Mungu tunusuru, tuondolee hasira katika nyoyo zetu. Wapumzishe mahali pema peponi😥😥😥🙏🙏
@wemaMichael-fr4th2 ай бұрын
mume mwenyewe mbona madogo sana hata wew mdogo mtu huendani nae hiv mtalea wanaume mpka lini
@kanankirannko61742 ай бұрын
Mi nahisi alikuta SMS au Dada nae alikuwa ashapata mtu akamwelewa sasa kujitoa kwa dogo akasanukia dili ,ila jamani kuna mwanaume wanapenda na wivu juu hadi wanaua kabisa
@maryamtanzania97432 ай бұрын
Poleni wafiwa watu wamekuwa makatili
@michaelpetershoo18852 ай бұрын
Huzuni kubwa.Jamani ukitaka kuwa na mahusiano hakikisha unamjua vzr,inawezakuwa kuna wakati anakuwa kichaa muda mwingine au tabia zilizojificha za ovyo.
@happybryce12692 ай бұрын
Shemej mdogo jmn
@neemareuben3112 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeeee jmn uwii na ss mukwaaa
@mohamedlopa84102 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@pendo80822 ай бұрын
😢😢
@JohnsonBagambi2 ай бұрын
Aya mahusiano ya cku hiz ni changamoto ukitaka kuishi vzr kaa mbali na cm ya mwenzio pili fanya mazoez ya kuachana ili mda wowote ikitokea uwe umejiandaa
@fatumazuberi98422 ай бұрын
Kwakweli 😂
@kanankirannko61742 ай бұрын
Nimecheka kwa nguvu Sana'a eti mazoezi ya kuachana huku mnaishi wote jamani duh
@JohnsonBagambi2 ай бұрын
@@kanankirannko6174 Sasa tufanyeje maana kila kukicha ni shdaa tupu