Mika ndaba Ukiwa huna pesa Tanzania hii unanyongwa Hadi kufa lkn Ukiwa na pesa kesi inafanyiwa uchunguzi hata miaka kumi , Angalia wakina Seti washatoka jela ikiwa waliiba Mabilioni ya pesa
@jennytugara94703 жыл бұрын
Kesi ya kuua Man slaughter na urasimu au uhujumu uchumi vipengele ni tofauti. Umetoa maisha ya Mtu. Sasa na wewe ukaonje joto ya jiwe.
@peninacharles97573 жыл бұрын
Kuongoza Tz ni rahisi kuliko kuongoza family yangu acha kazi iendelee
@muungujaunguja86093 жыл бұрын
Hawa wameuwa na siyo kuiba pekee
@robbyman62133 жыл бұрын
Mungu awasaidie
@hallin95613 жыл бұрын
Dah uku mtaani kwetu kuna wezi walimuua mlinz wakaiba TV alaf ni mzee. Inauma sana ...unatoa roho ya mtu anayetegemewa sabab ya TV... Wauawe tu
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
Mwenye Kuua Pasipo Haki, Nae Auwawe Kwisha.
@omaryally59043 жыл бұрын
Nuru jamaa yangu unaishia jera lla kama hujauwa kwr mungu akusaidie peac $ love
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Yani wezi mtihani na kuuwa hawana hata uruma
@assfzainab9123 жыл бұрын
Cna lakusema
@nestoemanuel28213 жыл бұрын
R.i.p tamaa
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
Mmh jamani turidhike na Vipato vyetu
@officialsteeve23843 жыл бұрын
Mmh,,kwa upande wangu siamin kama wanakipato chochote ao mana siku zote mtu ukiwa huna ndipo unaweza chukua maamuz ya namna yyote pasipo kujali usalama wa maisha yako na ya mtu wa upande wapili,,ko kumbe kuna suala la kuwekewa mkazo kwenye matukio kama haya....
@ramathedon40013 жыл бұрын
watu wanapigwa na polisi mpaka wanasema jambo bila lisilo kuwa kweli ili wasalimike alafu jaji wasema sikweli
@RioIpo3 жыл бұрын
Ni kweli asee mtu unapigwa mpka unakiri kitu ambacho ujafanya
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
Usitoe Ufahamu, Wale Wameua na Kidhibiti Wameshikwa Nacho, Ikiwa na Ww Uko na Tabia ya Wizi Iba Uone.
@ellyisidoli21923 жыл бұрын
@@seremenikibwene8633 wambie kabisa naona Wana tetea tu
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
@@ellyisidoli2192 ukiona mtu anatetea uhalifu ni kundi lake hilo..Ila yy bado arubain yake
@awadhrajabu14033 жыл бұрын
Wafe2 Lakini Uchunguzi Muimu Mana Hata Wenye Kuwauwa Watuumiwa Nae Muuwaji Pia Je Mmejilizisha Kwa Ukumu Iyo
@feibegabriel5223 жыл бұрын
Jaman
@jamespatsonjp49353 жыл бұрын
Duhhh 🤔 ndio ule usemi katika maandiko ukiuwa kwa upanga utauwawa kwa upanga..😭😭😭
@nicksonruwaichi34263 жыл бұрын
Siyo sawaaaa
@neemakilomoni42583 жыл бұрын
Why???
@davidroche313 жыл бұрын
Kwann muhimili wa mahakama unategemea maamuzi ya mwisho ya rais.....kila muhimili ujitegemee kwani hukumu kama hizi zisisubiri sahihi ya rais....
@kalengemochi94713 жыл бұрын
Kigoma yetu ukiwa huna pesa kweli huna hoja mozambique hapa
@shiflaboa86873 жыл бұрын
Duh jamani nduguzangu hao jaman: uwiii amaaa kwel mshahara wa dhambi ni mauti;
@lissacosmas69783 жыл бұрын
Du
@OfficialA836403 жыл бұрын
Dah huyo mmoja kalowa jasho nguvu zimemuisha jaman huruma lkn kunyongwa
@magrethmbuma30453 жыл бұрын
Kama waliua wacha wafe nawao.....huyo mlinzi pia alikuwa na haki ya kuishi mbona wacha wakome nawao
@hassanmpwepwe38263 жыл бұрын
Ukiwa auna ela tz mtihani mkubwa wenye ela awafungwi duu
@pitargamba92083 жыл бұрын
Ingezidi kuwa hivyo sheria kwa masikini na tajiri iwe sawa lakini ikigonga kwa tajiri eti hupinda hao wamehukumiwa kunyongwa kwa sababu umaskini wa kuiba kontrolala wangehujumu mabilioni wasngenyongwa. Ila ni sawa wezi wakome
@ochendepay94403 жыл бұрын
Wataje Na Ushaidi Uwe Nao.
@salumabdallah66803 жыл бұрын
Kuiba ni swala moja na kuua ni swala lingine hawa jamaa wamefanya yote sio kila mwizi anahukumiwa kifo
@faridaltamimi74543 жыл бұрын
Mh sidhani
@mecksaloon813 жыл бұрын
Ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga.
@mwahamedychilungu89813 жыл бұрын
Nikweli aisee
@awadhrajabu14033 жыл бұрын
Wafe2
@peteryukunda92393 жыл бұрын
Yachomwee.
@jennytugara94703 жыл бұрын
Umaskini kitu kibaya jamani kitu gani cha kuiba hiki jamani
@omarymaroda58613 жыл бұрын
Kama mtakuwa mmeua kwel iko level2 Wajomba
@mwanumwanu15133 жыл бұрын
Hawatarudi uraiani kweri!!
@scolabahame22143 жыл бұрын
😭😭😭😭
@RioIpo3 жыл бұрын
Dah contol box tu inasababisha unamuuwa mtu, basi njooo muichukue hii Alphard yangu
@catherinecharles9323 жыл бұрын
Yaani
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
Je ikiwa tofauti na wanayoihitaji ? Contro box nyengine haziingiliani
@RioIpo3 жыл бұрын
@@kishingokishingo1840 Hakuna mbadala wa roho
@tingbatuuka72783 жыл бұрын
RIP WEZI
@hamidaala28323 жыл бұрын
😃😃😃
@dynesssteve75323 жыл бұрын
Kesho kutwa unawaona mtaani
@aishaha35383 жыл бұрын
Wahalifu sirahi kuwapata lakin polis huchukuw watu wengine na kuwapa kesi omba mungu yasikukute
@irakozejclaude78693 жыл бұрын
Wapewe adhabu nyingine ili watumikie inchi
@mamachris68113 жыл бұрын
Kunyongwa si leo Ni kama haitekelezeki
@lyrics_forum3 жыл бұрын
Hafi Mtu😂
@saramss72623 жыл бұрын
Kigogo juuuuuuuuuùuuu hongeraaaa
@debosstv433 жыл бұрын
We kigogo kila kona upo , na hizi taarifa zote unazipata wapi ww ?