Viongozi Wanajifunza Nini Kutoka kwa Salim Ahmed Salim?|Jenerali Ulimwengu Exclusive on TheChanzoS10

  Рет қаралды 10,290

The Chanzo

The Chanzo

9 ай бұрын

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 16
@RonnieMchatta-pr5bd
@RonnieMchatta-pr5bd 9 ай бұрын
Kwa kweli sàlim alikuwa one of the best diplomats iñgawa nilikuwa mdogo lakini nilikuwa namsoma Sana to me he is an excellent añd exceptional diplomat
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 8 ай бұрын
THE GENERAL ''U GOT TOO MUCH MADINI'' UR POLITICS KNOWLEDGE IS ON TOP.
@karimmveyange2558
@karimmveyange2558 9 ай бұрын
Hakuna Kiongozi yeyote anaye jifunza chochote sikutoka kwa J K Nyerere wala kwa Salim Ahmad Salim.. Hawa walikuwa na uzalendo na kuipandisha Nchi juu. Wakati kila Kiongozi wa SASA ni kuwaza na kuutimiza UFISADI TU,HATA KUTHUBUTU KUIGAWA NCHI KWA WAGENI
@user-fn4ro8vx5r
@user-fn4ro8vx5r 9 ай бұрын
Mzee ulimwengu umeongea mambo muhimu sana.
@DamasNakei-bb7le
@DamasNakei-bb7le 4 ай бұрын
Viongozi kama mwl Nyerere, Salim Ahmed Salim Sasa ni vigumu kuwapata tena na hata watu mahiri kama Jenerali pia ni kazi kuwapata, ni wazalendo ajabu!
@khalfanmgeituff781
@khalfanmgeituff781 9 ай бұрын
Mahojiano mazuri lakini kashati kasumba nyingine kwa ndugu zetu waarabu na wahindi kuwa wanatumia fedha (badala ya uwezo wa kiungozi) jambo ambalo sio sahihi na ikiwa lipo kwa baadhi yao ni hivyo hivyo lipo kwa vyama vya siasa, wagombea wa makabila na rangi zote...Suala la kutumia fedha sio la rangi ya mtu bali ni utashi wa mtu mwenyewe!
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 9 ай бұрын
"....uwezo wa kusikia, unakufanya kisikia yasiyo tamkwa..." Sifa mojawapo ya Mhe. Dr. Salim A. Salim. Je, Viongozi wetu nchi wana difa hiyo??
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 8 ай бұрын
Nyerere kamteua mpemba akiwa na umri wa miaka 29 kuna baadhi wanamwaona mbaguzi Nyerere alijali uwezo wa mtu na ni mzalendo wa taifa la Tanzania,kama ilivyo magufuli.
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 8 ай бұрын
Imekuwa mkweli sana, kuliko yule jamaa aliemchafua Kwa kutunga uchafu kwa tamaa ya yacheo na mali, mwenyewe kaona aibu maana walimchana bila kupepesa machi
@eliaskangabo779
@eliaskangabo779 8 ай бұрын
Ni kiongozi wa pekee sana ambaye tulishindwa kumtumia kwa maslahi mapana yaTaifa tuliendekeza sana Ubinafsi
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 9 ай бұрын
Huyo ndio mzalendo ktk waliobaki, ambao ni DrSalim, mzee Butiku, mzee warioba mm Maria, mzee Mwinyi
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 9 ай бұрын
Jenerali mi ni mfuatiliaji wako na nakubakiana na ww kuwa exorcisim kuitoa kwa kuliongea
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 9 ай бұрын
THE LEGACY OF EXORCISIM AND NYEREREISM IN TANZANIA
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 9 ай бұрын
Ninawafuatilia vyema
@kassimmohamed9126
@kassimmohamed9126 8 ай бұрын
Dr. SALIM AHMED SALIM, THE PRESIDENT. THAT. NEVER. WAS, RECOGNIZED WORLD LEADER, GOD BLESS ZANZIBAR 🙏
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 9 ай бұрын
Tumejifunza mengi kuanzia upole HEKIMA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿SIO KINA CHADEMA NA DK SLAA MATUSI NA KEJELI 🥳🥳🥳🥳DK SALIMU AMEACHA LEGACY 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
JENERALI ULIMWENGU ANENA HAYA MBELE YA VIONGOZI WA DINI KUHUSU HAKI ZA BINADAMU
51:46
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 18 М.
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 9 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 35 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 11 МЛН
Ufeminia ni Nini?  | Jenerali Ulimwengu Exclusive On The Chanzo S12
52:28
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 9 МЛН