toka kenya hapa. nimepatana na video zake kule facebook. ikabidi nimemsaka huyu mzee. yeye ni true comedian
@GibsonNtamamilo25 күн бұрын
Jamaa mkweli sana. Hapo K9 kiumeni ni noma. Gari za tia maji tia maji usipeleke huko zinakula mzinga sana. Big up legendaryary.
@thetas08Ай бұрын
Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air
@emmanuelalfred140Ай бұрын
Baba levo mtafutie kipindi huyo ana faida katika fani ya uchekezaji na atatoa elimu katika udereva kwa njia ya comedy 😎😎😎😎🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍
@aminathaabubakarmasoud565Ай бұрын
Sure ❤
@raymondswed7358Ай бұрын
Huyu mzee fala san😂😂😂 Namkubali sana ana kipaji kikubwa sana😂😂😂
@abrahammichael642Ай бұрын
Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Hahaha
@solomondanny-1507Ай бұрын
Duuuh
@salimmalaka256Ай бұрын
BABA LEVO ALIMPELEKA KUANGALIA HIVI MAJUZI NDARO NA LEONRALDO
@nancyg8664Ай бұрын
@@salimmalaka256nadhani ni Leonardo sio Ronaldo
@salimmalaka256Ай бұрын
@@nancyg8664 YES NDIE HUYO LEONARDO
@theresialumato2281Ай бұрын
Daah uyu mzee kiboko yaan nilikuwa nime vurugwa lakin nimejikuta nacheka
@harunichambo4658Ай бұрын
KO Mzee kakutoa mvurugo😂
@Heyumjunior119Ай бұрын
Dah unyamaaa sana
@EmmanuelMachupa-st4zhАй бұрын
Nimekubali sana hiyo ya mahimahu ya nairobi na hiyo ya Nakuru kweli nihatari sanaaa
@patrickkarugu7199Ай бұрын
It's called Mai mahiu.
@asawoasawo517Ай бұрын
Kweli
@eleven-in5qwАй бұрын
@@patrickkarugu7199😊
@dubabaxakatv2993Ай бұрын
Na mazeras balaa pia
@KevworxАй бұрын
K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo
@roseurio503Ай бұрын
Haki huyu mzee mpeeni kazi yaani kuchangamsha kipindi😂😂😂😂
@ramadhanurassa2410Ай бұрын
Mzee anaongea kwa code balaa eti ushuke na kaseja kama huna D 2 huwezi elewa
@kenrailzdutchman635924 күн бұрын
Bana hata sijaelewa . Kama kushuka na kaseja
@fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын
Huyu jamaa ni comedy anafaa sana udereva alivamia
@Mu_ALI254Ай бұрын
Wow, I love the conversation. Huyu Mzee is So experienced. Why not Make him an Officer In Truckers association. He will do a Good Job
@EddyRajabАй бұрын
He is a good story teller...though exaggerating at some point ...😂😂😂
@sportskijiwe781Ай бұрын
Ebwaaaaa mzee epewe matangazo jaman apige mpunga kidogooo
@allahisone6386Ай бұрын
NDIOOOOOOO ALLAH AMRAHISISHIE ❤🎉
@ntegamaherezovenuste26 күн бұрын
Jina nivenuste mimini munyarwanda nime ku frow na tiktok namimi ni oparet wamashin focke rifut nakupend san mung akubarikiwe
@komboarts71109 күн бұрын
Aende kwa coy mzungu huyu jamaa lazma tucheke sana
@bensonpaul3672Ай бұрын
Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...
@dicksongeorge774515 күн бұрын
Ikawaje, malizia stori basi
@gordonkadegeКүн бұрын
Namkubali sna Kosovo dereva mkongwe nikiwa na stress zinapungua anaweza
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
😂😂😂Mb zangu zimeenda kihalali wallah nimejikuta nipo happy mwanzo wa interview mbk mwisho
@khamisomary7428Ай бұрын
Hio K9 asee nikweli ngara hio nibalaa asee😂😂 nilikutana na lori speed yake nisawa na mtoto anavyo tambaa
@octavianbaragwiha3836Ай бұрын
Huyuu dereva kweriii . . . K9 hatariiii Sana pia Kuna pale panaitwa machinjioniii
@HamidaHamisi-ej8kzАй бұрын
Rusumo machinjioni kiboko sana
@alisaadmohammedАй бұрын
Kongole sana dreva mkongwe
@emmanuelalfred140Ай бұрын
Huyo mpeni kipindi cha usafiri na pia ni comedian 🎉❤😂
@ngayaimkwe5175Ай бұрын
Daa mzee tunamkubali sasa sana
@ramadhaniyahaya728616 күн бұрын
Nakukubali sana deleva mkongwe lakini unacho feli ni kuongelea masilahi ya madeleva pesa unayo pewa haifai tetea hilo kakanitakukubali sana
@nakundwamkubwe7823Ай бұрын
Nimecheka 😅😅
@user-ju3nm8oc1cАй бұрын
Daah! Huyu dereva mcheshi sana.
@ukuvukiland2387Ай бұрын
Huyo mzee kanivunja mbavu zangu na story za nyani wa kitonga.
@wycliffatambo3614Ай бұрын
Share dereva Mkongwe’s number we appreciate his mastery in storytelling aisee.
@Khalidniya380Ай бұрын
Hiyo K9 naijua saana ni balaaa
@lukasjelamisanana6770Ай бұрын
Sawa lakin hiyo k9siyo Kama anavosema huyu mzee km 38 kweli labda kutoka Kona ya benako had ngara hapo sawa
@mwanaidimussaАй бұрын
@@lukasjelamisanana677038 ni nyingiiii sanaaa !!! Ila panaogopeshaaa jmb
@AllanKisiasdg1234 күн бұрын
Swaali kabisa kabla ujaswaliwa,,, hahaha
@mrpullover3991Ай бұрын
#Ngarayiwachu #homesweethome #Ngara Kagera tz dah mzeee katembea aseee mteremko unaanzia sehemu inaitwa #lukole Kuna high school hapo shule yangu...
@muhinabakali7377Ай бұрын
Nakubali dachi udevu
@user-zb9mf3us2wАй бұрын
madereva tujitokeze midia zitasaidia kupeleka changamoto za rod
naomba nkutuishie,,, babu mkongwe,,,, usije kiamaiko,,, mathare valley ,,nairobi,,,, MAIRUNGI utatafuna cha lazma
@kwizeralajoie3619Ай бұрын
Mkogwe umenikumbusha k9❤❤
@maigajohn5828Ай бұрын
Huyu Mzee uwa namkubali sana inabidi aandike kitabu cha historia ili Sisi madereva chipukizi tuendelee kupata muendelezo
@user-qo6qv6mc5pАй бұрын
Ule mlima wa tznia kuingia Burundi siopowa😊
@kabujeasukile5462Ай бұрын
MZEE comedian huyu🤣🤣🤣
@rajabhassan6966Ай бұрын
Mzee mpeni kipindi coz kipindi kimenoga mwanzo meisho
@jumapiliissa4835Ай бұрын
😂😂 simchezo aisee
@aminielimushi8709Ай бұрын
Aina mpya ya usanii TZ
@hamisindaro330Ай бұрын
Hio salgaa ukweli huo mlima mwamba
@SAKAYONZAАй бұрын
salgaaa hatari ....watu daily wazikwa pale
@amourgwabananga15437 күн бұрын
Jamaa muongo k9 huu mlima hauna km 38
@user-ju3nm8oc1cАй бұрын
Hahaha, dah ! Anachekesha.
@mwangamtoto65817 күн бұрын
😅😅😅😅😅mzee mzee mzee nimekuita Mara 3 umetisha
@salomewandya7257Ай бұрын
Kumbe mjomba wa Muheza Hahaha
@ashahussen5538Ай бұрын
Mwambie congo imebadilika saizi mkongwe kanyaka unaijua! Kwa mjeshi unapajuaa😢
@feliudmasimba625Ай бұрын
K NINE NOMA MZEE
@hassanmatata9335Ай бұрын
Baba Levo leo umekutana na chizi kuliko wewe
@kelvinmuuwo6733Ай бұрын
Any other Kenyan who saw his reel on facebook and came here looking for him Kwanza niko hiyo taxin anasema😂😂😂😂
@mwanaidimussaАй бұрын
Ken9 na loriiii😳 mbn hatariiiii !!!! Nimteremkooo mkal hatariiii
@ernestmillinga7116Ай бұрын
Mate ya chumviii noma sana...usiombee aisee..
@lukasjelamisanana6770Ай бұрын
Lakin pia mteremko mkar upo burundi huo wenyewe ukianza kushuka ni unashuka km zaid ya 30 bugarama hiyo
@youseph-tzАй бұрын
Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa
@innocentkimishaАй бұрын
Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake. So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.
@rajabsaria846612 күн бұрын
Sasa iyo barabara ilitengezwa vipi kwenye iyo milima?????
@mariamhamissi4428Ай бұрын
Noomaa sanaa😅
@AllyMngoya-ov8fsАй бұрын
apewe nafasi uyo ataokoa jazz madereva awana bb wala mama mtz ana saman katika kazi yake
@HamidaHamisi-ej8kzАй бұрын
K9 kiumeeni kabisa tena kabisa
@celinaernst965Ай бұрын
Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria
@user-bl3rq8fj9uАй бұрын
Jamaa anakubalika sana ache udele anachekesha sana 😂😂
@charlesmwaipasi2884Ай бұрын
Mwamba namuona sana Morogoro
@starjay3052Ай бұрын
😁😁🤣🤣 burundu inaiona ile lakini upo tanzania 🇹🇿 bado dah 😁😁🤣🤣
@KevworxАй бұрын
Kobero hapo hatari
@omarylugojo9970Ай бұрын
K9 naijua babu
@mbaruksaid5775Ай бұрын
Namkubali sana huyu mzeee
@allahisone6386Ай бұрын
Me too 🎉❤
@Johansenjoshua1271Ай бұрын
😂😂 Ila mandevu
@zedekiahmagwega8044Ай бұрын
Mwanamke huyo yeye ANAWAZA HELA TU, kila muda yeye ni hela tu
@user-tk4tc6bv5gАй бұрын
K9 ni hatari sana
@haridimnimbo7377Ай бұрын
Hapo kwenye kucha kutoka jasho! Kubababake😂
@user-wu9zh1hc3iАй бұрын
K9 nimepita jana balaa kwel
@mwitajoseph8315Ай бұрын
Ngara ata gari dogo kama halina nguvu utakesha
@patrickkilongo3214Ай бұрын
Kwan uyu mzee ni cimedian au 😅
@kendwahamisi4903Ай бұрын
Lala nayo babu
@stevewanga95724 күн бұрын
Achana na mugokaaa huo 😂😂 mzee anasema ukweli
@youngweezy3846Ай бұрын
Nimecheka kifala😅😅😅😂
@husseinmwedi7125Ай бұрын
Baba nakubal San mkongwe
@steramwanakira7183Ай бұрын
Is soo funny
@EzekielKamandaАй бұрын
Anachekesha sana
@steramwanakira7183Ай бұрын
I laughed so much
@davidchege325Ай бұрын
😂😂😂lakini ndugu iyo kitu hailiwi na farasi Nairobi
@MtessaAlly-rd4hfАй бұрын
Hayo makampuni matatu yaliyo tajwa halo na mzee dereva mkongwe wamuite wamlipe maana kawatangazia biashara.
@adenmohamed-ew8xwАй бұрын
Astaghfurulaah; mitume hawasaidii na Bilal hasaaidii bali Mungu husaidia; ni Mungu tu si binadam
@HamadiBwakameАй бұрын
Nisawa anasema Mongok a ukila unasema pekeyako unajikuna kichwa
@fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын
Mzee Sasa staafu
@user-um5uw9yo5qАй бұрын
Hapo kwenye k9 umetupiga inakilomita 9 tu Ila ni mporomoko mkali sana
@samidquiz6316Ай бұрын
Hiyo ni sifa ya fasihi simulizi inakuwa na chuku nyingi
@MarckyChollaАй бұрын
Kakosea wapi mbona hapo tunapajua wengi
@user-ul9df5ko2rАй бұрын
Si ndy k9 ww mbege
@Bruno4cusАй бұрын
K9 siyo kilometer 9 ni Kona 9 mzee
@namaraalexmbeikya1491Ай бұрын
Hata mm nimeshangaa Kutoka Benaco mpaka mjini Ngara ni 36Km halafu yeye anasema K9 ni 38Km 😂
@dannymoses1882Ай бұрын
K9
@josephmpunta2662Ай бұрын
Mzee wa hovyo
@salimjumaa8180Ай бұрын
Ndio maana mombasa umepigwa marufuku huo mgukaa, unalemaza wa2 kwl kwl
@VeredianaKalembi-gs4vsАй бұрын
K9 sio km 38 bwana tumepita huko acha uongo nimesomea ngara huo mlima naujua vizuri
@KolongojrАй бұрын
Muongo Sana huyu mzee 😂😂
@egdldm498111 күн бұрын
Hivi Kinine au K9 huwa inaanzia wapi pale Ngara? Kutoka Ngara stendi mbele kuna junction, ukinyoosha utatokea Rusumo, ukipnda kulia kuna down moja hatari hadi daraja la Ruvubu kisha mpando wa hatari ... 😮 Ndio hiyo?😮