Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 27
@salimliemba34582 жыл бұрын
Hpy birthday mh waziri wa Maji Allah akupe umri na afya Ameen
@shabanmaguru19502 жыл бұрын
Siasa unaiweza bwana mdogo upo vizuriii sanaa
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
Uweso upo vizuri sana
@edwardmakonge69512 жыл бұрын
kijana Aweso yuko vizuri sana.atafika mbali sana.
@zaidasalumualute64372 жыл бұрын
Bado Dodoma mjini kata ya Nkuhungu hakunamaji,kwanini??
@nadhifamohammed7749 Жыл бұрын
Moyo umenipiga nimesikia mama Nadhifa ❤
@tusiimeroy3157 Жыл бұрын
MajiTabata kinyerezi Ni shida Sana mashine ya segerea Ni mbovu imechakaa, Tunaomba ibadilishwe
@omarikibwanga Жыл бұрын
Kiukweli Mhe Aweso unapiga kazi
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Muda umeenda na mb tumewaungisha wauzaji na pesa imeingia kwenye mzunguko. Good
@christinamsoka Жыл бұрын
Dar tuu watu hawana maji ...sambazeni maji tutumie maji salama tulipe mpate pesa jamani .mnakwama wapi?
@petersilas42342 жыл бұрын
Mradi wa Mwanga Same kwanini hamna kinachoendelea . Sisi haturidhiki na hayo yanayoendelea. Mbona miradi iliyoanza nyuma imekamilika???
@labanbishirabandi37402 жыл бұрын
Ni kusifiana tu
@barakamsungu52602 жыл бұрын
Mchukua kamera mama wa Aweso kaambiwa asimame hujamchukua hadi tukuo limeisha ndio unapeleka kamera kwa hadhira duu! labda mm ndio sijui
@gabrielzakaria28102 жыл бұрын
Mradi wa maji mkundi aweso unajua kuwa umepoa
@selemanally6502 жыл бұрын
Hana mchezo chifu hangaya atawazingua
@msomimosomy98122 жыл бұрын
Ujingamtupuhapo
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Kivipi? Huyu jamaa anawajibika sana... Na Chief Hangaya sio mtu wa michezo... Amesema hataki kuona akina mama wa Nchi hii hawana maji... Ametoa hela nyingi kutekeleza hili jambo, na sasa tunavuna matunda yake... Safi sana Waziri wetu Aweso! Barikiwa Mama wa Taifa, hakika umemtua mwanamke ndoo kichwani!
@sambulugu99882 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 wewe Juma humjui huyu ni kijana mjanja anayecheza na akili za mama Samia! Ni fisadi anayepelekewa hela kwenye mifuko na watu wa wizara hiyo!
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
@@sambulugu9988 Hakika Mungu akusamehe kutunga uongo,,, Mwogope sana Mungu,,, Maneno yako yawe machache mbele zake Mungu,,,
@sambulugu99882 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 Usifanyie kazi maneno matupu hiyo anatetea ugali wake wewe malia kusifia tu! Hiyo mtu watu wanajua michongo yake!
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Ila, kazi zake zinaonekana! Wananchi sisi tunachohitaji ni huduma ya maji ... Na maji tumepata! Jamaa yuko kazini usiku na mchana, hajatuzingua! Aweso oyeee!
@lucasbartazari77972 жыл бұрын
Tuache porojo na kusifiana! Huu ni ujinga tu! Aweso ni mmoja wa wezi wakubwa ktk wizara. Sasa hivi pesa za wizara wanazituma mikoani na kuzirudisha wizarani kesho yake na kuzigawana.
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Tusaidie. Basi kalisemee pale litakapofanyiwa kazi. Hapa halitakuwa na maana.
@omarikibwanga Жыл бұрын
Una ushahidi katika hilo?
@lucasbartazari7797 Жыл бұрын
@@omarikibwanga wezi wote huanza hivyo! Uliniona! Una ushahidi! Una uhakika! bhla! bhla!