba Allah akujaalie ufate nyayo za mamaako,,,,,shemeji yangu kapata mwanamke mashaallah
@tunudachitalks65752 жыл бұрын
Nimeshindwa kujizuia ma shaa Allah she is a super woman ma shaa Allah ma shaa Allah
@tunudachitalks65752 жыл бұрын
Allahumma Ameen thumma Ameen
@jonathanmollel35482 жыл бұрын
Yaan huyu aliemuoa huyu dada amepata mke maashallah I wish ningalikuwa mie. Yan ametulia anajieleza anaijua Dini anaunyenyekevu maashallah. Allah akujaalie maisha marefu na mwisho mwema katika imaan.
@sufimsafi75822 ай бұрын
Kama unamjua naomba number yake mumewe
@bintsalimalbimany2872 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun 😭😭😭Kwakwel huyo Mama Kifo chake hakihuzunishi jaman 😭😭😭ikiwa mtoto wake yuko hiv je Mama Mzazi alikuwa je 😭😭Allah amlaze mahal pema pepon na sisi atupe mwisho mwema 🤲😭😭😭Sisi sote ni wa ALLAH na kwake tunarejea😭😭😭kifo chake kishajuilikana lkn chetu sisi hatujakijua kifo chake kinafurahisha Alhamdulillah Mashallah Yarab na sisi tujaalie mauti yetu yawe mepesi 🤲😭tufe katika mji mtukufu wa Makka tuzikwe na Mtume wetu Muhammad S. A. W. Na tuswaliwe ni watu katika watu wema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲
@samirhumud74082 жыл бұрын
Mtume kazikwa Madina.Aaamin
@azizaabeid20552 жыл бұрын
Allahummah Amyyn yaraaby
@salwasalum67582 жыл бұрын
Amiiiin Amiiin Amiiiiin ya rabbi
@rahmahussein16002 жыл бұрын
Allahumma aamin yaarabi
@skygold68372 жыл бұрын
Allahuma amiin
@magdalenek.59902 жыл бұрын
Nikivyoiona tu hii video hapa KZbin, sikupanga kusikiliza yote, Ila nilivyoanza tu kuisikiliza nimeishiwa kuisikiliza yote. What an end to her life. Beautiful end. Zawadi ya kifo chema ilikua ni dhahiri kwake. May God heal the hearts of her beloved and everyone else who was touched by this story.
@just_this_way2 жыл бұрын
Aamiiiin. Hata mimi nlikuwa kama wewe lakini nimeisikiliza mpaka mwisho.
@rausaid94302 жыл бұрын
Ata mm natamn hii familia niijuwe
@helinasubila9872 жыл бұрын
pia mimi
@artisthusnatalal30992 жыл бұрын
@@rausaid9430 Kumbe wewe kama mimi 😆 natamani nipatane na watu wazuri kama hawa maana maisha yangu yote ni changamoto na watu. Labda nihamie Tanzania lakini pia naogopa mara wanijie wabaya 💔😠
@rausaid94302 жыл бұрын
Karibu mm nitskupokea
@fakihkhalfan-gr4se3 ай бұрын
Namuomba Allah amridhie Hajjat Akiba na sisi tumuombe Allah atupe mwisho mwema
@asiamuhammad87182 жыл бұрын
Daah dada anaonekana ana uchamungu na kapata malezi bora yan mumewe kapata mke kwa kweli
@FiveStar-uc5ecАй бұрын
Rahaaa sana 🎉🎉🎉🎉
@artisthusnatalal30992 жыл бұрын
*It shows how the deceased raised her children well who prays for her always. May Allah have mercy on her. From Allah we belong and to him is our return* 💕
@abdullahsalim55822 жыл бұрын
For sure... W Aamin
@yunushuden16392 жыл бұрын
Yaan najiskia wivu sana tuwe mfano wetu huyu mama hakika tayar ametakasika sehemu alio zikwa hazikwi mchafu yaa Allah tupe khusnul khtma nasisi
@kurthumjabir73992 жыл бұрын
Hakika.
@swaumukhalfani49672 жыл бұрын
Amiin
@abnaaa71972 жыл бұрын
Amiin
@helenkambi39182 жыл бұрын
Amiin
@fardahhassanially70332 жыл бұрын
Amiin Ya Rabby
@alqamarchannel17402 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayhi raajiun 😭😭 Tumuombe ALLAH nasi Atupe mwisho mwema 🤲🤲
@makamealimussa55352 жыл бұрын
Dah,, dada umetupa elimu kubwa sana ,pia poleni sana kwa kuondokewa na mzazi dada poleni.
@sophialikku23442 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilaihir raajiuun
@najibathAbdul2 ай бұрын
Yaa Allah mpe mama yetu Akiba pepo yajuu Kama alivokuwa akiiomba . Allah akuridhie katika Kila amali zako .nasi watoto zako tufate nyayo zako inshallah ❤❤
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@shaphaina99412 жыл бұрын
Innalilahi wainnailayhi rajiun Allah amlaze mahali pema. Natamani namimi siku nitakapo kwenda kuhiji mwisho wangu uwe huko huko.
@sir_ENOCKMACHA2 жыл бұрын
Itakuwa
@hekimayassin64752 жыл бұрын
Amiin insha Allah
@mwaminiadinanimwiri Жыл бұрын
Wallah...nimesikiza roho ya imani imeniingia namuomb Allah niwe miongoni mwa waumini na watuwema...na MwenyeziMungu ailaze Roho mahali pema Peponi...
@zuheriswalehe47032 жыл бұрын
Innalillahi waina ileihi rajiun . Ila we Dada masha Allah umejaaliwa iman kama mama yako ,wallahi umenitoa machozi na kunirudisha katika njia ya hakii
@khaleed65172 жыл бұрын
This is why i trust in islam
@victorvenantkaigarula6255 Жыл бұрын
Ishu sio uislam,muhimu utafakari mahusiano yako na Mungu,dini haikupeleki mbinguni,
@marianaduncan6330 Жыл бұрын
Kwa BWANA YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote Duniani na Wala hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe
@allymwenda31452 ай бұрын
@@marianaduncan6330ww kaza fuvu tu ivyoivyo
@omarymohamed98342 жыл бұрын
Kasoma sana dini huyu binti, poleni sana mwenyezi mungu awape wepesi
@ramadhaniraphael69552 жыл бұрын
Tunaosikiliza huku tunasoma comment tujuane
@didamanyanya48932 жыл бұрын
Sisi sote ni wamwenyezi Mungu na kwakwe tutalejea
@yasinimalya4001 Жыл бұрын
Dah yani Dada yangu wewe ni mtoto mwema na Baraka kwa wazazi wako na hakika wamekupa malezi mema na hii ni kukufundisha dini MashaAllah! Ee Allah tujalie tuwe miongoni mwa waja wako wema na utujalie tuwe wazazi wema kwa watoto wetu, kesho waweze kutengeneza vizazi vyema. Alhamdulillah 🙏🏾
@hassanmfaume45222 ай бұрын
Nimempend❤❤❤
@HabibuSaid-up5sn2 ай бұрын
Amiin 🤲
@jamalahmed59222 жыл бұрын
May Allah Guide us all to the siratul - mustaqeem , ease your pain and emptiness, and grant all our mothers Jannatul firdaus. Ameen Ya Rabi🙏Poleni sana ndugu zangu.
@nahimanamayassa83052 жыл бұрын
Naam Allahumma Aameen
@jamalahmed59222 жыл бұрын
@@nahimanamayassa8305 May Allah reward you جزاك اللهُ خيرً
@aishaabdulkarim26362 жыл бұрын
Ameen
@moureennyambura20762 жыл бұрын
O
@mwashabanirashidimitumba77882 жыл бұрын
Masha Allah
@nassirmasoud2545 Жыл бұрын
Nimetokwa na machozi kwa kisa cha Mama huyu.natamani niwe na mm miongoni mwa familia ama niowe mtoto/mjukuu wa Mamacyetu huyu.Allah ampe Jannatul Firdaus na cc atupe khatima njema In sha Allah
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@mwanaishamzelela33542 ай бұрын
mashaaAllah 😢😢 mwenyez MUNGU amjalie pepo na sis tuliobak Allah atujalie subra Amiin
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@andrew294682 жыл бұрын
Huyu dada ni mke bora na mcha Mungu.
@pilikhamis29242 жыл бұрын
Innalilahiwanlarajinn mungu ampe kauli sabiti amuondoshe azabu za kabri amin
@mbarakomar2962 жыл бұрын
Marehemu alikua ni mtu mpole sana nilibahatika kufanya nae mazoezi yeye na mumewe.
@rahmahemed40762 жыл бұрын
Wapi maana sura yake sio ngeni huyu mama
@mbarakomar2962 жыл бұрын
@@rahmahemed4076 ngazi mia kwa macho
@rahmahemed40762 жыл бұрын
Kwa macho mie pia nafanya mazoezi ngazimia kwa sasa tunafanya kilimani
@qurankareem22752 жыл бұрын
Allah, anifanyie wepesi na mm niwe na mwisho Mwema 🙏
@mgenikhamis2 жыл бұрын
Nimempenda huyu dada maashaallah mwenyezi mungu atujaalie na sisi subra ya hali ya juu kama yako dada
@tausiramadhani675 Жыл бұрын
Mashaallah
@ChanelEmulate3 ай бұрын
qu'Allah soit adore a jamais
@simplyfay53082 жыл бұрын
Hakika hii family n mfano wa kuigwa
@yasenkontee47182 жыл бұрын
Kabisa
@agriparose39422 жыл бұрын
Jamani kuna watu ukiwaskiliza unajikosoa meenyewe huyu dada kalelewa pia ameshika dini na anafuata maagizo ya Allah
@zumbeshauri81142 жыл бұрын
Hakika kabisa unajikosoa mpaka unajipuuza
@delilaally98552 жыл бұрын
Kabsaa nimejiona nafanya nn
@husna345622 жыл бұрын
Mie history ya Huyu mama yetu hainichoki kusliza niliskiza zanjibar tv sai naskia hapa yaani amepata pepo raha sana kufa hali Allah amekuridhia huzun kwetu furaha kwake Allah atupe mwisho mwema
Natamani watt wangu wawe kama watt wa huyu mama Inshallah yarabi niongolee wanangu wawe wema Inshallah
@aminatatu56922 жыл бұрын
Amin insha allah
@yohana12422 жыл бұрын
Mtoto umleavo ndivyo akuavyo kwaio tujitahid tu na malezi mema
@pilimusa32172 жыл бұрын
Amiin
@Maimunasimon2 ай бұрын
npgie nikuelekeze chakufany ndug
@Maimunasimon2 ай бұрын
@@yohana1242kwel mwanang mchamung san mpk watu wanashangaa
@floraleonard90952 жыл бұрын
Dada, mwenyezi Mungu akubaariki wewe na uzao wako, hakika mmelelewa vema imedhihilika hapo.
@fatmafatu11282 жыл бұрын
@sheshi beshi hili
@nuujaimaabdallah89312 жыл бұрын
Masha Allah Amiin
@nadiahussein50792 жыл бұрын
Mashaallah nyumba yenye dini allihamdullah m mungu atupe mwisho mwema sichoki kumuangalia huyu dada wallah
@abdulfazb20892 жыл бұрын
Innah wa Innah lillah Rajun Daaah Kwa kweli Dada Nimekupenda Bure Wallah Mwenyezi Mungu Akuzidishiye Katika Misingi Mema Daima Milele Mwenzenu Kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@aishamasudi48062 жыл бұрын
May Allah S.W grant Her jannat firdaous🥺❤️
@hamisa_mahimbo2 жыл бұрын
Amiin ya Rabb
@biashamohammed62522 жыл бұрын
Ameen inshaallah 🤲🤲
@aviwaomar4392 жыл бұрын
Ewe Mola wetu mpokee mamaetu Kwa mikono miwili na utupe Subra nasi Kwa kipindi hiki kigumu Kwa mwezetu katika familia hatumuoni tena 😭😭😭🤦🏿
@kamikazisalma52092 жыл бұрын
Innalillah wa innaillah rajiun Allah ampe jannatu Firdausi inshallah 😭😭😭😭😭😭
@jastinmbena19592 жыл бұрын
Mimi ni mktisto lakini Leo nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwa uyu Dada,mungu azidi kuwajalia kheri mwenyew kipindi iki kigum, amen
@اللهأكبر-ذ7ث3س2 жыл бұрын
Karibu katika uislam ndugu yangu mpezi
@yousuphnzira32092 жыл бұрын
Ameen
@bullahbullah3722 жыл бұрын
Allah Amlipe kheri
@jimmykazoya17492 жыл бұрын
@@yousuphnzira3209 u Usijidanganye brother Yesu ndo njia ya kweli na uzima. Usikurupuke
@janetsemahimbo80832 жыл бұрын
@@jimmykazoya1749 Kweli kabisa Jimmy
@ruqayyahmohammed31882 жыл бұрын
Subhanallah!!! Allah ampe makazi mema pepon Nimejifunza kitu Allah atujalie mwisho mwema kwetu sote 🤲🤲🥺
@omarymohamed98342 жыл бұрын
Daah mabinti kama hawa wapo tuu jamani.
@inspirationalclips14222 жыл бұрын
Machozi yananitoka mimi mja dhaifu , mwenye chungu nzima ya madhaifu na madhambi Yaa ALLAH nisamehe kwa Rehema zako na uniingize peponi bila ya hesabu . Kama ulivyonipa neema ya uislamu ukubwani Alhamdulillah Amyn 🤲
@zulfaali563013 күн бұрын
Mm pia nna shaki
@aisharamadhani19482 жыл бұрын
Innallilah wainallilah rajioun poleni sana kwa msiba Allah awape subra ndugu zetu kwa kumpoteza mama
@rahmatahmed18712 жыл бұрын
Ukhty Allah Akulipe umrii thawiil wenye twaa na waislam wote na Awarehemu jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby...unaujasiri sana dadangu... Allah Amridhie mamaetu na jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby 🤲 nimejifunza mengi kwa huu msiba wa mamaetu ...Allah atukutanishe na Mtume wetu MUHAMMAD SALALWAHU ALEIHIWA SALAAMU kwa sidri mutakha Amiin yarabil Ala Amiin 🤲
@omanmct1352 жыл бұрын
Aaaalllah atupe mwishomwema yarab
@aminaabrahim96562 жыл бұрын
Aamiin Aamiin yarrab
@nassirfarah31592 жыл бұрын
Allah amrahamu mama yetu amjalie janatul firdosa Amiin
@shamimahsaleem83952 жыл бұрын
Mashallah Mashallah mungu wangu huyu dadangu nimemuonea wivu na imani yake Mashallah Mashallah
@zayanasudi37312 жыл бұрын
Mwenyewe nimetamani niwe km yeye, kwel amejaaliwa
@halimaathman82202 жыл бұрын
Sema Masha'Allah
@happynesmboya30012 жыл бұрын
Dada anahekma Sana daaa
@shamzone3882 жыл бұрын
Amemchukua hali yupo tahar amemaliza hajj yake na amekwenda kuzuru madina kweli ni bahati yake tunaitaman bahati hiyo...allah amjalie awe shuhadaa Alhamdulilah ni bahati kubwa sana...
@ruqaiamohammed3452 жыл бұрын
Amina 🤲yn kifo chake hd raha wallah
@fatumamuya72962 жыл бұрын
Amiin
@mejumwinyi54042 жыл бұрын
Àamin yaraby
@salmaally82432 жыл бұрын
Daaa mwenzetu kapewa Mwisho mwema na Allah, Aminaa
@munasuleyman31592 жыл бұрын
Mashallah mwanangu khanifa Allah atakupeni subra dada angu Allah kampenda na kamzawadia zawadi sote tunaililia nafasi hii Yarab mjaalie firdaus ya darja ya juu poleni mama
@husna345622 жыл бұрын
اللهم امين
@sadikkibiki62272 жыл бұрын
Mtu akifany vizur anapongezwa huy mm amefark lkn tufurah pepon
@faaabuboy19002 жыл бұрын
Allahummah ghufirlaha warhamha waskanaha fill jannah jannah firdows yaraby
@habibndyeshobora68482 жыл бұрын
Amiini yarabbil alamin, mpatie firdaus akae na mswahaba na watu Wa daraja la juu yarabbi.
@salmasuleyman32742 ай бұрын
Allah awafnyie wipes wafiwa wote,amuangazie Nuru ktk kabur yake naomba Allah nami anijaalie mwisho uliokuw mwema kama huyu mama🙏🙏🙏🙏 Yarabbie nakuomba mwisho uliokuwa mwema na naomba niwe miongoni mwa wale uliowaridhia Amiin🙏🙏🙏
@freenaturetvАй бұрын
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@hamidayanga82242 жыл бұрын
MASHAALLAH MI MTU AKIFA KAMA HVYO HATA SIUMII NABAKI NAJIOMBEA MWISHO MWEMA TU MANA MAMA KAFA AMESHATUBU MASHAALLAH ALLAH AMPOKEE KWASALAMA NASI ATUPE MWISHO MWEMA ALLAHUMMA AAMIIN YAARABB.
@aishayeahhasan73792 жыл бұрын
Hakikaa
@hamidayanga82242 жыл бұрын
@@aishayeahhasan7379 Yaani huyo kafa kama malaika hana dhambi hata moja unaumia nn? Jman tuombe mwisho mwema yarabb
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏mwenyezi Mungu mpumzishe kwa amani
@simplyfay53082 жыл бұрын
Me nimelia sana baada ya kusikia hii habari Ila watoto wa marehem n watu wenye hofu ya Allah 😭 Allah awape subra na mama etu jannat firdaus yawe makazi yake yarraby🙏
@munasuleyman31592 жыл бұрын
Amein Yarab
@aminaabrahim96562 жыл бұрын
Allah humma Aamiin yarrab
@jacksonshile20812 жыл бұрын
Ya rabi mpokee mjaa wako mpe alicho kitaka nasi tujalie mwisho mwema na utupe pepo tuondolee hadhabu ya kaburi na hadhabu ya moto utupe pepo ALLAH TAKABALANA DUA ETINA AMIN
@athumanmkilindi62152 жыл бұрын
Subhanallah mungu atujalie mwisho mwema ameen
@biubwamohd60892 жыл бұрын
Innalillahi wainnailaihi rajiun mungu amsameh mwisho mwema yarabbi nasisi atupemwisho mwema
@prettypretty97452 жыл бұрын
Mungu atupe khatma njema
@prettypretty97452 жыл бұрын
Alhamdulillah Mashallah mungu atupe khatma njema
@BellaIrakoze-hr3bf2 ай бұрын
Amiin amiin amiin
@taucseif8512 жыл бұрын
Jmn huyuu Dada nyie sie wengne sijui hatupo Kama huyuu
@hidnakhalifa65732 жыл бұрын
Maa Sha Allah....Allahuma firlaha walhmaha filjannah
@bintmhammad95572 жыл бұрын
Innaalillahi wainnaaileyhi raajiun Ma sha Allah Mwenyezimungu atujaalie Mwisho mwema... Huyu Dada Ma sha Allah nimempenda sana
@jokhaali58932 жыл бұрын
انا لله وانا إليه راجعون اللهم اغفر لها وارحمها وعافها واعف عنها وأكرم نزلها ووسع مدخلها واغسلها بالماء والثلج والبرد
@rajabuabdallah9892 жыл бұрын
Allah ampe makazi mema inshaallah 🙏
@zezezeze84082 жыл бұрын
Ameen ya rabb l alameen
@zuweinaalhabsya87732 жыл бұрын
اللهم امين يارب العالمين
@abdullahsalim55822 жыл бұрын
آمين...
@ayshajamal64252 жыл бұрын
آمين
@ashatimo46662 жыл бұрын
Haki mwenyezingu atupe mwisho mwema
@sharifuahmed83402 жыл бұрын
Eeeh ALLAH jmn mola Wang...nijaalie mwanamke Bora km huyu dada, anaeijua dini, mchamungu, mweny kuniongoza kwenye njia Bora ... Allah nijaalie jmn mke Bora km huyu yaraab... WANAWAKE km Hawa kuwapata daaah wachache na nikimpata daaah Dunia ni pepo kwang
@sulaimsameer26682 жыл бұрын
Na ww uwe mwema ndo utapata mke mwema
@beatrisbongole80442 жыл бұрын
@@sulaimsameer2668 hahaaaaaaa
@kurthumjabir73992 жыл бұрын
Inalillah Wainailaih Rajuun. Mwenyezi Mungu atujaalie nasisi mwisho mwema. Kweli Mwenyezi Mungu ametuambia "Niombeni nitakupeni" "Rejeeni kwangu nami nitawasamehe" Alhamdulillah kifo cha huyu mama kimeniongezea Ilmu zaidi. Alhamdulillah