Kama sauti hiyo ni ya mpinzani angetolewa nje lakini ni wa ccm kazi endelee
@iddiibrahim59637 жыл бұрын
Nakupongeza naibu spika endelea na kusimamia haki kwa wanyonge
@joshuawerema57997 жыл бұрын
mtu tahila kama huyu anafata nini bungeni
@swaymross89877 жыл бұрын
Joshua werema k
@charlesmagere90207 жыл бұрын
hovyoooo......kabisa.. Mnyika hujui taratibu za utumishi wa umma? sema naibu spika kakutetea....lakni umekuwa kichwa maji sana
@georgedominic29237 жыл бұрын
Mtu anasimama kutoa taarfa ambayo haina msingi daah
@bujalulambo6967 жыл бұрын
Yaani? Mnataniana bungeni
@mariamupeter53707 жыл бұрын
buja lulambo 🏃🏃🏃🏃🏃
@wilbertmmole68307 жыл бұрын
Mariamu Peter uyu mlinga akachunguzwe akili
@mariamupeter53707 жыл бұрын
Wilbert Mmole 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bujalulambo6967 жыл бұрын
Mambo ya trafki yann?
@lotasaruakimakambu69497 жыл бұрын
buja lulambo Sijaelewa runakoelekea. Taiga linalomwaga DAMU za watu ni TAIFA lililopotoka. Watu wataendelea Julia mpaka link? Tujkulize ! Ina maana Mungu anapendezwa na Damu zinazomwagwa! La hasha! Ikosiku anayoijua BWANA wa majeshi NATO itakuwa Sikh ya kilio n kusaga meno kwa wale wanaohusika kuyarenda haya. Ole wao wanasababisha umwagaji was damu isiyokuwa na hatia Mungu ananggjea kikombe chake kifurike.SAA ya Bwana imekaribia. TANZANIA na Watu wake ni Mali ya Bwana. EWE MUNGU IPONYE NA KUTUOKOA WATANZANIA KATIKA JINA LA YESU!EWE BWANA WA VITATUPIGANIE BWANA SISI WENYEWE HATUWEZI INGILIA KATI VITA HIINI YKO BWANA KATIKA JINA LIPITALO MAJINA YOTE MJINA LA YESU NIMEOMBA. NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA NIMENENA AMEN.
@justinemgomi95617 жыл бұрын
huo ukoloni duuu nchi ya kijinga sana hiiii
@jamilaismail52277 жыл бұрын
yani uyo sijui Mlinga mbona analeta masihara wakati watu wanataka maendeleo ya nnchi kweli Alf akitoka apo analipwa pesa ,inasikitisha Sana na Bi Tulia umenifurahisha Sana wanataka kuleta mchezo wakati wa kazi na ingetokea siku moja mmbunge wa ccm akileta ujinga nae atolewe nnje ili iwe fundisho na wabunge waheshimiane.
Naibu spika anatenda haki.cyo kama yule mzee wa kigogo.
@ellyms55817 жыл бұрын
hahahahaaaa wapinzani wameamua kuwa wahubiri duh boraa haha magufuli mwisho ya maneno penda usipende utamtumikia Mungu coz pa kuiba Hakuna tena hahahaaa
@rashidsleman55457 жыл бұрын
hata baadhi ya CCM wako wenye akili lakini wanaogopa kuchangia ukweli maana wataambiwa wapinzani tulimuona Magufuli alikuwa hawezi kusema au kutenda kama haya hivi Sasa kwasababu alikua anaogopa kuwapinga wa juu yake ndio tatizo la CCM na Tanzania mtu akichaguliwa kuwa yeye asimamie Jambo anajiona anakili kuliko wengine hawajui maarifa ya wengi ndio akili
@ibrahimgwasma2354 жыл бұрын
Hivi ukiwa mpinzani lzm uwe Kama vile,,Kila kitu unaona ni kosa tu ,, yaani Kama vile tunadai Uhuru duh!
@glorykweka16317 жыл бұрын
Mmhh! duniani kuna watu jamani! mliomchagua huyu mbunge mna hasara kubwa au hizi komedi ndo aliagizwa afanye humo bungeni? Hovyoooo
@tanzaniayetu69737 жыл бұрын
mlinga akiwa bungeni ana wakilisha ze comedy show pamoja n mizengo ya ITV
@saddykhateeb61827 жыл бұрын
atakuwa Shiva anamtafuta kaka YAKE kinguvu
@abdallahhamza96896 жыл бұрын
Ndio madhara yakuchagua darasa la saba
@ruzukually99825 жыл бұрын
jamani ulaga hili jamaa mliga nichizi
@mtawalanyazirari3767 жыл бұрын
Mnyika unapokuwa na point acha kuweka mbwembwe unapoteza maana... unaanza kampeni bungeni nani atakusikiliza ndugu yangu?
@msamajames76634 жыл бұрын
Mnaacha mada za kujenga nchi vinaongelewa vitu feki duh
@bakariali40267 жыл бұрын
yani mtu anapoteza mda kijinga kuomba taarifa akisha analeta ujinga sasa mavazi ya nini ,,,,yani hii ccm haiondoki tu madarakani kwa nini ?ewe ALLAH pokea dua yetu hawa watu watoke maana tushawachoka hawa wanakera sana