WAZIRI AMVAA MKANDARASI "BWAWA LILILOTUMIA MILIONI 600 LIKO WAPI?, POLISI WAKAMATE"

  Рет қаралды 38,208

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 142
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 2 жыл бұрын
Aliyeiona hiyo Temporary camp house ya Million Saba, hapo anipe like 👍 nzito kwamba wahuni wamerudi hewani kama kawa🙆‍♂️🙆‍♂️😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@luischoma5094
@luischoma5094 2 жыл бұрын
Tena wahuni wa vilemba
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Na bado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fettyfay2334
@fettyfay2334 2 жыл бұрын
Hahaaàaaaaaa. Hataliiiiiiiiii
@yohanabundala9162
@yohanabundala9162 Жыл бұрын
Hapo ndo nimeamini uhuni unaofanywa Milioni 7 hapo kilochotumika si ni mabati na mbao tu, hesabu ya haraka haraka hazidi milioni4
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 Ай бұрын
Mil 4 au mil 1?
@ombenishirima6444
@ombenishirima6444 2 жыл бұрын
Kwa kweli Jumaa Awesu Mungu akubariki unafanya Kazi njema
@deoprosper556
@deoprosper556 2 жыл бұрын
Mobilisation,De- mobilisation establishement of temporary house banda la maneno mengi ya kitaalam yanamsaidia nn mwananchi wa kawaida ww mpe maji this is what the late president of Tanzania JPM didn't want to hear
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
😂😂😂😬
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 2 жыл бұрын
Hicho kibanda cha bati mil 7
@victorwilliam1111
@victorwilliam1111 Жыл бұрын
Demobilisation kwani amemaliza kazi?
@c75923
@c75923 2 жыл бұрын
Katika Mawaziri WACHACHE SANA naowakubali katika uongozi wa awamu hii Jumaa Aweso ni namba moja!!!! Yaani anapiga kazi sanaaaaa!!! Hizi mambo za kusema siwezi kufokea watu wazima zitaucosti uongozi huu ndio maana tumerudi uchumi wa chini! Jifanyeni wastaarabu tu
@ridhiwaniomari7425
@ridhiwaniomari7425 2 жыл бұрын
Yaani kamshinda hata Majaliwa
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Pumbavu kabisa. Asante Waziri kwa kuwakusanya hao WAHUNI ndani ya Defender. Wapigwe viboko hadharani.
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Watenda kazi ndani ya taifa letu bila fimbo hawaendi magufuri aliwadhibiti kwa asilimia kubwa wanamwita dikteka
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka umenena vyema lisibatilike hata Nemo Moja 👍👍👍
@liannsambu7264
@liannsambu7264 2 жыл бұрын
Ndo hapo wanataka viongozi wa aina gani ,MIE NLITAMANI JPM ABANE ZAIDI YA ALIVYOKUWA AKIBANA , OTHERWISE TUTAWALIWE TU TENA KAMA ALIVYOKUWA ANASEMA TRUMP ,AFRICA KWA MWENDO HUU TUTAWALIWE TENA MAANA TUNAANGUSHANA SANA ,WAKIJA VIONGOZI WANAOSIMAMIA TUNAWATUHUMU ,WAKIJA WANAOTUBEBA BADO TUNAFANYA MADUDU JAMANI ,WATANZANIA TUNATAKA NINI ????
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
1:50 Temporary camp house ya milion 7 ndio BANDA LA MABATI KAAH ASEE WIZI WA OVYO
@njaapangai2149
@njaapangai2149 2 жыл бұрын
hongera mwamba kutoka pangani fanya kazi ww ni mtoto wa magu
@uklife5232
@uklife5232 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Banda la milion 7 tumeliona ahsanteni sana
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vimepanda bei
@alexmgusi2534
@alexmgusi2534 2 жыл бұрын
Nchi ngumu sana hiii😁😁😁😁
@christopherdimagaaaikopouw916
@christopherdimagaaaikopouw916 2 жыл бұрын
@@raphaelsikumbi5517 😂😂😂😂😂 Kwan bando moja ya bati sa ivi inauzwa bei gan raphael?
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
@@christopherdimagaaaikopouw916 ndugu yangu hii nchi ina ugonjwa hatari sana ukitaka kutibu tatizo wanakuinukia na kukuambia wewe ni dikteta au muuaji kisha baadae wanakuondoa eneo la uongozi na kukusahau
@omeysuper
@omeysuper 2 жыл бұрын
😂😂😂
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 жыл бұрын
Haya ndio matokeo ya kuwa na kiongozi dhaifu. Ukiwa na system dhaifu utapigwa tu na wahuni.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Hatari sana na huo ndio mwanzo tu mpka tukifika 2030 nchi hoi bin taban na bado beach tayali lishaingia chaka bimkubwa wanamchezesha jinsi wanavyotaka 😭 wanafanya nchi kama mali ya mababa zao nawaambia hipo siku yenu jibu mtakuja kulipata hapa hapa duniani
@stephenmtenga897
@stephenmtenga897 2 жыл бұрын
Namna pekee ya kuikomboa nchi yetu ni kubadili fikra za watanzania, wawe wanajitambua na kujiheshimu. Ni kazi ngumu, ya muda mrefu, inatakiwa tuanze na watoto wetu tangu wangali wadogo. Hasa tuwe na mtaala wa kuwasaidia kujitambua. Mambo mengine ni ya kihuni tu, huwezi kuyafanya kama umelelewa vizuri.
@tommethodjr.9731
@tommethodjr.9731 2 жыл бұрын
Umenena vyema
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 2 жыл бұрын
Iyo mijizi, kama wezi wengine tu wa uswahilini ilikua ipigwe mawe adi kufa, Big up mueshimiwa Waziri
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 2 жыл бұрын
Yule mzee alipofariki yote haya yakaaza watu kuchukulia poa pesa za serikali daah aibu sanaa
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 2 жыл бұрын
Jamani c ndio viongozi walioteuliwa wanapiga Kazi kuwazuia wezi ndugu ni inshu kwaiyo unapoonda hatua zinachukuliwa tusiingize mambo ambayo hayapo coz ata magu hakuweza kuwadhibiti wote na pesa wamepiga nyingi tu ktk uongozi wake
@isaacmwaseba9972
@isaacmwaseba9972 2 жыл бұрын
Ni.kweli nakubali magu kafanya kazi ila Kama nchi hii huijui tulia kuna barabara bunda to mugumu inamiaka saba haiishi sasa hivi ndio naiona inakimbia ila ukiuliza utaelewa.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 3 ай бұрын
Waziri kidogo amchape kofi huyo Msenge eti mkandarasi😂😂😂
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 жыл бұрын
Yamerudi yale yale na watu wanaiona tena nchi kuwa shamba la bibi.
@happyshayo8100
@happyshayo8100 2 жыл бұрын
Tanzania nchi yangu huwezi amino hayo maji ndio wanapikia na kunywa mungu tusaidie Tanzania nchi
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Sasa Serikali ifanyeje hela imetoa na kujenga bwawa hapo mafisadi wamekula million 600
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
Huu ndiyo mutindo Hayati Magufuli aliweza kufanikiwa. Muiteni Hayati Magufuli majina yeyote yale. Aliweza pale viongozi waliomutangulia walishindwa. Lala salama baba, ulisema tutakukumbuka na kweli.
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 2 жыл бұрын
Hayo mabat kupiga hapo ni mil7
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine
@mokhimji
@mokhimji 2 жыл бұрын
Tanzania wakandarasi wapo... sema tenda zinauzwa kwa washikaji na kila bodi ina mkato wake. RIP JPM
@khamisally9559
@khamisally9559 2 жыл бұрын
RIP inakujaje hapo?. Badala ya kumpongeza Aweso kwa kuchukua hatua unaleta usenge.
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 Ай бұрын
😂😂Temporary house mil.7 😂😂 yaani banda la laki 4😂😂😂 hii nchi jmn😂😂😂
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Hawa wangekuwa wanavyongwa tu au unapachapa viboko na mijeredi na unawaachia wakimbie kama wanyama halafu unatwanga risasi za matakoni na kisogoni nguruwe hawa. Ngoja JPM liberation front tuiingie madarakani wala rushwa wote na wafisadi ni kunyonga hadharani
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂risas za matakon
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Viboko na mijeredi 🤭😃😃😃😃 leo umenifurahisha!🤣🤣🤣
@daudimasumbuko6645
@daudimasumbuko6645 2 жыл бұрын
Yaani nikupiga risasi wote walioko kwenye mfumo wa ufisadi, harafu tunaanza upya
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Ongera sana waziri.Ni wizi mtupu unaofanyika.
@majimotomalole1809
@majimotomalole1809 2 жыл бұрын
Huko Tanga kuna shida.Wataamu wa kulamba asali 🍯
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Alafu jamaa anaonyesha kibuli sana yaan anajiamini kupita maelezo anapiga makofi bila wasi wasi
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 2 жыл бұрын
nahisi alikuwa mwanakwaya sasa akadhani waziri ana iba.
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
@@kiariedavid8370 😂😂 atajua hajui kwa mziki wa Aweso
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
@@kiariedavid8370 😂😂😂😂ndo atajua hajui tu
@samuelminja6590
@samuelminja6590 2 жыл бұрын
Eti tanzania kunawashika dini hamna kitu tz hilo ndio bwawa la 600 milioni duu nyumba ya mabati milioni 7
@hizamwaimu3918
@hizamwaimu3918 2 жыл бұрын
Imekaa vizuri
@hustlerjailan2287
@hustlerjailan2287 2 жыл бұрын
Big up waziri
@hallin9561
@hallin9561 2 жыл бұрын
hayati magufuli alivyodeal na hawa wasenge mlimuita diktetA, nchi imerud tena kwenye ulegelege tena
@shaqdizo7678
@shaqdizo7678 2 жыл бұрын
tatizo viongozi hawaendi kukagua miradi
@fatumazuberi9842
@fatumazuberi9842 2 жыл бұрын
Na wamechacha hao wakandalasi huyu kama wa tatu hivi anafanya hivi hivi mmjoja alijenga banda la lakitano kaandika million 100 aisee mama uwe makini.
@augustinoevarist6754
@augustinoevarist6754 2 жыл бұрын
Nyumba ya Million saba hiyoo daaaah
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 2 жыл бұрын
Duuu hata Mimi ningeweza kuchimba hivi
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 2 жыл бұрын
Anaomba aweke Maelezo😅😅😅
@onesphoryo407
@onesphoryo407 2 жыл бұрын
dah temporary house million.7 haaaa banda la kuku an Tz kuchekea watu kama hawa upuuzi.xnaa
@juliussuleiman3999
@juliussuleiman3999 2 жыл бұрын
Kwa nini bakora hazitumiki??? Watu kama hawa kabla ya kuswekwa ndani walistahili kwanza wapate bakora(viboko) iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi, Inauma sana fedha ya umma kuchezewa kama hivi halafu anaongea na waziri kwa ujeuri kama vile anaongea na mhuni mwenzie, huyu jamaa mkimtoa mmetukera duniani mpaka ahera, mwacheni aozee huko huko
@castobenjamin4074
@castobenjamin4074 2 жыл бұрын
Hizi ni dharau za hali ya juu, hizo hesabu hata kama mimi sio Mkandarasi huu ni wizi wa wazi na Ufisadi hakuna haja ya ku discuss weka ndani wote wajinga haoo
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 жыл бұрын
Ni huzuni kwa kweli
@yayananajota5838
@yayananajota5838 2 жыл бұрын
Serikari za uchochoroni hizo, pesa ziliwe mama yupo ulaya shida nini, wacha wale maziwa na asali mana mama kasema kuleni kidogo wanangu mnanjaa😅😅
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa kuwa rais.nakutabiria makubwa.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Hawezi kuwa rais kwasababu waswahili hawawapemdi watu wakweli na ikiwezekana basi wanamuua , bongo rais lazima atoke dar es salaam alafu hawe na itikadi hizo ndio tutafanyikiwa lakini mtu kutoka shamba lazima tu watamzunguka wahuni wa mijini
@yayananajota5838
@yayananajota5838 2 жыл бұрын
Serikari imejipambanuaaa🙄🙄😏😏serikari gani???,,
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 2 жыл бұрын
Hivi hawa watendaji na mkandarasi mbona wanakiburinna ujinga sana.Hatuwezi watandika viboko hawa?
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 2 жыл бұрын
😅😅😅
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
Mwiteni Magu ndiye kiboko ya hao machunguchu😂😂😂
@homeboy2307
@homeboy2307 2 жыл бұрын
wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi
@seifsalim2039
@seifsalim2039 2 жыл бұрын
Lkn mbn kipindi Cha Uncle magu mbn Kila mtu alikua na adabu zake ilikua hakuna ujinga huu
@jabirmfinanga552
@jabirmfinanga552 2 жыл бұрын
Tusaidieni jaman tumewapa kura zetu jaman
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 2 жыл бұрын
Tatizo Rais wetu anabembeleza nyani,hatuwezi kufika,
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂kazi ipo tanzania mara hi asee
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
Huyu Jamaa anajitahidi sana,kwa hakika
@nancykiduda729
@nancykiduda729 2 жыл бұрын
Sweka ndani wote
@fettyfay2334
@fettyfay2334 2 жыл бұрын
Temporaly camp house. Real shit🤔😂😂
@yolenimocheng8745
@yolenimocheng8745 2 жыл бұрын
'Temporary Camp 7m. Ni lile pale mheshimiwa...' 😂 😂 😂 msomaji mchongezi wewe...
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
😂
@eliahedward7490
@eliahedward7490 2 жыл бұрын
Hahahaha hy temporary house...et mil7 duuuuuh!hii ndo tz
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 жыл бұрын
Linda utawala wa mama. Maana kuna mamtu yanazani huu ni utawala wa kupiga Hela
@jaffarymnaro566
@jaffarymnaro566 2 жыл бұрын
Mama yupo bize na marekani jamani
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Banda sio mbaya wamekula kwa urefu wa kama kama mama alivyowaamuru. Maana bando ya bati bei juu. Mbao ya boriti inauzwa kwa futi. Ila hapo kwenye bwawa . Wacharazwe viboko hadharani
@ngoshazprank1384
@ngoshazprank1384 2 жыл бұрын
1:46 🤣🤣
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 2 жыл бұрын
Halafu huyu nae akirudi nyumbani anasema ametoka ktk majukumu ya kuwahudumia wananchi,hawa ni wahuni wa kufukiwa wakiwa wazima
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Iyo nyumba million 7 🤣🤣🤣🤣🤣
@peterjohn2854
@peterjohn2854 2 жыл бұрын
Hatar sana
@ellyjacob9897
@ellyjacob9897 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 wameanza hahahaha
@superangeltv4615
@superangeltv4615 2 жыл бұрын
inzi hii bwana
@sadahabdalah7073
@sadahabdalah7073 2 жыл бұрын
Waziri wa maji wanakudharau nn? Mbona miradi yote ya maji Ina u adhirifu mkubwa sana
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Weka ndani wote
@joramkimario9321
@joramkimario9321 2 жыл бұрын
Hiyo suti hapo ilikula million 7.yajayo yanafurahisha
@hizamawa6046
@hizamawa6046 2 жыл бұрын
Mzigua vs mzigua
@omaryidd8199
@omaryidd8199 2 жыл бұрын
Mkuu nenda na kilindi Kuna madudu zaidi ya hapo.anzia msente kolan'ga na kinkwembe.utalia tu
@kefajoseph158
@kefajoseph158 2 жыл бұрын
Damu yaMAGULI ITAWATAFUNA SANA
@malupex6299
@malupex6299 2 жыл бұрын
Temporary camp 7 mil., hii hatari.
@superangeltv4615
@superangeltv4615 2 жыл бұрын
ss tutawaliwe tu maana ni vilaza maana no uzalendo
@willelia2554
@willelia2554 3 ай бұрын
Sweka ndani fukuza kazi tafuta wengine
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 2 жыл бұрын
Mtoto umleavyo ndivyo Akuavyo...
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
Wanalamba asali
@watuhuru6128
@watuhuru6128 2 жыл бұрын
Dah hicho kibwawa
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 2 жыл бұрын
Hilo banda la bati ndiyo milioni 7!
@abrahamuisrael6161
@abrahamuisrael6161 2 жыл бұрын
MZEE NAJUA HUJAFA BD UMEKAA SEHEM FULANI UNACHEKI UJINGA UNAOFANYIKA CHINI YA UONGOZ WA MAMA WA TAARABU,,,R.I.P MWAMBA JPM
@rashidyusuph4417
@rashidyusuph4417 2 жыл бұрын
We nae pumba kabsa kwaio samia ndo kazzila na kama imegundulika huoni serekaali ipo makin kufatilia you're narrow minded acha kuishi na fkra za chuki
@mathayonyerera3144
@mathayonyerera3144 2 жыл бұрын
Jamani hilo banda la million saba ni uhuni 😑
@resmakihiyo3463
@resmakihiyo3463 2 жыл бұрын
Madhara ya kubembelezana ndo hayo
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 2 жыл бұрын
Ilo banda kweli 7m mhhhh mabati tu kwa kuona ni 2m Mbao labda laki7 fundi laki 4 tu 🤣🤣🤣🤣
@RioIpo
@RioIpo 2 жыл бұрын
Hahaha watu wanapigwa sana aseee
@rmaryp6269
@rmaryp6269 2 жыл бұрын
Masihala hayo jamani! Kibanda hicho eti milioni 7!?
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vya ujenzi vimepanda bei
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Uwizi mtupu
@ahmedjuma3602
@ahmedjuma3602 2 жыл бұрын
😂😂
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂
@diegogeorge3405
@diegogeorge3405 2 жыл бұрын
Mkandarasi kijumba Cha mabati million 7🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@saralusinde53
@saralusinde53 2 жыл бұрын
mwenzangu ata mi nashaka 😂😂
@farajakunyanja2521
@farajakunyanja2521 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@DM_15
@DM_15 2 жыл бұрын
Huyomkandarasi anavyo jiamini niwazi kabisa anauhakika hajaladhulima na ndiomaana ana confidence yakuongea
@prosperjuma905
@prosperjuma905 2 жыл бұрын
Kwanza kwa nini hakumpa nafas ya kujieleza? Anamuuliza swali..akitaka kujibu anamkatisha.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@prosperjuma905 ajieleze nini???kweli hilo banda la bati hapo milioni 7!!! Kwa akili kama zako itakua ngumu Tanzania kuendelea
@gideonmwangaza4807
@gideonmwangaza4807 2 жыл бұрын
Mbuzi ameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yake, tena rukhsa hiyo ilitoka kwa mama mwenyewe; mimi sioni ajabu kwa kweli, ijapokuwa inauma na kuudhi kwelikweli. Sera ya sasa ni: “Mwendo wa kula asali 🍯.”
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 2 жыл бұрын
Kusanya woteeeeeee😡😡😡😡😡
@supriaja2374
@supriaja2374 2 жыл бұрын
Nisawa ila ungewaacha wajieleze nawao tuwasikie uongo wao atujapenda
@homeboy2307
@homeboy2307 2 жыл бұрын
wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
Hilo libaba linaonekana limekuwa hela
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
😂😂😂
@missangela6720
@missangela6720 2 жыл бұрын
😂😂😂
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,2 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 163 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 16 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 7 МЛН
Ronaldinho Gaucho Goals That SHOCKED The World
7:01
iLance7i
Рет қаралды 8 МЛН
Curve Goals That SHOCKED The World
5:35
iLance7i
Рет қаралды 42 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,2 МЛН