Рет қаралды 24
Wanawake Kituo Cha Ukombozi, waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kutoa Rai kwa Jamii kuwekeza kwa Wanawake kwa maendeleo endelevu
Sauti ya Bibi Titi Mohamed akihamasisha Wanawake
Kituo Cha Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika, kinawapongeza Wanawake wote Duniani katika siku Yao na kuwatakia kuongeza juhudi katika majukumu yao.
Sanjari na hilo, Wanawake wanakumbushwa kuwaenzi Mashujaa Wanawake walioshawishi kupatikana kwa Ukombozi wa Afrika.
Sikiliza jumbe nzuri kutoka kwa Wanawake wa Kituo Cha Ukombozi