KIJANA MTANZANIA ATENGENEZA 'APP' INAYOZIMA / KUWASHA GARI, LIKIIBWA LINAJIZIMA😲

  Рет қаралды 23,384

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

KIJANA MTANZANIA ATENGENEZA 'APP' INAYOZIMA / KUWASHA GARI, LIKIIBWA LINAJIZIMA😲
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 146
@rajabusuleman5111
@rajabusuleman5111 Жыл бұрын
Hongera mkuu kwakipaji ulicho nacho Mwenyezimung akuweke ameen
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Hongera kwa App nzuri
@fauzenkassim8424
@fauzenkassim8424 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie InshaAllah
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
Nimeipenda hii ya nyumba nitakutafuta😀😀😀
@frankjoshua6869
@frankjoshua6869 Жыл бұрын
Hongera sana kwa ubunifu wa hali ya juu. Vp ikitokea imehakiwa hiyo system na watu wakafanya uhalifu app inawezakuzuia hilo jambo
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 Жыл бұрын
Ndugu hongera sana. Utafika mbali sana. Naona ukiwa na kampuni kubwa ya Teknolojia.
@bdwel08705
@bdwel08705 2 ай бұрын
Hongera sana kijana huta nifungia niko Canada
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Жыл бұрын
Systems nzuri kwa ajili ya security. Hebu naomba contact yako.
@wahidashabaz814
@wahidashabaz814 Жыл бұрын
Mashallah
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Жыл бұрын
Dah! Hongerasana Salum. Hii hata ilaya hawana
@HansBwoi
@HansBwoi Жыл бұрын
Ulaya vipo bona long time
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 Жыл бұрын
Safi sana. Msiweke gharama kumbwa .ili hata wasikua nauwezo mkubwa pia waweze kutumia.
@hasfayusuph4891
@hasfayusuph4891 Жыл бұрын
yuko vizuri sana
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣uyo mke atakae olewa na salum uuuuwiiiiii awe mcha mungu kabisa kwa hali hiii
@ismailnasibu313
@ismailnasibu313 Жыл бұрын
Mngetupatia na namba za simu ingependez zaidi
@alizanzibar1586
@alizanzibar1586 Жыл бұрын
Allah Akibari Mashaa Allah bro Salamu Allah bless you
@mubajoti9103
@mubajoti9103 Жыл бұрын
Nice broo yupo vzur
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Naombeni no yake?
@faisalahmed7757
@faisalahmed7757 Жыл бұрын
Fungua company mwanangu ya jina unaipa CAR TRACK 🚨 cz mi nishapigwa ist na nikapigwa pikpik XR 250 ila nilipata coz baada ya kipigwa ist ilibidi nitengeneze kifaa cha kupata kitu chochote ntakachoibiwa XR 250 Nilipata kwa kutumia hicho kifaa company muhimu usitoe maujuzi kwanza man bike ninayo mpaka leo ist ilitembea jumla ila walinifanya nikapata idea 💡 nadhani pia ulipgwa ukapata maujanja
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz Жыл бұрын
Kaza buti kaka utafika mbali hata kama Serikali haijakusapoti
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Жыл бұрын
English interview is needed here for Elon musk to understand what's going on.
@lailaoman3856
@lailaoman3856 Жыл бұрын
TANZANIA 🇹🇿 no,English SWAHILI
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
@@lailaoman3856 Exactly 💯 we proud with our Swahili Tanzania 🇹🇿kwanza wengine tupa kuleeee mbali kabisaa 🤣🤣🏃🏃
@AvatarTV360
@AvatarTV360 Жыл бұрын
This boy is inovator in Tanzania
@faisalahmed7757
@faisalahmed7757 Жыл бұрын
Kijana amemkalisha ELON
@halimahleema5165
@halimahleema5165 Жыл бұрын
The boy have a new technology of security if someone what to still your car and you can use your phone to open the car in en distance also you can here if someone is talking nasty in you car
@kigomakid74
@kigomakid74 Жыл бұрын
Wakubwa waliangalie hili pia na kukuza hicho Alicho kifanya ndugu yetu
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Hakunaga haya afrika,
@kigomakid74
@kigomakid74 Жыл бұрын
@@heritier5119 😂😂🙌
@suleimanngare6707
@suleimanngare6707 Жыл бұрын
Masha allah....kazi nzuri sana mungu azidi kuibariki kazi ya mikono yake in sha allah🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🤝
@HassanAli-do9iz
@HassanAli-do9iz Жыл бұрын
perfect broo
@omarjuma2521
@omarjuma2521 Ай бұрын
I like it📌📌📌📌
@aggerdihenga4673
@aggerdihenga4673 Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@faharimovies
@faharimovies Жыл бұрын
IT wengi huwa hatunenepi mzei 🤝
@SIDEBOYTV1990
@SIDEBOYTV1990 Жыл бұрын
😁😁kwanini
@leonardodeogratiasdeograti697
@leonardodeogratiasdeograti697 Жыл бұрын
Ongera bro
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Жыл бұрын
Mashaaallah mashaallah mdg wangu saalum allah akujaalie kila la kher
@dukeaaliyah8232
@dukeaaliyah8232 Жыл бұрын
Salute 🎉
@Producerpaki
@Producerpaki Жыл бұрын
Blessings 😍🔥🔥🔥✌️✌️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@nirerehadidja8266
@nirerehadidja8266 Жыл бұрын
Anaitaji ushirikiano wa hali ya juu
@athumaninalinga9052
@athumaninalinga9052 Жыл бұрын
💪💪
@dominicmawala5614
@dominicmawala5614 3 ай бұрын
Mawasiliano hatuoewiii!! NAOMBA MAWASILIANO YA SALUM
@samweljoel6128
@samweljoel6128 Жыл бұрын
Zembwera unaniuwa baraa Sana angalia wazungu wanamuchukua brother afundishe wengine
@mauricebrunei4495
@mauricebrunei4495 Жыл бұрын
Safi sana
@janechriss8118
@janechriss8118 Жыл бұрын
Kijana hongera sana
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 Жыл бұрын
huyu jamaa yuko wapi zebwera.maan daaah
@davidkadenge1902
@davidkadenge1902 Жыл бұрын
Yupo vizir sana
@pascokibesa918
@pascokibesa918 Жыл бұрын
Nimependa hii
@issamaulidi8860
@issamaulidi8860 Жыл бұрын
Naitak iyo from USA 🇺🇸 please
@kelyne861
@kelyne861 10 ай бұрын
Huyo jamaa akibahatika kwenda USA anajenga kijiji huku nyumbani
@silvernayzer4107
@silvernayzer4107 Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏
@emmanuelmwaka6070
@emmanuelmwaka6070 Жыл бұрын
Number ya cm au adi tuje wasafi ndio tutapata number zake?sijui mkoje tuwekeeni number
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 3 ай бұрын
Brother naomba namba aise nimemkubali uyo kijana
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 3 ай бұрын
Naomba namba kaka
@rafiudineassanebartolomeub9930
@rafiudineassanebartolomeub9930 Жыл бұрын
Nimeipenda sana elimu yako na kipaji kiujumla. Vipi kuna uwezekano wakuzipata hizo uduma nje ya nchi?
@samwelydanda7155
@samwelydanda7155 Жыл бұрын
Kwenye pikipiki shingapi uo mzigo shingapi na unatumia internet au salio tu
@itNeza
@itNeza Жыл бұрын
Coment Zimekuwa Chache kwa Mambo ya Maana kama Haya ile yangekuwa ya Konde bangi na Kajala Zingefika Hadi M3 🤔🙄😏
@magutumogeko6936
@magutumogeko6936 Жыл бұрын
Iyo app inaitwa je
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Daaah,Bongo bahati mbaya!!!
@fanuelisule3915
@fanuelisule3915 Жыл бұрын
Nitumie namba
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Naomba no ya simu .nahitaji mazungumzo nae ofisini
@johnyagat973
@johnyagat973 Жыл бұрын
Hiyo gari Roboti 👏👏👏
@datanya_tz8181
@datanya_tz8181 Жыл бұрын
Hongera yake
@thomacemiliani3385
@thomacemiliani3385 Жыл бұрын
Tupeni namba
@marthahozza2964
@marthahozza2964 Жыл бұрын
Kijana atasababisha tuibiwe magari aisee 😢 hiyo app iwe kwa umakin mkubwa
@simonandrew1489
@simonandrew1489 Жыл бұрын
Akumbuke Kuna Hackers
@akimchale
@akimchale Жыл бұрын
anasema yas not Yes ...... alaf hyo technology cyo mpya kama ambavyo zembwela umesema kijana ametengeneza ,,,,,,,ulitakiwa kusema new technology in tanzania
@komandowainjiliyayesu
@komandowainjiliyayesu Жыл бұрын
Hawa ndio wasomi tunawataka Tz watafiti siyo misomi imekaatu nakuvaa vinguu vyaa aibu serikali vipaji hivyo jmn
@jayutawala9381
@jayutawala9381 Жыл бұрын
Naomba namba yake
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Tunaomba namba za ofisi please.
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Dha hakika Serikali imushike mkono huyu kijana
@methodiutou7278
@methodiutou7278 Жыл бұрын
Hatariii
@bernardkirumbi8156
@bernardkirumbi8156 Жыл бұрын
Ndugu nipe namba yako ya sim tuwasiliane nitakupata wapi?
@CKMO
@CKMO Жыл бұрын
Ebwana me nahujia ya car lakini itaweza kufanyakazi nadini ya uk???
@profs.a5412
@profs.a5412 Жыл бұрын
Huyuu jamaaa mbona hawataji namba zake
@saniaamhadi6840
@saniaamhadi6840 Жыл бұрын
Tunaomba namba yk hy kaka
@samwelkulagwa861
@samwelkulagwa861 Жыл бұрын
No za simu tupe
@kassimseif5383
@kassimseif5383 Жыл бұрын
Hata mim pia nimependa hii kitu naomba contact please
@luciafrank4406
@luciafrank4406 Жыл бұрын
Mbona hawajataja namba
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Mwizi wa Gari awe tu na App
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Una maana gani we kisimi? 🤣🤣🏃🏃
@salumali4277
@salumali4277 Жыл бұрын
Nataka mm iyo program ya gar
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Sinikama maget ya majumbani yale yenye ukuta kali uwa wanatumia namba ya Nyumba
@Senetalkim
@Senetalkim Жыл бұрын
Wana IT tunajivunia kijana katuwakilisha vzr sana 🤣🤣🤣🤣🤣 sasa wewe endelea kusomea vitu vya hovyo
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
Point saaana
@samwelydanda7155
@samwelydanda7155 Жыл бұрын
Shingapi
@faithmutua2485
@faithmutua2485 Жыл бұрын
Sasa huyu anaogea aje kwani anakariri shehiri
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Naomba namba yake basi
@longoempire1246
@longoempire1246 Жыл бұрын
Tuma namba mzee
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Kwa NAMNA ya kussuportiana
@bphotostv8630
@bphotostv8630 Жыл бұрын
Anapatikana wapi, ajaacha mawasiliano yake
@davidmagari7885
@davidmagari7885 17 күн бұрын
Tupe namba yake
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 3 ай бұрын
Naomba namba kaka ya WhatsApp please not meipenda iyo App
@suleymanhappiness7094
@suleymanhappiness7094 Жыл бұрын
sasa huyo kinana tunawaze kumtowa wap atuwekey hiyo sistem tupo Burundi
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 Жыл бұрын
Naomba mtuwekee namba yake.
@adammsofe2038
@adammsofe2038 Жыл бұрын
inaitwaje
@josephsepetu
@josephsepetu Жыл бұрын
Mbona hajataja kwenye mitandao anapatikanaje ili iwe rahisi kumtafuta
@jacobomkumbo9293
@jacobomkumbo9293 Жыл бұрын
Mawasiliano yake hajatoa nimependa
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Жыл бұрын
Kinaitwajee ??
@alfamgeni6094
@alfamgeni6094 Жыл бұрын
Kifaa cha pikipiki shingp
@dominicmawala5614
@dominicmawala5614 3 ай бұрын
TUNAOMBA MAWASILIANO
@muhammadfarijala2324
@muhammadfarijala2324 2 ай бұрын
Mtengeze app ya wanandoa wakichepuka tunapigiwa simu
@omarjuma2521
@omarjuma2521 Ай бұрын
Tafuta kufa
@sabitisefu6044
@sabitisefu6044 Жыл бұрын
Ivi napataje number ya huyu kijana?
@fahadfahmy
@fahadfahmy Жыл бұрын
huyu kijana mlikua mumfiche sura ili asionekane na wahalifu
@felixkuluchumila1647
@felixkuluchumila1647 Жыл бұрын
Doh uyu mwamb anajua nyie 😳😳😳
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
Huyu mpeni fulsa tu aende nje huko maana huku nchini mwetu hatafaidi au hata nufaika na talent yake
@lucykawala5174
@lucykawala5174 Жыл бұрын
Wewe uki Duniani tunahitaji watu Hawa Africa
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Ajiconnect mwenyewe
@thobiaslaizer9197
@thobiaslaizer9197 Жыл бұрын
Tutampataje sasa kijana Salum
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Serikali wamuangalie huyu kijana na wamuwezeshe la sivyo Wazungu wakimuona wanamchukua na wakimpa dau kubwa hawez kataaa,,,,,,,,Wazungu wanapenda watu wa hivi
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Ana kadi ya ccm
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Mbona wabunifu kibao wamekosa msaada.
@ummySheikh72
@ummySheikh72 Жыл бұрын
Tupeni number zake huyu Salum please
@issazalala4907
@issazalala4907 Жыл бұрын
Wemwana umetshaa duuh
@jemsamtz8411
@jemsamtz8411 Жыл бұрын
You Are interested man
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 Жыл бұрын
Bongo modimfikisheni haswaa.
@abdurahmansaid5881
@abdurahmansaid5881 Жыл бұрын
Mngeweka hata Page yake ya Instagram
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 25 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 48 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 11 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/14/ #love
30:06
BabaJoan
Рет қаралды 174 М.
MVUVI NA MSOMI
7:21
Joti TV
Рет қаралды 1,5 МЛН
Mboto awatoa machozi waalikwa
8:06
Azam TV
Рет қаралды 180 М.
ТГК: ЛОГОВО FRIENDS #россия #чатрулетка
0:21
АлексДан
Рет қаралды 4,5 МЛН
ЕМУ БОЛЬШЕ НЕ ПРИДЕТСЯ НИЧЕГО ВЫБИРАТЬ😂😂😂
0:39
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 8 МЛН
Такого они не видели😱😍
0:55
Следы времени
Рет қаралды 3,6 МЛН