Mimi nakuchukulia kama nabi uliyeteuliwa uje kukomboa watu mbalimbali kwenye swala la uchumi 🇹🇿
@AmaniRashidi-i9b6 ай бұрын
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante ❤❤❤❤
@user-jt3yw1gz2j6 ай бұрын
Kaka joel napitia wakati mgumu sana ningependa unipe ushauri kwa mfano mimi nilishawahi kuongea juu ya ndoto zangu mbele ya shangaz zangu na kaka yangu baada ya kusikia tu kwanza walinipuuza na kuanza kuniongelea tofauti kabisa ninachotaka kukifanya sio sahihi...na kuniongelea kwenye familia nzima hata wazazi wangu walinifokea sana
@RedgaMsigala6 ай бұрын
Amen
@LeilaMjaka6 ай бұрын
Yani wew kaka ni nomaa apo ktk saut wallah utazani anakujar kumbe anakuzimia ndoto zako.
@hadidjaissa91546 ай бұрын
❤❤❤❤
@bernadetachari76486 ай бұрын
Kweli kabisa mwalimu nimesha kaa na muuwaji wandoto Zanghu .kwasasa nimeamuwa kuiwasha taa vinghine pekeyanghu nijipinghishe hatua yamaisha.mwalimu tanghu nilipoamua kufwatilia mafunzo nimejifunza menghi sana barikiwa sana
@bensonmoris4636 ай бұрын
nzur,ahsante
@bensonmoris4636 ай бұрын
nzur,ahsant
@OmanOman-c9d6 ай бұрын
Joel wewe ni mwangaza wangu from oman ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@janetfrancis71806 ай бұрын
Asante Joel, see you at the top .
@ModestusKibasa6 ай бұрын
🎉Bro habar za mapambano nipo hapa nasubir pia .
@niriacatering1726 ай бұрын
Asante
@MustafaShomari-nh7pn6 ай бұрын
Asante kaka mungu akulinde zaid
@atu15466 ай бұрын
Big up brother,thanks alot real you're motivating.
@brackskinyozi3280Ай бұрын
Asante xana br Joel nimejifunza
@Francis_Tz6 ай бұрын
1.Mazingira (Eneo ambao uwezo wako utaonekana/utatumika). 2 Kuambana na watu ambao sio sahihi (Wrong Association).
@marymkamwa37796 ай бұрын
Barikiwa sana my fire lighter
@Sumay2286 ай бұрын
Nashukuru Mungu huwa natoka mbio mapema nikihic celewi mazingira wala watu wanaonizunguka ila ndio utaitwa unaringa kibongobongo
@shukranjulius95266 ай бұрын
Mimi baazi ya ndugu wamekua chanzo cha kuzima ndoto zangu ,nimeamua kuwaacha siwashirikishi kitu changu katika maendeleo yangu Mungu akubariki sana kaka @Joel
@anoldkimario82855 ай бұрын
Na Imani huwezitoka kimaisha peke Ako bila kuongeza nguvu kazi bihashara au kilimo kiweze kukua .je nimbinu Gani itumike niwezepata waaminfu kwasababu Kila nikijaribu naibiwa narudi nyuma,mie ni mnyakazi nimeajiriwa sehemu fulani
@impactospace6 ай бұрын
Ahsante mentor
@AbrahamMjema-di1li2 ай бұрын
Uko vizuri umejaliwa kuwa na mawazo ambalo yanaelimisha.
@user-gz1cd6kn5j6 ай бұрын
Nzuri sana
@suzankawishe61546 ай бұрын
Asante sana dear kweli wewe ni life coach whenever I wana do something in my life I have to listen to you everytime so that I can success in anything I started
@RosecharlesMollel6 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa mentor wangu nakufatiliaga sanaa na madundisho yako yanNisaidiaga sanaa
@ameirzapy13186 ай бұрын
Hapa kuwa sehemu ambayo haifai,, unajaribu na kujaribu lkn hufiki pale unapo hitaji
@ameirzapy13186 ай бұрын
Muda pia kwangu nahisi unaua ndoto zangu, nifanyeje?
@DanielaSanka-ns4tv6 ай бұрын
Mimi pia sijui nifanyaje
@GabrielAmede-dy1rm6 ай бұрын
Asante kaka yangu joel unasisimua hisia zangu naona uwezo wangu utaarejea muda so mrefu....
@jonfredkewe34516 ай бұрын
Nashukuru Mungu Boss wangu Ni fire lighter, angekuwa fightertungefaitiana
@work24onme6 ай бұрын
Holy Spirit Amen, 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, Mwenyezi Mungu akutangulie 24hrs Amen 🙏🏼 . UMENILENGA 💯
@rollahngimbwa69786 ай бұрын
Nimejifunza kitu hapa kaka, shukrani Sana 🙏🏽🙏🏽
@isacksolomon53096 ай бұрын
6:01 I got it
@kanezajoella66636 ай бұрын
Asante sana haswa mimi kwenye mahusiano
@jonfredkewe34516 ай бұрын
Wakati nchi za kiarabu zikijivunia utajiri wa visima vya mafuta Tanzania ina visima vya watu wenye akili .
Nimeshawaona na nikawa eliminate but nikainua vita
@RuthFrimin6 ай бұрын
Dah! Hata mi pia nipo na mtu kama huyo...ila nipo makin sana Kwa sasa yaani ni muuaji haswaah 😮
@HeavenSumari6 ай бұрын
Boss uzidi kubarikiwa tunazidi kukuombea uwe na afya njema Sana Sana
@Udindigwa6 ай бұрын
Ni Kweli Kabisa Ndivyo Ilivyo Mbaya Zaidi Ambapo Unakuwa Haujui Kilicho Nyuma Ya Pazia Unajua Mpo Pamoja Kumbe Sivyo
@user-hm5zz4ec5v6 ай бұрын
Mm nimschana naishi nyumbani Kila ninapojaribu kusema nitoke nikajitengemee nakatazwa hataty kufunga biashala inje ya nyumbani hata nikisematy niazekujenga pia hawataki he nifanyeje
@MCmakore6 ай бұрын
Hakika wewe nimtu ambae unachochea watu wanaokuduatilia kukua kimaarifa