Hiyo safi sana Hongera MH waziri wa ulinzi 🤝 MH mbuge Fred lowasa 🤝
@jamaa2760 Жыл бұрын
Mafunzo kijeshi na Malisho ya Mifugo, hii hapana.
@landisyloishiye933 Жыл бұрын
Asante sana mbunge na mwenyekiti wa Halmashauri
@mmissionarymichael4014 Жыл бұрын
MH waziri Eneo la mafunzo liwe la malisho hapo wanapotea.Mafunzo yanahusisha risasi na wao wawepo kwenye eneo Hilo .hiiuuu naikataaaaaa mkuu
@shamslukumay2627 Жыл бұрын
Safii sana mheshimiwa mbunge
@yuzoclassic8923 Жыл бұрын
I l😊
@yonamsemo6634 Жыл бұрын
Imekaa vizuri mimi naona eneo la mafunzo na malisho cha msingi wiki ya mafunzo wafugaji wanatangaziwa eneo la mafunzo wasisogelee hayo maeneo taarifa inasambaa kwa wote wakimaliza mafunzo mifugo inaendelea kulishwa kama kawaida.
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@edenipaschalsembuli8683 Жыл бұрын
Wazir fanyeni mpango migogoro iishe jamani
@KATOPE1 Жыл бұрын
Muheshimiwa wazir baadhi ya wanajesh wababe na ni walevi mno wanasumbua sana pale Shamsi. Usiku 😢
@mayombomajenga9778 Жыл бұрын
Mh inabidi jeshi waache kuwanyanyasa wananchi.jesh limekua linawatesa wananch na kuwaachia hata vilema vya maisha raia bila sababu zozote za msingi
@graysonpastory1918 Жыл бұрын
Acha ujinga hujui kitu kama hao wananchi pia na viongozi wa kisiasa wasio jua majukum ya kijeshi na umuhim wa maeneo makubwa,
@partnersky2560 Жыл бұрын
Muwachie jeshi kwa usalama wenu pia .jeshi ni siri .tafuteni njia ingine ya kurisha mifugo yenu .jeshi aiitaji shea na raia .mbom zikiliwalipukia msilalamikie mh Raisi km mbagala.
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Tatizo kubwa ni uelewa, tuna kazi kubwa sana ya kuwaelimisha wananchi hasa sehemu ambako wanasiasa wanatumia fursa ya wananchi kutokuwa waelewa kuwa ndiyo political capital yao ya kuweza kuendelea kuwa kwenye madaraka.
@graysonpastory1918 Жыл бұрын
Upo sahihi sn ,huyu mbunge anaanza kuleta story za baba yake tena,waziri kuwa makini na hawa wanasiasa wanaopenda popularity kwa wapiga kura wao.