WAZIRI AWESO AMBANA KIONGOZI ALIYEMDANGANYA, Ampigia SIMU KATIBU MKUU - "WAONDOE"...

  Рет қаралды 23,803

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

🔴#LIVE​​​: WAZIRI AWESO AMBANA KIONGOZI ALIYEMDANGANYA, Ampigia SIMU KATIBU MKUU - "WAONDOE"...
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, ameendelea na ziara yake ambapo amekutana na Madudu baada ya kiongozi kumdanganya, Waziri Aweso kutokana na hayo amemuagiza Katibu mkuu wa Wizara kufumua uongozi DDCA..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 51
@enockngohel5737
@enockngohel5737 3 жыл бұрын
Kama umesikie neno viko store twende ukanionyeshe gonga like hapo twende pamoja
@hamidaomar5137
@hamidaomar5137 3 жыл бұрын
Mheshimiwa mungu akulinde umetukumbusha baba alietangulia mbele yahak
@user-fj6fo4wk8j
@user-fj6fo4wk8j 4 ай бұрын
Maashalwah mungu akubariki
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 3 жыл бұрын
Aweso hapo kazi tuu💪
@user-od7kl1eb8d
@user-od7kl1eb8d Жыл бұрын
mwanangu juma mungu akupe maisha marefu
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Uwesoooo watu warakufaaaaa mguukwamguuu nimeipenda sanahiyo
@issalikokoswai4402
@issalikokoswai4402 9 ай бұрын
Hii nibaraakunwa Awessssso
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Nimekupenda sana wanafanyakazi kimazoea
@abdulsaleh4640
@abdulsaleh4640 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukulinda tunakuombea sana waziri wetu uendelee kuchapa kazi.
@kasimally5651
@kasimally5651 Жыл бұрын
kuna neno limetamkwa nakuheshim gonga like hp
@zahorhaidi4525
@zahorhaidi4525 3 жыл бұрын
Wallah ikiwa hivo kila idara watu watanyooka kazi zitafanyika kwa halali
@VictaDaudi
@VictaDaudi 19 күн бұрын
Njoo na iringa mkuu, wanabambikia biri Sana , tunaomba mita zibadirishwe
@sanisani5266
@sanisani5266 3 жыл бұрын
Wana viuza sana hamna kitu stoo😆😆lah ingekuwa ukaguzi huu kila siku wangenyooka
@felipetorres9437
@felipetorres9437 3 жыл бұрын
Aweso
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 3 жыл бұрын
Wazir anahuruma sana angekuwa magu weee
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 8 күн бұрын
Kama umesikia msamehe ila waziri unakiti chako mbinguni msamehe tu amegafirika
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 3 жыл бұрын
Huyuu waziri Alindwe
@tumahamza8972
@tumahamza8972 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂anatamani ardhi ipasuke atumbukie. Hivi kwanini watu hawataki kubadilika? Wanafikiri watasema uongo na waziri aitikie tu. Sie kipindi hiki. Hizo zama zilishapita. Sasa hivi kazi,maelezo kwa evidence. Safi sana. Vijana oyeeeee
@user-vh3yh2ec8r
@user-vh3yh2ec8r 10 ай бұрын
Yn ww inabidi uwe Raisi wa baadae ili uinyesha tz
@ameenaabdood2974
@ameenaabdood2974 3 жыл бұрын
Mkulya bishoo km muhaya lkn unapiga kz vzr nakukubali nitakupa mwanangu wa kiahaya bila mahali😂😂😂
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Wewe hakikahundanganyiki
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 3 жыл бұрын
😂😂😂😂 mwalimu na wanafunzi jmn mbadiriki ss izi zama nyingine Watu wazima na family zenu si aibu iyo Wajibikini jmn kazi ni zamana kazi ni ibada fanyeni kazi kwa uadilifu Pole sn mh Aweso unajizibiti at hasira zako Maana unaweza kurusha at Kofi kwa hasira mungu akulinde
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 3 жыл бұрын
JAMAA ALISEMA KWA JEURI VIPO STOOO😣😂😂
@edyhasan9071
@edyhasan9071 3 жыл бұрын
Alie sikia kuwa mimi nataka niwasaidir ndio maanaaaa nini tenaa hiii utafelii waziriii utatumbiwaaaa
@frankkaijage9726
@frankkaijage9726 3 жыл бұрын
Waziri simama hao Watakupaka matope. Washezi tuu.majizi tuu
@ameenaabdood2974
@ameenaabdood2974 3 жыл бұрын
Nakupendea icho ndg yng umuonei mt na unasema ukweli
@tumahamza8972
@tumahamza8972 3 жыл бұрын
Tena huyo Peter anaonekana ndio kiongozi wa uwongo.
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 3 жыл бұрын
Waziri hadanganyiki😃
@mankamassawe1266
@mankamassawe1266 3 жыл бұрын
Auweee comments tuu mimi hoi binadamu tuna kaz sana mtu hujajua chanzo unakurupuka kujibu na kufurahia eeeh kwel hii ndio Tz
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Hao wamekalia uchumi hata mishahara wangejilipa wenyewe
@tumainsawe6960
@tumainsawe6960 3 жыл бұрын
Njoosha hao
@akinyilucy953
@akinyilucy953 3 жыл бұрын
Wanacheza wabebe uede nao
@muebraniamuebrania145
@muebraniamuebrania145 3 жыл бұрын
Viongozi wa juu nikama mko na dhamira ya kufanya kazi km Mh rais alivyodhamiria kutusaidia raia,lakini mliowaweka uko chini wengi ni makanjanja.Poleni viongozi wetu, safari ya maendeleo bado ngumu sana.
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Hakunaa hurumaaa hawataki hurumaa wamezoeeaaaa shidaa hawajuwi shidaa za watu
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Huyo ni mjeuuriii Unamuonaaaaa usonii tu mtu hakuna maswali ni kumtumbuaaaa tu hawataki kubembrleezaa
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Tumbua wamekudanganya
@abiollashayo5698
@abiollashayo5698 Жыл бұрын
ukubwa raha jamani...unafokea hata wakubwa zako,vijana rika lako...yaan raha utamu
@jameslyimo662
@jameslyimo662 3 жыл бұрын
Store....
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Lazimaa tuwape lekee kwenye mahakamaani kwani hao ni kusudi na hawajali hawanaaa hurumaa hawanaa uzalendo hawaipendi hata hiyoo kazi yao kazi ambayoinawalipaa inachokezaa inahuzunushaaa ni aibuuu ni dharau
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Watu sijuwi ni Watu wa aina gani ni unyongee wa muaaafricaa anatakaa atawaliwee hataki kujitawallaa
@shambaiddi4984
@shambaiddi4984 3 жыл бұрын
Kwani Tunapendaa kupelekwaaa siyo kujitegeemeaaa wenyewee bila ya wazungu
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Weka kiongozi darasa lasabauone wanavyochapakazi
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Hakiyamngu mazoea yanatabu
@cadeteengele3765
@cadeteengele3765 9 ай бұрын
Mungo watanzani ya awe nawe
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 жыл бұрын
Majitu mashenzi maongo majizi
@AzizKhan-si8cc
@AzizKhan-si8cc 3 жыл бұрын
Aweso ulistahili
@ameenaabdood2974
@ameenaabdood2974 3 жыл бұрын
Yn ataviongozi wengine waige mfano wako
@catherineplatnumz3309
@catherineplatnumz3309 3 жыл бұрын
Muheshimiwa waziri mwenyezi mungu akupe nguvu daima kweli amekuongopea lakini umeweza kumsamehe inchji ila siku nyungine asirudie Mimi kama RAIA wanchi hii akirudia tena kukudanganya nitakukumbusha ili umuondoe kazini
@jenifamtima9325
@jenifamtima9325 3 жыл бұрын
Yaani ndio rahaa ya kuwa na mawaziri vijana. ..babu kama ufanyi mazowezi leo utaipata ...hahahaaaa! Akuna kitu hapo wanadanganya, jana wamemdanganya Rais eirpot leo waziri. ..Tanzania yetu... awaishi awoo wako kama vile mchwa, madudu tupu, kaguweni na Elimu zao wanapeana kazi kienyeji, 😅
@edwinmbelle4207
@edwinmbelle4207 3 жыл бұрын
Waziri tunaomba tusambaziwe maji yombo vituka , Buza Dsm ni miradi wa siku nyingi Sana !!!
@abiollashayo5698
@abiollashayo5698 Жыл бұрын
chimba kisima ww
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 62 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 199 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 780 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 62 МЛН