Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union. Yanga imeshinda goli 1-0 na mfungaji ni Joseph Guede.
Пікірлер: 149
@richardrichope3528Ай бұрын
Mi yanga lakini Huyu kipa wa Coastal union noma sana aiseee
@mbwemo9400Ай бұрын
Hapa kenya tunajua tu Yanga ,🌚 Timu ya wananchi hizo zingine rumours tu
@anoldchami828Ай бұрын
Heshimu Simba jirani
@user-lb7cu9ft6gАй бұрын
mimi n yang ilaa kipa wa cst n nooouma
@tabithakitundu8736Ай бұрын
Matampi man of the match
@daudimichael7338Ай бұрын
Nani mwingine kaona shuti la Shekhani?
@user-lb7cu9ft6gАй бұрын
ana uaziz flan hv
@rayzersaid2611Ай бұрын
Dogo anatisha yule
@FirdausyAbubakary-bl2woАй бұрын
naweza sema coastal ni wachawi saana ila rehma za Allah ni nyingii kuliko uchawi wao na Alhamdullah tumepata points tatu muhimu
@SadaIddishomalyАй бұрын
Yani kila wetu ni mzur Ila bwaana kipa wa coast ni noma sides,
@geraldlaurent6750Ай бұрын
Azizik Musimu huyu yupo vizur sana
@merickshadrack4509Ай бұрын
Kipaa wa cost duuu yupo vzr sana ukweliiii
@alisivikwa1925Ай бұрын
Gede anamipila dangerous sana
@hamzakimaro3764Ай бұрын
hersi kipa huyo anatufaa
@cletuskasonso4925Ай бұрын
Uyo kipa bwn kwakwel amejitaid sana tena sana mungu aendelee kumsaidia
@hasanimohamedi279Ай бұрын
santeeee saan guede
@hajiali1572Ай бұрын
Huyu kipa n mtu na nusu
@Cristina-yu5ffАй бұрын
Golikiper anafaa Kwa Matumizi ya Yanga
@fahadrashid9754Ай бұрын
Nguvu ya kizizi tu na tungekipata kiziz 5G zingewahusu
@rayzersaid2611Ай бұрын
@@fahadrashid9754huwez tilia shaka uwezo wa kipa saves za Leo na clean sheets alizonazo ni majibu tosha
@user-kr8cf9yo4mАй бұрын
Kabisa yaani
@upendomaro3307Ай бұрын
Nan amemuona diarra mdogo😅,,😊,,kipa wa costal
@Jumajey457Ай бұрын
Thanks Guede J
@dianasabu6156Ай бұрын
Jaman huyu Golikipa vip😂😂 huyu mtu au jini😂😂 kumbe ndio mana costal haifungwagi magoli mengi huyo jamaa hapana aisee
@manginduleАй бұрын
Matampi From 🇨🇩🇨🇩 Anajua sana
@dianasabu6156Ай бұрын
@@mangindule jaman Hafai kabisa khaaaa anadaka kama spider man🥲🥲 bila yeye tulikua tunaondoka na goal hata tatu
@seciliamchalo5627Ай бұрын
@@dianasabu6156😂😂😂
@IsakaMabanila-xr3oyАй бұрын
mmh huyu ni golia kwelikweli🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@LydiaMwati-gp6joАй бұрын
jezi zao ziliwaponza coastal union
@GucciJackson-sw6pgАй бұрын
Chelsea wakimuona Guede tumekwisha 😢
@Obedy-er8ihАй бұрын
Kwamba watamfkuza Cole palmar wamnunue guede??😅😅😅😅
@dianasabu6156Ай бұрын
😂😂😂 eeeh kumekucha
@GucciJackson-sw6pgАй бұрын
@@Obedy-er8ih Jackson
@FirdausyAbubakary-bl2woАй бұрын
😂😂😂😂Wallahi umenichekesha saana😂😂😂😂 daah but good umefikiria Uzuury
@omarinoel8660Ай бұрын
😂😂😂😂😂oyaaaa
@ISAYAMLAKIАй бұрын
Jezi zimewachanganya ,
@EvansGodfrey-tj5opАй бұрын
Goal kipa balaa🎉🎉🎉🎉😂
@idanysedrc1200Ай бұрын
Camera zenu za hovyo hazipneshi matukio Kwa ukaribu mfano tukio ambalo yanga wanalalamika ni penalty nyie mmerusharusha tu hovyo
@allyabuu6080Ай бұрын
Hawa jama sijui niaje, hata hiyo kubutwa shati haikuanzia hapo alishavutwa toka nyuma.
@theheroesmusic4398Ай бұрын
🙌 From PA USA 🇺🇸 ✌️
@richardlizomba1291Ай бұрын
Hili ni kipa au jini
@richardlizomba1291Ай бұрын
Maaan daaah...kipa ametisha sanaaaa...Apewe maua yake
@kolosii4351Ай бұрын
Yanga wamekosa magoli mengi sana leo. Wakiongeza umakini kidogo na ubunifu basi watafunga sana.
@jenifaganyavu265Ай бұрын
Goal kiper wa coastal sio poa hata wamamerodi akasome mpira ilikua inalenga goal ila mlinda mlango iko imara kumufunga kwake ni mpka mpate nafasi yakuchutukiza
@worldhappiness1181Ай бұрын
Na sio mech hii, wana udhaif kwenye kutumia chance kwenye mech nying mno
@user-ip4ie7pt6iАй бұрын
Kuna baazi ya moment umakini ulikuepo sema sifa ziende kwa kipa pia
@kolosii4351Ай бұрын
Kipa au jini la Kitanga.
@gililwiseАй бұрын
huyo golkiper wa cost mwakani yanga tunasepa naye
@jenifaganyavu265Ай бұрын
Aise mwamba no hatari mwakani lazma tumunyakuwe
@user-io2rj2yp5dАй бұрын
Metacha inabidi aondoke msimu ujao
@okellorichard3985Ай бұрын
Kipa ni balaa. yanga walicheza lakin Kipa apewe kumi zake
@user-kd7mw6be5qАй бұрын
Wakumbuke pia coast wadhamini pia ni GSM
@geraldlaurent6750Ай бұрын
Kuna watu walitamani na mechi ya Leo tupoteze lakn majibu wanayo wenyewe yanga kubwa💚💛💚💛
@user-io2rj2yp5dАй бұрын
Wataumia sana mwaka huu,wao wachukue TU kombe la Wala urojo TU huku kwa wanaume kumewashinda
@mwanaahprincessor3610Ай бұрын
Kati ya guede na Jackson yupi mzuri
@geraldlaurent6750Ай бұрын
Shehani atafaa msimu ujao 💚💛💚
@user-oq8hw1et9rАй бұрын
Maua yake Gool kipa
@malietamalieta9658Ай бұрын
Costal wana kipa na beki aliepewa nyekundu mm yanga ila wamecheza vizur ao wawili
@jumaigembemakula5732Ай бұрын
Kuna mtu kakuuliza?
@malietamalieta9658Ай бұрын
@@jumaigembemakula5732 we maku Kuna mtu kakutuma uccomment Kwa comment angu umbwaaa
@GucciJackson-sw6pgАй бұрын
Guede akiona tu jezi nyekundu lazima akuhadhibu
@ZephaniaMwamilaАй бұрын
Mxiwambie hivyo makolo maa siokujinyonga Leo wamebatisha
@KingsunnymusicАй бұрын
Shehani atkuja kuua mtu dadek m naaz kuandaa sululu na maachep na jeneza nanunua mm
Pole Timu la wazee KOLO FC, mpaka mtafutiwe kombe kwa lazima ndo mjinasibu
@salimmalaka256Ай бұрын
@@timothyhosea8572MPAKA APUNGUZWE MTU NDIO MPATE GOLI 😂😂😂😂 MACHOGO FC 😂😂
@catherinecostantino2034Ай бұрын
Au alikuwa na njano???
@josephtisamАй бұрын
just normal
@ProducerStevemixingАй бұрын
Watu wengi wanalalamik kwamba beki hakupaswa kupewa kadi nyekundu. Lakin lazima tujue kwamba lefa huwa anatafsili zake kumpa mtu adhabu. Na sababu kubwa ya beki kupewa kadi nyekundu. Ni KWASABABU alikuwa ameshaachwa na yeye ndiye alikuwa mtu wa mwisho maana yake kamzuia mtu kufunga. Na jinsi ilivyo hutakiwi kumzuia mtu kwa njia isiyo sahihi pale anapo kuwa anataka kufunga sasa yeye alimvuta shati na yeye ndo alikuwa wa mwisho hyo ndyo sababu
@user-ir1oi3xz1uАй бұрын
Hakika kaka wafumdishe wengi hawajui mpira
@mgulusaidkiyangaАй бұрын
Gedee🎉
@shivobs4485Ай бұрын
Shida jezi
@HusseinKafutaАй бұрын
Engineer msajili gwalala kiungo punda kutoka coastal union atatufaa Kwa muda mlefu please 🙏
@frankhoffa8356Ай бұрын
Bila golikipa leo coastal wangepigwa zakutosha hawa
@user-cx7uz3ri6vАй бұрын
Bonge la kipa
@cypilanmkisa9528Ай бұрын
Tumeua sana
@AllyMasangaluka-bm5ibАй бұрын
Gede anatosha injinia atasaidiana dune kushinei
@kelvinmasikaАй бұрын
Oya Aziz ki kafanyaje pale.. wow 🎉🎉
@AllyMasangaluka-bm5ibАй бұрын
Mechizote mngekua mnacheza lvyo uningwa mngepata
@husseinshamte7129Ай бұрын
Waganga wa Tanga wamefanya kazi sana
@salimmalaka256Ай бұрын
KUSHINDA MZEE MPILI??? 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOO
@HamisNgapanyaАй бұрын
@@salimmalaka256 brother mbona kama unateseka saana shinda kwanza mechi zako alafu ndo uizungumzie yanga ,yanga kakuacha mbali saana iv unajisikiaje unavyogombea nafasi ya tatu na cost
@salimmalaka256Ай бұрын
@@HamisNgapanya MBALI WAPI MBINGU YA 7 AU
@salimmalaka256Ай бұрын
@@HamisNgapanya HATA NAFASI 10 KAWAIDA TU
@user-yr4pv2vj7mАй бұрын
Koro kariw mnje ndani
@stevenemwakasimba-pt8erАй бұрын
Wanatamani kusema bahasha ila wakikumbuka wao wamepigwa na huyo guede 2kwa1wanabaki kujifionya
@loishiyesamwel1374Ай бұрын
Jidanganyeni na ushindi wa mipango, Huyo mchezaji alikuwa na yellow card kwanini iwe red straight.
@chizashungu8364Ай бұрын
Anastahili red card.mbona nyie hamfanyi mipango mwenzenu si yupo pale tena ni rahisi sana.
@jovinmashauri7883Ай бұрын
hujui mpira huon huyo ni mtu wa mwisho😂
@eng.zachinnocentАй бұрын
Unapomfanyia foul mchezaji anapoenda kufanya shambulizi golini hiyo red card hata kama wewe sio mtu wa mwisho
@user-io2rj2yp5dАй бұрын
Kolokwinyoooo unaumia ukiwa wapi
@jovinmashauri7883Ай бұрын
@@user-io2rj2yp5d we nae unaniweka kwenye kundi la kolo 😁mjib jamaa wa apo juu😁
@abdallahakida7908Ай бұрын
Iko mechi mtapoteza hii ni dalili
@ShafiiIsmail-zk9lqАй бұрын
Kolo hilooo😂
@mesuitozil1527Ай бұрын
Endelea kusubiria Embe chini ya Manazi
@mesuitozil1527Ай бұрын
Kwa taarifa yako inatakiwa tushinde Michezo mi 3 Sare 2 na tugungwe M 1 Atuweze kuchukua kombe
@thehustlerafrica4368Ай бұрын
Utopolo mbona malalamiko sana kama binti
@kolosii4351Ай бұрын
Huyu kipa leo kaona moto.
@SOMOEMADADIАй бұрын
chezea yanga wewe
@user-tq1jz3wm3fАй бұрын
Azam fc wahini kipa akienda yanga watamuweka goli kipa wa pili lakin, Azam atawafaa sana, refa sio hukumu nzuri ulotoa Kwa mchezaji wa coastal union
@seciliamchalo5627Ай бұрын
Mmh wanaoumia wengi
@AfricanKid-mu9loАй бұрын
Guedee leeeeeo kawataftaaa bara aaa
@dagraskaragane4730Ай бұрын
Kazi kulalamikia marefarii wa kibongo 😂😂 mbona hamkulalamika South washamba nyie
@user-fy4mf9fz2jАй бұрын
Kipa wa yanga hajagusa mpira duhuu hii ni hatari na nusu
@SparosmilebaeАй бұрын
Joseph gued Bora aende ximba
@SalimAbdallah-mi1wcАй бұрын
Aibu kubwa ndo maana kimataifa hamfiki mbali labda muende Na Hao marefa wenu kadi nyekundu iko wapi hapo ni aibu kubwa kwa tff
@lowasakitwiyan7758Ай бұрын
Utajua mwenyewe😎
@bakarirajabu3783Ай бұрын
Kojoa uka lale huna jipya wewe
@chrissantkaunda9958Ай бұрын
😅😅😅 huyu kolo inaonekana ana hasila,mshaulini akakojoe akalale
@goldmansun5859Ай бұрын
Kwa hiyo siyo kadi nyekundu, hahah, jifunze soka, sio kuangalia magoal tu ,atleast ungeijadili penalty walionyimwa yanga