WAPEWA UNABII KUHUSU

  Рет қаралды 83,380

GeorDavie TV

GeorDavie TV

3 жыл бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 251
@evabikabhai1861
@evabikabhai1861 2 жыл бұрын
Nabii GeorDavie unatisha!!!!! Una upendo na huruma ya ajabu. Umetumika kusaidia watu wengi Sana. Nakupenda na kukuheshimu mno. Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako
@mercymutabe1306
@mercymutabe1306 3 жыл бұрын
Amen nabii hallelujah asande sana kutuombea wakenya
@dorothhokororo5301
@dorothhokororo5301 Жыл бұрын
Baba najiunganisha na ibada na mafundisho,NAMI napokea baraka zote nabarikiwa sana.natamani kufikia Arisha
@ndunguedwin4798
@ndunguedwin4798 3 жыл бұрын
GOD of this Mighty prophet Geordavie is a great GOD 🙏
@estherngogo3385
@estherngogo3385 3 жыл бұрын
Whaooo nimeskia furaha sana jinsi baba unavyohudumia , asante na tunapokea.
@nicksonlangatfromnakuru8533
@nicksonlangatfromnakuru8533 3 жыл бұрын
amen! amen! niko na shida mingi sijui nifanyaje nikutane na nabii.
@maggieolomi3650
@maggieolomi3650 Жыл бұрын
Najiconekt na kufunguliwa sasa mimi na familia yangu amen
@estherwambuies1782
@estherwambuies1782 3 жыл бұрын
Mungu akumbuke wakenya asante nabii kwa kutukumbuka sis jirani yenu nanyi mbarikuwe
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Amen
@rapttortom4826
@rapttortom4826 Жыл бұрын
I'm from Kenya I pray to meet this Great Man of GOD 🇰🇪🇰🇪
@SleepyAlpineVillage-yp2sz
@SleepyAlpineVillage-yp2sz 5 ай бұрын
Uko big up nabii mkuu wangu
@joycekatana2482
@joycekatana2482 3 жыл бұрын
mungu akubariki kwa kufungua watu
@user-pr4nu4ws9o
@user-pr4nu4ws9o 5 ай бұрын
Amen babangu
@webnty323
@webnty323 Жыл бұрын
Nisaidiye papa mimi nimefirisika sana nataka nijuwe familiya zangu
@shangazshangaz4222
@shangazshangaz4222 Жыл бұрын
Baba nabiiiimkuuu tusaidie wadada haya tunayapitia sana sisi kwamwanaume mungu awasimamie alisha hilopepo baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@halimaomar2795
@halimaomar2795 3 жыл бұрын
Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi
@josephakure6743
@josephakure6743 Жыл бұрын
Nabii mkuu,Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..............................
@atusagileysanga6412
@atusagileysanga6412 Жыл бұрын
Amina kubwa
@sarahmgaya9853
@sarahmgaya9853 3 жыл бұрын
Amina nabii naomba unipe unabii wako nafatilia sana unabii wako adui zangu wote waaibike
@petermollel1471
@petermollel1471 3 жыл бұрын
I receive in Jesus name. Amen
@amselinah7920
@amselinah7920 3 жыл бұрын
Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me
@annakamasha5705
@annakamasha5705 3 жыл бұрын
Nabii naomba namba pleaz
@tedylaulet8933
@tedylaulet8933 3 жыл бұрын
Namm napokea uponyaji kupitia madhabahu hii roho za kukatariwa nazitowesha kwa jina la yesu
@lyzekeyz328
@lyzekeyz328 3 жыл бұрын
Mzee wetu pia walai mzee abdull ajeakombolewe
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Umeonae
@eliasimakobe9098
@eliasimakobe9098 3 жыл бұрын
Amina sana mchungaji yodefi
@rosinakalunda5969
@rosinakalunda5969 3 жыл бұрын
God blessing you
@emimwakalinga4262
@emimwakalinga4262 3 жыл бұрын
Nabii uko vizuri sana nikijakupata ela ntakuja uko arusha
@elizabethmambai2072
@elizabethmambai2072 3 жыл бұрын
Asante nimeamini Kenya
@saldakltl7611
@saldakltl7611 3 жыл бұрын
Amen Amen 🙌🙋‍♀️🔥🔥🔥🔥👏👏👏
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
amina wasaidie baba
@vickjohn6830
@vickjohn6830 3 жыл бұрын
Tunaomba Namba tunapata shida kupata Namba zako
@mutabazijonathan7278
@mutabazijonathan7278 3 жыл бұрын
Mungu ni mkubwa nabii una kazi kubwa
@jamessichimata3100
@jamessichimata3100 3 жыл бұрын
Ameen
@juliethmsengi4188
@juliethmsengi4188 Жыл бұрын
Dad 🙏 nimeipenda hii....ishi Sana BIG DADY.....
@corannotremedecine8368
@corannotremedecine8368 3 жыл бұрын
Asanten kw Film ambayo mnaendeley kutuchezeya
@josephinebahati5599
@josephinebahati5599 3 жыл бұрын
Kanisa lipo sehemugani
@joycecollection6876
@joycecollection6876 3 жыл бұрын
Kwa kweeli flam Yao tumeijua
@Cuero_mio
@Cuero_mio 3 жыл бұрын
This is very touching I would like to meet this man of God over my sister's issue
@lucyhusein4043
@lucyhusein4043 3 жыл бұрын
Nabi naomba inirudishie dhaman yangu sifanikiwi napambana sana baba
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Wakristo nyote nendeni kuombewa huko kanisani kwa hali hio mtakuwa na maisha mazuri nyote duniani hakuna mwenye tabu wala maradhi
@meena-ol6fo
@meena-ol6fo 3 жыл бұрын
😁😁😁😁mungu sijui alitutofautisha na wanyama watu waongopewa kaa wanyama
@adjafamkungilwa1154
@adjafamkungilwa1154 3 жыл бұрын
Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho
@annkim2690
@annkim2690 3 жыл бұрын
Watu hawataki kuisoma Bibilia watajionea
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
Wa kristo wa sasa wanapenda vitu rahisi,wamekua wavivu kudoma biblia 😢😢
@michaelmugambi5223
@michaelmugambi5223 3 жыл бұрын
Naomba kufunguliwa nikiwa kenya magojwa yananisubua pia nafanya biadhara sifanikiei ..
@luhizomkombozi5763
@luhizomkombozi5763 Жыл бұрын
Namwomba MUNGU siku moja nifike mahali hapo!!! Nimeiona nguvu ya MUNGU kwa NABII MKUU GEOIRDAVIE!!
@nabintumiruho5142
@nabintumiruho5142 2 жыл бұрын
Mtumishi waMungu uniombeye mungu afunguwe nyumba yangu mimi naikaa kenya
@eliarichard9218
@eliarichard9218 3 жыл бұрын
Amen.
@brendaaluoch7088
@brendaaluoch7088 3 жыл бұрын
Tutubu dhambi zetu Messiah anarudi tuishi kwa njia yautakakatifu,tuwachane na hii michezo mingi jameni
@wilsonletiet7852
@wilsonletiet7852 3 жыл бұрын
Duuh! Eh Mungu tupe roho ya ufahamu na utufunguwe macho tupate kuona
@adjafamkungilwa1154
@adjafamkungilwa1154 3 жыл бұрын
Dunia ya leo watu wanakuwa vipofu japo wana macho Watu hawatafuti mungu tena watafuta miujiza,Dahh??
@paulkasamabrama8329
@paulkasamabrama8329 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@azamtv7410
@azamtv7410 3 жыл бұрын
True
@robertlyimo5830
@robertlyimo5830 3 жыл бұрын
We unayeona elezea unachoona kwa usahihi
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
Watu wa mungu wana potea kukosa maarifaa.hizi siku wakristo wana penda vitu vya rahisi
@BavaziBamutara-mc5xt
@BavaziBamutara-mc5xt Жыл бұрын
Nabi yamungu mambo yako inaniguza sana
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Muombeni MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA KUTUBU DHAMBI ZENU VINGINEVYO mmmmh tutateseka Sana na hii DUNIA
@halimaleila2323
@halimaleila2323 3 жыл бұрын
Nazidi. Kuomba. Mungu. Siku. 1.nifike.mahari.apa,🇧🇮
@alexmatiko373
@alexmatiko373 Жыл бұрын
Nabii mkuu.❤
@espekahambu4437
@espekahambu4437 3 жыл бұрын
Namba plis
@danielshauri4681
@danielshauri4681 Жыл бұрын
Nivizuri sana
@saumujuma8979
@saumujuma8979 2 жыл бұрын
Amen
@elviramawang6652
@elviramawang6652 2 жыл бұрын
Namimi naomba unabii maisha hayaendi Kila siku ni struggle here n there
@rachellaizer941
@rachellaizer941 3 жыл бұрын
Nabii msaidie hiyo kijana maana unayoona ni kweli wanageukaga haswa wanajisahau sana wakishapata hela na kuwa mahandsome
@beatriceshauri4497
@beatriceshauri4497 2 жыл бұрын
Ee mwenyezi mungu naomba unifungue namimi
@nenemagadau1954
@nenemagadau1954 Жыл бұрын
nakupenda jamani
@valentineinnocent6647
@valentineinnocent6647 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘🥰❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen Amen Amen awasaidiye Baba
@janetnyabitanga9087
@janetnyabitanga9087 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 Жыл бұрын
Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia
@agnessmalyeek9387
@agnessmalyeek9387 Жыл бұрын
Baba nakuaminia uongezeke
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 3 жыл бұрын
Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini
@annkim2690
@annkim2690 3 жыл бұрын
Hata inashangaza wana tangaza usinzi
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 3 жыл бұрын
🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
@user-kf6ox4pe5b
@user-kf6ox4pe5b 3 ай бұрын
Nifungue Mie pia nabii mkuu
@severinngloo3772
@severinngloo3772 Жыл бұрын
Kazi,iyendelehe,.mdogowake.wamngu.adisula.mnafanana.bwanabwa
@victoryustas1847
@victoryustas1847 3 жыл бұрын
Uislamu haya mambo ya unabii hatun mungu atosha
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
Mungu peke ndo wapekee. Wakristo tuamke.
@michaellyeme7397
@michaellyeme7397 Жыл бұрын
Baba naomba nisaidie mimi na Familia yangu na vijana wetu wapate ajira,
@gladyswandela1565
@gladyswandela1565 3 жыл бұрын
amen
@estherwambuies1782
@estherwambuies1782 3 жыл бұрын
Natamani nifike huku kwa nabii mkuu asaidie family yetu
@hildpaul7823
@hildpaul7823 3 жыл бұрын
Uje nikupeleke
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Wasaidieni baba
@geophreymhagama9560
@geophreymhagama9560 3 жыл бұрын
Nguvu ni ya Mungu sio ya nabii
@evamringo2331
@evamringo2331 3 жыл бұрын
Yesu yuko wapi Apo jaman...
@adjafamkungilwa1154
@adjafamkungilwa1154 3 жыл бұрын
Nimesikia akitamka walahi,je nanyi mesikia ?
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Ameni na Mimi pia napokea una bii
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 3 жыл бұрын
🖐
@abdulrahmanpaskalina7627
@abdulrahmanpaskalina7627 3 жыл бұрын
🤲🙏
@tymlesshodari1010
@tymlesshodari1010 3 жыл бұрын
Amen 🙏 but wait huyu pastor huwa anahubiri neno mda gani 🤔
@phinerjulius8487
@phinerjulius8487 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 swali la kibabe
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Haki siku hizi watu badala kumuita mungu baba wanapigia binadamu magoti mungu atusamehe.
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 3 жыл бұрын
Huu mtihani kwakweli. Atapoteza wengi.
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
😢😢jamani dah. Sisi binadamu tumeanza kuji tafutia laana kwa kweli
@maureenwanjiku8971
@maureenwanjiku8971 3 жыл бұрын
Naomba kuconet na nabii
@shabaniezekeeli2216
@shabaniezekeeli2216 Жыл бұрын
Ee mungu apigae ngurumo
@vailethseth9036
@vailethseth9036 3 жыл бұрын
Kiruuu kumbe ni hela kumuona😎😎
@exaudmungure2795
@exaudmungure2795 3 жыл бұрын
Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
Nashangaa. Tena mamilioni.
@webnty323
@webnty323 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@alimachitechi2107
@alimachitechi2107 3 жыл бұрын
Unapatilishawa unabii na una kubali sasa kama nambi patala usaidie.unawaotoa imani
@estherimbotsi7553
@estherimbotsi7553 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bakarimwakabebe9649
@bakarimwakabebe9649 3 жыл бұрын
Inna lillah waina illah rajion
@wilsonletiet7852
@wilsonletiet7852 3 жыл бұрын
Mmmmh! Umesarender kwa Dervie na siyo kwa Yesu???
@estermumbua7329
@estermumbua7329 3 жыл бұрын
Aki nabii sinikufikie
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
I believed
@ikeedaudi
@ikeedaudi 3 жыл бұрын
Msichana mkenya 😂😂😂😂😂rudisha msichana wetu naniiii kwetu tunabiiiii
@mmasymery391
@mmasymery391 3 жыл бұрын
Kaaa kwakutulia
@hildpaul7823
@hildpaul7823 3 жыл бұрын
Tuliza mawemge wewe kenya😳😳😳😳
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 3 жыл бұрын
Amrudishe ili iweje?? Umeona Tz hakuna wa kukaa nae??
@alamera5986
@alamera5986 3 жыл бұрын
Ok
@amanimanase5794
@amanimanase5794 3 жыл бұрын
Kijamaa kinapenda kulelewa hichi hahahaaaa chapenda pesa sana
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
Bwana mungu atu saidie. Dunia ime fika mwisho wake
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 3 жыл бұрын
Unataka apende nini sasa?? Uuwiihhh
@happinessshilie4019
@happinessshilie4019 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@myra123myra9
@myra123myra9 3 жыл бұрын
Jamani mtu anielekeza kanisani pake mchungaji mimi mkenya pliz🙏
@mimimwenyew361
@mimimwenyew361 3 жыл бұрын
Da majibu menginr magumu mujibu. Me naweza rahisisha tu KUWA ntampeleka mahakamani tuu maana no way out
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
😂😂😂😂acha vupofu wabaki huko huko.wanao penda vitu vya rahisi kuliko ku soma biblia
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏♥️
@shakila3982
@shakila3982 3 жыл бұрын
Hmmmm 😏😏😏😏eti mtu kukuona lazima ulipwe laki 5, Mungu halipiki
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
Hii ni biashara sio tena kanisa. Pia watu wamependa vitu rahisi ndo maana wana tumia hio njia yaku toa hela zao
@solonyamwita777
@solonyamwita777 2 жыл бұрын
Jmn mm Sina laki Tano Nina elf kumi TU kwaiyo sirhusiwi kumuona nisaieni?
@tantinemwemendi8790
@tantinemwemendi8790 3 жыл бұрын
Mbona unadanganya wayu ivo
@queenambakisye5576
@queenambakisye5576 3 жыл бұрын
Nabii nakuomba. Niombee. Nauzao wangu
@azamtv7410
@azamtv7410 3 жыл бұрын
Nimekuombea mwanangu
@chrispinchristopher3914
@chrispinchristopher3914 3 жыл бұрын
Huyu nabii kanisa lake liko wapi hapa dar
@aryanamendes8700
@aryanamendes8700 3 жыл бұрын
Daaaaa
@nenemagadau1954
@nenemagadau1954 Жыл бұрын
ww baba ww
@alimachitechi2107
@alimachitechi2107 3 жыл бұрын
Hata angalia sasa hio ndo yesu ayuko sasa unawasa eeeeee we iyo kazi yako ni kufuncha nyumba kwanza hakiona munapendana ndo anawanachanisha
@felisianathadei5403
@felisianathadei5403 2 жыл бұрын
Naomba na mimi nifungue baba
@felisianathadei5403
@felisianathadei5403 2 жыл бұрын
Naumwa tangu 1999 mpaka leo
@felisianathadei5403
@felisianathadei5403 2 жыл бұрын
Naomba unisadie niponye magonjwa yote
@drallicemugasa3086
@drallicemugasa3086 3 жыл бұрын
Kiboko haki ya nani
@alimachitechi2107
@alimachitechi2107 3 жыл бұрын
Nyi mume ingia
@user-gz8nl3jv7m
@user-gz8nl3jv7m 7 ай бұрын
500000au nimesikia vibaya
@emmanulefisto8822
@emmanulefisto8822 3 жыл бұрын
Iyonjoo majina yangu ya fb
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 97 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 24 МЛН
Mch Mbarikiwa Mwakipesile "Nahoji huyu ni Nabii mkuu au ni Muhuni mkuu..kwa jambo hili..?
28:36
Kikosi kazi cha injili Dodoma 🎖
Рет қаралды 112 М.
KIDUM KIBIDO APEWA UNABII PAMOJA NA MILIONI 20 - GeorDavie TV
19:37
Fahamu Historia ya Apostle Dunstan Maboya
48:12
Jesus Power Onlive TV
Рет қаралды 65 М.
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 97 МЛН