YESU NDIYE MUNGU MKUU SIYO TU MWANA|UFAFANUZI KUHUSU UTATU MTAKATIFU NA UUNGU WA YESU|Ev.SamSungwana

  Рет қаралды 1,501

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 31
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee Ай бұрын
Watu wanaotafsiri Mungu kibinadamu hawaelewi hata ukiwafafanulia. Tunapojadili mambo yamuhusuyo Mungu ni lazima tuweke mbali mitazamo ya kibinadamu sababu Mungu siyo kitu fulani ni uwezo usio na kikomo usiochunguzika.
@chorinevalley6284
@chorinevalley6284 Ай бұрын
I cried tears 😭 Today is the day This has been to me Thank you the Holy Spirit.
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Ай бұрын
Nilikuwa sijaona Kanisa la Mchungaji Katekela leo nimeliona Amina,
@chorinevalley6284
@chorinevalley6284 Ай бұрын
Translate
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 Ай бұрын
Sio nafsi baba, ni vyeo vya Mungu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nafsi ni kwa viumbe wa Mungu
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 Ай бұрын
True teachings
@evalynerwegasira7485
@evalynerwegasira7485 Ай бұрын
YESU NA ROHO NA BABA NI WAMOJA. YESU ALIPOKUJA DUNIANI.ALIMALIZA KAZI YAKE. HAKUWA KILA MAHALI. ILIBIDI ROHO AJE AKAE NDANI YETU. NA YUKO KILA MAHALI.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee Ай бұрын
Roho mtakatifu siyo nguvu za Mungu ni nafsi ya Mungu ndiyo sababu Yesu alisema mtapokea nguvu atakapokuja Roho mtakatifu. Neno atakapokuja humaanisha mtu/ nafsi haliwezi kutumika kwenye kitu.
@marypeter4584
@marypeter4584 Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana.
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Hatu tawalazimisha kuelewa maandiko yako wazi mambo haya wanayo yaelewa niwale wako Rohoni
@mayanmlingwa4250
@mayanmlingwa4250 Ай бұрын
Hivi yesu angekuwa ni mungu angesema anaenda kwa baba kuandaa makazi,,,,,,mawazo ni mazuri japo ni ya uongofu
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 Ай бұрын
Yesu ni Mungu. Wewe ndo huelewi.
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 Ай бұрын
Mwanz1:2 ROHO ya MUNGU ni NGUVU za MUNGU au ni nafsi ya 3.....
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee Ай бұрын
Kwanini Mungu anasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, badala ya nimfanye mtu kwa mfano wangu.?
@user-jz4bz8rl9j
@user-jz4bz8rl9j Ай бұрын
Roho ya Mungu , Mungu ni nani ? Roho ya Mungu ilitulia juu ya vilindi vya maji , Mungu akasema , lakini Roho ya Mungu Ilikuwa Kwenye maji , hiyo Mungu alikuwa wapi ? Kama ROHO ILIKUWA KWENYE MAJI ?
@chorinevalley6284
@chorinevalley6284 Ай бұрын
Revealed to me.
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 Ай бұрын
SOMA,YOH:17;3,8,21,23,25.YESU ANASEMA WEWE NDIWE ULIYENITUMA, JIBU SWALIYESU NI MWONGO KWAMBA AMETUMW JE NANI ANAMTUMA....
@rebecca-nj6wl
@rebecca-nj6wl Ай бұрын
Ilimpasa Yesu kristo ajishushe kwa maana alikua mwili ulionao wewe ili mwanadamu alie na mwili ajifunze kwake
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 Ай бұрын
Mnaosema YESU ni MUNGU MKUU mpingeni YESU hapa... YOH 10:30" Mimi na baba TU umoja " sio mmoja ....umoja ...., na umoja maana yake wako tofauti/separate ila wanakubaliana kufanya jambo Kwa pamoja, YOH 14:28 baba ni mkuu kuliko Mimi Pina na hii.
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 Ай бұрын
Sasa soma hiyo verse kwa kiingereza
@zilphakalenzo7787
@zilphakalenzo7787 Ай бұрын
Bible ni msitu mkubwa tunamuhitaji Roho mt atusaidie
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 Ай бұрын
KAMA VITU HAMVIJUI MSIJITOKEZE KUWAFUNDISHA WATU, EMBU SOMA 1KOR8:6 YUKO MUNGU NA YESU ,1YOH5:8 YUKO BABA,NENO NA ROHO(WATATU) OMBA TUKUFUNDISHE HUJUI ....
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Ай бұрын
shida saana
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee Ай бұрын
Jehovah's witness ni wapinzani wa Roho mtakatifu na wamejitungia biblia yao inayomtafsiri Roho mtakatifu kama nguvu za Mungu kitu ambacho ni uongo mkubwa.
@yudaseleman8320
@yudaseleman8320 Ай бұрын
No ya katekela please
@methodemmanuel4658
@methodemmanuel4658 Ай бұрын
Jacktan, Aston Adam Mbaya anasemaje kuhusu hii ishu? Kuna video yeyote aliyowahi kuongelea jambo hili?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Ай бұрын
na yule ni mwanadamu tu hana jipya
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 Ай бұрын
Alisema Yesu ni Mungu. Na unafaa ufuate anayosema binadamu au ambayo biblia inasema?
@reachglobal9939
@reachglobal9939 Ай бұрын
Kama mapepo yalimtambua ni Mwana wa Mungu,Shetani pia alimtambua pale mlimani alimwambia jitupe maana ineandikwa atakuagizia malaika,kama Petro alimjua akasema wewe ni Mwana wa MUNGU aliye hai.Wewe ni nani useme Yesu ni MUNGU Baba?wewe nizaidi ya shetan.Biblia imeweka wazi Yesu ni Mungu sababu mtoto wa simba ni simba ila Yesu sio MUNGU BABA.Zaburi82:6 nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia. Hata sisi tukiwa watakatifu ni Miungu ndyo maana hata Yesu alisema tunaweza fanya makubwa zaidi yake. 7 Lakini
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 Ай бұрын
Biblia inasema Yesu ni Mungu. Ni mwana wa Mungu na pia ni Mungu. Kama huelewi si kosa letu. Nawe ndo unayo Roho Ya Shetani inayokudanganya.
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 Ай бұрын
Mwanz1:2 ROHO ya MUNGU ni NGUVU za MUNGU au ni nafsi ya 3.....
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 5 МЛН
ANGELS ❗️ HOW TO SEE ANGELS | NAMNA YAKUONA MALAIKA  | Amb. Prophet David Richard
1:19:30
KISA CHA KUSISIMUA CHA NABII YONA
45:10
Pastor Lazaro Samwel Kilala
Рет қаралды 1,8 М.
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 193 М.
Fununu za Uhamisho Jumanne Tarehe 16 Julai
8:17
Abuller Ahmed The Presenter
Рет қаралды 483
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН