Vazi la Mnyika Laleta Kizaazaa Bungeni, Awatemea Mbovu Wabunge wa CCM

  Рет қаралды 250,324

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 127
@mujahidhakeemhakeem1134
@mujahidhakeemhakeem1134 7 жыл бұрын
spika amesimamia hajafanya upendeleo safi sana
@alialibablly7010
@alialibablly7010 5 жыл бұрын
Kama sauti hiyo ni ya mpinzani angetolewa nje lakini ni wa ccm kazi endelee
@iddiibrahim5963
@iddiibrahim5963 7 жыл бұрын
Nakupongeza naibu spika endelea na kusimamia haki kwa wanyonge
@joshuawerema5799
@joshuawerema5799 7 жыл бұрын
mtu tahila kama huyu anafata nini bungeni
@swaymross8987
@swaymross8987 7 жыл бұрын
Joshua werema k
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 жыл бұрын
hovyoooo......kabisa.. Mnyika hujui taratibu za utumishi wa umma? sema naibu spika kakutetea....lakni umekuwa kichwa maji sana
@georgedominic2923
@georgedominic2923 7 жыл бұрын
Mtu anasimama kutoa taarfa ambayo haina msingi daah
@bujalulambo696
@bujalulambo696 7 жыл бұрын
Yaani? Mnataniana bungeni
@mariamupeter5370
@mariamupeter5370 7 жыл бұрын
buja lulambo 🏃🏃🏃🏃🏃
@wilbertmmole6830
@wilbertmmole6830 7 жыл бұрын
Mariamu Peter uyu mlinga akachunguzwe akili
@mariamupeter5370
@mariamupeter5370 7 жыл бұрын
Wilbert Mmole 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bujalulambo696
@bujalulambo696 7 жыл бұрын
Mambo ya trafki yann?
@lotasaruakimakambu6949
@lotasaruakimakambu6949 7 жыл бұрын
buja lulambo Sijaelewa runakoelekea. Taiga linalomwaga DAMU za watu ni TAIFA lililopotoka. Watu wataendelea Julia mpaka link? Tujkulize ! Ina maana Mungu anapendezwa na Damu zinazomwagwa! La hasha! Ikosiku anayoijua BWANA wa majeshi NATO itakuwa Sikh ya kilio n kusaga meno kwa wale wanaohusika kuyarenda haya. Ole wao wanasababisha umwagaji was damu isiyokuwa na hatia Mungu ananggjea kikombe chake kifurike.SAA ya Bwana imekaribia. TANZANIA na Watu wake ni Mali ya Bwana. EWE MUNGU IPONYE NA KUTUOKOA WATANZANIA KATIKA JINA LA YESU!EWE BWANA WA VITATUPIGANIE BWANA SISI WENYEWE HATUWEZI INGILIA KATI VITA HIINI YKO BWANA KATIKA JINA LIPITALO MAJINA YOTE MJINA LA YESU NIMEOMBA. NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA NIMENENA AMEN.
@justinemgomi9561
@justinemgomi9561 7 жыл бұрын
huo ukoloni duuu nchi ya kijinga sana hiiii
@jamilaismail5227
@jamilaismail5227 7 жыл бұрын
yani uyo sijui Mlinga mbona analeta masihara wakati watu wanataka maendeleo ya nnchi kweli Alf akitoka apo analipwa pesa ,inasikitisha Sana na Bi Tulia umenifurahisha Sana wanataka kuleta mchezo wakati wa kazi na ingetokea siku moja mmbunge wa ccm akileta ujinga nae atolewe nnje ili iwe fundisho na wabunge waheshimiane.
@sumalago864
@sumalago864 7 жыл бұрын
Huyo mlinga tuangalie background yake' Amini Nawaambia. .!!.. 💣 💥
@kastokyando5347
@kastokyando5347 4 жыл бұрын
Duhh hiyo style is good
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 7 жыл бұрын
Naibu spika anatenda haki.cyo kama yule mzee wa kigogo.
@ellyms5581
@ellyms5581 7 жыл бұрын
hahahahaaaa wapinzani wameamua kuwa wahubiri duh boraa haha magufuli mwisho ya maneno penda usipende utamtumikia Mungu coz pa kuiba Hakuna tena hahahaaa
@rashidsleman5545
@rashidsleman5545 7 жыл бұрын
hata baadhi ya CCM wako wenye akili lakini wanaogopa kuchangia ukweli maana wataambiwa wapinzani tulimuona Magufuli alikuwa hawezi kusema au kutenda kama haya hivi Sasa kwasababu alikua anaogopa kuwapinga wa juu yake ndio tatizo la CCM na Tanzania mtu akichaguliwa kuwa yeye asimamie Jambo anajiona anakili kuliko wengine hawajui maarifa ya wengi ndio akili
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 4 жыл бұрын
Hivi ukiwa mpinzani lzm uwe Kama vile,,Kila kitu unaona ni kosa tu ,, yaani Kama vile tunadai Uhuru duh!
@glorykweka1631
@glorykweka1631 7 жыл бұрын
Mmhh! duniani kuna watu jamani! mliomchagua huyu mbunge mna hasara kubwa au hizi komedi ndo aliagizwa afanye humo bungeni? Hovyoooo
@tanzaniayetu6973
@tanzaniayetu6973 7 жыл бұрын
mlinga akiwa bungeni ana wakilisha ze comedy show pamoja n mizengo ya ITV
@saddykhateeb6182
@saddykhateeb6182 7 жыл бұрын
atakuwa Shiva anamtafuta kaka YAKE kinguvu
@abdallahhamza9689
@abdallahhamza9689 6 жыл бұрын
Ndio madhara yakuchagua darasa la saba
@ruzukually9982
@ruzukually9982 5 жыл бұрын
jamani ulaga hili jamaa mliga nichizi
@mtawalanyazirari376
@mtawalanyazirari376 7 жыл бұрын
Mnyika unapokuwa na point acha kuweka mbwembwe unapoteza maana... unaanza kampeni bungeni nani atakusikiliza ndugu yangu?
@msamajames7663
@msamajames7663 4 жыл бұрын
Mnaacha mada za kujenga nchi vinaongelewa vitu feki duh
@bakariali4026
@bakariali4026 7 жыл бұрын
yani mtu anapoteza mda kijinga kuomba taarifa akisha analeta ujinga sasa mavazi ya nini ,,,,yani hii ccm haiondoki tu madarakani kwa nini ?ewe ALLAH pokea dua yetu hawa watu watoke maana tushawachoka hawa wanakera sana
@ellyms5581
@ellyms5581 7 жыл бұрын
hahahahaaa 2020 wala hawapigi kampen kiulainiiiiiiiii
@nuhumhagama2123
@nuhumhagama2123 6 жыл бұрын
huyo mlinga ni zero brain kabisa Bishop Gwajima sayed that 'zero on brain translates zero on action and thinking "
@bushmendatoga4754
@bushmendatoga4754 7 жыл бұрын
hivi huyu mlinga amepitaje jamani mbona ni kama hana akili.....
@ramadhanibrahim7619
@ramadhanibrahim7619 7 жыл бұрын
Huyu Mlinga zero
@ephremmtuya3094
@ephremmtuya3094 7 жыл бұрын
Kujadili mavazi ni kupoteza muda wa Bunge
@pastoryemmanuel3277
@pastoryemmanuel3277 7 жыл бұрын
iv awa watu wakikutana ata barabaran wanasalimiana kwel😟😟
@daudcosmas1704
@daudcosmas1704 4 жыл бұрын
Kinachoniuma nipo kwenye jimbo la mlinga
@famally7138
@famally7138 7 жыл бұрын
hehehehehheheeh haki ya mungu kuna watu saa mbovu
@abdalahkombo4975
@abdalahkombo4975 7 жыл бұрын
wabunge kama mnyika ndio wanaofaa
@mangiclaus
@mangiclaus 7 жыл бұрын
huyu jamaa hatakiwi bungeni
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 5 жыл бұрын
Safari bado Mwaitege such hiyo
@siamollel9725
@siamollel9725 7 жыл бұрын
Mlinga acha ujinga watanzania tunataka hoja hatuangaliii suti zenu
@bonabonala7685
@bonabonala7685 6 жыл бұрын
Safi naibu spikar upo vizuri
@marthasilas4304
@marthasilas4304 7 жыл бұрын
bunge: muda mrefu mpaka hawana tena ya kujadili wanaanza kujadili mavazi
@ayubumapunda671
@ayubumapunda671 6 жыл бұрын
safi good idea mnyika
@daudcosmas1704
@daudcosmas1704 4 жыл бұрын
Hiyo nayo hoja kutoka kwa mringa
@hamzaliganga7437
@hamzaliganga7437 4 жыл бұрын
Yaani ili bunge la Tanzania ni shiida
@enockelisha6394
@enockelisha6394 4 жыл бұрын
😂😂😂🥂
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 7 жыл бұрын
poleni waTZ wenzangu kama hii ndio aina ya wabunge tuliyo nao
@fundikiller7002
@fundikiller7002 7 жыл бұрын
Hahahahaahh tumerogwa
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 6 жыл бұрын
Pole ww usiejielewa
@mateisimon8454
@mateisimon8454 6 жыл бұрын
Kazi IPO kwa uyo mbunge sijui wa wapi unasimama na kuanza kuomba muongozo "kava Nguo za traffic"??
@sangwanimkandawire7725
@sangwanimkandawire7725 7 жыл бұрын
yaan kuna wabunge wanacheka kabisaa??
@jozeeedozeee4094
@jozeeedozeee4094 6 жыл бұрын
uyo mama anafaa sana anauelewa mpana wakuongoza bunge ubarikiwe mama
@hechechacha4032
@hechechacha4032 7 жыл бұрын
vijana wajinga kama huyu anayeitwa mlinga Hana mwelekeo kabisa
@charlesmartin1448
@charlesmartin1448 7 жыл бұрын
sawa sawa huyu mlinga wa wapi Tanzania bado tupo nyuma ni kazi kweli
@davidmbilinyi4198
@davidmbilinyi4198 6 жыл бұрын
naibu spika sasa uko safi endelea hivyo mungu atakukupa mema
@susanafabiani3468
@susanafabiani3468 6 жыл бұрын
kweli ccm nishidaa
@abdallahhamza9689
@abdallahhamza9689 6 жыл бұрын
Darasa la saba wasiingie tena bungeni
@idreamfoto
@idreamfoto 7 жыл бұрын
Mlinga Dah! Unazingua Hahaha
@omarykikambaa3102
@omarykikambaa3102 6 жыл бұрын
mlinga anacomed bungeni yupo silias jimboni...!! mnyika yupo silias yupo bungeni lkn yupo na comed bungeni!!.
@sophiamhando5870
@sophiamhando5870 6 жыл бұрын
Kweli kabisa katiba ya mwaka 1977 imempa rais mamulaka makubwa mno!
@reganjuma152
@reganjuma152 7 жыл бұрын
mnyika oyoooooooo ila wapinzani vichwa balaaaaaa yaaaani wana akili kuliko nimependa sana
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 6 жыл бұрын
😨😨
@petromsanga9127
@petromsanga9127 4 жыл бұрын
Tafadhali WABUNGE mnapokuwa bungeni .JADILINI mambo ya MANUFAA kwetu nasiyo yasiyo na MANUFAA kwetu MAVAZI sisi TUNANUFAIKA mini,,,
@saidmj9213
@saidmj9213 6 жыл бұрын
Safiii naibu spika
@kamgishakaganda5506
@kamgishakaganda5506 6 жыл бұрын
Katba nidra yanchi,lakn ccm hawaitaki dira yawananchi,2waondoe2.
@lucyleopold3324
@lucyleopold3324 7 жыл бұрын
huyu mlinga wananchi wake 2020 wasimrudishe kwakweli very sad na bunge letu
@mkwechemedy9929
@mkwechemedy9929 7 жыл бұрын
Huyo jamaa kama angekua wa chadema Angefukuzwa
@bonabonala7685
@bonabonala7685 6 жыл бұрын
Mnyika uripo 2po nawewe vita ya Kuondoa ccm kwa kutoichagua ccm nimekuerewa
@britonngale365
@britonngale365 7 жыл бұрын
Ahsante Tulia
@nurdinrashidi4032
@nurdinrashidi4032 6 жыл бұрын
huyo mbunge was ccm ameenda kuchunguza mavaz au kutetea wananch shida kweli
@shukranswai9701
@shukranswai9701 6 жыл бұрын
Mlinga kapimwe mkojo kwa mkemia unafanya zekomedi wwe chura
@deobajutha8805
@deobajutha8805 7 жыл бұрын
Kule ulanga mmepeleka chizi bungeni
@anthonyngonyani9135
@anthonyngonyani9135 4 жыл бұрын
hahahahahah
@hermancholela676
@hermancholela676 4 жыл бұрын
Deo Bajutha hahaahaa shda wanayoo
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 7 жыл бұрын
Ili bunge kweli dahifu yani kila anachosema wa CCM ni kuzuri wanapigiwa makofi dah ila alisema ukawa inakua gunzo
@sazafsuma7542
@sazafsuma7542 6 жыл бұрын
kweli hili bunge lambumbu jambo lisilo maana hupewa kipaombele
@stevensenghana4584
@stevensenghana4584 7 жыл бұрын
jembe mnyika amerudi na moto saafi sana mimi kwa mzee Magu anafanya kazi ila kuna mijitu bendera fuata upepo kazi kusimama ivi mara vile
@ayubusanga5414
@ayubusanga5414 7 жыл бұрын
Mlinga ni komedian
@chrisleona3098
@chrisleona3098 7 жыл бұрын
Hivi huyu kaenda bingeni kuwakilisha wanachi au komedy
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
uyu ndo yupo makin na sheria na taratib za bung,,,lkin
@justinemgomi9561
@justinemgomi9561 7 жыл бұрын
huyu mlinga ni kama ccm wote
@chachalucas4390
@chachalucas4390 7 жыл бұрын
mnyika kiboko,upinzan juu
@chachalucas4390
@chachalucas4390 7 жыл бұрын
mnyika kiboko,upinzan juu
@timothkivamba9122
@timothkivamba9122 7 жыл бұрын
Sio kampen ila nimifano na dalilii ya kitu kinacho tazamiwa kutokea
@allannaftal5200
@allannaftal5200 7 жыл бұрын
kumbe kuna wabunge hawajitambui na sheria hawazusomi vzur
@sazafsuma7542
@sazafsuma7542 6 жыл бұрын
ccm wao kushindana mavazi tu bungeni
@saullikrchristopher3636
@saullikrchristopher3636 6 жыл бұрын
spika hongera sana huna upendeleo
@danieliskander9680
@danieliskander9680 6 жыл бұрын
Kuna utani wa ajabu kabisakwa wabunge
@elirehemalodasu671
@elirehemalodasu671 7 жыл бұрын
Mradi tu naye aonekane amesimama na kuchangia
@hermancholela676
@hermancholela676 4 жыл бұрын
Elirehema Lodasu aonekane nae kuwa yumoo
@bakariali4026
@bakariali4026 7 жыл бұрын
ulaini !uo sio ulaini ni wizi tu ndo unawasaidia
@eliarichard8324
@eliarichard8324 7 жыл бұрын
huwezi waelwa kwa akil zko ndogo kama wabunge wa ccm
@edsonsibuti6914
@edsonsibuti6914 7 жыл бұрын
acheni ujinga nyie mnacomment msichokijua
@kbdmsafi_tz8094
@kbdmsafi_tz8094 6 жыл бұрын
haleluyaaaaaa
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
lkin kaamua tu kutuchekesha
@janethkiswaga5847
@janethkiswaga5847 6 жыл бұрын
Pole yenu wana ulanga
@abiyoomab1976
@abiyoomab1976 6 жыл бұрын
Bunge la bongo bwana utani mwingi
@dastaniguni5599
@dastaniguni5599 6 жыл бұрын
Bunge kutoonyeshwa bhana
@egfridmkoba4767
@egfridmkoba4767 6 жыл бұрын
Huyu anazungumza kampeni za uchaguzi
@archbordygodfrey7770
@archbordygodfrey7770 6 жыл бұрын
Zeroooo huyu mlinga ...hawa ndo waizi wa kura kisayansi....
@hermancholela676
@hermancholela676 4 жыл бұрын
Archbordy Godfrey kabsaaa
@hosianakombe3942
@hosianakombe3942 7 жыл бұрын
bunge lina mambo hil
@meshacksanga3348
@meshacksanga3348 6 жыл бұрын
sawa mkuu
@winifirdamayara2419
@winifirdamayara2419 6 жыл бұрын
mbona Yuko vizur
@samsonjoseph1231
@samsonjoseph1231 6 жыл бұрын
😅😅
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 7 жыл бұрын
Umeharibu kila kitu Mnyika. Pole sana sana sana. Uongozi hautafutwi hivyo. Vita hatuvitaki. Ngonjera hiyooooooooooooooo. uko nje ya point.
@kulwajames4178
@kulwajames4178 7 жыл бұрын
Margareth Solomon hujui lolote ww n mjnga tu, mnyika anaongea point
@vailethkihunrwa5770
@vailethkihunrwa5770 7 жыл бұрын
kazi tunayo
@majidchita5070
@majidchita5070 6 жыл бұрын
Margareth Solomon we ni kiazi
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 жыл бұрын
umeambiwa c vita ya siraha ni vita ya siasa na uchumi Hata Mh.Rais alisema kuhusu kuungana kwa vita ya uchumi
@UlimeA
@UlimeA 7 жыл бұрын
upo right ila huwa unaboaa unapopiga kampeniii za kipuuz
@saidwilson6529
@saidwilson6529 7 жыл бұрын
mtoe huyo aliyekuwa anazunguza huko
@bakarikitayage5687
@bakarikitayage5687 5 жыл бұрын
2020 sitapoteza kura yangu , mnyika anza kutafuta kazi ya kufanya, utoto baɗo unakusumɓua
@tyytgyut884
@tyytgyut884 7 жыл бұрын
Bola ningezaliwa uraya daah
@habibushaban672
@habibushaban672 5 жыл бұрын
Elimu in bahari
@saidwilson6529
@saidwilson6529 7 жыл бұрын
iv huyu mlinga alichaguliwa na wananchi au aliteuliwa na magu
@Adryfierce
@Adryfierce 7 жыл бұрын
said wilson yan huyu mtu ni tahila cjui linakera yani
@jalaljalal5258
@jalaljalal5258 7 жыл бұрын
said wilson hahahahahhaaaa Vito maalumu
@doardbange4407
@doardbange4407 7 жыл бұрын
alilithishwa.mtoto wa kombani uyo
@atheistblood8568
@atheistblood8568 7 жыл бұрын
daaah iv hawa wako makini kweli uyu mlinga nae vip tena?!
@mariamupeter5370
@mariamupeter5370 7 жыл бұрын
KHALIFA VINNIE 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@geraldmbhosy8043
@geraldmbhosy8043 7 жыл бұрын
mnyika ovyo asubiri 2020 agaragazwe
@daudimaguha9447
@daudimaguha9447 6 жыл бұрын
Mlinga fanya mambo, uko vizuri
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 577 М.
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 57 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni
15:31
Global TV Online
Рет қаралды 360 М.
MWANZO-MWISHO: Mbunge Mnyika alivyotolewa Bungeni na Askari
10:23
Millard Ayo
Рет қаралды 357 М.
“Tusidhalilishane hapa, kitu gani kinafichwa?” -Halima Mdee
12:53
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,7 МЛН
Lema, Mnyika Waliamsha Tena Dude Bungeni
12:42
Global TV Online
Рет қаралды 363 М.
HECHE BUNGENI: "Waziri Huoni Aibu, Unafki Tu, Mungu Anajua"
7:31
Global TV Online
Рет қаралды 81 М.
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН