Kibanda ame muinterrupt sana Mzee, ameiharibu hii interview
@zonko04887 ай бұрын
Kuna mengi yamekatishwa kwenye mahojiano haya, kuna vitu Kibanda alikuwa anamkatisha Jenarali wakati alikuwa anataka kuelezea kwa kina, sijui mahojiano haya yana haririwa (edit) au ndivyo ilivyokuwa. Nafikiri hii mmeturambisha tu....kama itakupendeza Mzee wetu mfanya tena hata kama iende part kadhaa lakini Mzee Jenerali uachwe umwagike kwa kina zaidi. Ila ahsante sana kutufungua macho
@justinmashala69447 ай бұрын
Sure Jamaa kapunguza ubora wa mahijiano
@mussakamando26787 ай бұрын
Absalom nilijua ni mwandishi mzuri. Kumbe bure kabisa!😢 Kwanini hakumwacha mzee atiririke? Anamkatisha mahali ambapo ndio patamu kisha anauliza stupid questions!!😢
@justinmashala69447 ай бұрын
Kibanda Tulia kidogo mzee ashushe nondo, una interrupt interrupt..
@JohnMabustar7 ай бұрын
Wazee wangu nimewasikiliza kwa umakini mkubwa naona hapa itapendeza sana kiandikwe kitabu ikiwapendeza asante saana nipo mpakani mwa Tanzania na Zambia
@DrGeorgeFrancis-pl5nh7 ай бұрын
Mwenyekiti Andrew Masanche alikwishatangulia mbele ya haki. Baada ya UVCCM alikuwa Mkuu wa Wilaya.
@mussakamando26787 ай бұрын
Kimsingi waandishi wa siku hizi hawajui kuhoji watu. Wanauliza maswali ya kipumbavu sana!
kibanda next usiwe na haraka mno kumkatisha jenerali akiwa anazungumza
@dave-gi2cg7 ай бұрын
Kipindi ni kizuri lakini nafikiri tuboreshe kwenye uwasilishaji kwani hakichukui “attention” ya msikilizaji hasa kwa makundi ya vijana. Mazungumzo kama haya ni muhimu sana vijana kusikia
@alphoncecharles30767 ай бұрын
Jenerali Ulimwengu ni misused resource. Mzee Nyerere aliwahi kusema wanaogopa change ni wezi...
@davidheche8397 ай бұрын
Kibanda asante sana, hii interview kuigeuza kutoka wewe kuhojiwa mpaka wewe kuhoji na kumemfanya generali atupatie madini ya kutosha.
@arianomgimba93814 ай бұрын
Kama umemsikiliza Mzee Jenerali walati wa ufunguzi wa mazungumzo yao haya alisema wazi kuwa hilo ndio kusudio yeye Jenerali ajibu maswali kufafanua kuhusu masuala tofauti tofauti.
@realswahilicultural81407 ай бұрын
Tanganyika Kwa kweli ni jina la kikoloni..
@aliyageorge67947 ай бұрын
Kwa nini katiba mpya imekuwa tishio kwa watawala....?
@knight67577 ай бұрын
🤔...ni swali zuri....majibu nadhaani yanabidi itoke kutoka kwao.
@OckendenMkandawire7 ай бұрын
Wanaogopa jela, rahisi hivyo.
@kindysuleiman59357 ай бұрын
Kama mfatiliaji wa general kama kujuta kufanya kosa kumuunga mko o mkapa ulichemsha