No video

MBUZI WAMEPANGIWA CHUMBA NYUMBANI ANAPOISHI ZAI WA KIJIWE NONGWA | WANALIPIWA NA KODI

  Рет қаралды 118,829

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Пікірлер: 310
@bettiejoy-mtotowamama
@bettiejoy-mtotowamama 9 ай бұрын
Na amejua usafi kwa nyumba👌 , ukitazama nje ya nyumba na ndani utadhani nyumba mbili tofauti
@user-cl9hg3uc8e
@user-cl9hg3uc8e 10 ай бұрын
Nakupenda da zai af unayakubali maisha yako napenda unatueshimisha wauswailini❤❤❤❤
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 8 ай бұрын
Ndani kwako kusafi Mashallah❤, maana kuna wadada wanapenda kujipodoa Ila ukiona anapoka, nyumba chafu😢.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 ай бұрын
Dada zai watoto aacha kulaza chini kisa wagen hapana hiyo.Labda mama yako Mzazi au Baba. Ndio watoto utawalaza chini.Wanashukran wagen hao.Nakupenda sana❤❤
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 10 ай бұрын
Mash Allah Zai umejitahidi Kuzuri nyumbani kwako.
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 10 ай бұрын
Zai me nakupenda tu yani kabda hajaongea nishaanza kucheka 😂😂😂naitamani iyo story ya mwanahamisi miziwa 😂😂😂 et huyu kiwege ndo nimeachana nae 😂😂😂😂😂😂 KUZURI MNOOO MWAYA HONGERA ZAI WETU ❤
@btylove1870
@btylove1870 10 ай бұрын
Zai ngozi inaglow, nywele umependeza sana. Nakupenda sana❤
@user-qc9xt4dp1i
@user-qc9xt4dp1i 9 ай бұрын
uyu kweli anakaa kijiwe nongwa mana nyumba mbaya arafu chafu ila ndani kama upo masaki vile hii inaitwa mchngnye adui yko😂
@aminasalim8708
@aminasalim8708 10 ай бұрын
Nyumba mbaya ndani munzuriii🎉🎉❤iyo ndo vzr kuish na wanga😂
@hawasaid7151
@hawasaid7151 10 ай бұрын
Kabisaaa yan😂😂
@aminasalim8708
@aminasalim8708 10 ай бұрын
@@hawasaid7151 na mtangazaji mbea mmmh anauliza adi ndani ya friji kunanini😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 10 ай бұрын
Kama huku UK ndugu yangu majumba nje mabaya nyengine hata plaster hazijapigwa lakini ndani kuzuri na mimi nyumba yangu nimejenga hivo hivo nje kubaya ndani ndo kuzuri😂
@aminasalim8708
@aminasalim8708 10 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh umefany vzr wachaw apo awaji😅😅😅adi marafik zako wataishia nje chuki zitakua kiasi t ila wakiingia ndani umekwisha
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 10 ай бұрын
​@@aminasalim8708😂😂😂😂😂😂😂
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 9 ай бұрын
Hongera Zai unaishi maisha halisi..
@vero57
@vero57 10 ай бұрын
KWELI KABISA DADA ZAI , MAPEZI YAKO TOKA EZI , SOMESHA WATOTO WAKO MWANYA, NYUMBA SAFI SANA, HONGERA SANA DADA ZAI.
@aishachuma9
@aishachuma9 9 ай бұрын
Hongera dada zai Kwa kuuvaa huusika wa uswahilin na pili hongera Kwa kujipanga Kila idara sio kibiashara paka kimaendeleo waswahili kama sisi tunasema umeweza dada zai❤❤❤❤
@user-lt3iz5kb8v
@user-lt3iz5kb8v 10 ай бұрын
Aisee...unajitahidi sana hongera,ndo maana nakupenda utafika mbali
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 10 ай бұрын
Me sidondoki ndo nshafiwa nna uchungu wangu naomba mniache mm uuuwwiii mbavu zangu 😂😂😂😂
@sashah_ace8598
@sashah_ace8598 10 ай бұрын
ni mkweli sana hana baya mashallah ALLAH AKUZIDISHIDIE
@3Dshoez
@3Dshoez 9 ай бұрын
Hongera dada maisha yako ndo hayo na huna haja ya kuficha ficha 😍
@ashaproudofyoubabahaji8523
@ashaproudofyoubabahaji8523 14 күн бұрын
Zai very organise mashaallah
@Thebaddest255
@Thebaddest255 10 ай бұрын
Dada. Zai Una mimba 😊🙄 au umenenpa jamani nakupenda you’re so real ❤😊
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 10 ай бұрын
Alishazaa kwenye pazia alikuanayo
@Nailaty564
@Nailaty564 7 ай бұрын
Wawooo chumba kizuri hongera zai
@valenakomba9218
@valenakomba9218 9 ай бұрын
Eeeh Zaii, mambo siyo mabaya. Hongera sanaa. Nyumba inawakaa , heee. Kwa kwekili hongera.
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 10 ай бұрын
Zai nakupenda sana mdogo wangu maana huna majivuno wala kujikweza unajieleza ulivyo huongezi hupunguzi. Halafu nakushauri kitu. Nyumba ni choo urembo wako wote unaangaliwa chooni. Changeni mkitengeneze vizuri. Choo raha sio karaha
@nasraniko-mr2lv
@nasraniko-mr2lv 10 ай бұрын
Sasa ww unavyosema nyumba ni choo hiyo ya wapangaji au ya mwenye nyumba huo ushauri dada angu ungempa mama mwenye nyumba sio zai
@NaseebMgono-wl3bu
@NaseebMgono-wl3bu 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 9 ай бұрын
@@nasraniko-mr2lv kunywa Pepsi nakuja kulipa mwaya yani akarabati choo kwenye nyumba ya kupanga badala ya kumshauri ajenge ahamie kwake ndo apaweke vizuri
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 9 ай бұрын
Anajiamini mbon mastaa hawaonyeshi vyumba
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 9 ай бұрын
Zai umesaau kumkalibisha mgeni ata ka sodaaa Basi ataa maji
@nenengopoos5476
@nenengopoos5476 10 ай бұрын
Mashaalah zai anaishi uhalisia
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 10 ай бұрын
MAISHA HALISI YA USWAHILIN NI HAYA NAKUPENDA DADA YANGU ZAI NIMEKAA SANA BUGULUN KWA MNYAMAN MAANA UKO FULL USWAHILIN
@user-tm5ns8hu6q
@user-tm5ns8hu6q 10 ай бұрын
Nampenda sana daazai anachekesha sana
@annamwanyilu7020
@annamwanyilu7020 10 ай бұрын
Jaman zai umetisha dada Huna shda hongera kwa kuendelea kuwa maarufu Mungu akujalie mafanikio zaidi
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 9 ай бұрын
Nimecheka hiyo mwenye nyumba nakaa kwenye kochi wanaokuja katazama tamthilia watakaa chini🤣🤣🤣
@JoyAgbiano-wr5cz
@JoyAgbiano-wr5cz 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 9 ай бұрын
Maisha ya uswahilini raha sana nje ni tofauti na ndani
@nayfatsalim7828
@nayfatsalim7828 9 ай бұрын
nimecheka ety wkija wnakaa chni mweny nyumba nd nakaa juu hhhh..Kweny friji umekua mpole mbna😂
@jahsjjsj583
@jahsjjsj583 9 ай бұрын
Maashaallah , da zai , Allah akuzidishiye kwjuhudizako .
@Lexerjoh
@Lexerjoh 9 ай бұрын
she is so real i love her💌💌💌
@alodiadiocless3546
@alodiadiocless3546 10 ай бұрын
Nakupenda sana zai unajua kutufuraisha
@mwanashoogobo1785
@mwanashoogobo1785 8 ай бұрын
Zai nakupenda ndiyo story zishaanza hivyo kijiwe nongwa❤️❤️🇰🇪🇰🇪
@faidhacute
@faidhacute 10 ай бұрын
Da zai buaana hyo stori et angepigwa mwanamke WA sinza ingekuwa shughul 😂😂😂
@rucyamon
@rucyamon 18 күн бұрын
Hongera
@Kalthoom-ru3mq
@Kalthoom-ru3mq 9 ай бұрын
Zai nakupenda lnshaallah nikilaliwa kulud oman takutafut kpz unazawad yako❤
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 6 ай бұрын
Sana kabisa abaya mhimu arafu anaishi vingunguti karibu na kwetu tabata
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 9 ай бұрын
Watu kama hawa ukute anamjengo unajengwa huko
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 ай бұрын
😅😂maisha yaliyochachuka😁😁❤❤❤
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 10 ай бұрын
Nyumba ndani na nje tofauti 😂😂😂kiboko kqbisa
@faridapandu7579
@faridapandu7579 9 ай бұрын
❤❤❤nimependa dazai kwako pazuri mungu akujalie update njumbayako inshaallah
@husseynomar9523
@husseynomar9523 6 ай бұрын
Eti Mwanakhamis Miziwa akikulazia maziwa anaweza kukuua... 😂😂😂
@mwanjinzara8009
@mwanjinzara8009 10 ай бұрын
Mtangazaji konyo mpaka chumban mweee😅😅😅
@user-bg9cr4pn2p
@user-bg9cr4pn2p 10 ай бұрын
MashaAllah dazai umejipanga
@mamachris6811
@mamachris6811 10 ай бұрын
Uko vizuri Zai , hongera
@user-vx1pw5dq7k
@user-vx1pw5dq7k 10 ай бұрын
Kwa zai pasafi ongera zake ila uswahli kwengine kuchfu adi mazingira duuh
@user-sb2sb8ri6t
@user-sb2sb8ri6t 10 ай бұрын
Mie sikujua kumbe kijiwe nogwa ipo vingunguti😂😂😂
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 7 ай бұрын
Chumba kimepangishwa mbuzi hiii kali kweli kijiwe nongwa
@shanihussein7615
@shanihussein7615 9 ай бұрын
Nakupenda sana allah azidi kujufungulia milango ya rizki kipenzi
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 10 ай бұрын
Nimependa maisha ya zai hana majigambo penda sn zai
@minafadhil3837
@minafadhil3837 9 ай бұрын
Ni kwel
@Zainab_salat
@Zainab_salat 10 ай бұрын
Hafake jamani nimpenda wajina😂😂😂😂😂
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 7 ай бұрын
Mwambie mwenye nyumba akuwekeee vizingiti ili maji yasiiingie ndani iyo nyumba iko chini sana kiasi maji yaingie. Ndani
@user-dd6wr6bc5f
@user-dd6wr6bc5f 10 ай бұрын
Yani zai anaongea Kama anasutanaaa😅😅😅😅
@dijahmbinyo7301
@dijahmbinyo7301 10 ай бұрын
Good interview. But SALEH jitahidi kusema pole mtu kama ivo kasema jambo inafaa ungesema ata “aiseee polee”
@rachelmasunga4989
@rachelmasunga4989 6 ай бұрын
Nimependa Ila for me jamani huwa sipendi mivitu mingi ndani sasa hapa anadekiije ndani Yaan usafi anafanyaje jamani
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 10 ай бұрын
Dada yupo simple hanaga mbambamba!😂
@MwanaSabitina
@MwanaSabitina 19 күн бұрын
Zai tsha saana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂zai katika ubora wake.. Jamani siku ukianza kukaa uswahili huwezi hama kirahisi sababu Kuna raha yake uko.. kila nyumba kinapikwa kitu asubuhi 😂wengine jioni😂😂hekaheka kibao,sasa unahama vipi??
@user-bg9cr4pn2p
@user-bg9cr4pn2p 10 ай бұрын
Alafu dazai awezi hama kirais maana Kilaeo yuwapata matukio yakutuletes ss
@dottohami
@dottohami 10 ай бұрын
Mashaallh zai ndani kwako pazuri 🥰
@user-yy5tm4mx4o
@user-yy5tm4mx4o 9 ай бұрын
Hahahahaaaa nimecheka Mpaka basi naangalia hapa kipindi Daa Shoga Bonge La Duka Nimekukubali Aisee Mpaka Mbuzi Wamepangiwa Chumba!!!
@rachelmasunga4989
@rachelmasunga4989 6 ай бұрын
😅😅😅😅Yaan jamani mbuzi walivyokuwa na halufu😅😅
@user-dl3ep1ow3y
@user-dl3ep1ow3y 8 ай бұрын
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY SISTER FROM TZ I A. PROUD OF YOU MY DUA ALWAYS WITH YOU MY ALLAH .MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE TRUE 👍 I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ U MY SISTER U ARE HARD WORKER I AM PROUD OF YOU REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@fridaminja7191
@fridaminja7191 7 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀nimefurahi sana
@sikudhanimoshi6967
@sikudhanimoshi6967 10 ай бұрын
Mashallah zai mm sina ata kitanda
@EsterShirima-vr7cv
@EsterShirima-vr7cv 10 ай бұрын
Mbona raha napenda maisha hayo ningeishi nawewe ningenenepa
@user-ix4tm1mx3z
@user-ix4tm1mx3z 7 ай бұрын
Nakupenda tu
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 9 ай бұрын
Nakupenda sana dada zaii mungu akubariki sanaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@mamachris6811
@mamachris6811 10 ай бұрын
Zai nimegundua mzuka unapanda ukiwa kijiweni 😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅
@ashurasaid7204
@ashurasaid7204 10 ай бұрын
😂😂😂kweli alivoinuka kijiwe nongwa alivoingia dukan na mzuka umepotea
@mamachris6811
@mamachris6811 10 ай бұрын
@@ashurasaid7204 hata nyumbani haikuwa hivyo 😁😁
@user-dn5mq3fw5s
@user-dn5mq3fw5s 9 ай бұрын
Msafi mashaalh hadi Raha 🎉🎉🎉❤
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 10 ай бұрын
Zai anasema kweli kunawatu awapendi nyumba zilizopooza kuna mpangaji alipanga kwetu akaondoka akasema hapa pamepooza nahama
@RakaPk
@RakaPk 7 ай бұрын
😂😂😂😂🎉
@user-ri4bm8ly3c
@user-ri4bm8ly3c 9 ай бұрын
Mob lov from Kenya ❤❤
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 9 ай бұрын
Duh mpka room😂😂hatari Zai ww una visaa😂😂😂et godoro linatupwa kitu gan kile utasema meli😂😂😂😂
@3Dshoez
@3Dshoez 9 ай бұрын
Gigy money njoo uone watu wanaishi maisha wanayo yaweza
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 10 ай бұрын
Nimeabza kicheka ata sijasikuliza😂😂😂😂
@joycekalago532
@joycekalago532 8 ай бұрын
Kwahiyo mbuzi ni wapangaji wenzio zai😊😊😊
@RakaPk
@RakaPk 7 ай бұрын
😂😂😂😂🎉
@lovenessoscar4102
@lovenessoscar4102 8 ай бұрын
Ila zai😂😂😂 me nakupenda tu bure❤❤
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 10 ай бұрын
Zai ❤ mashallah kwako pasafi
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 10 ай бұрын
Huyu dada hatar 😂😂
@siphifahashimu9723
@siphifahashimu9723 10 ай бұрын
Msafi mashaalah❤❤
@josephndunguru6290
@josephndunguru6290 6 күн бұрын
Nimependaa uhalisia wamaisha yakee watuwengi hawana hichoo kituuu,
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 10 ай бұрын
Maishs ya simple sana lsmata among uyu dada tumuone mjua kali
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 10 ай бұрын
Hahaha hawez kukosaa lazima atakuwepo
@edinachami4318
@edinachami4318 9 ай бұрын
My wangu zai ❤️❤️❤️🥰hufeki life dadaangu mzuri
@annievibes8794
@annievibes8794 8 ай бұрын
Zai nakupenda sana nakuangalia kutoka Norway natamani nikija dar nikutembelee kijiwe nongwa
@HarunAyoub
@HarunAyoub 6 ай бұрын
Hahahah mwenye nyumba ndio anakalia kiti
@yourthebest4544
@yourthebest4544 10 ай бұрын
😅😅😅..Ila dada zai nakupenda sana
@hadijahassan6467
@hadijahassan6467 10 ай бұрын
MASHALLAH PAZURI 📌
@mawlodafarida
@mawlodafarida 29 күн бұрын
❤❤❤❤nakupnda dda
@user-lq7kv7sx3t
@user-lq7kv7sx3t 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 dah.! Hichokipgo kwakweli
@shilakodeni2853
@shilakodeni2853 6 ай бұрын
Pazuri sana unajitahidi zai
@fanuelmahenge2853
@fanuelmahenge2853 7 ай бұрын
Midundo imeanikwa njee inakauka😂😂🤣🤣
@Nailaty564
@Nailaty564 7 ай бұрын
Huwezi kumsikiliza zai usicheke😂😂😂
@faridapandu7579
@faridapandu7579 9 ай бұрын
Mungu akuzidishie kila la heri dazai umejipanga my
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 9 ай бұрын
Mashallah da zai umejiweza jaman
@aminachappa8677
@aminachappa8677 8 ай бұрын
❤❤❤zai Nakupenda bure tu Dadangu
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 8 ай бұрын
Masha allaah hongera zai
@mishishabani1475
@mishishabani1475 10 ай бұрын
Hongera Sana da Zai❤️❤️👏
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 6 ай бұрын
Mzee wavibwato zai unajitaidi kujipambania
@HoneysugarPudding
@HoneysugarPudding 10 ай бұрын
Allah akuzidishie rizki kwakweli
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 10 ай бұрын
Ukute anamjengo anaushusha huko sehemu😊
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 6 ай бұрын
Sana tu
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 10 ай бұрын
Zai nimekupenda msafi
@mishkizur3205
@mishkizur3205 8 ай бұрын
jaman nampenda uyu mdadaa wallah mungu amueke
@wahdamrisho778
@wahdamrisho778 10 ай бұрын
Jaman nampenda sana zai❤
@masikasaidi8805
@masikasaidi8805 9 ай бұрын
Hadi choon katisha Saleh mbeaaaa
@asyamohammed5091
@asyamohammed5091 9 ай бұрын
Alaa saleh nawee mmbeaa sanaa ivo unavo ulizaa 😂😂😂 hatariiiii
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 13 МЛН
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 6 МЛН
Baba Olivia Episode 17 Finale❤️// Single Father Story
31:59
Henry Mwakajumba
Рет қаралды 35 М.
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 33 М.
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00