NABII MAARUFU NCHINI ADAIWA KUSABABISHA MAUTI KWA MAMA HUYU, ALIONA MAMBO YA KUTISHA MADHABAHUNI KWAKE AKAAMBIWA ASIENDE KUMWAMBIA MTU ALICHOKIONA HAPO . Katika hali isiyokuwa ya kawaida msichana huyu anatueleza familia walivyompoteza Mama yao mzazi baada ya kuona mambo ya ajabu Kanisani kwa Nabii mmoja "JINA LINAHIFADHIWA" mwenye kanisa lake maeneo ya Buza. Bint huyu aliieleza Mkoi Tv Online kuwa wao ni waumnini wa dhehebu la TAG toka ana zaliwa, Mwaka Juzi Mama yake ambae ni mcha Mungu kweli kweli kwa maana ameokoka alienda kumtembelea Mama yake Mkubwa maeneo ya Tandika. Baada ya kufika kule siku iliyofuata Mama yake mkubwa alimkaribisha mama yake kwenye Kanisa lao la Nabii huyo ambae ana asili ya nchi jirani si Mtanzania ambae Kanisa lake maarufu lipo Buza, Mama wa bint huyu Mara baada ya kuingia kwenye madhabahu tu kupitia macho ya rohoni mama huyu alishuhudia mambo ya ajabu pale madhabahuni. Lakini cha kushangaza wakati sifa na maombi yakiendelea pale madhabahuni kabla ya NABII kuingia, Dakika chache mtumishi huyo wa Mungu aliingia na moja kwa moja macho yake yakagongana na ya mama huyu licha ya umati mkubwa wa waumini aliokuwa nao, Lakini alimuona mama huyo tu kama ndo mgeni. Nabii huyo akachukua kipasa sauti na kuwatangazia waumini wake kuwa anaona leo wametembelewa na mgeni na Nabii huyo alimuomba mama mgeni huyo mara ibada itakapoisha asiondoke afike ofisini kwake kwenye hilo kanisa. SASA kwenda ofisini kwake ndiko kulikopelekea MAMA wa watu kufikwa na umati, Mtoto wa marehemu huyu hapa anaeleza kilichotokea, Na kutoa ujumbe nzito hii ni Mkoi Tv Online, usisahau kushare matukio yetu ili wengine nao wapate kujifunza Dunia ina mambo mengi. na kusubcribe Mkoi Tv Online. Wasiliana na chumba chetu cha habari kupitia simu namba +255713575718. NABII MAARUFU NCHINI ADAIWA KUUA MAMA HUYU, ALIONA MAMBO YA KUTISHA MADHABAHUNI AKAAMBIWA ASISEME.! kzbin.info/www/bejne/kJfbYmh4ja16oac
@user-vl7zn4bb8e6 ай бұрын
Huwa nakuombea Mungu akulinde Sana maana huwa hauogopi kusema ukweri .......Bwana akuzingile Kama Elisha
@user-lu9zq3br3q6 ай бұрын
Nyimbo kama hizi za kutukumbusha zimekuwa chache sana 😢😢😢😢😢 BARIKIWA SANA MTU WA MUNGU
@MkoiTvTz6 ай бұрын
NABII MAARUFU NCHINI ADAIWA KUSABABISHA MAUTI KWA MAMA HUYU, ALIONA MAMBO YA KUTISHA MADHABAHUNI KWAKE AKAAMBIWA ASIENDE KUMWAMBIA MTU ALICHOKIONA HAPO . Katika hali isiyokuwa ya kawaida msichana huyu anatueleza familia walivyompoteza Mama yao mzazi baada ya kuona mambo ya ajabu Kanisani kwa Nabii mmoja "JINA LINAHIFADHIWA" mwenye kanisa lake maeneo ya Buza. Bint huyu aliieleza Mkoi Tv Online kuwa wao ni waumnini wa dhehebu la TAG toka ana zaliwa, Mwaka Juzi Mama yake ambae ni mcha Mungu kweli kweli kwa maana ameokoka alienda kumtembelea Mama yake Mkubwa maeneo ya Tandika. Baada ya kufika kule siku iliyofuata Mama yake mkubwa alimkaribisha mama yake kwenye Kanisa lao la Nabii huyo ambae ana asili ya nchi jirani si Mtanzania ambae Kanisa lake maarufu lipo Buza, Mama wa bint huyu Mara baada ya kuingia kwenye madhabahu tu kupitia macho ya rohoni mama huyu alishuhudia mambo ya ajabu pale madhabahuni. Lakini cha kushangaza wakati sifa na maombi yakiendelea pale madhabahuni kabla ya NABII kuingia, Dakika chache mtumishi huyo wa Mungu aliingia na moja kwa moja macho yake yakagongana na ya mama huyu licha ya umati mkubwa wa waumini aliokuwa nao, Lakini alimuona mama huyo tu kama ndo mgeni. Nabii huyo akachukua kipasa sauti na kuwatangazia waumini wake kuwa anaona leo wametembelewa na mgeni na Nabii huyo alimuomba mama mgeni huyo mara ibada itakapoisha asiondoke afike ofisini kwake kwenye hilo kanisa. SASA kwenda ofisini kwake ndiko kulikopelekea MAMA wa watu kufikwa na umati, Mtoto wa marehemu huyu hapa anaeleza kilichotokea, Na kutoa ujumbe nzito hii ni Mkoi Tv Online, usisahau kushare matukio yetu ili wengine nao wapate kujifunza Dunia ina mambo mengi. na kusubcribe Mkoi Tv Online. Wasiliana na chumba chetu cha habari kupitia simu namba +255713575718. NABII MAARUFU NCHINI ADAIWA KUUA MAMA HUYU, ALIONA MAMBO YA KUTISHA MADHABAHUNI AKAAMBIWA ASISEME.! kzbin.info/www/bejne/kJfbYmh4ja16oac
@CelestineNyongesa-hq1fo5 ай бұрын
Asante pia ubarikiwe
@catherinemutindi503117 күн бұрын
Huu wimbo naupenda mbarikiwa mtumishi
@sianagodson36904 ай бұрын
Nan awezaye kuhubir ukweli huu,na kutoa Siri hii ya ajabu..Ila mwenye wito wa Kristo tu.Mungu akutunze daima Cassian Keep in preaching
@RachelPhilipoАй бұрын
wimbo mzuri sana hongera kaka pascal,,,,,,, ila jaman wale wenzangu na mimi wa coment tukiwa tunaandika neno MUNGU au YESU naombeni sana tuwe tunaandika kama linavyo stahili kuandikwa, tuwe tunaanza na herufi kubwa kwani ni jina liyapitayo majina yote ........ so be careful when you're writing
@benjaminmahega6 ай бұрын
Mtumishi mungu akubariki 🙏 sana mungu akutie nguvu zaidi maana tunabarikiwa sana
@user-up8uq3ih2i6 ай бұрын
Asante kaka mlio baki kwenye njia niwachache , nakupenda ndugu ktk kristo
@MlongechaBaraka-ow7kw6 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu na wewe Hekalu Uwe macho usije ukahangamiza na Mungu atusaidie sana tufike salama nyumbani kwetu mbinguni, Zaburi,69:1-4, SOMO: Mtu ni Hekalu. 1Wakor,3:16-17,23, na lengo la sisi kwenda kanisani ndilo hili hapa. Zaburi,27:1-4, na Hekalu nini? Hekalu ni mimi na wewe na jinsi gani Hekalu anapaswa kuishi ni kufanya mambo ambayo Mungu anafurahia nayo na mtu moyoni mwake amefurahiwa Waef,5:8, Waebr,10:23-25, Ufunuo,20:11-13, Wafilipi,4:4-13, ahsante sana amen.
@pychenJamescommercial-qr9vv6 ай бұрын
kweli
@jesca1293Ай бұрын
Ubarikiwe Kaka mungu akutunze uweponi mwake
@furahag30986 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
@wilkisteregesa48456 ай бұрын
Mtumishi Mungu akufiche kwenye wingu lake kwa huu ujumbe shetani hana amani penye ako
@GaniAntonio-yf2yd3 ай бұрын
Amem pastor que Deus lhe dá mas sabedoria
@martinahlighare64956 ай бұрын
Mungu simama na watu wako, maana ibaada moja haijawahi kuwepo.
@veroniquegershomu91976 ай бұрын
Mungu tusaidie watu wako tuzidi kukijua zaid . ..ubarikiwe mtumishii
@user-hi5sm9kg8n5 ай бұрын
Amen,endelea kutuelimisha
@MarcoErnesto-ut7ki2 ай бұрын
hakika m2mish wa bwana mungu amekuchagua kwa ajili ya kufikisha ujumbe wake mungu wa mbingun azid kukupa kipawa zaid
@jonassamwely6 ай бұрын
Mungu akutangulie kwa maombi yako juu yetu wanaadamu na kutuerekeza njia sahihi
@LendmyLaizer7 күн бұрын
Jamaniii sema 2pone kwa maana watu wa dunia wameharibikiwa kwa sababu tumemsahau mungu make siku za mwisho zimekaribia jamaniii🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@zawadihassan40616 ай бұрын
Mungu akutie nguvu wenye kumjua Mungu wa kweli hawezi kubisha hili, omba sanaa jicho la Mungu.
@user-zu5eh2ld7y6 ай бұрын
Mungu akuinuwe mno mtumishi kwaujumbe mzur
@user-kl6zb6so3i5 ай бұрын
Barikiwa sana
@ChanilaKitwima-zc6ko5 ай бұрын
Nice, intensively and powerful song be blessed moreee 🎉❤ in Jesus Name
@frankdanford82456 ай бұрын
Watumishi wanaoisema kweli ndio wanaopigwa vita kila uchwao MUNGU WA MBINGUNI akubariki sana ndugu Pascal Cassian
@user-ki8ou2zl9u6 ай бұрын
Mungu akubariki endelea kutufumbua macho tulioko usingizi
@user-gl6hg3up9j6 ай бұрын
Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@paskaliasuwi5 ай бұрын
Mungu nifiche na familia yangu zidi ya 666😢
@katherinasamwel39376 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@isakashega60566 ай бұрын
Amina baba mungu atutete
@user-dz3yj4zi5t6 ай бұрын
Mungu akubarikiki umedufungua machotu
@agstinolwila886 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@josephmutemi74946 ай бұрын
Amen BWANA akulinde na kila adui
@Samwelmagita-jb1so6 ай бұрын
Amina mchungaji kwa wimbo mzur
@failaprince92506 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana mutumishi wa MUNGU
@jovettedenise25916 ай бұрын
Mungu akubariki sana na akurinde.
@user-yl4zp5qd7t5 ай бұрын
Wimbo huu unatoa machozi hakika ukiifikilia Dunia 😭😭😭
@salimajosephine16736 ай бұрын
Ubarikiwe saaaana
@user-ot6pl1iq7z6 ай бұрын
Mungu azid kukuongoza vema hakika 2mepokea vema❤❤
@natomwanyanje71256 ай бұрын
Mungu akutetee
@WenelaMwasenga-hc2gf6 ай бұрын
Mungu akutunze
@Jackie-lv4ns6 ай бұрын
Sunday law is arround the corner...False Sabbath.Siku ya kwanza ya juma italazimishwa Kwa Ulimwengu mzima Ili kuiondoa SABATO ya Bwana.Kila ambae jina lake halikuandikwa kwenye kitabu Cha mwanakondoo atamsujudu mnyama.Maneno haya ni ya Yesu mwenyewe na ni AMINA NA KWELI
Bado hujafunguliwaa na kumfahamu Roho Mtakatifu lait ungelimtambua usingelidili na siku Wakolosai 2:16
@Mary-cr4sq6 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi hizi.halama nimeziona pahali kwa tik tok.aki
@faizafatu56956 ай бұрын
God bless u mtumish
@getrudeliyayi80506 ай бұрын
Waaw nice ❤❤❤❤
@josephfrancis85716 ай бұрын
Brother your message is powerful please back to your GOD'S church please back to SDA my brother GOD is calling you ❤
@odilomwemeziernest6466 ай бұрын
SAD to do what?
@odilomwemeziernest6466 ай бұрын
SDA TO DO WHAT?
@Pendopasilika5 ай бұрын
Ihali imetufikia MUNGU atusaidie ili tuwe na ujasili wa kuyapinga hayo hata tukiomba MUNGU atusikie vilio vyetu
@AmuaSanga-uo4gp6 ай бұрын
Asante sana mtumishi
@danieljumapili10186 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MUNGU AKUPE POWER ZAIDI
@mamanbinwashadrack22576 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni aendelee kukubariki mtumishi
@MaryAmaiza-th2fo6 ай бұрын
Kando na kubarikiwa nime jifinza kitu Mungu ni mkuu.
@user-em4wp1ct7s6 ай бұрын
Hiyo ni kweli
@user-hp1mj6iv6i6 ай бұрын
Ubarikiwe
@patiencehumbled35196 ай бұрын
Uwa nasikiza huu wimbo kila siku
@yustinasaqwaret92796 ай бұрын
Amen injili ya kweli
@user-xw3jr5xh8f6 ай бұрын
Ameee mungu akulid
@okellodavid43796 ай бұрын
Tunashukuru kwaujumbe umetufikia
@user-yi8it3kg5v6 ай бұрын
Mungu tuinuwe tuweze kukujuwa wewe
@TabiaMwaisumo-ss7pz6 ай бұрын
Mungu atukumbuke
@qawogahumay99706 ай бұрын
Amina ,pastor
@johnsonmichael9456 ай бұрын
Ubarikuw san
@user-hl6wi3wy7q6 ай бұрын
Mimi nakupeda sano Paschal🇿🇲❤🧎🧎📞
@epifaniamilinga28486 ай бұрын
Tunafuta alama zote mwilini za yule adui.kwa damu ya Yesu.
@thomaskigocha81416 ай бұрын
Bwana apewe sifa mtumishi paschal cassia mbona Ile nyimbo ya MAKANISA YA KUZIMU siipati ikiwa full napata vipande vipande
@AlfaMgonela6 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@leticiamakoye48712 ай бұрын
AMINA
@yohanamponzi-ej9bc6 ай бұрын
Amen 🙏 🙏
@user-es4jv6pb8x6 ай бұрын
MUNGU atukumbuke jamani
@user-zu5eh2ld7y6 ай бұрын
Umenifundisha kitu kupitia wimbo huu
@user-ii1qk9xn9z6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kuendelea kutukumbusha yanayoenda kutokea. May God be with you always and protect you from all harm. Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.
@failaprince92506 ай бұрын
Amina
@KulekatsengeHaruni-sb6qc6 ай бұрын
Amen❤
@user-zo3bb7gj2o6 ай бұрын
MUNGU TUSAIDIE
@delickmarco39456 ай бұрын
Alama ya mnyama sio chanjo ww n kukubali muungano wa madhehebu kusali sk moja ya jumapili Kama sabato nawakati sabato n jumamos ndipo hapo watu watapewa Sheria wote waifuate jumapili nasio jumamos au ijumaa Sheria Kali zitawekwe
@odilomwemeziernest6466 ай бұрын
Mnaacha kuokoka mko kwenye siku, na miandamo ya miezi,nyote ni walewale tu
@delickmarco39456 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 umeona hayo tu mbna vinywaji hujasema ili tujue mkutadha ulikua upi?
@anethteodos62086 ай бұрын
Pole, soma neno😢
@qawogahumay99706 ай бұрын
😢
@tinnahagustinolyelu42476 ай бұрын
Wewe ni Muongo sasa mimi naishi nchi za kigeni nakwepaje chanjo nipo oman dozi nimemaliza unasema hivo sababu upo tz ungesafiri kipindi cha corona ukaenda nchi nyingine ungechanjwa tu Il Mungu ndio ataokoa walio wake anaw
@anethteodos62086 ай бұрын
Pole naona umeanza kwa kumuita muongo, Mungu akusaidie uyafahamu ayasemayo, soma neno likufungue😢
@JofreyMsigwa-ok7hv6 ай бұрын
Acha ujinga nani alikutuma kwenda huko kwa mashetani utakoma mbwa we mwache mtumishi atufungue😂
@user-vo6qc3tc1o6 ай бұрын
Wewe ubiri Yesu wacha kutisha Watu....na 666 Wapendwa yesu ni Mkuu kuliko yote.Msiwe na hofu....nashaangaa mtumishi mkubwa unitia watu hofu.
@user-vo6qc3tc1o6 ай бұрын
John15and16
@Pendopasilika6 ай бұрын
Sio anawatia watu hofu Bali anawatahadharisha watu wakae vizur na MUNGU ili siku itakapofika waweze kupona wasiangamie kitabu Cha ufunuo kimeeleza wazi Ila usipokuwa rohoni huwez kuelewa Toba ni muhim sana kwa wakati huu na wenye macho ya kiona wanaona mengi kaa tayari usifikili masihala paschal MUNGU akulinde maana hii ni vita
@anethteodos62086 ай бұрын
Hilo neno Yesu ni Mkuu likupe kuelewa kwamba hatishiwi mtu
@josykogei76473 ай бұрын
Saii cheap ata hizi shindano za uzazi polepole inaingia watu wasingoje chanjo zingi hizi ma haidi tunazo ambiwa tutafute Bado tu ni cheap
@maryncudo45266 ай бұрын
Paschal if you are a freeman you are not a pastor of the Gospel you are a deceiver I will no longer listen to your music
@aaronmailuofficial2516 ай бұрын
Sijakuelewa hapa
@issackjohn58056 ай бұрын
Even myself sijamuelewa Hugo jamaa
@sianagodson36904 ай бұрын
Nan awezaye kuhubir ukweli huu,na kutoa Siri hii ya ajabu..Ila mwenye wito wa Kristo tu.Mungu akutunze daima Cassian Keep in preaching
@user-up8uq3ih2i6 ай бұрын
Asante kaka mlio baki kwenye njia niwachache , nakupenda ndugu ktk kristo