WAZIRI JERRY SILAA MATATANI, ADAIWA FIDIA BILIONI20, ATUHUMIWA KUBOMOA NYUMBA KINYUME CHA SHERIA

  Рет қаралды 25,056

JAMBO TV

JAMBO TV

4 ай бұрын

#JAMBOTV
🅻🅸🆅🅴 :MKASA MZITO WA NYUMBA YA MBEZI BEACH/WAKILI WA MBOMOLEWA AJITOKEZA ADAI MTEJA WAKE TYUKO NDANI
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 116
@meyou-zz8mj
@meyou-zz8mj 4 ай бұрын
Wengi sana wamezurumiwa safi sana Jerry Waa tom wote hao bila silaa
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c 4 ай бұрын
Wakili ungemtetea masikini ambae ni naumi ningekuelewa lakini umesmma na tajri hapo ni ulajitu nanyie mawakili mmechangia sana kutapeliwa kwa w2 kwa kuhongwa kweni pamoja na mahakimu wenu
@joelyngomuo7441
@joelyngomuo7441 4 ай бұрын
Kuna wakati tunatakiwa kumuogopa Mungu hata Kama tunanjaa hofu ya Mungu ni Jambo la muhimu sana
@MrKhatibu
@MrKhatibu 4 ай бұрын
😅😅😅😅 Menzako anasomesha watoto private school. Kwakweli kuna kazi nyengine ni mtihani mtupu, cha haki unakihalalisha kwasababu ya tumbo lako. Mola aniepushe ma mitihani ya kidunia
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 4 ай бұрын
Siku hizi kuna wakili na wakili msomi. Kusoma pekee haitoshi. Je? Umeelimika. Mahakama zipo, badala ya kwenda Mahakamani. ni blah blah.
@franciscowilliam2575
@franciscowilliam2575 4 ай бұрын
Mkiambiwa tutafute katiba mpya , mnasema ooh ni ya wanasiasa , ooh sijui mimi hayanihusu , ooh sijui nini ! Wajameni haya mambo yatamfikia kila mmoja kwa wakati wake ni suala la muda tu
@issaramadhaniathuman
@issaramadhaniathuman 8 күн бұрын
Kabisa hujakosea huo ndio ukweli
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 ай бұрын
Wewe wakili hunahakili unashilikiana na matapeli wewe Wacha waziri afanye kazi yake
@user-qp6df2un4x
@user-qp6df2un4x 4 ай бұрын
Waziri sio mjinga kiasi hicho mpk akaamulu nyumba ivunjwe, pasipo yeye kujiridhisha bila chembe mashaka kuwa Naomi ndyo mmiliki halaliunajua hawa watu wanahonga sana mahakamani ili mahakimu wapitishe ushenzi wao, Waziri hawezi kuwa mjinga kiasi hicho nyie mpk aamue jengo livunjwe
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 ай бұрын
Hahaha wacha wapige makelele tu
@user-pz4fw2jr1x
@user-pz4fw2jr1x 4 ай бұрын
Subiri yakufike ndo utaelewa.
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 4 ай бұрын
Yaani hii nchi inauonevu mwingi sana
@tmt2642
@tmt2642 4 ай бұрын
Inaonekana Wewe Wakili Na Huyo Maululu mnapenda sana mambo ya kesi..😢
@reganmartin5485
@reganmartin5485 4 ай бұрын
Chanzo ni kale ka letter of offer ka Mwanzo itakua kalipigwa kwa Naomi
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 ай бұрын
Kaka mbona apo nikama unatudanganya kuturetea sihasa mnapata talifa wapi za kuwa wanataka kumbambikia kesi ya ujum chumi
@richardtom38
@richardtom38 4 ай бұрын
Huwez shindana na serikali atapigiwa hesabu za kodi hadi atakimbia kukulipa
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 ай бұрын
Ndugu mwana Shelia mimi nahomba kuuliza kidogo mbona uyo mteja wako hamekuwa na kesi nyingi za halizi wewe kama mwana Shelia uwoni kama mteja wako Hana matatizo na wananchi
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 ай бұрын
Zuluma mbaya, Mungu hakubariki Mh Jerry Silaa.
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 4 ай бұрын
Jeri piga kazi Ata Mimi nimedhulumiwa Aki zangu ca mcngi
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 4 ай бұрын
Uyu wakili ndio anae mfunfisha wizi mteja wake ili ampoge pesa😊
@richardnganya2311
@richardnganya2311 4 ай бұрын
Kwa mtindo huu ni kama kwamba huna wakili huna haki..!! Yaani wengi wanakosa haki zao kwa kukosa wakili. Ni dosari la kimfumo au ?
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l 4 ай бұрын
mwacheni waziri afanye kazi yake watu tumeteseka na mahakama hizo bila mafanikio. na hizo nyalaka kama umemsaidia kubushi.
@AngerusLijuja-bg6sb
@AngerusLijuja-bg6sb 4 ай бұрын
ACHA UPUMBAVU WAKO WEWE NYOKO MNATUMIA PESA KUNYANYASA WALALAHOI NA MASIKINI NYOKO WEWE NYIE NDIO MMECHANGIA SANA UTU KUTOWEKA TZ WAPUMBAVU NYIE MNAKIMBILIA SANA MAHAKAMANI MKITUMIA NGUVU YA PESA MWACHENI WAZIRI ATENDE HAKI
@ChristerShao
@ChristerShao 4 ай бұрын
Tuongee kwa hekima,mwenye haki aipate.Tunajua dhuluma zipo nyingi za wanyonge kukosa haki.Hivyi hivyo makosa yasiyotarajiwa yanaweza ya katendeka.
@dicksonshosi94
@dicksonshosi94 4 ай бұрын
Mweshimiwa waziri uyo tapeli mwangalie sana pia akapimwe akiri
@benjaminyohana5581
@benjaminyohana5581 4 ай бұрын
Huyu Wakili anaonyesha wazi kwamba anajua anachokifanya ambacho ni Matapeli wote pamoja na Mteja wake.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
😂😂😂
@adamhashim3352
@adamhashim3352 4 ай бұрын
Waziri hajakurupuka anawajua vizur zaid wabongo. Matapeli saana. Wakili. Tatizo ushakula hela za watu
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 4 ай бұрын
Tapeli wakubwa nyie mnatumia pesa na mahakama kupoteza muda na kudhulumu haki za wanyonge!Fyuuu!!!!!
@maxgerad5083
@maxgerad5083 4 ай бұрын
Nimesikiliza hadi 30mn. Kuna tatizo mahara mwanasheria cjakuelewa mteja wako alitaka kubadili matumizi ya eneo kutoka makzi kuwa ya biashara, swali kwanini alimtumia Juma na hakubadili umiliki kwanza ndo yeye mwenyewe abadili matumizi ya ardhi husika? Mteja wako amelizwa ndugu, nitakusikiliza tena 😅
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 ай бұрын
Hahaha hii kesi naona imepata hakimu tyr toa hukumu bro make kaamua mwenyewe kuja humu badala ya kwenda mahakamani
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 4 ай бұрын
WEZI NYIE 😂😂😂
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 4 ай бұрын
Wewe wakili huna maana unasimamia ujinga wa wadhurumaji
@DiabTutty-ke9bs
@DiabTutty-ke9bs 4 ай бұрын
Wakili mbona hufahamiki!nendeni mahakamani haki itapatikana
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 4 ай бұрын
Si mwende Mahakamani, kwani kutafsiri sheria na kutoa haki ni kazi ya nani? 4:52
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 4 ай бұрын
MAJIZI YAKIONGEA UTAYAJUA TU.
@user-lh7zy7gt4m
@user-lh7zy7gt4m Ай бұрын
Nimecheka jamani
@user-lh7zy7gt4m
@user-lh7zy7gt4m Ай бұрын
Na huyu ni tapeli kama tapeli wengine
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 4 ай бұрын
Achana na Silaa siyo wala tunaowajua huyu kjana sio mjinga kias hcho
@AngerusLijuja-bg6sb
@AngerusLijuja-bg6sb 4 ай бұрын
TOKA APA BWANA UNAMWAMBIA NANI NYOKO WEWE
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 4 ай бұрын
Wakati mahakama mnaziweka mifukoni. Mmejipanga ili mtumie timu yenu mahakamani. Acha myonge apate haki yake
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 4 ай бұрын
Wakili mpuunzi mmoja
@thomasmichaellukumai-ny7se
@thomasmichaellukumai-ny7se 4 ай бұрын
We'we ni wakili wa wadhilumat wa ardhi
@juniorjotham1524
@juniorjotham1524 4 ай бұрын
Kabisaa
@user-qe5cb7vy6o
@user-qe5cb7vy6o 4 ай бұрын
WAZIRI Slaa mwadilifu sanahapo wanatafuta kumvunja MOYO Kwa vile RUSHWA imetawala MAHAKAMA HUYO MWENYE nyumba atashindainaweze kana kabisa hakufuata mpango miji kama alifuata basi alitumia pesa.
@feruzyjuma
@feruzyjuma 2 ай бұрын
Sasa si ukalalamike Kwa mahakama,,,,hatuna shida ya kukusikiliza mpumbavu kama wewe,,,Tamaa ya pesa unakuponza uonee wanyonge,,,,,Fala we
@leganimwagala7684
@leganimwagala7684 3 ай бұрын
Tena mimi ningewavunja mpaka viuno ninachojua kama aliyebomolewa nyumba ni mwenye kiwanja au hati sawa kama wewe ni mvamizi ni kuvunja na kuwashtaki mshazoea dhuruma
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 ай бұрын
Kaka wewe apo unatetea ugali wako tu ila mimi najiuliza kwa nini mteja wako hamekuwa matatizo mengi ya halizi?
@karyori69
@karyori69 6 күн бұрын
Huyu mteja wake ni dhulumati mkubwa!
@user-ef7hs4sb7w
@user-ef7hs4sb7w 3 ай бұрын
Hawa mawakili nimatateli sana wakishikiana na matajili
@BernardBahatiMallya
@BernardBahatiMallya 4 ай бұрын
Kwa nini waziri hhiyu msomi na wakili anaingiza mambo binafsi OFISI ya Uma? Na je hakuna wengine walionewa kama huyu. Mimi naona kwa hili Raisi at toe tu haki kwa aliebomolewa na haki kwa waziri aliyehusika. Liiko wazi mnoo.
@mallelivenance1796
@mallelivenance1796 4 ай бұрын
Ni huyo wakili nilikua namheshimu lakini kwa hapa nimetoa imani yangu kwake aise!!!! Kwanza muda wote huo alikua wapi hadi aje aibuke leo???????
@josephlugala3182
@josephlugala3182 4 ай бұрын
Mpuuzi mmoja
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Nahivi ajira ni ngumu ndio mnaoambana hata pasipo stahili😂😂😂
@user-qe5cb7vy6o
@user-qe5cb7vy6o 4 ай бұрын
CHONGOLO NI FISADI MKUBWA ANAMAJUMBA ZAIDI YA 40 DAR ALIPATA WAPI PESA KAMA SIO FISADI HAKUSTAHILI KUTEULIWA.
@mapinduzisylvester1903
@mapinduzisylvester1903 4 ай бұрын
Takataka
@macsaly8862
@macsaly8862 4 ай бұрын
Tunaomba viongozi muwe na hofu ya Mungu mnapotoa maamuzi.
@valentinemtei3588
@valentinemtei3588 4 ай бұрын
Mahakama ndo msimamizi wa sheria,notice hakuna huo ni uhuni,taarifa kwa mlalamikiwa hukuna,huo ni uhuni, serikali za mitaa husika hawakua na taarifa?
@c2vconnection
@c2vconnection 4 ай бұрын
Au huyo mteja aliyebomolewa ana conflict ya "kisiasa" na watawala?Inawezekana kinachoendelea ni zaidi ya vita ya "haki" DHIDI ya "dhulma".Kuna kitu kimejificha!
@helpers10
@helpers10 4 ай бұрын
Wewe usitake kutusumbua! Wewe na wezi Wenzako mtajua hizo hati na vibali vya ujenzi mlivutoa wapi!
@allyndabe2458
@allyndabe2458 4 ай бұрын
tusitukana jamani wacha tusubiri mwanasheria atoe maneno yake ili tuone ukweli wa mambo
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 ай бұрын
Kwani waliovunjiwa nao na waliozulimiwa nao wasemeje ambao wamerudishiwa walichozulumiwa? Au amevunja hizo nyumba na viwanja anachukua yeye au serikali ama wanarudishiwa kwa wananchi?
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 ай бұрын
Nenda mahakamani bro hapa ni mtandaoni tu
@josephlugala3182
@josephlugala3182 4 ай бұрын
Kiongozi umezingua ,,mwongo unatafuta Hela tuu
@gllifetime8371
@gllifetime8371 4 ай бұрын
Hii video ni ndefu ukiisikiliza lazima utasinzia, ukijumlisha na visauti vya upepo na ndege lazima kunasehemu utasinzia tuu ukishtuka utakuta haijaisha😂
@kimalinganomhelela8377
@kimalinganomhelela8377 4 ай бұрын
Viongozi wanao wajibu mkubwa zaidi ya sisi wananchi wa kawaida kuzingitia utawala wa sheria na kuheshimu Mahakama.
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 ай бұрын
Viongozi wasipo fanya mnawaukumu kwamba hafanyi
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 3 ай бұрын
Usisahau mahakama zetu zipo upande wa matajili km ayajakukuta ngoja siku uwe na kes na tajil ndo utaelewa,
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 4 ай бұрын
TULIENI MNYOOSHWE NA KULE ARUSHA KWA KUWATOA WALE WATU PALE 32
@simonchristian6319
@simonchristian6319 4 ай бұрын
Yaone
@wanguwangu34
@wanguwangu34 4 ай бұрын
Silaa yuko vizuri sana ila hana washauli wa ethics of leadership and arbitration management.
@user-kr6ms3kh3e
@user-kr6ms3kh3e 4 ай бұрын
Wewe wakili kula hela za mahululu utosheke
@Linda22289
@Linda22289 4 ай бұрын
Wewe kesi iko mahakamani, unahangaika nini na mitandao ya kijamii? Nenda mahakamani upate haki yenu, nawe upate hela yako!
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 ай бұрын
26:07 26:38 26:38 26:38
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 4 ай бұрын
Mbaya sana kuchukua mamuzi kwa mihemko
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 ай бұрын
Kwamba viwanja vilivyopo kwenye Mfumo ni vya mchongo??? Acheni ujinga!!
@peterjengela1770
@peterjengela1770 4 ай бұрын
Jadili HOJA matusi hayatusaidii kitu wala hayatuelimishi zaidi ya kuchefua
@AngerusLijuja-bg6sb
@AngerusLijuja-bg6sb 4 ай бұрын
SOMA IZO JUMBE ZOTE ZINAWAONGOZA KUWA NYIE NI MAJAMBAZI WA HAKI
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 4 ай бұрын
Wakil huwez kushndana na serikal ww umehongwa hela ww
@JumaMbaga-sd5yi
@JumaMbaga-sd5yi 4 ай бұрын
Mmezidi kudhulumu
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 ай бұрын
Huyu TAPELI sio kwa kumwita TAPELI, Mbona wewe Wakili unaitwa Wakili? Hauitwi TAPELI? Wewe kula pesa tu ya Huyo TAPELI wako hila hivi sasa Cha moto hatakiona.
@gideonibatangaki1317
@gideonibatangaki1317 4 ай бұрын
Unategemea mackini anaweza kumshinda tajiri.
@user-ql7rm2zw4d
@user-ql7rm2zw4d 4 ай бұрын
Ipo kazi imbombo ngafu
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 4 ай бұрын
Mctetee matajiri bhana
@Linda22289
@Linda22289 4 ай бұрын
Na kama una uhakika wa tuhuma zako, unaomba omba nini kwa rais?
@SawayaNm
@SawayaNm 4 ай бұрын
Definitely this minister acted very stupid! Hata Magufuli was minister on the ministry and he said that Land Ministry is toughest one! Uki angalia wakati they do demolition, Jerry was asking regular people who own the land! Seriously? 🤷‍♂️🤦🏻‍♂️😢 Tanzania rule of laws doesn’t work at all! People acting stupid as they want! Let assumed this Johnson doesn’t own this land! Why not these 2 people sit down and negotiate instead of destroying the value property wealth more than piece of land! Very ignorance and full stupidity 🤦🏻‍♂️
@deokessy6596
@deokessy6596 4 ай бұрын
Mama tazama sana wateuzi wako
@wanguwangu34
@wanguwangu34 4 ай бұрын
Mimi Huwa nawaambia ukipata cheo kikubwa ni lazima ujifunze utawala Bora, ethics of leadership and arbitration management vinginevyo hutaweza kutawala vyema, viongozi wengi tz hawana elimu hiyo.
@kimalinganomhelela8377
@kimalinganomhelela8377 4 ай бұрын
Huyu Wakili asikilizwe,ana hoja.
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 ай бұрын
Asikilizwe kuna hakimu hapa si aende mahakamani
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c 4 ай бұрын
Msikilize wewe mahakama imechangia sana w2 kutapeliwa hasa maskini sasa BC mataper kutumia pesa zao wjifunze kua mda unaweza pita lakini haki ya mtu itasimama na mwisho was siku mambo hayo sasa masiki na umaskini wake kawa tajr hongera wazri jer mungu akulinde na kule luoi nako mkoa wa pwani wilayani kibiti na wananch wanalia na utapeli was kutumia nguvu
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 ай бұрын
@@user-yb6ut9in5c kabisa umenena
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l 4 ай бұрын
wewe hadi unaonyesha kuwa ni njaa zako zinaongea
@johmyinga691
@johmyinga691 4 ай бұрын
Mbunge😅
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 4 ай бұрын
Nyinyi mawakili wengi ni vibaraka wa ccm tuna waaambia katiba mko nyuma mkiguswa ndo mna lalamika shauri yenu daini katiba
@wanguwangu34
@wanguwangu34 4 ай бұрын
Ukipewa cheo usitafute sifa ya kufurahisha watu bali pata elimu ya Ethics of leadership, Utawala bora na arbitration management na mawaziri wengi wa bongo hawana elimu hiyo bali hutumia vyeo kuamua mambo.
@meyou-zz8mj
@meyou-zz8mj 4 ай бұрын
Magufuli alikuwa ataki usenge huyo mama mshenzi wa tabia tu ndio maana watu wanasema anasagana washenzi sana yaani magufuli mungu amrehemu
@francomwikwa2183
@francomwikwa2183 4 ай бұрын
Nimekuelewa Wakili msomi Matata
@user-sy5lx7el4z
@user-sy5lx7el4z 3 ай бұрын
Ukitaka kujua roho ya masikini ni kuwachukia matajiri
@dicksonshosi94
@dicksonshosi94 4 ай бұрын
Acha ujinga nenda makamani
@lovely-mq4rg
@lovely-mq4rg 6 күн бұрын
hichi kijinga,hakijielewi
@dicksonshosi94
@dicksonshosi94 4 ай бұрын
Mjinga wakili una akiri wewe una lolote
@adamhashim3352
@adamhashim3352 4 ай бұрын
Comment za matapeli utawajua tu. Na tusichokijua ni kwamba mbongo ukianza kumskiliza hakosi la kujitetea. Ila wabongo wanahitaji maamuz magumu ili kuwanyoosha km mzee magu alivowanyoosha
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 ай бұрын
26:07 26:38 26:38 26:38
@johnmanase9878
@johnmanase9878 4 ай бұрын
mmezidi kudhulumu nyie acha mnyooshwe
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 4 ай бұрын
Haswaaaaa
@user-ks7zc6kd7u
@user-ks7zc6kd7u 4 ай бұрын
Na kama hajamilikishwa kwa nini amejenga
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 ай бұрын
Hahaha na bado
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 ай бұрын
Wewe Wakili hivi ndiyo ingekuwa huyo Mama aliyezulumiwa kiwanja chake for 20 years ni Mama yako Mzazi, je ingekuwaje?????? ZULUMA MBAYA NA MWISHO WENU UMEFIKA
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 ай бұрын
Huko Mahakamani pia Mama hanatakiwa hapitishee fagio la Chuma kumejaa zuluma sana.
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 ай бұрын
Wewe muongo mlikuwa mnahonga pesa kila sekita kiwanja ni Cha Naomi wewe jifariji tu
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 4 ай бұрын
Watu wanaofanya kazi kwa mhemko. Inawezekana wakawa sahihi, ila bila kufuata sheria
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 ай бұрын
26:07 26:38 26:38 26:38
MZEE AMWAGA MACHOZI KUDHULUMIWA NYUMBA KARIAKOO
14:16
Wasafi Media
Рет қаралды 6 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 7 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 63 МЛН
Грузинский брат
21:49
CBC TV Azerbaijan
Рет қаралды 35 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 7 МЛН