Aliyeiona hiyo Temporary camp house ya Million Saba, hapo anipe like 👍 nzito kwamba wahuni wamerudi hewani kama kawa🙆♂️🙆♂️😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@luischoma50942 жыл бұрын
Tena wahuni wa vilemba
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Na bado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fettyfay23342 жыл бұрын
Hahaaàaaaaaa. Hataliiiiiiiiii
@yohanabundala9162 Жыл бұрын
Hapo ndo nimeamini uhuni unaofanywa Milioni 7 hapo kilochotumika si ni mabati na mbao tu, hesabu ya haraka haraka hazidi milioni4
@elishakayagwa9371Ай бұрын
Mil 4 au mil 1?
@ombenishirima64442 жыл бұрын
Kwa kweli Jumaa Awesu Mungu akubariki unafanya Kazi njema
@deoprosper5562 жыл бұрын
Mobilisation,De- mobilisation establishement of temporary house banda la maneno mengi ya kitaalam yanamsaidia nn mwananchi wa kawaida ww mpe maji this is what the late president of Tanzania JPM didn't want to hear
@missangela67202 жыл бұрын
😂😂😂😬
@ramsdenjames97822 жыл бұрын
Hicho kibanda cha bati mil 7
@victorwilliam1111 Жыл бұрын
Demobilisation kwani amemaliza kazi?
@c759232 жыл бұрын
Katika Mawaziri WACHACHE SANA naowakubali katika uongozi wa awamu hii Jumaa Aweso ni namba moja!!!! Yaani anapiga kazi sanaaaaa!!! Hizi mambo za kusema siwezi kufokea watu wazima zitaucosti uongozi huu ndio maana tumerudi uchumi wa chini! Jifanyeni wastaarabu tu
@ridhiwaniomari74252 жыл бұрын
Yaani kamshinda hata Majaliwa
@gibsonjosephat63522 жыл бұрын
Pumbavu kabisa. Asante Waziri kwa kuwakusanya hao WAHUNI ndani ya Defender. Wapigwe viboko hadharani.
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Watenda kazi ndani ya taifa letu bila fimbo hawaendi magufuri aliwadhibiti kwa asilimia kubwa wanamwita dikteka
@mosesmwailenge51922 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka umenena vyema lisibatilike hata Nemo Moja 👍👍👍
@liannsambu72642 жыл бұрын
Ndo hapo wanataka viongozi wa aina gani ,MIE NLITAMANI JPM ABANE ZAIDI YA ALIVYOKUWA AKIBANA , OTHERWISE TUTAWALIWE TU TENA KAMA ALIVYOKUWA ANASEMA TRUMP ,AFRICA KWA MWENDO HUU TUTAWALIWE TENA MAANA TUNAANGUSHANA SANA ,WAKIJA VIONGOZI WANAOSIMAMIA TUNAWATUHUMU ,WAKIJA WANAOTUBEBA BADO TUNAFANYA MADUDU JAMANI ,WATANZANIA TUNATAKA NINI ????
@valentinetesha85362 жыл бұрын
1:50 Temporary camp house ya milion 7 ndio BANDA LA MABATI KAAH ASEE WIZI WA OVYO
@njaapangai21492 жыл бұрын
hongera mwamba kutoka pangani fanya kazi ww ni mtoto wa magu
@uklife52322 жыл бұрын
🤣🤣🤣Banda la milion 7 tumeliona ahsanteni sana
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vimepanda bei
@alexmgusi25342 жыл бұрын
Nchi ngumu sana hiii😁😁😁😁
@christopherdimagaaaikopouw9162 жыл бұрын
@@raphaelsikumbi5517 😂😂😂😂😂 Kwan bando moja ya bati sa ivi inauzwa bei gan raphael?
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
@@christopherdimagaaaikopouw916 ndugu yangu hii nchi ina ugonjwa hatari sana ukitaka kutibu tatizo wanakuinukia na kukuambia wewe ni dikteta au muuaji kisha baadae wanakuondoa eneo la uongozi na kukusahau
@omeysuper2 жыл бұрын
😂😂😂
@laurentraphael54702 жыл бұрын
Haya ndio matokeo ya kuwa na kiongozi dhaifu. Ukiwa na system dhaifu utapigwa tu na wahuni.
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Hatari sana na huo ndio mwanzo tu mpka tukifika 2030 nchi hoi bin taban na bado beach tayali lishaingia chaka bimkubwa wanamchezesha jinsi wanavyotaka 😭 wanafanya nchi kama mali ya mababa zao nawaambia hipo siku yenu jibu mtakuja kulipata hapa hapa duniani
@stephenmtenga8972 жыл бұрын
Namna pekee ya kuikomboa nchi yetu ni kubadili fikra za watanzania, wawe wanajitambua na kujiheshimu. Ni kazi ngumu, ya muda mrefu, inatakiwa tuanze na watoto wetu tangu wangali wadogo. Hasa tuwe na mtaala wa kuwasaidia kujitambua. Mambo mengine ni ya kihuni tu, huwezi kuyafanya kama umelelewa vizuri.
@tommethodjr.97312 жыл бұрын
Umenena vyema
@mangulimanguli39742 жыл бұрын
Iyo mijizi, kama wezi wengine tu wa uswahilini ilikua ipigwe mawe adi kufa, Big up mueshimiwa Waziri
@charleskaozya99242 жыл бұрын
Yule mzee alipofariki yote haya yakaaza watu kuchukulia poa pesa za serikali daah aibu sanaa
@shubebunyesi5422 жыл бұрын
Jamani c ndio viongozi walioteuliwa wanapiga Kazi kuwazuia wezi ndugu ni inshu kwaiyo unapoonda hatua zinachukuliwa tusiingize mambo ambayo hayapo coz ata magu hakuweza kuwadhibiti wote na pesa wamepiga nyingi tu ktk uongozi wake
@isaacmwaseba99722 жыл бұрын
Ni.kweli nakubali magu kafanya kazi ila Kama nchi hii huijui tulia kuna barabara bunda to mugumu inamiaka saba haiishi sasa hivi ndio naiona inakimbia ila ukiuliza utaelewa.
@gibsonjosephat63523 ай бұрын
Waziri kidogo amchape kofi huyo Msenge eti mkandarasi😂😂😂
@kambamazig020242 жыл бұрын
Yamerudi yale yale na watu wanaiona tena nchi kuwa shamba la bibi.
@happyshayo81002 жыл бұрын
Tanzania nchi yangu huwezi amino hayo maji ndio wanapikia na kunywa mungu tusaidie Tanzania nchi
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Sasa Serikali ifanyeje hela imetoa na kujenga bwawa hapo mafisadi wamekula million 600
@gracegrace62002 жыл бұрын
Huu ndiyo mutindo Hayati Magufuli aliweza kufanikiwa. Muiteni Hayati Magufuli majina yeyote yale. Aliweza pale viongozi waliomutangulia walishindwa. Lala salama baba, ulisema tutakukumbuka na kweli.
@efraimjohn49562 жыл бұрын
Hayo mabat kupiga hapo ni mil7
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine
@mokhimji2 жыл бұрын
Tanzania wakandarasi wapo... sema tenda zinauzwa kwa washikaji na kila bodi ina mkato wake. RIP JPM
@khamisally95592 жыл бұрын
RIP inakujaje hapo?. Badala ya kumpongeza Aweso kwa kuchukua hatua unaleta usenge.
@elishakayagwa9371Ай бұрын
😂😂Temporary house mil.7 😂😂 yaani banda la laki 4😂😂😂 hii nchi jmn😂😂😂
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Hawa wangekuwa wanavyongwa tu au unapachapa viboko na mijeredi na unawaachia wakimbie kama wanyama halafu unatwanga risasi za matakoni na kisogoni nguruwe hawa. Ngoja JPM liberation front tuiingie madarakani wala rushwa wote na wafisadi ni kunyonga hadharani
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂risas za matakon
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Viboko na mijeredi 🤭😃😃😃😃 leo umenifurahisha!🤣🤣🤣
@daudimasumbuko66452 жыл бұрын
Yaani nikupiga risasi wote walioko kwenye mfumo wa ufisadi, harafu tunaanza upya
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana waziri.Ni wizi mtupu unaofanyika.
@majimotomalole18092 жыл бұрын
Huko Tanga kuna shida.Wataamu wa kulamba asali 🍯
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Alafu jamaa anaonyesha kibuli sana yaan anajiamini kupita maelezo anapiga makofi bila wasi wasi
@kiariedavid83702 жыл бұрын
nahisi alikuwa mwanakwaya sasa akadhani waziri ana iba.
@kennyrogers47342 жыл бұрын
@@kiariedavid8370 😂😂 atajua hajui kwa mziki wa Aweso
@kennyrogers47342 жыл бұрын
@@kiariedavid8370 😂😂😂😂ndo atajua hajui tu
@samuelminja65902 жыл бұрын
Eti tanzania kunawashika dini hamna kitu tz hilo ndio bwawa la 600 milioni duu nyumba ya mabati milioni 7
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
Imekaa vizuri
@hustlerjailan22872 жыл бұрын
Big up waziri
@hallin95612 жыл бұрын
hayati magufuli alivyodeal na hawa wasenge mlimuita diktetA, nchi imerud tena kwenye ulegelege tena
@shaqdizo76782 жыл бұрын
tatizo viongozi hawaendi kukagua miradi
@fatumazuberi98422 жыл бұрын
Na wamechacha hao wakandalasi huyu kama wa tatu hivi anafanya hivi hivi mmjoja alijenga banda la lakitano kaandika million 100 aisee mama uwe makini.
@augustinoevarist67542 жыл бұрын
Nyumba ya Million saba hiyoo daaaah
@jebellwallace35092 жыл бұрын
Duuu hata Mimi ningeweza kuchimba hivi
@nyamarungujr78342 жыл бұрын
Anaomba aweke Maelezo😅😅😅
@onesphoryo4072 жыл бұрын
dah temporary house million.7 haaaa banda la kuku an Tz kuchekea watu kama hawa upuuzi.xnaa
@juliussuleiman39992 жыл бұрын
Kwa nini bakora hazitumiki??? Watu kama hawa kabla ya kuswekwa ndani walistahili kwanza wapate bakora(viboko) iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi, Inauma sana fedha ya umma kuchezewa kama hivi halafu anaongea na waziri kwa ujeuri kama vile anaongea na mhuni mwenzie, huyu jamaa mkimtoa mmetukera duniani mpaka ahera, mwacheni aozee huko huko
@castobenjamin40742 жыл бұрын
Hizi ni dharau za hali ya juu, hizo hesabu hata kama mimi sio Mkandarasi huu ni wizi wa wazi na Ufisadi hakuna haja ya ku discuss weka ndani wote wajinga haoo
@ashachitemo78162 жыл бұрын
Ni huzuni kwa kweli
@yayananajota58382 жыл бұрын
Serikari za uchochoroni hizo, pesa ziliwe mama yupo ulaya shida nini, wacha wale maziwa na asali mana mama kasema kuleni kidogo wanangu mnanjaa😅😅
@amalikakiva49372 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa kuwa rais.nakutabiria makubwa.
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Hawezi kuwa rais kwasababu waswahili hawawapemdi watu wakweli na ikiwezekana basi wanamuua , bongo rais lazima atoke dar es salaam alafu hawe na itikadi hizo ndio tutafanyikiwa lakini mtu kutoka shamba lazima tu watamzunguka wahuni wa mijini
@yayananajota58382 жыл бұрын
Serikari imejipambanuaaa🙄🙄😏😏serikari gani???,,
@josephatmathiasgalagalabuh7862 жыл бұрын
Hivi hawa watendaji na mkandarasi mbona wanakiburinna ujinga sana.Hatuwezi watandika viboko hawa?
@stevenlugojeremia23232 жыл бұрын
😅😅😅
@missangela67202 жыл бұрын
Mwiteni Magu ndiye kiboko ya hao machunguchu😂😂😂
@homeboy23072 жыл бұрын
wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi
@seifsalim20392 жыл бұрын
Lkn mbn kipindi Cha Uncle magu mbn Kila mtu alikua na adabu zake ilikua hakuna ujinga huu
@jabirmfinanga5522 жыл бұрын
Tusaidieni jaman tumewapa kura zetu jaman
@fortidaskashaigili74962 жыл бұрын
Tatizo Rais wetu anabembeleza nyani,hatuwezi kufika,
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂kazi ipo tanzania mara hi asee
@saidhassan77792 жыл бұрын
Huyu Jamaa anajitahidi sana,kwa hakika
@nancykiduda7292 жыл бұрын
Sweka ndani wote
@fettyfay23342 жыл бұрын
Temporaly camp house. Real shit🤔😂😂
@yolenimocheng87452 жыл бұрын
'Temporary Camp 7m. Ni lile pale mheshimiwa...' 😂 😂 😂 msomaji mchongezi wewe...
@missangela67202 жыл бұрын
😂
@eliahedward74902 жыл бұрын
Hahahaha hy temporary house...et mil7 duuuuuh!hii ndo tz
@eaglecrown11012 жыл бұрын
Linda utawala wa mama. Maana kuna mamtu yanazani huu ni utawala wa kupiga Hela
@jaffarymnaro5662 жыл бұрын
Mama yupo bize na marekani jamani
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Banda sio mbaya wamekula kwa urefu wa kama kama mama alivyowaamuru. Maana bando ya bati bei juu. Mbao ya boriti inauzwa kwa futi. Ila hapo kwenye bwawa . Wacharazwe viboko hadharani
@ngoshazprank13842 жыл бұрын
1:46 🤣🤣
@abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын
Halafu huyu nae akirudi nyumbani anasema ametoka ktk majukumu ya kuwahudumia wananchi,hawa ni wahuni wa kufukiwa wakiwa wazima
@hisanmwakijungu102 жыл бұрын
Iyo nyumba million 7 🤣🤣🤣🤣🤣
@peterjohn28542 жыл бұрын
Hatar sana
@ellyjacob98972 жыл бұрын
😂😂😂😂 wameanza hahahaha
@superangeltv46152 жыл бұрын
inzi hii bwana
@sadahabdalah70732 жыл бұрын
Waziri wa maji wanakudharau nn? Mbona miradi yote ya maji Ina u adhirifu mkubwa sana
@r14kgroup682 жыл бұрын
Weka ndani wote
@joramkimario93212 жыл бұрын
Hiyo suti hapo ilikula million 7.yajayo yanafurahisha
@hizamawa60462 жыл бұрын
Mzigua vs mzigua
@omaryidd81992 жыл бұрын
Mkuu nenda na kilindi Kuna madudu zaidi ya hapo.anzia msente kolan'ga na kinkwembe.utalia tu
@kefajoseph1582 жыл бұрын
Damu yaMAGULI ITAWATAFUNA SANA
@malupex62992 жыл бұрын
Temporary camp 7 mil., hii hatari.
@superangeltv46152 жыл бұрын
ss tutawaliwe tu maana ni vilaza maana no uzalendo
@willelia25543 ай бұрын
Sweka ndani fukuza kazi tafuta wengine
@stevenlugojeremia23232 жыл бұрын
Mtoto umleavyo ndivyo Akuavyo...
@greysonmheni51762 жыл бұрын
Wanalamba asali
@watuhuru61282 жыл бұрын
Dah hicho kibwawa
@bockernyarusahi36552 жыл бұрын
Hilo banda la bati ndiyo milioni 7!
@abrahamuisrael61612 жыл бұрын
MZEE NAJUA HUJAFA BD UMEKAA SEHEM FULANI UNACHEKI UJINGA UNAOFANYIKA CHINI YA UONGOZ WA MAMA WA TAARABU,,,R.I.P MWAMBA JPM
@rashidyusuph44172 жыл бұрын
We nae pumba kabsa kwaio samia ndo kazzila na kama imegundulika huoni serekaali ipo makin kufatilia you're narrow minded acha kuishi na fkra za chuki
@mathayonyerera31442 жыл бұрын
Jamani hilo banda la million saba ni uhuni 😑
@resmakihiyo34632 жыл бұрын
Madhara ya kubembelezana ndo hayo
@charleskaozya99242 жыл бұрын
Ilo banda kweli 7m mhhhh mabati tu kwa kuona ni 2m Mbao labda laki7 fundi laki 4 tu 🤣🤣🤣🤣
@RioIpo2 жыл бұрын
Hahaha watu wanapigwa sana aseee
@rmaryp62692 жыл бұрын
Masihala hayo jamani! Kibanda hicho eti milioni 7!?
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vya ujenzi vimepanda bei
@r14kgroup682 жыл бұрын
Uwizi mtupu
@ahmedjuma36022 жыл бұрын
😂😂
@missangela67202 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂
@diegogeorge34052 жыл бұрын
Mkandarasi kijumba Cha mabati million 7🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@saralusinde532 жыл бұрын
mwenzangu ata mi nashaka 😂😂
@farajakunyanja25212 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@DM_152 жыл бұрын
Huyomkandarasi anavyo jiamini niwazi kabisa anauhakika hajaladhulima na ndiomaana ana confidence yakuongea
@prosperjuma9052 жыл бұрын
Kwanza kwa nini hakumpa nafas ya kujieleza? Anamuuliza swali..akitaka kujibu anamkatisha.
@mamboshepea88882 жыл бұрын
@@prosperjuma905 ajieleze nini???kweli hilo banda la bati hapo milioni 7!!! Kwa akili kama zako itakua ngumu Tanzania kuendelea
@gideonmwangaza48072 жыл бұрын
Mbuzi ameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yake, tena rukhsa hiyo ilitoka kwa mama mwenyewe; mimi sioni ajabu kwa kweli, ijapokuwa inauma na kuudhi kwelikweli. Sera ya sasa ni: “Mwendo wa kula asali 🍯.”
@charleskaozya99242 жыл бұрын
Kusanya woteeeeeee😡😡😡😡😡
@supriaja23742 жыл бұрын
Nisawa ila ungewaacha wajieleze nawao tuwasikie uongo wao atujapenda