Warioba na Lissu WAKUBALIANA Kuhusu MUUNGANO!!!

  Рет қаралды 28,051

SUPER TAMUTAMU

SUPER TAMUTAMU

27 күн бұрын

Пікірлер: 197
@user-xi2mf4xh7r
@user-xi2mf4xh7r 25 күн бұрын
Ubarikiwe mzee wetu na miaka ya maisha yako izidishiwe katika jina la Yesu kristo.(Amina)
@GoodTeck90
@GoodTeck90 25 күн бұрын
Ubarikiwe sana Mzee wetu .....ndiyo cream pekee iliyobakia Tanzania, [kwa wale waliowahi kuwa viongozi wa Taifa letu kama ww] wengine wote vikaragosi. Ni mtu pekee unayesimamia ukweli na usiyeyumbishwa siku zote.
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 25 күн бұрын
Zanzibar si jimbo Zanzibar ni nchi na inahistoria yake kama ilivyo Tanganyika.
@GoodTeck90
@GoodTeck90 25 күн бұрын
Ww hujui .....Tofautisha nchi [country] na nchi huru [state] yaani dola kiswahili ...... Zanzibar ni nchi [country] Lakini siyo nchi huru [dola / State] na ndiyo maana haina kiti UN [Umoja wa Mataifa] ..... Kwa vyovyote vile Rais wa Zanzibar kupigiwa mizinga 21 ni kuvunja Katiba, na kupindua madaraka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Zanzibar haina Jeshi lake; unapopigiwa mizinga na Jeshi la Jamhuri ya Muungano na rais wa ZNZ siyo Amri Jeshi Mkuu huko ni kupindua nchi.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 25 күн бұрын
​@@GoodTeck90Mbona maelezo marefu kwa tafsiri za Kiingereza. Suala ni "nchi" kama Zanzibar na Tanganyika si nchi basi hakuna Muungano, kwani kilichounganishwa ni nini mpaka Muungano ukatokea? Muungano ni zao la nchi mbili huwezi kupotosha ukweli huu!
@solomonadams6337
@solomonadams6337 24 күн бұрын
​@GoodTeck90 utakiwa unacho kizungumza lazima uwe na elimu nacho don't you know what does mean Country ¿Safiri kwanza usome halafu naamini hutozungumza utumbo huu sawa!Zanzibar is Country buh not Sovereign okay.na zilko nchi nyengine kama Zanzibar sawa.thanks
@GoodTeck90
@GoodTeck90 24 күн бұрын
@@solomonadams6337 kuna tofauti gani kati ya sovereign and state or sovereign and sovereign state ???!!! ..... Unakurupuka tuu kujibu hata unachokijibu hukijui ..... Mtu akisema state anamaanisha sovereign state yaani dola. Kwa kukusaidia tuu nenda kasome the doctrine of state and law by Car Marx. Zanzibar is a country but not a state hicho ndicho nilichokisema mm na hakibadiliki. Sasa ww umekariri na shule zako za chini ya mwembe unakuja kukosoa watu.
@abuubakar7594
@abuubakar7594 23 күн бұрын
​​@@GoodTeck90 kwaiyo unamaanisha nyinyi Watanganyika munaitawala Zanzibar? Au unamaanixa vp kusema Zanzibar sio nchi huru?
@omarhusna1766
@omarhusna1766 24 күн бұрын
Samahani muheshimiwa warioba hulo dubwana lenu LA mungano sisi wazanzibar hatutaki Hala kukisikia laaanatullah tuondoshee mungu wangu Hulu jina linalo itwaa mungano wazanzibar
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 25 күн бұрын
Kama Hawa wazee walizaliwa ccm wanaona tatizo la muungano nyinyi wasomi wa Leo mnaosema muungano Hauna shida muliiba mitihani pamoja na vyeti kumbe wakina lisu mwabukusi wapewe maua Yao kumbe hatuna mulinzi wa lasilimali za Tanganyika ndio maana zimetawanyika
@issackjoelndakama1325
@issackjoelndakama1325 25 күн бұрын
Huyu mzee anatakiwa apewe kamati ya kukamilisha kuandika katiba mpya ya Tanzania
@GoodTeck90
@GoodTeck90 25 күн бұрын
CCM yalivyo hayawezi kumpa Kamati, kwa sababu wanamjua Mzee Warioba siku zote anasimamia ukweli.
@shelukindosabuni1030
@shelukindosabuni1030 24 күн бұрын
Hya majina ya mtu wa Bara sitaki mimi ni Mtanganyika
@joshuac.mashida1378
@joshuac.mashida1378 25 күн бұрын
Huyu mzee apewe tuzo yake yaheshima kabla hajaenda zake maana watanzania tumezoea kutoa tuzo kiongozi kisha ondoka aione macho kwa macho kazi yake wakati huu
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 23 күн бұрын
Kabisa
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 25 күн бұрын
Mungu Akubariki Mzee wetu, Tunaihitaji Tanganyika yetu sn sn!
@anosiata8242
@anosiata8242 25 күн бұрын
Mzee yuko vizuri mungu akutunze
@NassorOmarDadi
@NassorOmarDadi 25 күн бұрын
Mnafiki why hasemi km Zanzibar iachiwe then tuwe na tanganyika huru
@dribrahimmamboleo4435
@dribrahimmamboleo4435 24 күн бұрын
Duuuh Yaani maelezo yote hayo bado tu hujaielewa dhamira ya walyoba. Mbululaaa😂
@dribrahimmamboleo4435
@dribrahimmamboleo4435 24 күн бұрын
​@@NassorOmarDadi yaani maelezo yote hayo bado tu hujaielewa dhamira ya mzee walyoba😅 We mbulula😂
@methodmasenda9170
@methodmasenda9170 14 күн бұрын
Serikàli moja rais moja jeshi moja kila kitu kimoja tuu basi ila uroho tu wa madaraka
@user-vd1vx1dc8p
@user-vd1vx1dc8p 25 күн бұрын
Ndiyo Zanzibar ni nchi! Lakini CCM wanajitoa ufahamu na kutulazimisha wananchi tukubaliane na ujinga wao
@gastordominic410
@gastordominic410 14 күн бұрын
Mr Rioba your so smart
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 23 күн бұрын
Warioba una akil saaanaaa
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 24 күн бұрын
Sasa nyinyi ikiwa hamupati matunda ya muungano kwann mumekazania muungano uwepo .. kwann hamuuondoi muungano kilamtu akabakia pekeake kama nchi huru.. mnanishangaza sana
@SuleimanChief
@SuleimanChief 23 күн бұрын
Bora kila mtu na nchi yake
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb 23 күн бұрын
Mzee ❤❤❤ unaongea vizuri Sana
@bahatielias6443
@bahatielias6443 23 күн бұрын
Mzee Bado yupo imara ,na akili timamu sema CCM hawampendi
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 25 күн бұрын
Sirikali.tatu maoni yangu
@rashidissa5887
@rashidissa5887 25 күн бұрын
Hapa hatujaulizwa kutoa mapendekezo yetu. Wewe tulia ukisikilize kichwa kikongwe
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 25 күн бұрын
​@@rashidissa5887maji ya shingo CCM understand my brother everyone is very important no matter
@dribrahimmamboleo4435
@dribrahimmamboleo4435 24 күн бұрын
Mbona mkali😂
@mohammedbakar4142
@mohammedbakar4142 25 күн бұрын
Mzee Warioba ndio maana wazanzibar tuna taka serikali TATU
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 25 күн бұрын
Mzee warioba nakubali madini yako
@HudayjumaTaalib
@HudayjumaTaalib 22 күн бұрын
Hizi koment Mamasamia kama unazyona inaonyesha waz kweny mungano kunamatatzo makubwa sana nakuomba mama fanya kiweleweke
@MdYeasin-xx1gm
@MdYeasin-xx1gm 25 күн бұрын
kisu cha buchani kina zeeka na makali yake tupe nondo mzee mungu akulinde
@NassorOmarDadi
@NassorOmarDadi 25 күн бұрын
Zanzibar hatutaku Muungano hii ni Nchi huru km kwenu mnaona ni shida si lasima tuwe pamoja kama kwenu ni shida tuwe kama zamani majirani mema. ZANZIBAR NI DOLA KUBWA LILIKUA KABLA YA TANGANYIKA HATUTAKI NCHI YETU NA ITABAKI HIVO HIGO HADI DUNIA ITAONDOKA
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 24 күн бұрын
Wewe mweutuu mungano utawepo ngoja Angie laisi kama magufuli alafu utatua ujuii na kama una weza kachukue mchanga walio changanya nyelele na kalume nyinyi wa toto wadogo Muna jikwrza mambo mwishoo wa siku Muna alibu
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 24 күн бұрын
Nyinyi niwasomi lakn mnachanganya ujinga na werevu .. nahis maji maji ya ccm yanawasumbua hasa wewe Mzee warioba
@babanatalis8401
@babanatalis8401 25 күн бұрын
mzee ana hoja ya msingi asikilizwe
@charlesmazigo8106
@charlesmazigo8106 5 күн бұрын
Ufumbuzi ni kuwa na serikali moja,vitu viwili vikiungana kinakuwa kimoja,zanzibar ibaki wilaya ya tanzania
@KandidoLuvanga
@KandidoLuvanga 19 күн бұрын
Kiukwelibilakudanganyana wa bala huku tunachakaa sana wezetu zanzibar wanabebwa sana
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 23 күн бұрын
Maua yako Judge Warioba. Nadhani mwana CCM mwenza
@user-rp6ev9ux1o
@user-rp6ev9ux1o 23 күн бұрын
Watu kama hawa kwa Tz yetu hii ni wachache sana .
@AbdallaJuma-tx5ck
@AbdallaJuma-tx5ck 19 күн бұрын
Mzr warioba wewe unafaa kua rais.sababu huna ubagizi.ila unajuwa Kila kitu kuhusu muungano suluisho ni serikali Tatu ndio chaguo la WAZANZIBARI.
@Muba-rf1eb
@Muba-rf1eb 23 күн бұрын
Warioba umeongea maneno mengi sana ila kilio chako ni mizinga 21 tu Kwan rais wa Zanzibar yeye hana haki yyte kwenye nchi
@user-wk4br3rc6u
@user-wk4br3rc6u 25 күн бұрын
Mwenyez mungu azidi kukuweka apa duniani amina
@saidkhalifa34
@saidkhalifa34 22 күн бұрын
Asante chukuwa hio Zanzibar imekuwa MWAMINIFU kwa mungano ❤
@HudayjumaTaalib
@HudayjumaTaalib 22 күн бұрын
Huyu alkuepo wakati mungano unaugwa nayy anazionakero mbona cc M hamumskilzi mana huyo mwemzenu nasi mpnzan mbona hamumskilz
@martinkisha6307
@martinkisha6307 25 күн бұрын
CCM wamjibu na huyu mzee wampige tunaomba Tanganyika yetu
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 23 күн бұрын
Hizi,ni,nchi,mbili,mzee,si,nchi,Moja,Tanganyika,ikowapi
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 23 күн бұрын
Anayoyasema Tundu Lisu ndiyo anayosema huyu mzee mbona hajaitwa mbaguzi?
@user-vl7yy8gz9k
@user-vl7yy8gz9k 22 күн бұрын
Mzee asante kwa unwell na kuwaumbua chawa wanaomdanganya Rais wanamvuruga sanamama hawa chawa
@salummichael87
@salummichael87 Күн бұрын
Tunakandamizwa watanganyika tupewe haki yetu kwanini hatupew haki wakat wenzet walipewa hak????
@gastordominic410
@gastordominic410 14 күн бұрын
Achana na wingi wa simu kumiliki Rioba anazungumza Uzito wa hoja ya mtu siyo wingi akina nani wameongea
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 23 күн бұрын
Hah 😮 kumbe huruhusiwe kumiliki kiwanja. Duh hii ndoa imekufa
@user-cg6iy2et7q
@user-cg6iy2et7q 23 күн бұрын
Yaan mzee anaakilisan kuliko vijana wasikuiz. Wako kwenyevyeo lakin hamnalolote. Nazan wamekusikia mzee jinsi unavyolichambua jambo
@user-so9fo5tv3j
@user-so9fo5tv3j 25 күн бұрын
Stay blessed Mzee wetu retired PM Warioba.
@maikonyondo-gr7gd
@maikonyondo-gr7gd 23 күн бұрын
Huyu ndie kiongozi mtanganyika hivi tunahitaji nn kwenye muungano?
@salummichael87
@salummichael87 Күн бұрын
Serikali tatu ni haki kwa mtanganyika
@user-ub1yx5vc8b
@user-ub1yx5vc8b 25 күн бұрын
Asante Jaji Warioba
@user-lx3ov9sf4o
@user-lx3ov9sf4o 21 күн бұрын
Tuungane tu aise tuunganishe nguvu zetu tuitengeneze tanzania mpya
@user-io4cz9yg1w
@user-io4cz9yg1w 21 күн бұрын
aya yote kaleta Rais wa awamu ya kwanza
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 25 күн бұрын
CCM NDIO MPUMBAVU NA MAJINA YASIYO NA AKILI HATA ZA KUZALIWA WARIOBA NA YUPO SAHIHI ZANZIBAR NI NCHI NA SIO TANZANIA! TANGANYIKA NDIYO TANZANIA!
@AbhaiyaAbhaiya
@AbhaiyaAbhaiya 21 күн бұрын
Ukiileta ccm na andazi ntachagua andazi
@omarkapula588
@omarkapula588 25 күн бұрын
Zanzibar bendera upepo huko sawa sasa arshi ya zanzibar kutoka nungwi mpaka fumba ni kilomita 90 upana 45 sasa watu miloni sitini wote wanataka wapate ardhi ya zanzibar kweli warioba hujui kitu unatumia umaarufu tu
@martinkisha6307
@martinkisha6307 25 күн бұрын
Wengine ni pumba tu mzee yuko sawa
@philipfrancis2376
@philipfrancis2376 25 күн бұрын
We uwezo wako ni mdogo sana wa kuchambua hoja. Nakushauri ukae kimya
@MzeewaslowHusseinAndrew
@MzeewaslowHusseinAndrew 23 күн бұрын
Mapumbu yako kama hujui kitu nyamaza mpuuzi wewe @Omarkapula!.
@neliusgosbertbaguma8693
@neliusgosbertbaguma8693 25 күн бұрын
Wamemsaliti Nyerere nao wasalitiwe tutengeneze ccm b
@user-cz9zu7ur1h
@user-cz9zu7ur1h 25 күн бұрын
Kunakitu kuna nikera sana et mzanzibari akijiita yeye mzanzibari anaitwa mbaguzi ila mtanganyika yeye hapendi kujita mtanganyika hapa pana shida
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 25 күн бұрын
Umenena kwa usahihi, watanganyika tumejaa woga, uzandiki na unafiki!
@richardrugemalira6934
@richardrugemalira6934 23 күн бұрын
Tanzania bado ina hazina ya wazee wenye ufahamu, umahiri na hekima kubwa kusimamia hoja pasipo kuendekeza mawazo mgando ya UCHAWA wa CCM.
@himidmkuya7381
@himidmkuya7381 25 күн бұрын
ccm huyu mzee hawampendi lakini watamkumbuka katika makada wasomi wa ccm warioba tuu ndiye anae juwa ukweli tuu ccm tubadilike
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 24 күн бұрын
Mzee Warioba nakuombea kwa Mungu uwe hai mpaka Serikali tatu zitakapopatikana ili uingie kwenye orodha ya mpigania haki ya kurudishwa kwa Serikali ya Tanganyika
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 19 күн бұрын
Watu wa ccm msishangilie tu zanzibar ni wa watu ambao watuibia tu
@singirangoishiye685
@singirangoishiye685 25 күн бұрын
Ubarikiwe sana Mzee Warioba. Nauliza swali kwa Serikali yetu na chama chamapinduzi kama wanaongoza pande zote za muungano na wengi mnapenda muungano kwanini msipendeke muungano wa nchi moja? Binafsi nikifikira ndoto za Baba wa Taifa alitamani nchi moja na ndio maana alianza na kuuwa Tanganyika, mliyofuata mlishindwa nini kuuwa Zanzibar?
@NassorOmarDadi
@NassorOmarDadi 25 күн бұрын
Zanzibar hatuutaki hasa huo muungano km mnataka muungano kaunganeni na Uganda na Kenya, Burundi, Rwanda maana hizo mmeshikana nazo hasa kuliko hata Zanzibar ambayo inetenganishwa na Bahari
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 23 күн бұрын
Inasikitisha sana mzee warioba huna deni kw zanzibar lkn pia kw jinsi muungano ulivyoasisiwa lkn pia kw unavyopigania haki itendeke.
@PaulKabungo
@PaulKabungo 25 күн бұрын
Serikali tatu
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 24 күн бұрын
Sasa nyie ndio mabiya kweli ya n.. hivi ninani ane tumia jesh kisiasa kama sio cmm.. yan nyie ningekuwa na uwezo ningewachoma moto mkiwa mnajiona.. mambo yenu ni uwongo uwongo, utapeli na ujinga..
@user-ti3ku9cc9v
@user-ti3ku9cc9v 24 күн бұрын
Napata kigugumizi sana je inawezekana?haya jaji anayoyazungumza
@meyasadavid9801
@meyasadavid9801 23 күн бұрын
Muungano ufe kila mtu kwao kama ni ulinzi wa inchi tutafute mbinu , wzanzibar wlio bara kwao mara moja tuachane maneno yamezidi sana
@didaslunkoto
@didaslunkoto 25 күн бұрын
Mzee warioba, Jenerali ulimwengu, Issa shivji na Tundu Lisu BABA wa Mbinguni azidi kuwatunza. Hawa ndo tunu ya Taifa
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 24 күн бұрын
Hapataki tocho jibu liko wazi serikali tatu bila ya hivyo kila nchi itambue kwao
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 25 күн бұрын
Mzee Sinde,unatutendea sisi wananchi haki kwa ufafanuzi mzuri wa muundo wa muungano unaofaa nchini.
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n 25 күн бұрын
Walioba Mungu Akupe Maisha Malsha Malefu Ushudie. Viongozi Wa CCM Tunavyowasukuma Ndani
@gastordominic410
@gastordominic410 14 күн бұрын
Warioba ni miongoni kwa Tunu za Taifa letu
@AgostinoWansyinho
@AgostinoWansyinho 23 күн бұрын
My country people
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 23 күн бұрын
Mkweli sana mzee Walioba
@user-iq7kd3ne8w
@user-iq7kd3ne8w 25 күн бұрын
Nakupata sana habari yako njema mzee wangu kwaida tunavyo jua kichwa katika mwili wa binadamu ndio Cha kwanza kutangulia hata kuzaliwa Sasa nakuamini ukweli siku zote haifichiki itapenya tuu hata mm mwenyewe ni ccm ni katibu vijana ccm kata ila naamini haya ni ya kweli semeni mungu
@bahatielias6443
@bahatielias6443 23 күн бұрын
Nasiyo wewe tu u naelewa Hilo,viongozi wote wa CCm wanajua ukweli Lakin wameamua kuziba masikio tu one day watakubali tu , hakuna mtu hataku muungano isipokuwa lazima muungano uwe openi na wenye manufaa pande zote
@user-wv5is5ky9b
@user-wv5is5ky9b 24 күн бұрын
Mi nahisi solution ni kuvunja muungano tu sivyenginevyo wazanzibari wakabaki na nchi yao na watanganyika wabaki na nchi yao
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 23 күн бұрын
Hii si agenda ya Siri ya ccm
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 23 күн бұрын
Agenda ya. Ccm Ni kuikalia Zanzibar.
@almasisalehe8164
@almasisalehe8164 24 күн бұрын
Tathimini pevu. Kwa uchambuzi huu; Mheshiwa Jaji ameitendea Tanzania haki. Ameainisha waziwazi uhalisia wa yanayoendelea ndani ya muungano. Pande zote mbili za muungano ziwe na dhamira ya kweli. Kinyume chake ni sawa na muungano wa maigizo.
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 24 күн бұрын
Na kuhusu ardh bado haijawa sababu kwan hata marekan watanganyika wanamiliki maeneo na hawajaungana.. hizo zenu ni mbinu za utapeli..
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 23 күн бұрын
Hujielew wew"mpuuz"mwache Mzee warioba anazungumza point
@albertvalentino130
@albertvalentino130 24 күн бұрын
Mh,NAPE unatufafanuliaje kuhusiana na hizi hoja za Mh,mzee WARIOBA inao onekana naye anakubaliana na Mh LISU " Tutoe kwenye mtanziko "
@sulaimanmallecha6134
@sulaimanmallecha6134 25 күн бұрын
Asate sana mzee walioba MUNGU akuongezee siku za kuishi uione nchi inavyopelekwa na majinga ma ccm😂😂😢
@KandidoLuvanga
@KandidoLuvanga 19 күн бұрын
Yaani swala la muungano wetu huu ukiwa na akilitimamu huwezi kuelewa unamambo fulani ambayo hayanamajibu kuna kama danganyatoto hivi
@AmusedForestBridge-zo6ox
@AmusedForestBridge-zo6ox 25 күн бұрын
Warioba anaujua kila kitu viongozi wa sasa hakuna kitu na hawajui
@hamadsaid4993
@hamadsaid4993 25 күн бұрын
Sasa mnaongea kitu gn naona ujinga tu kwani ni lazima tuungane, kwanza sisi na nyie ni watu tofauti nyie mna vichogo na nywele zinu kma vumbi or kipilipili, cc wazanzibar nywele zetu singa lain ya nn kulazimisha vitu
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 25 күн бұрын
Akili ndogo sana! Nwele za singa au kipilipili mwisho wake ni nini?
@MzeewaslowHusseinAndrew
@MzeewaslowHusseinAndrew 23 күн бұрын
Makalio yako yakuwasha wewe
@user-ti3ku9cc9v
@user-ti3ku9cc9v 24 күн бұрын
Hawa makatibu wakuu ni wamhungano au?
@neliusgosbertbaguma8693
@neliusgosbertbaguma8693 25 күн бұрын
Huyu mzee wetu, ana Mungu
@Muba-rf1eb
@Muba-rf1eb 23 күн бұрын
Niuongo wabara wapo wengi Zanzibar wanaomiliki Kila kitu nyumba nakila kitu Kwan wabara wapo wengi Zanzibar
@EzekielChalomhola
@EzekielChalomhola 25 күн бұрын
@omarkapula588 Kwa comment hii inaonyesha ulivyomjinga na uwezo wako kufikiri ni mdogo. Pole sana!
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 25 күн бұрын
Nonakukubali sana Baba Warioba
@victorjeremiah246
@victorjeremiah246 24 күн бұрын
🔸Na TANGANYIKA yenyewe ilikozikwa mda watosha kuondoa jiwe Kaburini Razaro wetu tunataka apate kufufuliwa.
@anosiata8242
@anosiata8242 25 күн бұрын
Mzee ni kiboko kweli ni Mwanasheria mubombezi napenda njisi anavyojibu maswali. Yuko vizuri
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 7 күн бұрын
Ati sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar mgeni rasmi rais wa Zanzibar sherehe za uhuru wa Tanganyika mgeni rais wa muungano eti jina linabadilishwa uhuru wa Tanzania bara usanii mtupu
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 23 күн бұрын
Mangu akupe maisha marefu
@PaulKabungo
@PaulKabungo 25 күн бұрын
Mzee wetu, anajua kuliko vijana waleo
@spiderelexander9977
@spiderelexander9977 24 күн бұрын
Kati ya wazee tuliobaki nao wenye hekima walioba yumo na haya mambo kila cku lisu anayasema lakini anaonekana mjinga
@felixmsengi1084
@felixmsengi1084 25 күн бұрын
Huyu ndie jaji na mzalendo na anafafanua vzr Sheria na katiba ya nchi
@EzekielChalomhola
@EzekielChalomhola 25 күн бұрын
Ni hatari sana Kwa taifa tukiendekeza shingo ngumu ya CCM. Maneno ya huyu Mzee siyo ya kupuuza
@user-rg1wy6ft5l
@user-rg1wy6ft5l 25 күн бұрын
Na huyo Nyerere amemsaliti Karume maana makubaliano yao ni mambo 11 tu kwaio nyerere ni msaliti mkubwa
@bakanga1410
@bakanga1410 23 күн бұрын
Huyu Mzee jambo kama halijaondolewa kikatiba huo ni uhuni tu cyo mfumi
@user-ti3ku9cc9v
@user-ti3ku9cc9v 24 күн бұрын
Je kwa mfano mkuu wa mkoa kama makonda wanaweza kumhamishia zanzibar?
@user-so9fo5tv3j
@user-so9fo5tv3j 25 күн бұрын
Stand up with justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people.(Quran 4:135)
@venancymsukwa6431
@venancymsukwa6431 25 күн бұрын
Mzarendo wa kweli hata mbingu inatambua
@user-ti3ku9cc9v
@user-ti3ku9cc9v 24 күн бұрын
Ivi rais wa jamhuri ya mhungano anaweza kuteua wakuu wa mikowa wa zanzibar?
@wilfredmbussa4930
@wilfredmbussa4930 24 күн бұрын
Tunge vunja muungano tu
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 23 күн бұрын
Tunapaswa kuwa na wazee wa ainayoko mzee wetu warioba sio wazee wanaoliangamiza taifa kwa masilahi ya matumbo yao.
@KandidoLuvanga
@KandidoLuvanga 19 күн бұрын
Hongera mzee unaufahamu mkubwa sana munguakubariki nchihii yetu lakini kunavichwa bus wendawazimu wengi yaani kuna usanii. Uhalisia siomzuri ndiyo maana nimesema kuna danganya toto
@stevesungura6789
@stevesungura6789 25 күн бұрын
Aise, ivi kweli wanaopibga hili jambo hawaelewi au?
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 24 күн бұрын
Baraza la wawakilish lazima liwe kubwa bunge ni zao TU la muungano
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 24 күн бұрын
Better to have 3 gavment pointless reject cost how to run 3 gavment whake we are already on that cost ccm crush warioba advise because of few politician inside gavment benefits themselves on behalf of this agreement of lare julias kambarege Nyerere and aman abed karume pasonol benefits not Tanganyika population
@EzekielChalomhola
@EzekielChalomhola 25 күн бұрын
Mtangazaji maswali Yako ni mazuri lakini ni inaonyesha umepewa
MAMAAAAAA...Lissu kama OBAMAAA, ATIKISA NCHI, Dunia YASIMAMAAAA!!!
43:55
1 класс vs 11 класс  (игрушка)
00:30
БЕРТ
Рет қаралды 1,4 МЛН
Cute Barbie Gadget 🥰 #gadgets
01:00
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 37 МЛН
WARIOBA: TUSIJADILI MUUNGANO KWA MASLAHI YA MADARAKA
9:23
Daily News Digital
Рет қаралды 1,3 М.
HALIMA MDEE AINGIA KWENYE 18 ZA TUNDU LISSU AFICHUA TUSIYOYAJUA...
13:54
Mtikila ALIVYOUKATAA MUUNGANO live bila CHENGAAAAA!
12:13
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 24 М.
Месть сапсана
0:55
Timminator
Рет қаралды 1,5 МЛН
ЛУЧШИЙ РОБОТ-ПЫЛЕСОС #neatsvor
0:29
Kan Andrey
Рет қаралды 2,2 МЛН
И кто победил: папа или сын? 🤪🏆✌️
0:24
НЕБО - СПОРТ И РАЗВЛЕЧЕНИЯ
Рет қаралды 2 МЛН
ЛУЧШИЙ РОБОТ-ПЫЛЕСОС #neatsvor
0:29
Kan Andrey
Рет қаралды 2,2 МЛН
😨 СТАЛА ПИЛОТОМ НА 24 ЧАСА
0:36
Настя, это где?
Рет қаралды 7 МЛН