Mungu akupe maisha marefu hakikisha watu wote tunapata maji
@Piscesblair2 күн бұрын
Kama Mawaziri wote wangefanya kazi zao namna hii, utendaji wa kazi kimazoea ungekoma na tabia ya watendaji kuandika taarifa za uongo zinge koma kabisa katika utendaji wa watumishi wa umma. Hongera sana Mheshimiwa.
@ruqaiamohammed3456 күн бұрын
Toa taarifa huko na domo lako kimelegea / zito km uji wa mapande 😂😂tumbua upes 😂😂
Sasa hapa ndio mtaona kuwa watu wanapofuatiliwa na kuchukuliwa hatu hawaonewi, ni WAZEMBE , na hawana UTUMISHI kwa watu bali kwa MATUMBO yao na VIKUNDI vyao vya kula RUSHWA
@IsmailMjesh3 күн бұрын
Ila wallah' nasema na allah shahidi, mtambue kwakila masonononeko ya kila mwananchi kwa chochote kile.... Ndani ya nchi yaje wallah viongozi hamtokua na salama yeyote' nyinyi binafsi pamoja na familia zenu, nawale wote wanaofanya kusudi na hali yakua wanajua kua hii ni dhima' Allah awalaani , awape maradhi ambayo hayana tiba wallah binafsi roho yangu inaniuma sana.... Kutwa wananchi tunaumia na nafsi zetu kila siku ya mungu......😢
@MichaelKilinga3 күн бұрын
Kuna watu wanapata kazi mpaka unajiuliza walipataje kazi wallah
@zaitunihussein4 күн бұрын
Safi sana kiongozi. Watu wa maji wanatutapeli sana. Nenda jimbo la Bumbuli
@kitovasaidi67537 күн бұрын
Hivi hizo akili matope kwa Nini asiseme ukweli tu
@kallystjonathan237723 сағат бұрын
Hiyo ni sura halisi ya Idara na wizara zote za nchi hii
@albertbunyinyiga75812 күн бұрын
Safi sana bana hao wanatuangusha sana
@godfreymwandara7 күн бұрын
Duh hatari
@injili903 күн бұрын
Hapo aweso nje ya kamera alitaka hata kumpiga kibao lakini ameona kama kiongozi angeharibu
@user-rr1ri7nw7qКүн бұрын
Kijana chapa kazi Mama amekuwamini
@karloladislaus452 күн бұрын
Wana danganya au wanakosa nafasi ya kujieleza??.....Fikiria mahakamani tungekua tuna pelekeshwa hivyo..nani angesema ametendewa haki??
@YahyaMbega2 күн бұрын
Anakudanga huyo ndio wenye maboza hao eakupa sihasa
@ibba80826 күн бұрын
Huyu Jamaa Kichwani Amejaza Majina ya Wafumu(Waganga Wa Jadi).Uwezo Wakufanya kazi HamnaMazingahombwe tu Ndo Amejaza Kihunoni !!!😂
@mbwanaabdallah8525Күн бұрын
Tumepeka maombi mapinga wananchi 50 kutoka mwezi wa kwanza 2024
@unjuusalvatory5331Күн бұрын
Kumbe ndo maana maji hayatoki na mimvua yote ile ....nilikuwa nashangaa how comes maji hayatoki na mvua zmenyesha na serikali imetoa mabilioni kwenye bajet kumbe kuna wafelishaji huku down.
@augustinodaniel55747 күн бұрын
Sako kwa bako ndo hii
@costakihuru49374 күн бұрын
Ukweli humweka mtu huru.😂
@hajihassan54332 күн бұрын
Hizo taarifa unazoziona ni kwa wakati wa Magufuli. Nidham ya kazi tuliiona.
@wemacs3 күн бұрын
3:22 aah mkuu naomba unisamehe😂 hii bhana jamaa kamzunguuusha Waziri kumbe anapiga hesabu, mpaka zinagoma ndo anastuka😂
@ghotmediaКүн бұрын
Huyo jamaa ningemzaba vibao adi masikio yazibe😂
@BallBrainersYTКүн бұрын
Tunailaumu serikali kumbe wenzetu wenyewe ndio wanaotukwamisha. Hawana uadilifu kwenye kazi zao
@mbwanaabdallah8525Күн бұрын
Jamani aweso tukumbuke na sisi wakazi wa kidimu kibaha
@RAMADHANAllykibanga3 күн бұрын
Kulachuma
@mussakimaro55882 күн бұрын
MUESHIMIWA HAWA WANAFANYA KAZI KWA MAZOEA MI MWEZI WA TATU NIMELIPIA MAJI NA SIJAYAPATA
@mwamvuamagongo81637 күн бұрын
Njoo Sinza madukani mwezi watatu sasa bila maji safi
@denisnjaila21822 күн бұрын
Wamcheki hajajikojolea huyu jamaa kweli
@denisnjaila21822 күн бұрын
Kimeumana
@Zenny893 күн бұрын
Na Waziri mwenyewe anatakiwa kujiuzulu…Kwani amekuwa waziri wa Maji Muda gani?
@jimmymushi23577 күн бұрын
Mambo ya estimation au sio ?
@mayrfrimi47594 күн бұрын
Viongozi wote wa Tz nzima eleweni tu kinachoirudisha nchi nyuma kimaendeleo ni hili neno kulindana, kubweteka, na kutokuwa mzalendo, woga, uvivu, na kunafkiana, ifike mahali muache hayo, fanyeni kazi ya kulijenga taifa.
@user-ow7pl6tz2c6 күн бұрын
Yani dawasa nitatizo niwazembe sana na nimajeuli sana
@Kiburudisho4 күн бұрын
Yaani kuna wafanyakazi nchi hii wameajiriwa wanakula mshahara wa serikali ambao unatokana na kodi ya wananchi lakini hawajui kabisa majukumu yao
@AugustKisaka-qy7kl7 күн бұрын
Adi watoke mapovu, ndiovyo inavyo takiwa
@albertbunyinyiga75812 күн бұрын
Njoo na huku busweru na butindo atuna maji
@Optionxll_Playz17 күн бұрын
Miji ikipangwa vizuri hakutakuwa na shida
@denisnjaila21822 күн бұрын
Jama huwa wanafanya kazi kwa mazoea sana
@YahyaMbega2 күн бұрын
Kama wanakudanya sisi wanatujibu ww subiri pinga makofu huyo unambembereza shemeji yako huyo
@naturelle10973 күн бұрын
Such workers can give you a heart attack ...hata ofisi anayofanyia kazi kasahau😢
@fredymike34947 күн бұрын
Aweso ukiona kura za jimbo kwako hazitokitoshaa nipo hapa nije nikupigie na mimi we ni jembe kuna majimbo yamebarikiwa watu bhn
@YahyaMbega2 күн бұрын
Wanakupotezea muda hao wanafanya mazoea
@mtzhalisi22327 күн бұрын
Dah ndugu yangu huyo noma sana
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
Aweso anafukuza ma-engineer alafu anaweka watu wake kisha wanakula hela ya wizara yake..nimeambiwa na mtu wa ndani kabisa...Aweso yeye ni kuzunguka tuu mikoani lakini maji hayatokii..Aweso you can do better than this sir...com'on now
@JOVICTORY20207 күн бұрын
hiii inch tatizo watanzania tunao aminiwa na serikli hatuko srious hivi mtu kama huyu mimi na mchapa makofi , kwa upumbavu huu ata laumiwa Rais ?
@ismailmasoud60017 күн бұрын
Usishangae kuona wapinzani au wanasheria uchwara kuona hatua hizi zinazochukuliwa kwenye ziara kama hizi ni uonevu....lkn kiukweli kabisa watendaji wengi wanapewa nafasi lkn hawajali wananchi Bali ni WAO na MATUMBO yao
@JohnJoseph-qq7ow6 күн бұрын
Wee nae huna akili mtu afanye kazi vizuri upinzani wapinge tena ccm wanaofanya kazi ni wachache Jerry silaa makonda aweso@@ismailmasoud6001
@naturelle10973 күн бұрын
Hio subira nani anayo mara upelekwe huku mara kule
@user-rc6ww6rx7n4 күн бұрын
Cheche 😂😂😂😂😂😂
@mayrfrimi47594 күн бұрын
Hii shida inaonyesha kwamba watu wa serekalini wamezoea kufanya kazi kwa mazoea na sio kwa weledi, mijitu inabweteka tu , hakuna anaewafatilia , wao wanapewa magari, dereva, mafuta, mlinzi, vocha, posho, nk, alafu kumbe hata hawawajibiki ipasavyo, wanyonyaji wakuu wa Serekalini na kula kodi za maskini . Inauma sana.
@tanzaniamycountry93084 күн бұрын
Wazir mkuu ajae Natabiri
@YahyaMbega2 күн бұрын
Mpige gumi mnyange akiri kwanza mpumbavu huyo
@gwamakajohn71223 күн бұрын
Viongoz wangekuwa ivi yn
@ilynpayne74916 күн бұрын
Mtu yupo kazini ila hana hata document moja ya kazi anayo fanya 😂
@WilsonWela4 күн бұрын
Kero zamaji naumeme haziwezi kuisha unalioa pesa kupata maji au unememe inakua shughuri
@NanaMaembe3 күн бұрын
YANI LIJITU LIMEAMINIWA NA RAIS LISIMAMIE MAJI ILI WANAINCH WAPATE MAJI..... LAKINI LENYEWE LINALETA OUNGO MUONGO TU
@user-rc6ww6rx7n4 күн бұрын
Aisee hii nchi.imeoza kila mahali bac ukiwafata ofcn kwao ww raia wakaiwa walivyokuwa na zarau mbwa hao
@user-mq1kw3dk4u2 күн бұрын
😂😂
@shinipapaya846Күн бұрын
Ni mishetani hiyo ona hata mavazi yao mjoto wote lakini wanavaa mihoods na ukiona mijitu inakuchezea kama kitenesi basi juwa kabisaa hata huyo waziri hajitambui huo ndio ukweli mbona JPM ilikuwa papo kwa papo na kuna ile mijituz flani flani eti hakizabinaadamu kwa mishetani kama hayo hayajitokezi ila ukiligusa shoga au sagaji utayaona kwenye tv 📺 mpaka mishipa ya shingo na OMO kama zote 😭😭 RIP mzee baba Magufuli
@abdallahkambangwa72157 күн бұрын
ukisikia bampa tu bampa ndo hiyo duuh
@jafarimnaro7047 күн бұрын
Kweli mwana Bampa tu bampa
@naturelle10973 күн бұрын
😂😂😂😂haruki mtu
@nadiaamisha29587 күн бұрын
Mfumo wa JPM hadi raha 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@user-bi7gk7im4f4 күн бұрын
Ndio urithi aliouacha Jpm Kwa wanasiasa
@RiddoRiddo-jj1bx5 күн бұрын
Mm sielewi ivi ayo mambo yenu mkifanya out of camera yatakua hayaendi au n siasa za kijinga
@lovenessvisent94084 күн бұрын
Ni Bora tuwaone waone aibu
@user-zm4mm4eb5jКүн бұрын
Jamaa mdomo umekuwa mrefu kama chupi iliokatika mpira kazi uongo na uzembe vilaza wakubwa hawa
@moriscollins44944 күн бұрын
Arusha jiji la kitalii maji hakuna na mradi mkubwa wa billion 500 upo mkuu upitie na huku