Рет қаралды 2,022
Siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo kutangaza dhamira ya kumwondoa mwekezaji aliyetajwa kujimilikisha ardhi kinyume cha sheria katika kisiwa cha Chole wilayani Mafia wakazi wa kisiwa hicho na serikali yake wamekana kumpelekea malalamiko huku wakieleza mwekezaji huyo kuingia naye mkataba halali wa kimaendeleo ikiwemo kusomesha watoto wote wa kisiwa hicho hadi vyuo vikuu baada ya kukaa kwa miongo kadhaa bila mtu hata mmoja kisiwani humo aliyesoma shule hata ya msingi kutokana na umaskini uliopindukia.