VIDEO:RAIS SAMIA ALIVYOWASILI NCHINI NORWAY, HIVI NDIVYO ALIVYOPEWA HESHIMA, MSAFARA WAKE,ANENA HAYA

  Рет қаралды 24,598

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 62
@Emmanuela_pius
@Emmanuela_pius 11 ай бұрын
Bor du i Norge liker dette kommentar 🇳🇴🇳🇴Norway
@lordsm.k-db3wy
@lordsm.k-db3wy 11 ай бұрын
Anapambana, sio mbaya. Lakini wateule Wake wanamuangusha.
@KELVINSOSPETER
@KELVINSOSPETER 11 ай бұрын
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉
@chiniyamuti
@chiniyamuti 11 ай бұрын
Matumizi mabaya ya Ndege Mama, ungetumia zile zingine medium size and range. Juzi juzi ulikuwa Singapore na B737-9 Max, leo B787 Dreamliner halafu tuwaambie wanorway tunaomba misaada wakati raisi wetu anasukuma mchuma wa nguvu.
@monicahovda5890
@monicahovda5890 11 ай бұрын
Wewe. Norway iko Ulaya kasikazini. Karibia Actic. Hali yake ya Hewa kwa Majira haya. Muda mwengine inakuwa Ni Mbaya upepo Mwingi. Ndege kubwa ndio at least . Pirot akikutana na crose Wind. Anaweza badilisha Hata Airport. Kwa hiyo ni sawa tu. Tulize tunaoishi juli sio Mchezo Hali hewa kwa kipindi hiki
@kitute
@kitute 11 ай бұрын
Ishu ni Hali ya hewa ya kaskazini mwa Dunia. Ulikimbia geography Mzee.
@chiniyamuti
@chiniyamuti 11 ай бұрын
@@kitute You don’t know what you’re talking about brother, the kind of airplanes we have in TZ they have got the capabilities to land in any type of weather, so is not an issue of weather, please do a little research about it you will find out.
@chiniyamuti
@chiniyamuti 11 ай бұрын
@@monicahovda5890 Okay wewe Monica tuambie kama Singapore kuna Hali ya Hewa kama Norway.
@Halima-wy7to
@Halima-wy7to 11 ай бұрын
Mama pore namajukumu tunakupeda sana mama👌👌
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 11 ай бұрын
Mama pambana, Huduma ya Visa ubalozi wa Norway zirudishwe Dar es salaam. Kama ilivyokuwa kabla ya uongozi wa Raisi Magufuli.
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk 11 ай бұрын
Mamae wana kufa watu wa maana wana bakia manyumbu😅
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 11 ай бұрын
Lakini pamoja na safari zote sijasikia raisi wetu akitembelea Urusi, Korea Kaskazini, Kazakhstan n.k
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 11 ай бұрын
😂😂😂Anaenda kwenye Nchi zenye watu wanaojitambua na wanaothamini utu,haki na uhuru🎉🎉🎉
@lpdude2005
@lpdude2005 11 ай бұрын
Nchi hizo hazitoi chochote na labda hazina pesa za kutoa.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 10 ай бұрын
OMEONA VITABU VILIVYOKABIWA LEO? HUO UCHUMI UCHUMI GANI?. MAHESABU YOOOTE NI HASARA, HASARA, HASARA. SASA HUO NDO UCHUMI UPIIÏ? 😂😂😂
@jrsaid4270
@jrsaid4270 11 ай бұрын
Mama amefika Norway kabla yangu.Ila one day yes
@joozeycraft2361
@joozeycraft2361 11 ай бұрын
Wanajua wanataka nini hao jamaa,heshima hiyo siyabure mjue
@Noooonat-o5s
@Noooonat-o5s 11 ай бұрын
Tutajie
@LEO-uq6el
@LEO-uq6el 11 ай бұрын
Kama umeona mzungu kavua gloves kumpa mama mkono
@Noooonat-o5s
@Noooonat-o5s 11 ай бұрын
Mzungu asivue au
@LEO-uq6el
@LEO-uq6el 11 ай бұрын
@@Noooonat-o5s tafuta historia ya nyerere na wazungu ndio utanielewa namaamisha nn
@justinmbangukira7034
@justinmbangukira7034 11 ай бұрын
Kazi yake kuzurura tuu. Hamna cha maana alichofanya Tanzania. Katuacha tuu na mgao wa umeme.
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 11 ай бұрын
Naomba connection ya kazi huko jaman
@Malaikalaizer-d2q
@Malaikalaizer-d2q 11 ай бұрын
Uyo kasiake ni kutembea sana ajui kazi yake mujinga sana
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 11 ай бұрын
Mjinga mwenyewe
@stevengeorgetibenda1647
@stevengeorgetibenda1647 11 ай бұрын
MTU anayekukopesha anakusifia uchumi wako utakuwa kwa kasi mwaka huu
@goodluckkombe994
@goodluckkombe994 11 ай бұрын
Anaendelea kuuza kwa hasara. Anakukopesha na kukusifia unakua kwa kasi ya ajabu kiuchumi huku akikupiga raba 150%. Lol.......
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 11 ай бұрын
Mama anapambana sana
@JohnSulle-q6p
@JohnSulle-q6p 11 ай бұрын
Amebakiza nchi ngapi kumaliza dunia
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 11 ай бұрын
Kazi kunadi nchi
@HappyGreyCat-jh8wz
@HappyGreyCat-jh8wz 11 ай бұрын
Wazanzibar kwa kwenda
@justiceemmanuel8137
@justiceemmanuel8137 11 ай бұрын
huwa nawaona sana viongozi wa nchi na wenzi wao, mbona yeye simuoni na mume wake?
@IbrahimMwinyi-mu5gp
@IbrahimMwinyi-mu5gp 4 ай бұрын
Kunabarafu balaa
@josephjulio6112
@josephjulio6112 11 ай бұрын
Tumeachiwa mwingiru haki ya nani
@Leilafsadick
@Leilafsadick 11 ай бұрын
Harafu kwanza ana kosea sana mama wa kiislam ana wapaje wanaume mkono wake 😢😢😢
@gregory6165
@gregory6165 11 ай бұрын
Kwani sheria zenu zinaruhusu hata yeye kuwa rais?
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 11 ай бұрын
Nyie wajinga sn mbona ukifa unazikwa na wanaume?au tulivyokuja duniani mungu alisema tusiwape mikono wanaume?acheni ubaguzi ndo mn waislamu tuko nyuma sn kifikila na kimaendeleo
@gilbertmwakalebela2862
@gilbertmwakalebela2862 11 ай бұрын
Kwa mujibu wa katiba ya Tz serikali haina dini, kwahiyo ukisha kua mtu wa serikali unaongozwa na katiba sio misingi ya dini yoyote.
@Leilafsadick
@Leilafsadick 11 ай бұрын
@@SaumuSaidi-z2v kuzikwa wana zika wakiume ndio lakini ana kua ame sitiliwa mwili wotee mtu mkubwa kama hyo na ana ijiua dini vizuri mtu anae stahili kushika mkono wake ni familia yake tuu pamoja na mumewe mbona avyo enda oman rais wa oman haku pokea mkono wake mnajua ni kwanini
@Leilafsadick
@Leilafsadick 11 ай бұрын
@gilbertmwakalebela2862 sija ongelea katiba ana weza salimia kwa kuinamisha kichwa chini tuu ina tosha
@jailosibrahim88
@jailosibrahim88 11 ай бұрын
Mbona ameenda bila urinz wake
@JamesMalale-io1qj
@JamesMalale-io1qj 11 ай бұрын
Kaenda kudanga ulaya
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 11 ай бұрын
Mamaako yeye kaenda kudanga wapi
@JamesMalale-io1qj
@JamesMalale-io1qj 11 ай бұрын
Mamayangu anjitambua sio kama mama yako
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 11 ай бұрын
​@JamesMalale-ioqj sasa wanatetea nini si ni kweli , tanzanian Ina utajiri mwingi sio nchi ya kuombaomba, viongozi wetu washenzi
@annapeter4994
@annapeter4994 11 ай бұрын
Uongo mkubwa
@aminaaminamayalla3308
@aminaaminamayalla3308 11 ай бұрын
Mabarafu tupu😢
@shabankarotta625
@shabankarotta625 11 ай бұрын
Nenda pia urusi
@Mitama49
@Mitama49 11 ай бұрын
Aende urusi..kuna nini uko?
@Kisaboleonards
@Kisaboleonards 11 ай бұрын
Zulula Dunia nzima magu Si kakuachia control namba!
@babycappuccinocappuccino
@babycappuccinocappuccino 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@dancerboy2686
@dancerboy2686 11 ай бұрын
😂
@dancerboy2686
@dancerboy2686 11 ай бұрын
😂
@STELLABUTE-fk5ee
@STELLABUTE-fk5ee 11 ай бұрын
Mbona walinzi wake awapo apa???
@kitute
@kitute 11 ай бұрын
Kiongozi anapoenda nchi nyingine ulinzi unakua juu ya hiyo nchi husika.
@malelamalela1362
@malelamalela1362 11 ай бұрын
😂
@HappyGreyCat-jh8wz
@HappyGreyCat-jh8wz 11 ай бұрын
Tembea usije ukatuletea ushoga huku
@caswaralbadry8481
@caswaralbadry8481 11 ай бұрын
Mh huo uloutaja afrika upo mwingi koliko ulaya kiuhalisia , sema wafrika wanafichiana kwel
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
Melania Trump Transformation from 1970 to 2024 || Through The Years
7:12
The Trillionaire Life of Saudi Prince Salman
22:39
King Luxury
Рет қаралды 1,9 МЛН
Mind your language (1977) High Quality All seasons Compiled | Must Watch
11:57:33
Shuhudia Rais Samia alivyopokelewa kwa kishindo nchini China
1:58
EastAfricaTV
Рет қаралды 42 М.
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН