Anapambana, sio mbaya. Lakini wateule Wake wanamuangusha.
@KELVINSOSPETER11 ай бұрын
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉
@chiniyamuti11 ай бұрын
Matumizi mabaya ya Ndege Mama, ungetumia zile zingine medium size and range. Juzi juzi ulikuwa Singapore na B737-9 Max, leo B787 Dreamliner halafu tuwaambie wanorway tunaomba misaada wakati raisi wetu anasukuma mchuma wa nguvu.
@monicahovda589011 ай бұрын
Wewe. Norway iko Ulaya kasikazini. Karibia Actic. Hali yake ya Hewa kwa Majira haya. Muda mwengine inakuwa Ni Mbaya upepo Mwingi. Ndege kubwa ndio at least . Pirot akikutana na crose Wind. Anaweza badilisha Hata Airport. Kwa hiyo ni sawa tu. Tulize tunaoishi juli sio Mchezo Hali hewa kwa kipindi hiki
@kitute11 ай бұрын
Ishu ni Hali ya hewa ya kaskazini mwa Dunia. Ulikimbia geography Mzee.
@chiniyamuti11 ай бұрын
@@kitute You don’t know what you’re talking about brother, the kind of airplanes we have in TZ they have got the capabilities to land in any type of weather, so is not an issue of weather, please do a little research about it you will find out.
@chiniyamuti11 ай бұрын
@@monicahovda5890 Okay wewe Monica tuambie kama Singapore kuna Hali ya Hewa kama Norway.
@Halima-wy7to11 ай бұрын
Mama pore namajukumu tunakupeda sana mama👌👌
@vanessastafford642611 ай бұрын
Mama pambana, Huduma ya Visa ubalozi wa Norway zirudishwe Dar es salaam. Kama ilivyokuwa kabla ya uongozi wa Raisi Magufuli.
@lvanyDaniel_pw7kk11 ай бұрын
Mamae wana kufa watu wa maana wana bakia manyumbu😅
@braystuskibassa384211 ай бұрын
Lakini pamoja na safari zote sijasikia raisi wetu akitembelea Urusi, Korea Kaskazini, Kazakhstan n.k
@modestwenceslaus911 ай бұрын
😂😂😂Anaenda kwenye Nchi zenye watu wanaojitambua na wanaothamini utu,haki na uhuru🎉🎉🎉
@lpdude200511 ай бұрын
Nchi hizo hazitoi chochote na labda hazina pesa za kutoa.
@valenakomba768610 ай бұрын
OMEONA VITABU VILIVYOKABIWA LEO? HUO UCHUMI UCHUMI GANI?. MAHESABU YOOOTE NI HASARA, HASARA, HASARA. SASA HUO NDO UCHUMI UPIIÏ? 😂😂😂
@jrsaid427011 ай бұрын
Mama amefika Norway kabla yangu.Ila one day yes
@joozeycraft236111 ай бұрын
Wanajua wanataka nini hao jamaa,heshima hiyo siyabure mjue
@Noooonat-o5s11 ай бұрын
Tutajie
@LEO-uq6el11 ай бұрын
Kama umeona mzungu kavua gloves kumpa mama mkono
@Noooonat-o5s11 ай бұрын
Mzungu asivue au
@LEO-uq6el11 ай бұрын
@@Noooonat-o5s tafuta historia ya nyerere na wazungu ndio utanielewa namaamisha nn
@justinmbangukira703411 ай бұрын
Kazi yake kuzurura tuu. Hamna cha maana alichofanya Tanzania. Katuacha tuu na mgao wa umeme.
@ivankadaudi816111 ай бұрын
Naomba connection ya kazi huko jaman
@Malaikalaizer-d2q11 ай бұрын
Uyo kasiake ni kutembea sana ajui kazi yake mujinga sana
@yousuphnzira320911 ай бұрын
Mjinga mwenyewe
@stevengeorgetibenda164711 ай бұрын
MTU anayekukopesha anakusifia uchumi wako utakuwa kwa kasi mwaka huu
@goodluckkombe99411 ай бұрын
Anaendelea kuuza kwa hasara. Anakukopesha na kukusifia unakua kwa kasi ya ajabu kiuchumi huku akikupiga raba 150%. Lol.......
@charlesmwambinga435511 ай бұрын
Mama anapambana sana
@JohnSulle-q6p11 ай бұрын
Amebakiza nchi ngapi kumaliza dunia
@MiriamAbdallah11 ай бұрын
Kazi kunadi nchi
@HappyGreyCat-jh8wz11 ай бұрын
Wazanzibar kwa kwenda
@justiceemmanuel813711 ай бұрын
huwa nawaona sana viongozi wa nchi na wenzi wao, mbona yeye simuoni na mume wake?
@IbrahimMwinyi-mu5gp4 ай бұрын
Kunabarafu balaa
@josephjulio611211 ай бұрын
Tumeachiwa mwingiru haki ya nani
@Leilafsadick11 ай бұрын
Harafu kwanza ana kosea sana mama wa kiislam ana wapaje wanaume mkono wake 😢😢😢
@gregory616511 ай бұрын
Kwani sheria zenu zinaruhusu hata yeye kuwa rais?
@SaumuSaidi-z2v11 ай бұрын
Nyie wajinga sn mbona ukifa unazikwa na wanaume?au tulivyokuja duniani mungu alisema tusiwape mikono wanaume?acheni ubaguzi ndo mn waislamu tuko nyuma sn kifikila na kimaendeleo
@gilbertmwakalebela286211 ай бұрын
Kwa mujibu wa katiba ya Tz serikali haina dini, kwahiyo ukisha kua mtu wa serikali unaongozwa na katiba sio misingi ya dini yoyote.
@Leilafsadick11 ай бұрын
@@SaumuSaidi-z2v kuzikwa wana zika wakiume ndio lakini ana kua ame sitiliwa mwili wotee mtu mkubwa kama hyo na ana ijiua dini vizuri mtu anae stahili kushika mkono wake ni familia yake tuu pamoja na mumewe mbona avyo enda oman rais wa oman haku pokea mkono wake mnajua ni kwanini
@Leilafsadick11 ай бұрын
@gilbertmwakalebela2862 sija ongelea katiba ana weza salimia kwa kuinamisha kichwa chini tuu ina tosha
@jailosibrahim8811 ай бұрын
Mbona ameenda bila urinz wake
@JamesMalale-io1qj11 ай бұрын
Kaenda kudanga ulaya
@yousuphnzira320911 ай бұрын
Mamaako yeye kaenda kudanga wapi
@JamesMalale-io1qj11 ай бұрын
Mamayangu anjitambua sio kama mama yako
@MiriamAbdallah11 ай бұрын
@JamesMalale-ioqj sasa wanatetea nini si ni kweli , tanzanian Ina utajiri mwingi sio nchi ya kuombaomba, viongozi wetu washenzi
@annapeter499411 ай бұрын
Uongo mkubwa
@aminaaminamayalla330811 ай бұрын
Mabarafu tupu😢
@shabankarotta62511 ай бұрын
Nenda pia urusi
@Mitama4911 ай бұрын
Aende urusi..kuna nini uko?
@Kisaboleonards11 ай бұрын
Zulula Dunia nzima magu Si kakuachia control namba!
@babycappuccinocappuccino11 ай бұрын
😂😂😂😂
@dancerboy268611 ай бұрын
😂
@dancerboy268611 ай бұрын
😂
@STELLABUTE-fk5ee11 ай бұрын
Mbona walinzi wake awapo apa???
@kitute11 ай бұрын
Kiongozi anapoenda nchi nyingine ulinzi unakua juu ya hiyo nchi husika.
@malelamalela136211 ай бұрын
😂
@HappyGreyCat-jh8wz11 ай бұрын
Tembea usije ukatuletea ushoga huku
@caswaralbadry848111 ай бұрын
Mh huo uloutaja afrika upo mwingi koliko ulaya kiuhalisia , sema wafrika wanafichiana kwel