No video

WACHUNGAJI WASHINDWA KUTHIBITISHA UUNGU WA YESU BAADA YA KULA KIBANO

  Рет қаралды 9,597

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Tafadhali endelea kutazama channel ya Straight Path Dawah na utapata faida nyingi. Pia tunakuomba usubscribe kwenye channel hii ili kazi hii ifike mbali InshaAllah.

Пікірлер: 150
@jumakumala1337
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Ma asha ALLAH , Mungu akuzidishie kheir na elmu zaidi na ukujalie wepesi kwa kila lililozito , na akujalie pepo ya juu siku ya malipo amiin
@salmanassor8732
@salmanassor8732 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka Rakhman mjadala mzuri shehe ramadhani unajibu kwa umakini na kueleweka
@munakhamis982
@munakhamis982 Жыл бұрын
Mashaallah 🥰🥰 uislam Raha wallah mung awalipe kher kwa elim mnayotupatia ahsant mung kwa kunifanya kuwa muislam Yaan hawa ndug zetu wallah ni weny kupotea ht maelezo yao hayana mashiko kabisa😅😅😅
@mosmart4718
@mosmart4718 Жыл бұрын
MaashaAllah it’s amazing our sheikhs don’t look at the Bible because they memorised the Koran and the Bible. They know them off head. You call yourself the pastor but you can’t even say a verse straight without looking at the Bible.
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie ujasiri na nguvu na uvumilivu kwenye kazi ya MUNGU
@bahatikenia39
@bahatikenia39 Жыл бұрын
Mashaalah sheikh Ramadhan Allah azidi kukuongoza inshaalah ili uwaonyeshe haqi wapate kuamka coz wamelala kama mungu wao subhana llah eti yesu ni mungu inna lillah waina ilyhi rajiun
@stoispapi2380
@stoispapi2380 Жыл бұрын
1 sheikh V 3 pastors... incredible!
@Sal.0
@Sal.0 Жыл бұрын
Correction, 5 Pastors, including the Sabato presenter and the macho4 who is asking sillyQuestions! It is 5 against 1!
@stoispapi2380
@stoispapi2380 Жыл бұрын
@@Sal.0 Haye
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
MASHA ALLAH vp Leo hujamchukua msaidi akusaidie kufungua vitabu maana kazi ngumu hio
@AbdulHamid-xj7ip
@AbdulHamid-xj7ip Жыл бұрын
Mchungaji ana upeo mdg sana
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын
Tesna sana eti waislam wanajuwa Yesu ni Mungu nimemsikitikia sana kwa sababu hajui alisemalo halafu anachukuwa Quran surah za kati ndio anazitoa ili aunganishe madam zake
@bekamwaba3571
@bekamwaba3571 Жыл бұрын
I wish to see Christians themselves commenting about their "pastors" their money and material squanders. Alhamdulillah am a proud Muslim who seeks to remain in the right path of Allah.
@bekamwaba3571
@bekamwaba3571 Жыл бұрын
@@jkewl999 🙏
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 Жыл бұрын
Usihofu ye pekeyake atawaweza anaji amini unawajuwa waislam
@aminashabangonzi4020
@aminashabangonzi4020 Жыл бұрын
Tz kumepoa San natamn hii mtaa kwa mtaa na kwet iwep kwa Kasi Kam Kenya kunusur huu Ummat Muhammad Swalallahu alyhi wasallam. Allah awape shifaa na awalipe kher kwa juhud zenu Dini yetu inazd kupata Nuru Masha Allah 🤲
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Kumepoa sana Tz sijui masheikh wana lkn itakuwa kuna kitu
@aminashabangonzi4020
@aminashabangonzi4020 Жыл бұрын
Allah atafny wepec In Sha Allah @SAM XX
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
Mungu awalinde wote na awape umri mrefu mashekhe. Wote wanaoisimamia hii chanali
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Amyn
@gakweliwarrakah2772
@gakweliwarrakah2772 Жыл бұрын
5 against 1...surely islam is the light and truth for mankind. I seek refuge in Allah from the cursed shaytaan
@vklhkhjji8070
@vklhkhjji8070 Жыл бұрын
mashaAllah shekh Allah akujalie afya na umri mrefu
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
Amin
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Amyn
@shuaibsaid515
@shuaibsaid515 Жыл бұрын
yani pastor alipoanza kwa ayubu na iliposomwa utajua amechemsha. ust Ramadhan Allah akubariki na akufungulie milango ya kheri
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Жыл бұрын
Amiin
@Idysalim
@Idysalim Жыл бұрын
ajabu sana, mafikira yao kuwa Mungu ni nani ndogo, Ukubwa wa Allah unazidi viumbe vyake vyote, wangejuwa Kuna mbingu Saba na ukubwa wa mbingu zenyewe hawangesema yesu mungu, Allah awafungue akili awape knowledge, Ramadhan Allah akupe umri na afya uzidi kuwafunza Hawa ndugu zetu, Ameen
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Ramadhani jeshi la mtu mmoja 1. Naomba الله siku ya mwisho ayalete maojiani yote anayo ya fanya shekhe na hawa watu. Mtashangaa.
@maherzain615
@maherzain615 Жыл бұрын
Yes jeshi la mtu mmoja anajiamini kimaandiko. Amewapanga kwa foleni akiwapa dose
@asiyharoon9471
@asiyharoon9471 Жыл бұрын
@@maherzain615 kweli anajiamn n anawamudu wote kwa hoja zao maan wahangika kufunua vitabu lkn Shekhe wetu mashaallah kila kitu kipo kichwani ❤
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Waowapo 3 lakini wanababaika. Kwamtumooja anawamudu . Hawamajamaa kweri maboya😂
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Mashallah Mashallah Mashekhe wetu wa dhahabu Allah awaweke.
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Masha Allah hustadhi ramadhan ww nikiboko Allah akupe hafya na uzima naakuzidshiye eelimu
@BASHIR-IBRAHIM
@BASHIR-IBRAHIM Жыл бұрын
Sheikh Ramadan may Allah sw bless, protect, reward u in this Dunya and akheera
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 Жыл бұрын
Ahsant Mungu kunitoa ktk Giza hil,cjui upofu wa hawa wakristo utaisha Lin aisee
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын
Allah akubarik sheikhe Ramadan
@ushifenesi4168
@ushifenesi4168 Жыл бұрын
Assalam aleykum...ALLAHU AKBAR
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Wa aleyikum salam warahmatullahi wabarakatuh
@GoobiHusein
@GoobiHusein 11 ай бұрын
Asalaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Tuna ku shukru shk kuria Tunakukaribisha na hapa Uganda Much love from Uganda
@husnanancyatieno2391
@husnanancyatieno2391 Жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah
@shabanabdi5489
@shabanabdi5489 Жыл бұрын
Kwa Hakika Yesu si mungu.
@mosmart4718
@mosmart4718 Жыл бұрын
Enough evidence sheikh Ramadhan Kuria. It’s already a knockout. If Jesus is God. He could have carried his own lunch without begging or asking food from his own creations. He should be self sufficient if he is the provider of sustenance , power and everything else. I can’t imagine you laughed sheikh Kuria because you know for sure this all full of laughter.
@maherzain615
@maherzain615 Жыл бұрын
Ukiwaambia hivo wanasema unamuongelea kimwili😂
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Жыл бұрын
@@maherzain615 kabisaaaaa.
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 Жыл бұрын
Amen
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 Жыл бұрын
Waskilize wanatowa Aya mungu kaumba bingu na ardhi halaf mungu yesu alikwa wapi bingu na ardhi kuumbwa
@mosmart4718
@mosmart4718 Жыл бұрын
@@hassanimouigni6648 ajabu sio.Unaona vile wa Afrika wali shawishiwa na kuchanganywa na Wazungu over a hundred years now mpaka nothing however small make sense to them.
@ashrafbunu2371
@ashrafbunu2371 Жыл бұрын
Knock out Islam always give fact
@chiefmkalikibz1503
@chiefmkalikibz1503 Жыл бұрын
Uppercut Chini Ya Chembe Cha Moy❤️
@lillaahilhamdutv5383
@lillaahilhamdutv5383 Жыл бұрын
Allaah awalipe kila la kheri
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Жыл бұрын
Amiin
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
Time kumisi jamani 😂 shekhe wetu kipenzi chetu
@omarshaban4735
@omarshaban4735 Жыл бұрын
Masha Allah
@sadamhebish7190
@sadamhebish7190 Жыл бұрын
Allah awaongoze njia ilionyooka
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Katika dakika 15 tayari sheikh Rama umemaliza kilakitu.
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
Mimi nilibaki huko kwa " Asalamu walaykum Alhamdhulillahi wataala wabarakatuh!" 😅
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Salamu mpya
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
@@StraightPathDawah brother Ramadhan I've heard you say severally that you read the hindu scriptures, I would just like to recommend to you that you check out Dawah wise on KZbin they have a stream called dimistifying hinduism and have invited several Hindu scholars to challenge them. I think you would be interested maybe benefit inshaAllah
@mariamfouziawairimu7991
@mariamfouziawairimu7991 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashallah tabarakallah mashehe zetu Allah Awape Afya na subra
@AbdulHamid-xj7ip
@AbdulHamid-xj7ip Жыл бұрын
Mashallah
@Sal.0
@Sal.0 Жыл бұрын
Ai, MaKafiri wame fika mpaka Jomvu, a Muslim fishing Town!? JOMVU, wake up! Hawa Wa Sabato ni WARONGO wote! Hawa oni hawa waki manipulate words, both in THE QURAN and Bible? Well done Ustad. A very well orchestrated presentation of the only Truth contained in the FINAL Testament, the QURAN!
@khadijanigogo698
@khadijanigogo698 Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 Жыл бұрын
Jamaa kanza kujikoroga mapema yesu mungu anachaguwa mitume kamchaguwa yakubu na wengine mweynewe bado hazaliwa
@sophiajuma6798
@sophiajuma6798 Жыл бұрын
MashaAllah
@hafsakirao398
@hafsakirao398 Жыл бұрын
Masha'Allah ❤
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Masha Allah 🥰
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 Жыл бұрын
Yesu ni mungu APO apo Allah kasema anachaguwa mitume
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
Ila sihaba nimewahi
@BAUCHADAAWAH
@BAUCHADAAWAH Жыл бұрын
mashaallah
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Shekh Ramadhan hao wakiongea uongo kupindisha haya za QURA'AN inabidi uzisome kama zilivyo hiyo ni faida kwa wasikilizaji maana wao wanaujua ukweli ila wapo kimaslai
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Mashaallh Ustadhi ramadhan Allah akuhifadhi 🤲🇹🇿
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Hawa wachungaji hawajielewi kabisa kuanzatu ovyoovyo eti Yesu Mungu subuhanallah
@rizvanxadji3793
@rizvanxadji3793 Жыл бұрын
Kila asemaye mimi ni mkiristo hana dini na ni kafiri kuni ktk moto.
@chiefmkalikibz1503
@chiefmkalikibz1503 Жыл бұрын
Assalam alleykum. Mchungaji ababanya maandiko katika Al-Qur'an Tukufu: andiko lasema yesu kachagua wanafunzi, / ila yeye kachomekea Mtume na manabii😜. "UKRISTO FULL KOROGETION" Ukweli uko wazi kwa Mchungaji bali yeye ni kwamba achunga maslahi.
@bahatikenia39
@bahatikenia39 Жыл бұрын
Wameona wanaambiwa ukweli wanapunguza eti bado dakik3 si wangekupa huo mda ili uwafundishe wapate kuelewa kuliko wao wanachukua mda na hawana lolote wanalofundisha ila kupoteza waja wa Allah
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani jamani jamani, nimecheka sana, maana siyo kwa salamu hii ya leo.
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Hahaaa
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Inatisha tena ni mpya
@munaabdul1447
@munaabdul1447 Жыл бұрын
Hahaha mimi pia nimecheka sana kabla hajamaliza..yani ni mtihani kwa kweli
@jumamwandoro8586
@jumamwandoro8586 Жыл бұрын
Good job bro...
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Laila ah hail Allah wakiristu mnamkufuru mungu walahi
@shuaibsaid515
@shuaibsaid515 Жыл бұрын
YAKOBO 1:17 Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka.
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Itabidi maandiko mengine kwenye bibilia zenu muyafute,maana yesu aliposema USINISHIKE KWA MAANA SIJAPAA KWENDA KWA BABA, LAKINI ENENDA KWA NDUGU ZANGU UKAWAAMBIE, NINAPAA KWENDA KWA BABA YANGU NAE NI BABA YENU, MUNGU WANGU NAE NI MUNGU WENU, yani hata bila yakutumia maandiko yesu sio MUNGU, ni binadamu, na ni mtume kwa wana wa EZRAEL, lakini kwakua makanisa ni biashara basi lazima wajitoe fahamu mithili ya walevi
@jei_Ibrahim
@jei_Ibrahim Жыл бұрын
Unajua hawa wakristo sijui nyi munawaonaje kama waislamu wenzangu lakini kimimi naona nikama wako na mzaha katika kijadiniliana kama hivi saingine unakuya mkiristo ana unga unga kuprove ukristio ndani ya quran kama uyu ana taka kuprove uungu wa yesu kwenye quran huyu kwani ametubeba aje hivi yesu angekuwa mungu kwa quran sheikh hapo kuria angekuja muonge kweli kungekuwa na mjadala kweli kama hawa wanatubeba aje
@hamzayusuf1894
@hamzayusuf1894 Жыл бұрын
Akufire yesu
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын
🥺🥺🥺
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Hii comment yako mbona inatatiza?
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Ukiandika rejea usome ulicho kiandika
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын
Hata nami pia ndio maana nimetoa macho sijui kakosea au kakusudia kama kakosea Mwenyeezi Mungu amsamehe na kama kafanya kusudi anapaswa kusema astaghafillah maana hata sisi waislam tunamwamini Issa bin Mariam (Yesu)ni mtume wa Mwenyeezi Mungu hatupaswi kwa ubaya
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 6 ай бұрын
Samahani ndugu comment yko irudie urekebishe please
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 Ай бұрын
Nimejitahidi kumuelewa mchungaji alikuwa anaongea nini nimeshindwa kabisa kuelewa maana ametoa maandiko kibao na hakuna hata moja yesu anasema yeye ni mungu
@maherzain615
@maherzain615 Жыл бұрын
Mungu wa wakristo ukimuongelea kwa udhaifu wake kama kula,kwenda choo,kulala wanasema unamuongelea kimwili.ss akiwa na mwili roho huwa iko wapi??
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 6 ай бұрын
Nashagaa!!
@zcsra_zanzibar7673
@zcsra_zanzibar7673 Жыл бұрын
Sheikh Ramadhan Leo Umejikaza hujacheka baada ya Mhubiri wa kikristo kutoa salam ya kiislam hahahahha.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Umeona eeeeh?
@iddidd3979
@iddidd3979 Жыл бұрын
Kwa kweli pasta hujui usemalo bado kajufunze tena
@jumakumala1337
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Time keeper ni muongo ameibia dakika za muislam , mbn dakika 20 za wakristo zilikuwa nyingi kwa waislam zimeisha haraka
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
Tunasubiraa Kwa hamu part 2
@iddidd3979
@iddidd3979 Жыл бұрын
Nabii ISSA katabiri Nabii Muhammad km atakuja kwa vile yy alikuja mwanzo
@mosmart4718
@mosmart4718 Жыл бұрын
Why would God walk the earth for 33 years? Pastor you don’t make sense. Even my 6 year old is confused with your statement. Ana shangaa kabisa., Jesus himself amezaliwa juzi tu. So who was in charge of our world before him. It’s only a group of Christians believe Jesus is God but so many believe he is the son of God and there are others who say he is neither. Unless you have consensus among your Christian friends it’s very illogic and impossible to build a commentary on what you all believe. You are all disconnected pastor. You are telling us that Jesus is God and then he changes into flesh and now he becomes the son. Don’t you see you are confusing yourself and us audience. Ajaabu stick with one thing you can really defend. It seems you are all over. He cannot be both unless he was schizophrenic where he has two different personalities.
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@shuaibsaid515
@shuaibsaid515 Жыл бұрын
maandiko ya pastor ni sawa na kulazimisha yai la kuku kuliingiza ndani ya chupa ya soda
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Umeonaee
@shuaibsaid515
@shuaibsaid515 Жыл бұрын
@@samxx411 kwa macho
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын
Astaghafillah wapo waislam wanajuwa Yesu ni Mungu Hahaha 🤣🤣🤣 pole sana muumini wa kikristo
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
One man army!
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Mashallah
@chonghoswe6255
@chonghoswe6255 Жыл бұрын
Hii si dini ya hoja kbisa
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
Nyinyi fungueni akili bado mnaogelea kwenye upagani wa warumi uliotangazwa na Paulo warumi Romans 1:7-8
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Aliye wapoteza hawa wakristo aliwapata kwa saa zake,maana hata hawafunguki akili hata sijui hiyo bible aliifanyaje mbaka wakawa akili haifunguki
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 6 ай бұрын
kuckiliza kufru za hyu pastor yataka moyo !!
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Hawa wanaojiita wakiristo sijui kama wanajitambua!!! Nandio maana bibilia yao inasema, WATU WANGU WAMEKUA KONDOO WALIOPOTEA NA WACHUNGAJI WAO WAMEWAPOTEZA, ndio hawa
@abedyadam-eu2ln
@abedyadam-eu2ln Жыл бұрын
Shekhe mung akupe umri mrefu uzidi kuelewesh uma
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Mm kila cku ninawaambia wakristo kuwa cku ya mwisho mtajua au hamjui.
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
😂👍watakiona Cha mzee makuni
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
@@naimaabuualii578 yani unakuta mtu anapinga ukweli ulio wazi.
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 6 ай бұрын
Wanadaganyw n maisha y temporary apa dunian kufuata nafsi zao
@kimsi682
@kimsi682 Жыл бұрын
Jamaa anaandika andika anapoelezwa Yesu kama Mungu, Ndie utuma mitume. Anaandika ili aende akajandiliane na mashelkh wenzie maanake apo haana corner. Hahaha, saa nzingine unashidwa unajadiliana na nani??? Dunia hii, tumechanganywa! Roho isiyo mtabua Yesu, ni Roho ya mpinga Kristo! Hallooo waislamu!!!!! Kama hamuingii mbinguni, acheni kuzuia wengine kuingia.
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Haitawahi tokea katika Dunia hii mkristo akamshinda muislam kwa hoja labda huyo muislame hajasoma dini
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 Жыл бұрын
We jifarij tu wenzio tulikuwa wabish kuliko ww ila leo ni waislam sasa ww endelea kujipa moyo na kukariri
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 6 ай бұрын
Mbigu zitaondoka kaa ujue sisi waislam tutaigia janatul firdaus yaani paradise
@user-rc7oi2hp8l
@user-rc7oi2hp8l 6 ай бұрын
Toa andiko yesu a.s anasema mm n Mungu enyi Wana waezraeli niabuduni.swali nasubir jibu
@isaa_ogutu
@isaa_ogutu 4 ай бұрын
Mchungazi umeconfuce kabisa kutoka mwanzo...ata haujaenda dakika ishirini na ushapotoka....hauelewi maandiko kaka😂😂😂😂
@junicnamuwenge6957
@junicnamuwenge6957 Жыл бұрын
Yusu ni mtu unavigirya ni muhamedi Yusu awasaetiye
@faridbashuu
@faridbashuu Жыл бұрын
Haiyaa !!! Kwani Kuna salamu mpya sikuizi 🤣🤣🤣 Raha sana
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Jamani mimi ndo mbavu cna.
@faridbashuu
@faridbashuu Жыл бұрын
@@myunaniniahmad6463 Hahahaha 🤣🤣🤣 Hata Discussion haijaanza tusha vunjwa mbavu.
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
Mtihani huu!! 😅
@nalingarowl7048
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Kuhusu Yote yanayomhusu Yesu,Kawaulize Vatican.sio mnawaokota makristo
@delefantasticali8377
@delefantasticali8377 Жыл бұрын
Apo msumari umemuingia pastor...
@salihassan4655
@salihassan4655 Жыл бұрын
Ndugu zetu walivyo ng'ang'ania kuwa yesu atabeba dhambi zao 😂😂😂 wee... yani ulewe wewe uzini wewe uuwe ww ila dhambi abebe mwengine Lol
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
😂hiii uyo Alie pewa dakika amedhulumu RADHANI kuria ameruka hmmm 🤔 ila ndio mambo 😂😂 😂
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
Tena amenda fasta Shekh wetu Masha Allah kufungua vitabu halafu pia dakika
@mwanaidiissa10
@mwanaidiissa10 Жыл бұрын
Pastor muongo huyo hana haya
@musanike3079
@musanike3079 Жыл бұрын
Point of correction hao kumi na mbili wafwasi sio Mitume🤣
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Alafu awa hawana uadilifu kabisa!! Mtu wao wamempa dakika 20 lakini mwalimu wa kiislam amemaliza dakika 12 wanasema bado dakika 3!!!
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Niliwaona lakini nikawafanyia subira
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
@@StraightPathDawah wanahubiria ndio maana wamekula dakika ila ndio mambo 😂
@ntawukirishigahidaya1527
@ntawukirishigahidaya1527 Жыл бұрын
Wapi comments za christians umu ndani?
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Жыл бұрын
Huyu pasta Elimu yake ni ndogo mno
@chonghoswe6255
@chonghoswe6255 Жыл бұрын
Hii wap kuwapata waislam wanoamin yesu Ni mungu?
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Usitusingizie waislam sote kwamba tushakuaminini nyie. Acha uongo!wewe mkristo
@janieali5521
@janieali5521 Жыл бұрын
Pastor hana akili, bible inasema Mwenyezi Mungu hutuma mitume na manabii, ambao wengine mtawasulubu na kuwaua. Swali - Nani alisulubiwa, Yesu au Mungu ?
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Hawana hata jibu
@salihassan4655
@salihassan4655 Жыл бұрын
Endeleeni kufanya dhambi yesu yupo kwa ajili yenu 😏😏 ovyoo
@iddidd3979
@iddidd3979 Жыл бұрын
Kweli wew huna atawezaje mtume Muhammad amtabiri nabii ISSA wakati nabiii Muhammad kaja mwismwisho
MCHUNGAJI AMKIMBIA KONDOO WAKE KWA KUOGOPA AIBU
1:12:41
Straight Path Dawah
Рет қаралды 9 М.
VITUKO KATIKA DAWAH MITAANI; 'STORY ZA JABA' KILA CONTINENT IWE NA DINI YAKE
1:17:08
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 110 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 30 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,4 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 50 МЛН
Bishop Stephen na Ramadhan Kuria katika kukuru kakara sehemu ya pili
32:34
Straight Path Dawah
Рет қаралды 66 М.
SAKATA LA NGORONGORO KABUDI ATIMBA,  ATAJA MAMBO MANNE
4:29
Mwananchi Digital
Рет қаралды 4,8 М.
KUNDI LA WAKRISTO LASILIMU BAADA YA MAZISHI YA MZEE DAUD
2:04:03
Straight Path Dawah
Рет қаралды 85 М.
MUKURINO ADAI UKATOLIKI NI DINI YA WAZUNGU
54:47
Straight Path Dawah
Рет қаралды 10 М.
WAKRISTO WALEVI WATAMANI KUSILIMU ILI WANUSURIKE
52:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 20 М.
WAKRISTO WAKIRI KUWA KUNA KANISA ZA BIASHARA
1:31:23
Straight Path Dawah
Рет қаралды 16 М.
MWINJILISTI NDACHA ASEMA UTATU NI UPAGANI (PART 2)
59:56
Straight Path Dawah
Рет қаралды 29 М.
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 110 МЛН