Рет қаралды 15,094
USIKU WA VITASA: Hivi ndivyo bondia Said Bwanga alivyompiga Saleh Kassim kwa pointi katika pambano la raundi nane.
Ni pambano la utangulizi kuelekea pambano la Kidunda vs Mukadi katika usiku wa vitasa ndani ya ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
#UsikuWaVitasa #VitasaNight #NgumiJiwe #Boxing #Saleh Kassim #SaidBwanga