Watoto wa familia moja walivyopoteza maisha, rafiki yao aliyewatembelea naye dukani amefariki

  Рет қаралды 42,615

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 139
@aminaali792
@aminaali792 2 ай бұрын
Subhanah Allah niliyona hii story kwenye carrymastory huyo shemegi yao maskin halafu anasema huyo mtoto mkubwa ndo alikuwa kama baba kwe ye familia yake 😭💔😭Allah awafanyie wepesi mwenye familia zao 🤲🏽❤️‍🩹
@Ethnicfm91
@Ethnicfm91 2 ай бұрын
Ameen
@Sharmy_02
@Sharmy_02 2 ай бұрын
Amen
@safiaothman5175
@safiaothman5175 2 ай бұрын
Aamiin
@khadija5761
@khadija5761 2 ай бұрын
Amen
@Rylee_kerrueche
@Rylee_kerrueche 2 ай бұрын
Yaani hii issue ya kkoo jamani inaninyima usingizi akhiii kila nkikaa nawaza naanza kusali..Mungu awavushe kwenye hili wafiwa na majeruhi wawahi kupona.
@CristinahKimaro
@CristinahKimaro 2 ай бұрын
Ww ni mm kabisa jana nimeamka saa 8 ucku nkajikuta 2 nalia ile mbaya,,,,nawaza mm ni nan mpaka leo npo hai😢 Mungu awatie nguvu kwa kweli..
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 2 ай бұрын
jaman hii habari nimelia ad basi ! basi bhana wewe ni mungu utabaki kuwa mungu tu !
@Gsamir694
@Gsamir694 2 ай бұрын
Mwenye zi mungu aziweke roho zao mahali pema peponi milele na milele daima aminaa nimeumia sana tunamuomba sana raisi wetu samia awasaidie familia zao waliofiwa na waliojeruhiwa
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k 2 ай бұрын
Jaman tujitahid kumuomba Allah turudini kwa Allah sote
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 2 ай бұрын
Yaa Rabbi MOLA wetu' tustiri waja wako 🤲🤲🤲🤲
@luisojr3480
@luisojr3480 2 ай бұрын
Poleni Sana ndugu zetu 😢 Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema Awapumzishe mahali pema panapostahiki na Majeruhi wote Allah awatie nguvu😢
@DINASSOUR
@DINASSOUR 2 ай бұрын
Hapo mali imepotea ,na wanafamilia wamefariki.. Hili ni pigo na maumivu poleni sana ,mungu ndiye mpangaji
@LuluAquai
@LuluAquai 2 ай бұрын
Achana na mali,watu ndio muhimu zaidi ila yote ni qadari ya M'mungu,unatakiwa uwe na istiqaama kwelikweli ili ubaki kwenye mstari na kujua huu ni moja na mtihani ambao M'mungu amenitahini,venginevyo utakufuru kwa kuongea yasiyofaa,G'aun'dhubillah min dhaalika
@abdullahmanalex2306
@abdullahmanalex2306 2 ай бұрын
Uhai ndo muhimu Mali Nini kwenye Maisha ya mwanadamu
@homeandaway2811
@homeandaway2811 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢 Mungu tufariji watanzania wote, futa machozi hizi familia
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 2 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu ampiganie huyu Mama c jambo rahisi wazazi kuzika watoto wao ukweli c rahisi kabisa inaumiza sana jamani. 😢😢😢😢
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 2 ай бұрын
😭😭😭😭 dah inauma sana allah awafanyie wepesi inshaallah wamekufa ktk upambanaji
@zuhurakibwana493
@zuhurakibwana493 2 ай бұрын
Ee jamani pole mama, MUNGU akupe moyo mkuu kustahimili haya ni mazito jamani ah pole😢😭😭💔
@fatumashabani9122
@fatumashabani9122 2 ай бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun
@AbdallahAboubacar-sc8sr
@AbdallahAboubacar-sc8sr 2 ай бұрын
Inauma Sana poleni sana 😭💔
@jsilvertv
@jsilvertv 2 ай бұрын
Poleni sana wote safar ni moja
@johanjoha5262
@johanjoha5262 2 ай бұрын
Pole sana mama yangu
@Khadija-u8u3f
@Khadija-u8u3f 2 ай бұрын
Pole san mama mungu akupe nguvu kwenye hili hakika ni huzuni
@Maya-bm9bu
@Maya-bm9bu 2 ай бұрын
Sio kwamba tunalalamika Bwana lakini tunajiuliza kwanini Umeruhusu yatokee haya! 🙏🏿🙏🏿😭 Mungu awape Pumziko la Milele Marehemu wote
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 2 ай бұрын
Mungu anahusika nanini katika jengo kuanguka
@Maya-bm9bu
@Maya-bm9bu 2 ай бұрын
@ ungekuwa Mkristo mkatoliki ungeleewa nimeandika nini
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 ай бұрын
Sio lazma ujibu comment usiyoelewa ​@@fasterwalker1464
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 2 ай бұрын
@@Maya-bm9bu hawezi kuelewa ,ila yote kwa yote bwana ilitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe🙏
@SakinaValy
@SakinaValy 2 ай бұрын
Amina,,,ukiona mtu anakuuliza swali Kwa kipindi kama hik acha usijibu,,utaumiza nafsi Yako pole bro😊​@@eliuskamwelwe1018
@vom84
@vom84 2 ай бұрын
Kwa tuliokuwepo eneo la tukio, hiyo nyumba imekula watu wengi sana, MUNGU awajaalie pumziko jema.
@SallmaXg
@SallmaXg 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu aziweke roho zao mahali pema peponi😭😭
@FahadiKibavu-q6x
@FahadiKibavu-q6x 2 ай бұрын
Inaalilah waina lilah lajiun
@Mghaza-m16
@Mghaza-m16 2 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU AWAREHEMU.AWAPE SUBRA WOTE WALIOFIWA
@DeborsJoseph
@DeborsJoseph 2 ай бұрын
Daah jamani hii ajali inaniumiza sana najikuta nalia tu
@FatmaAlabri-lz2cw
@FatmaAlabri-lz2cw 2 ай бұрын
Allah awajaalie wawe hai na salama
@KishamataSauli
@KishamataSauli 2 ай бұрын
Poleni sana kwa familia zilizo patwa na musiba
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 2 ай бұрын
Ni sahii kabisa mtanhazaji hata mimi nawafahamu ni kweri neema alikuwa anatagemewa na familia kwa ujumla RIP NEEMA
@YusraHassani-s5s
@YusraHassani-s5s 2 ай бұрын
Pole Sana mama mungu akupe nguvu
@AngelaAlfani
@AngelaAlfani 2 ай бұрын
Poleni sana familiya
@MZUGITZ-d6b
@MZUGITZ-d6b 2 ай бұрын
Mungu awapunguzie adhabu yakabli
@johanjoha5262
@johanjoha5262 2 ай бұрын
Poleni familiya pole kwa incident ya Tanzanie yote iyo mipangonya MUNGU so sad😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@patrickmarco964
@patrickmarco964 2 ай бұрын
Poleni sana😢😢😢
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 2 ай бұрын
Poleni sana ndugu na marafiki
@daudealbertoservices5284
@daudealbertoservices5284 2 ай бұрын
Minhas sentidas condolências toda família enlutada.
@MariamuMolleli
@MariamuMolleli 2 ай бұрын
Poleni sana wanafamiliya
@mamy8220
@mamy8220 2 ай бұрын
😢😢😢😢 inauma poleni sana😢😢😢
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p 2 ай бұрын
Duuuuuu poleni sna
@brittanypulei789
@brittanypulei789 2 ай бұрын
Kwa hiyo wakristo ndio wanaenda kubaya kumbe acha kuhukumu
@Rizikiskitchen
@Rizikiskitchen 2 ай бұрын
Oh God, nimesikia habari hii ila nilishindwa hata kufungua media yoyote, it is so painful. Honestly, I couldn't watch any news. What I see about this tragedy is that there was ZERO maintenance about the building. Iyo building wameijenga since mwaka gani na wamefanya maintenance mara ngapi? The owner has to go to jail, they have to ask the owner how many times did they do maintenance since it was built? Hizo bullshit hazifanyike kwa wazungu. This is my first time watching about this. It's so sad!
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Mmh aisee kufiwa kusikie
@deogratiusleonard
@deogratiusleonard 2 ай бұрын
So SAD 😢😢😢
@Divinelinna
@Divinelinna 2 ай бұрын
Neema Sanga umeenda shuja 😭😭😭😭
@JenniferJackson-m5t
@JenniferJackson-m5t 2 ай бұрын
kama ukilifikiria kwa makini hili yani ukute mpk sasa ni zaidi ya hao kumi na tano pia tunaomba kujua vipi kule kwenye jengo watu wameisha ndani ya kifusi 😢😢😢 kifo ni fumbo asee
@Fatima-v9k6f
@Fatima-v9k6f 2 ай бұрын
From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun
@IssaIssa-h1d
@IssaIssa-h1d 2 ай бұрын
Poleni sana wafiwa
@LizzyOfficial-g5g
@LizzyOfficial-g5g 2 ай бұрын
Polen wote wanafamilia 😢😢
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k 2 ай бұрын
Matukio km haya yakitokea bc tuwe wenye kufuzu huko tunakokwenda kwa wale waislamu ndio wamefaulu kwenye hili tukio japo kuwa wamepat maumivu mara mbili lkn wanaenda kupumzika pazur San tujitahid tusifuate dini isiyokuwa sahihi
@jameslyatuu95
@jameslyatuu95 2 ай бұрын
Fufuka kwenye huo uwendawazimu wewe kabla haijawa too late
@samwa9496
@samwa9496 2 ай бұрын
Hata mie Islam ila uache kudharau Imani ya mtu mna copy na kupest
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw 2 ай бұрын
Hivi wewe uko sawa kweli kiakili....shtuka asee kabla haujachelewa...ukubali ukatae YESU NI MUNGU..
@petermanala6138
@petermanala6138 2 ай бұрын
Atakuwa na kidonda kwenye upeo wake huyu Kwan Huwa mnajionaje
@RobsonLugomi
@RobsonLugomi 2 ай бұрын
Acha mawazo finyu kijana uisilam Sio ticket ya kwenda mbinguni acha ujinga
@patrickndizeye2190
@patrickndizeye2190 2 ай бұрын
Inaumiza sana😢
@dayana5513story
@dayana5513story 2 ай бұрын
😢😢💔💔 mbele yetu nyuma yao 💔
@Brunoh90Tv
@Brunoh90Tv 2 ай бұрын
Hili jambo linaumiza sana akii😢
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 2 ай бұрын
Poleni jamani wapendwa wenzetu
@issazalala4907
@issazalala4907 2 ай бұрын
Hapa duniani tuna ishi kwa robo saa 😢tupendane jamani daaah uzuni sana
@TausiAlly-d8e
@TausiAlly-d8e 2 ай бұрын
poleni sana 😢😢😢
@estermathias8354
@estermathias8354 2 ай бұрын
Kichwa cha family 😢😢😢
@ngaiseryjembe9948
@ngaiseryjembe9948 2 ай бұрын
Poleni sana
@romwaldoamsi2783
@romwaldoamsi2783 2 ай бұрын
Inauma 😢😢😢
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu ndugu na jamaa. Poleni sana
@Gsamir694
@Gsamir694 2 ай бұрын
Nimeumia sana
@shakilaAqram
@shakilaAqram 2 ай бұрын
Tuogope sana pesa za wasanii wanazorusha kariakoo tunachekelea watu wamepotea mjini wanapambn kurudi
@SakinaValy
@SakinaValy 2 ай бұрын
Shakhla kwani Huwa wanarusha pesa kariakoooo!!!
@michaelmisana650
@michaelmisana650 2 ай бұрын
Polen sana 😢😢😢
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Sanga,wakinga jmn Wapambanaji haswa duh
@wangagirl3508
@wangagirl3508 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢
@rodasanga1312
@rodasanga1312 2 ай бұрын
Pumzikeni kwa Amani wanyalukolo
@nigelFirman-c2x
@nigelFirman-c2x 2 ай бұрын
😢😢😢
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata 2 ай бұрын
Gorofa ilikuwa ime beba zaidi ya Tani na matani Kwa Kwa nimeona lol
@akimanaarlene851
@akimanaarlene851 2 ай бұрын
😢😢😢😢poleni sana dungu zetu wa tanzania kwa kipindi hiki kiguma tuko na nyie 😢
@surusuru1994
@surusuru1994 2 ай бұрын
😢🇹🇿💔💔😭
@alexmichael5850
@alexmichael5850 2 ай бұрын
Naona machawa na nguo zao asee hatari hiii...hta Ambulance hkna...na mpo na kijani yenu.
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k 2 ай бұрын
Na wengi wao hao walokufa ni wakiristo inaniuma San maan hapa wanakufa kikatili kwa maumivu makali na huko wanakokwenda ni kubaya Zaid tumuabuduni Allah ndio Kila kitu na vyote hivo ni. Vyake kheri na shar pia. Ni zake
@jameslyatuu95
@jameslyatuu95 2 ай бұрын
Udini tu unakusumbua polee
@IsayaJoseph-v3s
@IsayaJoseph-v3s 2 ай бұрын
Ww ndo utachomwa moto mpaka kijambio chako kenge ww
@heavenlightmatela3190
@heavenlightmatela3190 2 ай бұрын
We vp
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 2 ай бұрын
@@IsayaJoseph-v3smsameheni mtizamishen macho
@RehemaJustine-co2kp
@RehemaJustine-co2kp 2 ай бұрын
​@@salhawaziri1668😂😂😂😂
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw 2 ай бұрын
Poleni sana
@zaharamohamed8694
@zaharamohamed8694 2 ай бұрын
Poleni sana
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН