MWANZO MWISHO : MKE WA MOMO AFUNGUKA KUTOKA NA MSIZWA WA ESMA PLATNUMZ/ ANAROHO MBAYA NA WIVU UMEJAA

  Рет қаралды 198,630

Wasafi Media

Wasafi Media

3 жыл бұрын

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 580
@olomweneabongela1717
@olomweneabongela1717 3 жыл бұрын
Anayehamini baada ya hii interview Momo atakwenda kuhanzisha mahojiano mapya nyumbani au ugomvi anipe like tafadhali.
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@christophernsemwa8185
@christophernsemwa8185 3 жыл бұрын
Ni ngumu sana kujua ya mwanamke: Siri ya kuzini kwa mwanamke you need more than telescopic eye to identify the point of aim..! (POA) Wana akili sana Hawa viumbe ila mwisho wao huwa mfupi sana: it is because they never focus at the Point of Impact (POI) Pole sana kaka Ricardo Momo Shemeji kuna ulakini katika hadithi yake ... Shekhe.
@leolaganira8679
@leolaganira8679 3 жыл бұрын
I applaud him for standing by his woman period!
@salmaseif8755
@salmaseif8755 3 жыл бұрын
Momo nimekupenda sanaa we mwanaume na nusu asantee kwa kumtetea mkeo
@salmaseif8755
@salmaseif8755 3 жыл бұрын
Kumbe Esma kumbe ujamkataa msizwa kuwa humpendi, Kumbe nimaumivu tu yakimapenz ya mumewe, msizwa popote ulipo Esma kumbe alikuzimikia👌 Msizwa we mwanaume na nusu 💪
@abdulhemedabdulhemed7110
@abdulhemedabdulhemed7110 3 жыл бұрын
Wallah hii familia inafanya mambo ya aibu na tatizo kubwa wako mbali na Allah mke wako kichwa wazi katika mtandao .... hii ni aibu tuu kwa hakika lipo jambo hapa na mume pia ajua lile jicho alilo kua anamuangalia mkewe sio mchezo
@shankim3416
@shankim3416 3 жыл бұрын
Ricardo you are a real man. May God bless your marriage
@janethndial5759
@janethndial5759 3 жыл бұрын
Yaan huyu kaka ni mwanaume zaidi ya wanaume daa
@winskitchen.602
@winskitchen.602 3 жыл бұрын
Amin
@siamollel9725
@siamollel9725 3 жыл бұрын
Ukweli maisha yanahitaji ujasiri na sio nguvu wala Akili nyingi,,,Esma muharibifu anataka Wifi yake aachwe awe mdangaji Kama yeye,,,Wivu wa maisha unatuumiza wengi
@mrthreesix280
@mrthreesix280 3 жыл бұрын
Eeee aka kamwanamke aka..kanakaa kanjanja Sana😂😂😂 momo keshaliliwa ayaaaaaaaaaaaaaa
@hamisomarykumba5877
@hamisomarykumba5877 3 жыл бұрын
37:21 Jinsi Bwana Ricardo anavyo mtazama mkewe ndiyo utajua kama wanawake ni wauaji😄😄😄,Msizwa amemla huyu mwanamke...
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@siahfrednand670
@siahfrednand670 3 жыл бұрын
Hamisi omary una uhakika kama kaliwa
@lilianrichard2298
@lilianrichard2298 3 жыл бұрын
Kaliwa uyu
@rashidaly4179
@rashidaly4179 3 жыл бұрын
Uyo demu kaliwa kwel na wew momo unachosubir nikumkamata kwa mwenyo lkn hakuna cku nyingi utamkamata uyo demu cie
@cocobae5172
@cocobae5172 3 жыл бұрын
True body language tells it all
@rashidaly4179
@rashidaly4179 3 жыл бұрын
Momo unakosea awa wanawake Ni mama zetu lkn Wana tabia ya kutotosheka kwaiyo umempa %100% nyingi Sana momo izo kwakumpa mwanamke ata uwe unamuamini vipi izo bado ni nyinyi
@khalifapaul2543
@khalifapaul2543 3 жыл бұрын
@Ricadomomo wachana na Huyu Malaya katombwa Huyu Ana maneno mengi Kaliwa more love From kenya !🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
Malaya kamtoma baba Ako au mama yako? Sounds stupid
@lucamartin6584
@lucamartin6584 3 жыл бұрын
Mabaharia tumeshaelewa huyu dada kaliwa story mingi mingi sana anatumix na mastory mob....
@rafaeliezekieli7685
@rafaeliezekieli7685 3 жыл бұрын
Sema mwanangu momo uyo mkeo mwamba kapitanae
@olive-jaysilasofficial
@olive-jaysilasofficial 3 жыл бұрын
Acha umbea
@mymunamymuna4807
@mymunamymuna4807 3 жыл бұрын
Aliliwa huyo demu, acha kuhepahepa
@rafaeliezekieli7685
@rafaeliezekieli7685 3 жыл бұрын
@@olive-jaysilasofficial xo udea mzee dam mwenyewe anaunyesha hajatulia yan anavyo ongea2 hajiamin
@florabaruti8032
@florabaruti8032 3 жыл бұрын
@@olive-jaysilasofficial kwani uongo
@malongosalim6826
@malongosalim6826 3 жыл бұрын
Momo mume bhna..Mariam tulia na mumeo..❤
@janethndial5759
@janethndial5759 3 жыл бұрын
Saaaaana
@miriamlaurean2226
@miriamlaurean2226 3 жыл бұрын
Hongera dada...umepata mume💓
@salmaseif8755
@salmaseif8755 3 жыл бұрын
Kbs Mume anamsimamo wake wamsumbue tu uyouyo daymond wao
@sikudhanhaule8879
@sikudhanhaule8879 3 жыл бұрын
😂😂😂sasa kama chart zilifumwa kuna nn apo kaka anajikaza tu ila demu wako kaliwa na mswiziiiiiiiiiii
@omakywazamani6696
@omakywazamani6696 3 жыл бұрын
Sana tena hapo anajikaza
@jeysenbenedict
@jeysenbenedict 3 жыл бұрын
Anajikaza lakin ni kweli🤣😂
@hamisingeruko8576
@hamisingeruko8576 3 жыл бұрын
Umeona ee,kusoma hujui hata picha huiyoni
@jamalmageser9390
@jamalmageser9390 3 жыл бұрын
Ukisoma na kwenye sura ya tatu ndani ya qur-an 3(6-7) Allah anasema (...And those who accuse their wives of adultery and have no witnesses except themselves,then the witness of one of them shall be four testmonies (swearing) by Allah that indeed he is of the truth....). Ushahidi wa zinaa lazima waje mashahidi wanne kama wapo,na kama aliona mmoja basi atatoa viapo vinne kuthibitisha kosa hilo. Hao mashahidi pia wanavigezo ikiwemo 1)Tabia njema 2)waadilifu 3) wasema ukweli 4) na wameshuhudia kwa jicho la wazi sio kuambiwa au kusikia. So big up bro Momo kamatilia mke wako mpaka pale atakapowahuku Allah wewe na mkeo
@omaryally5555
@omaryally5555 3 жыл бұрын
Alizungumza kwa lugha ya kizungu?
@carstuslucas4248
@carstuslucas4248 3 жыл бұрын
Wivu nikitu kibaya Sana mwenyez mungu atusimamie.
@jemimahaloyce4740
@jemimahaloyce4740 3 жыл бұрын
Sanaaa
@musaabuebker1750
@musaabuebker1750 3 жыл бұрын
Kama umeona jicho momo anlomkata mkewe weka like twende sawa
@agnessbenedict3043
@agnessbenedict3043 3 жыл бұрын
Cheee😂😂jicho la momo aki nmeliona
@aishajafa4139
@aishajafa4139 3 жыл бұрын
ili uitwe mwanaume hakikisha uwe na moyo wa momo dah kijana umejikaza kiume mkeo huyo kapita na msizwa anashindwa hata kujieleza
@andrewjulius6796
@andrewjulius6796 3 жыл бұрын
Daàh..kipi ni kipi Sasa lkn hapo nakupa BIG UP MOMOOO"moyo wa kishujaaa namwaume shupavu(ila momo KILA nikikuona kwenye MACHO YAKO naona kitu.
@magrethjunior8557
@magrethjunior8557 3 жыл бұрын
Yanga
@aishamaina6815
@aishamaina6815 3 жыл бұрын
Huyu msizwa inawezekana nikama alikua na mwanamke mwengine mpenzi wake ila akamsave jina lake kama Malaika..just in case ata ESMA akichukua Simu ya msizwa akipata hizo messages ajue kua ni Malaika.Msizwa ni MTU mmbaya sana.Tapeli,na mwenye kufanya watu wakigombana.
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
Where is text msgs? She should've screenshot harakaharaka send to her phone 📱
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 жыл бұрын
Esma kaachwa yeye anataka kuvulugwa ndoa ya mwenzio!!! Ovyooooooo
@ahmadshomali4206
@ahmadshomali4206 3 жыл бұрын
Masitufanye sisi ni watoto huyo Malaika ametembea na Msizwa 100%.
@charlskpc1103
@charlskpc1103 3 жыл бұрын
Msizwa kapita hapo,
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 3 жыл бұрын
Kuna ukweli fulani mke wa MOMO anaujua same tu ndo hivyo hawezi kusema... Ila ESMA naye wivu kweli unamsumbua
@ayshabayun9014
@ayshabayun9014 3 жыл бұрын
Yan we Ricardo ungekuwa na akili usingeliongelea hilo aibu nyoo mkeo kat*** na msizwa unaenda kumtetea..
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Hebu tuleteeni mambo ya kutuelimisha hatutaki kila saa hivi vikesi vyia utoto sasa hii ni interview gani? Kama kuna jambo na nyinyi ni jamii moja kaeni pembeni mkatengeze hivi vitu ndo vinafanya harmonize anawashambulia sisi tunawapenda hebu tuleteeni mambo mapya.
@cheedvevo
@cheedvevo 3 жыл бұрын
Hii ni redio na ina vipindi vyake elewa hiki nikipindi cha mashaamshaam kuna udaku ndani yake, fatilia good morning uelemike
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 3 жыл бұрын
Yuda ni msaliti jamani ila kuongea uongo huwa hawezi
@divinebernard1047
@divinebernard1047 3 жыл бұрын
Kabisa
@irenenyange9409
@irenenyange9409 3 жыл бұрын
emsa yan ukiachwa ww unatak n watu wengine waachane kwenda uko roho mbaya emsa
@janethndial5759
@janethndial5759 3 жыл бұрын
Na atayumba saaana
@rajabrwambo8083
@rajabrwambo8083 3 жыл бұрын
Dem anajikanyaga kanyaga tu kaliwa complete na msizwaaaa
@patsonmassawe7714
@patsonmassawe7714 3 жыл бұрын
Oops..wawe kama Diamond tu....Maana Diamond anapitia mengi sana..mengi sana..ila ni mkimya..mpaka now hajaoongea
@Noname-gg6bx
@Noname-gg6bx 3 жыл бұрын
Huyu Mke wa momo anaonekana tu kama hajatulia na momo anajua kila kitu kama demu hajatulia sema anaamua kukausha kutokana hiyo pisi ni kali akiiacha Leo watu wakubwa wataimiliki hiyo ni pisi ya BMW sio Ist na momo kachoka hana uwezo wa kumiliki Hii pisi ndo maana anakubali hata demu akimpiga matukio
@chrispinimkanda7127
@chrispinimkanda7127 3 жыл бұрын
Kitu Kama hicho bingwa!!
@Nalxylee254
@Nalxylee254 3 жыл бұрын
Ustadh unazingua,khulil haq wainkaa na murah
@medaihatungimana107
@medaihatungimana107 3 жыл бұрын
Muja muzitooo wakatii amekanaa kwa kishindo kikubwa mungu amuhurumiyee🤲🤲🤲
@josephvenus3259
@josephvenus3259 3 жыл бұрын
Bongo raha sana jamani dah! 🤗🤗😎😎 sijui unakosaje vipindi kama hivi!? Ila tujifunze tu, na tusiyapeleke nyumbani 😁
@missannevwtvvvip1576
@missannevwtvvvip1576 3 жыл бұрын
Esma is single and she wants all her friends to be single like her! Shame on you Esma!
@missannevwtvvvip1576
@missannevwtvvvip1576 3 жыл бұрын
Esma mnafiki! Mwivu tu YUDA huyo!
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 3 жыл бұрын
She go back to his baby daddy
@janethndial5759
@janethndial5759 3 жыл бұрын
Yaan esma anachokitafuta siku at akipata tu
@sistersade9039
@sistersade9039 Жыл бұрын
Dah nakumbuka kusikiliza kipindi hiki 2 years ago. Maskini Momo ulimpigia kifua mkeo, Leo kakutupa huko. Maneno ya Asmah tuyakumbuke.
@darlinghadija1313
@darlinghadija1313 3 жыл бұрын
Yaani huyu mama anakaa hatari 😂 ameliwa kwa kweli 😂 😂
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 3 жыл бұрын
Ata wy unaliwaga pia
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Wahuni tmeelewa tunda la peponi ni tamu
@handbagsquality9835
@handbagsquality9835 3 жыл бұрын
Duh 🤯 sielewi bado. Yaishe sasa maisha yaendelee
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 3 жыл бұрын
Na huyu alisema Hana no ya msizwa hio simu alimpigia na No gani
@thisiszai2045
@thisiszai2045 3 жыл бұрын
Jamani masikio Masha'Allah
@rizikiwaadee8790
@rizikiwaadee8790 3 жыл бұрын
Sasa ndo napata picha huyo Momo anavoongea ni diamondi mtuuupuuu kweli damu nzito
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Ata mie nimeona ilo
@separatebetres5315
@separatebetres5315 3 жыл бұрын
Kweli wamefanana sn
@mamukassim4075
@mamukassim4075 3 жыл бұрын
Ata mtoto wa tanasha zaidi kafanana na momo
@ashaally6993
@ashaally6993 3 жыл бұрын
Moja kwa moja inaonyesha msizwa kala mzigo...kuchapiwa ni siri ya ndani kaka vumilia 😂😂😂😂
@fatmasaid1911
@fatmasaid1911 3 жыл бұрын
Niko pamoja Na wewe
@ashaally6993
@ashaally6993 3 жыл бұрын
@@fatmasaid1911 👌
@magangashaban3835
@magangashaban3835 3 жыл бұрын
Duu kaliwa tena huyo dada itakuwa wagombea bwana
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 Жыл бұрын
Momo ni mume na nusu Mungu akulindeie ndoa yako
@wananchitv8690
@wananchitv8690 3 жыл бұрын
Tuliosoma Saikolojia tunajua huyu dem aliliwa
@leonardjaphety7104
@leonardjaphety7104 3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 3 жыл бұрын
Haha haha ikowazi hyo
@husnamfuko6136
@husnamfuko6136 3 жыл бұрын
Ndio Ana chachawa
@getrudemwangonelah5873
@getrudemwangonelah5873 3 жыл бұрын
Hata maelezo yake tu kaliwa😂😂😂
@annaeriksson8555
@annaeriksson8555 3 жыл бұрын
Sana tu maneno mengi
@jumongjr5837
@jumongjr5837 3 жыл бұрын
Momo kaibiwa chombo 😂😂😂😂😂😂😂
@sponsertv5009
@sponsertv5009 3 жыл бұрын
Acha tuishi na hii cc wenye uelewa wa haraka YUDA MSTARITI ILA AJAWAHI KUSEMA UONGO ila respect mwanetu wa nyange mmorogolo mwezetu
@Gigizlife
@Gigizlife 3 жыл бұрын
Huyu dada simwamini hata kidogo. Kafumaniwa ndio anajidai innocent
@chollogangstar3183
@chollogangstar3183 3 жыл бұрын
Kapigwa huyo hana jipya
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 3 жыл бұрын
Anything could be happened,never trust woman,MOMOO000,uko strong,sio kwa kujieleza huko.
@pujimontanapachino4958
@pujimontanapachino4958 3 жыл бұрын
Jamaa kagongewa lakini ndio kapenda atafanyaje anajikaza kiume tu.😂
@swaummussa1272
@swaummussa1272 3 жыл бұрын
Kabisa😂
@shaibumahanda5190
@shaibumahanda5190 3 жыл бұрын
Hahahahaha
@ayshabayun9014
@ayshabayun9014 3 жыл бұрын
Ningekuwa mm ningekaa kimya tu . Asa anatetea nini...hakuna maongezi ya faragha au makutano ya faragha kati ya mwanaume na mwanamke tena wote mazuri halaf ukiangalia momo na msizwa ni tofauti msizwa hb japo anatabia mbaya.
@abdallahsaidi2942
@abdallahsaidi2942 3 жыл бұрын
Momo ameshikwa na mkewe
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 3 жыл бұрын
Keshaliwa mbna msizwa kasema malaika ajipendekeza
@alshabje7185
@alshabje7185 3 жыл бұрын
Umeharibu ndowa yako Sasa unataka kuharibu ya wengine wewe wenyewe mchafu
@eliadominick7332
@eliadominick7332 3 жыл бұрын
Sasa hii ndo moja ya sababu inayomfanya diamond asioe
@fravoredstunner5
@fravoredstunner5 3 жыл бұрын
Braza achana na huyo dem. Yupo kweny mission yake.
@kinasatz7266
@kinasatz7266 3 жыл бұрын
Daaa!! Kwel utabili wangu umetimia, uongeaji wa momo ni mond mtupu, sikujua ni kwanini,, kumbe kaka bwana.
@abedkarume9088
@abedkarume9088 3 жыл бұрын
Kweli anaongea kama diamond umeonaeee
@mariammwakimbi4439
@mariammwakimbi4439 3 жыл бұрын
Yaani wamefanana mpak kuongea..
@nancywamimi2168
@nancywamimi2168 3 жыл бұрын
Sanaaa Yan nmeliona hilo
@abdulmtausi8327
@abdulmtausi8327 3 жыл бұрын
Hilo nililijua siku nyingi wanafanana wanavyozungumza
@bahatimawalla9476
@bahatimawalla9476 3 жыл бұрын
Yan wanafanana Sautii jmnnn uwiiii
@elit3_furor517
@elit3_furor517 3 жыл бұрын
Hatari mna mambo familiya ya diamond mlimtafuna hamisa na wanawake wengine wa diamond sasa leo mnatafunana kama mihindi jamani mungu ni shujaa malipo ni hapa hapa
@habibamhina9075
@habibamhina9075 6 ай бұрын
Mungu akujalie hekima nyingi kijana,Archana na wanaosumbuka na wivu, kaa na mkeo, wivu Tu na husda nandio maana kila kukicha anazaa na huyu mara Yule,mumuache Malika wawatu
@ramadhanimasudi6904
@ramadhanimasudi6904 3 жыл бұрын
Kuna utata hapo. Mkweli bado hajajulikana hapo. Ila malaika kama vile mjanja mjanja hivi?!
@victoriasiwonike9509
@victoriasiwonike9509 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@chibalichilongola1648
@chibalichilongola1648 3 жыл бұрын
Hahaaaaa
@elitwazambwambo2222
@elitwazambwambo2222 3 жыл бұрын
ndoujue kueka familia kwenye social medial jau we unafikiri wakina harmonize hawana madada ila wanakwepa haya
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 3 жыл бұрын
Demu wa momo kaliwa haha
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Nimeamini sasa maneno ya Esma,kuhusu mke wa Momo na Msizwa
@mariangittu7418
@mariangittu7418 3 жыл бұрын
Familia ya nyange mpooooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 жыл бұрын
Wapo
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 3 жыл бұрын
Yaan kwa haya maelezo yake inaonekana wazi msizwa kagusa hii
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 3 жыл бұрын
Na anajikanyaga sana amepaniki ata jicho la mmewe linamtazama kwa mashaka mhh
@lama6310
@lama6310 2 жыл бұрын
Wahuni Tunaelewa Huyu dada Kaliwa😂😂malegendary tunaangalia tu anavyoonge alaf tunajua😂😂😂
@vaestkusten6041
@vaestkusten6041 Жыл бұрын
hahahahah
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 3 жыл бұрын
Malaika nenda kamdunde esma🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiii
@kingmorani469
@kingmorani469 3 жыл бұрын
Msizwa kagonga Dada na wifi hahahaha
@wozanawewoz979
@wozanawewoz979 3 жыл бұрын
Yaani alafu yule jamaa ana vi biashara vingine ambavyo sio halali na esma kasema ,yaani unashindwa unajivuna kwa laki nne anti mchumi angetafuta mwanamke mwenye heshima sio hao ,
@gracedaudi4124
@gracedaudi4124 3 жыл бұрын
Huyu Dada hajielewi Mara hajawahi kulala nje Leo tena anasema alikuwa snalala nje Kwa ajiri ya esma kaliwa namsizwa
@khalidtv6200
@khalidtv6200 3 жыл бұрын
Sisi watu wa psychology tumeshagundua huyo mke wa Momo anaongopa!
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
Psychology wa kariako stop making up stuff you don't even know her.
@moniquemaua01
@moniquemaua01 3 жыл бұрын
I believe this woman mybe it was another woman not her.....
@filletist1
@filletist1 3 жыл бұрын
Mume wa Esma Ali save Malaika kwanamba ingine. Kumuumiza Esma
@thisiszai2045
@thisiszai2045 3 жыл бұрын
50 50
@moniquemaua01
@moniquemaua01 3 жыл бұрын
@@filletist1 lakini Dar yote kuna Malaika wangapi? Yeye mwenyewe kasema alisoma haraka haraka alafu hakuangalia number ku confirm kama ni yeye. Sikuwa na mtetea lakini ukiamua kuleta maneno haya njee u need a lot of good evidence.
@karimchindema9823
@karimchindema9823 3 жыл бұрын
Hahahaha mweee... Ukiona manyoya kuku kashaliwa
@nafhal
@nafhal 3 жыл бұрын
kama vip tuende kwa mawakala ofisini tutajua msg zao pamoja na call zote zilikuaje kwa hao wanaoshtumiwa uyo bidada malaika na uyo mme wa esma
@butturachel1794
@butturachel1794 3 жыл бұрын
Ricadomomo anaakilisana namuunga mkono malaika unaweza zushiwa mambo hataambayo hujawahi kuwaza, mm nilizushiwa nadadaangu natembea nashemeji nawatu wakaamini nilimuomba Mungu ikajulikana siyokweli , Dada malaika Mungu atakulipa nyamazatuu
@neemamwenda3451
@neemamwenda3451 3 жыл бұрын
Hajatembea nae ila anaongea kwa vile ana hasira ndyo maana inaonekana anajigongagonga
@emmanuelsimkonda3304
@emmanuelsimkonda3304 3 жыл бұрын
Its possible msizwa he was sent to bring confusion just wake up
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Msizwa has chewed the forbidden fruit
@vailetherasto2288
@vailetherasto2288 3 жыл бұрын
Nimekupenda bureee momo mwanamke unayejua nn mana ya ndoa
@nunniznurcky9724
@nunniznurcky9724 3 жыл бұрын
Maa shaa Allah nampenda recado momo anavyio rezone yani anatumia hekma na ndio maana ametunza mukewe hio miakayote
@olive-jaysilasofficial
@olive-jaysilasofficial 3 жыл бұрын
Mkeo mrembo Momo wape kisogo wanadamu wana wivu
@janethndial5759
@janethndial5759 3 жыл бұрын
Saaaaaaana
@mwikaloabubakar2831
@mwikaloabubakar2831 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@sanuraissa3834
@sanuraissa3834 3 жыл бұрын
Esma amechomoa betriiii
@derickydeniz583
@derickydeniz583 3 жыл бұрын
Hii familia Ina trend kuliko bongo movie 😂😂
@fidianishimwe4035
@fidianishimwe4035 3 жыл бұрын
Kabisa 😂😂👏👏👏
@medaihatungimana107
@medaihatungimana107 3 жыл бұрын
Wallah😂😂😂
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 3 жыл бұрын
🤣
@healthchoicewithluciebern8741
@healthchoicewithluciebern8741 3 жыл бұрын
😄😄😄 kweli, movie zinakosa soko
@jarnicebenson1323
@jarnicebenson1323 3 жыл бұрын
Nobody wins when the family feuds
@adbashtv6701
@adbashtv6701 3 жыл бұрын
Tatizo la kuowa wanawake wazuri sana ndo hili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hajiramadhan7319
@hajiramadhan7319 3 жыл бұрын
Daah bongo sihami asee maalim zingizii mkeo wamemkulaa🤣🤣
@winfridadominancy3492
@winfridadominancy3492 3 жыл бұрын
Mungu waajabu sana mmekuja kumuaibisha mzee Abduri mmejikuta mnaaibika wenyewe
@nadiahussein5892
@nadiahussein5892 3 жыл бұрын
Maraika umeliwa bana kwa maelezo yako
@zulkhulayfatfayadhil2371
@zulkhulayfatfayadhil2371 3 жыл бұрын
Mhhh kazi.... Kweli kweli
@elitwazambwambo2222
@elitwazambwambo2222 3 жыл бұрын
momo presha ipo juu sana atulii
@jumahabibu8698
@jumahabibu8698 3 жыл бұрын
Nakupenda Sana malaika achana nao washamba hao tulia na momo akoooo
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 Жыл бұрын
Ktk hali ya kiustaarabu Mwenyezi Mungu ameweka wazi mambo ya ndoa ni vitu vyafaragha mno familia ya kina Ricardo inaweka sana mambo hadharani kiufupi huyo dada alikuwa muuza kuma maarufu aka malaya ktk maclub ya starehe nakumbi mbalimbali pale ulipomuoa ulitaraji kumbadili tabia ila lahasha hutoweza malaya nimalaya tu momo wewe ndio unalilia penzi ila mwanadada kakuomba talaka ili aendelee kuhudumia wateja wake kuwa makini mapenziwhayalazimishwi wewe haji manara a dr mwaka sura zenu haziendani na mapenzi nawala falsafa ya mapenzi hamuijui jifunzeni kuishi na kuwalea watoto zenu kuliko kujikita kwa malaya wa mjini hapo ndoa haipo tena
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 3 жыл бұрын
Huyu Malaika anaonekana tu hajatuliaaa, anaonekana kabisaa.. ila Ricardo anajikaza sana kiume.. Ukweli anaujua mwenyewe.. Ila Esma anatatizo sehemu na huyu mdada.. Esma huwa hasemi uongo
@afrobongobeats1686
@afrobongobeats1686 3 жыл бұрын
Hizi drama zimeibuliwa baada ya wasaf tv kufungiw Ili warudishe hela zilizopotea baada ya kupata watazamaji wengi wa hii series
@andersonkibaha9175
@andersonkibaha9175 3 жыл бұрын
kwanzia leo na acha kushabikia ujinga watu had wazazi wezao wana wakana eti mondi yule sio baba yake daah mama dangote mungu anakuona kwel tunian Shelia ila mbingun haki alaf na nyinyi kina dida km hamna watu wakuwahoji bola mkae kmy
@fatmaramadham7245
@fatmaramadham7245 3 жыл бұрын
Wanamake tunasiri Mariam anajitetea ila kuna walakin.
@lovenesshenry2671
@lovenesshenry2671 3 жыл бұрын
Kumtaja wolper inahusu 😂😂😂😂 shoga angu wew umeliwa tyu..
@allysalimvumbi5211
@allysalimvumbi5211 3 жыл бұрын
Ricardo momo usifanye makosa kama hayo kumuacha mkeo asafiri mwenyewe mbali huko ni mojawapo ya fitna hio
@galusikiliani6228
@galusikiliani6228 3 жыл бұрын
Hawa wote hakili hawana adi hii media pia mambo yakishamba wamekosa story pumbavu sana hawaheleweki wote
@johnrahab2698
@johnrahab2698 3 жыл бұрын
Pole mariam ndo duniha hy
@winniejustine2051
@winniejustine2051 3 жыл бұрын
Momo anaongea km mond
@winskitchen.602
@winskitchen.602 3 жыл бұрын
Kabisa
@geraldluiso6792
@geraldluiso6792 3 жыл бұрын
Hii TV Sasa nizamaha can not teach us ethics of Tanzania.
@officiallymercymargaret3259
@officiallymercymargaret3259 3 жыл бұрын
Go to the point!!! Umetembea na Msizwa au hujazembea naye ????
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Ikiwa ni Wasagi su mwenye jina,HAKUNA MALAIKA BINADAMU 🤝
🔴#live : SIMBA DAY LIVE | KINACHOENDELEA MUDA HUU
Tbr24 Media
Рет қаралды 56
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 506 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 17 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
0:16
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
Гаджеты вредно!!! ☎️😳😡 #funny #comedy
0:26
Fast Family LIFE
Рет қаралды 1,2 МЛН
Toothbrush Glove Hack !?
0:16
Dental Digest
Рет қаралды 10 МЛН
Арбузорезка 🍉
0:42
Сан Тан
Рет қаралды 2,9 МЛН
貓咪 小鬼當家🎮🔫🚑 #aicat #shorts #cute
0:41
Cat Cat Cat
Рет қаралды 29 МЛН