Big up bro, pia ukimwita decor daisy akufanyiw decor patapandisha thamani zaidì
@mawazo12310 ай бұрын
Kwenye swala la kuoa kaongea point sana bahat mby sana sound inazingua
@Juke99510 ай бұрын
Kwan camera man halipwi au ni mwanafunzi 😮athuman oyeeeee.
@KhalidNa-bn4gp8 ай бұрын
Ilavijana kunasiri kubwa sna kwenye upande wa kuoa nimiongoni mwariski kuongezeka hay ni barka kubwa san hvo mjiongeze
@queenmilan202410 ай бұрын
Msiamini mambo ya mitandaoni. Shauri yenu.
@infiniteabundance202410 ай бұрын
we umekuja kufata nini..... queen mavi mavi na wivu
@annelunazo66605 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@FatmaHamad-g6s10 ай бұрын
Mashineee sijui kwanini wanawake tunafeli ktk hiki kipengele cha huduma za kiroho
@KhalidNa-bn4gp8 ай бұрын
Nyie hapa tz kunawatu wanaishi na wana misha 😮😮😮😮😮😮 allyb salout brooo
@JeyAbdallah2 ай бұрын
Mwamba anaishi, noma sana 🔥🔥🔥🔥
@MayarashidiMayarashidi5 ай бұрын
Happy birthday to you 🎈🎈🎈🎈🎈 kaka saleheungu akuweke
@sabrinasabrina839510 ай бұрын
Ukichukua machungu ukayatransform Kwenye kupambana ni LAZIMA UFANIKIWE HII NI KWELI MTUPU
@emmanuelmwasha243010 ай бұрын
nice interview🔥🔥
@jacklinechuga256910 ай бұрын
Camera man kazingua achukuhi mambo vizuri 😢
@PrinceBonnyTz810 ай бұрын
😅😅
@deega123410 ай бұрын
kweli
@JohariLila7 ай бұрын
😂😂😂
@kingalyeko757610 ай бұрын
Camera man wa kufukuzwa 😂
@RayyanRayyan-rt9cg10 ай бұрын
😁😁nimekosa maneno yakuandik ila mungu nipe mume kam Ally B😂😂😂
@omanhh287510 ай бұрын
Kwel
@rosemaryrwabibi59089 ай бұрын
Kila kitu ni subila🙏🙏
@shejamy064 ай бұрын
Hard work pays🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@israeluronu995810 ай бұрын
At nikaona kuliko niishi na mtu mwingine bora niishi na hili jini langu😂😂😂
@KanezaAmina-t4h10 ай бұрын
InshaAllah🤲🙏
@KidogeDolieАй бұрын
Ebana camera man kafanya nini e
@StanMrema6 ай бұрын
Range la kujifunzia😅😅 Dj kwa sifa tu
@aminammbaga77369 ай бұрын
Mie nilijua ni m nigeria jmn before nimfaham
@dayana5513story10 ай бұрын
You're blessed DJ🔥🔥🔥🥰
@MsodokiSokoine-k2x9 ай бұрын
Uyo jamaa anajua maisha vijana jifunzeni leo
@gracepatric43719 ай бұрын
cameraman hovyo kabisaaaaa cjui video shooter madudu kabisaa shenzii anaambiwa kabisa onyesha linabazubaa seee
@dianamashala4269 ай бұрын
😂😂😂😂
@Dj2nyi10 ай бұрын
Mwishon haisikiki vzr
@MayarashidiMayarashidi5 ай бұрын
Endelea Ivo Ivo na upendo
@mfaumejames734410 ай бұрын
Never given up for everything
@rewardnjau722010 ай бұрын
camera man haijui kazi yake
@missp181410 ай бұрын
Bora umehide namba za magari maana kila nikiangalia ikifika hapo najisemeaga ila hawa hawaoni wanawakosea hao mastar😂😂
@onekisstv841210 ай бұрын
Ally b kapoa sana leo
@christiansolomon41983 ай бұрын
Yaan hafai kabsa uyo camera man😢😢😢
@jenifermakundi823010 ай бұрын
Toka kipindi kianze hii ndio interview bora kwangu,ally b kafunguka,kapoa kanihamasisha.
@djhajiztz10 ай бұрын
Mke wa djallyb Sauti yako nzuri❤
@Officialjidaa-sn9cs10 ай бұрын
Dj kama dj
@asiakhamissalim23193 ай бұрын
Huyu jamaa kila ninapomsikiliza ananpa nguvu zaidi ya kupambana
@ReginaErnest-cf6ji10 ай бұрын
Mwamba unaishi bhana duuu
@SafiyaJ-yw2vt10 ай бұрын
U DJ tu nyumba hiyo i can't understand
@KanezaAmina-t4h10 ай бұрын
@@SafiyaJ-yw2vt mi mwenyewe nashindwa kuelewa kwakwel
@SafiyaJ-yw2vt10 ай бұрын
@@KanezaAmina-t4h Umeona eeeee
@mariachifupa465410 ай бұрын
Ukimsikiliza vizuri utajua siyo udj tu uliomlipa, amefanya uchinga ameweza kusave money na anajua kujichanganya na Wana na ndiyo maana amefika hapo halipo
@halimamweri402010 ай бұрын
Hyo nyumba si kapanga kwan yake?
@RuthHelenesango8 ай бұрын
Nilicho gunduwa kwa matajiri Awa gawe chakula sio vizuri
@naah88410 ай бұрын
Kama cameraman anaona comments we hujui kazi panya ww
@NaomiMsafiri10 ай бұрын
Kabisaaaa
@gracepatric43719 ай бұрын
😅😅😅
@GetrudeMghambi-lx5rd3 ай бұрын
😅😅
@MaryGurtt9 ай бұрын
Uyu kamera man kila kitu kaambiwa, ila kwa tako la mama simba kawa makini
@KhalidNa-bn4gp8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wabongoooooo
@faridaabdallah742410 ай бұрын
Jmn hata kumpa mgeni soda😂
@MariamIbrahim-h7p10 ай бұрын
Mwanamkee mzuri naturel kbsa Aguirre ana mashauziiii
@mohamedmkape6989 ай бұрын
Why violating privacy policy utachkuaje picha mtu amelala Bila idhini yake. Sio saw
@MnaroMajengo5 ай бұрын
Amn violation yoyote yeye ndobaba anajua baya na zuri kwa mtoto wake labda ingekuwa mke wake na ingekuwa imevunja maadili
@namdigumagwenge19310 ай бұрын
Mama Simba kwanini ulituchanulia miguuu mwanzoni 😂
Shomi me najuwa kutengeneza wa ya vidonda vyatumbo nitampata atabule
@mariamfaicalhassan2890Күн бұрын
Nisaidie
@KautharRamadhan-xv3gf10 ай бұрын
Nyumba yake na hajui taa ya ballcone inawashiwa wapi jamani
@HoneyBeel510 ай бұрын
Ashakuambia kanunua hajajenga, na kasema huko wanatumia watoto
@missp181410 ай бұрын
kwa wanaume hata sishangai angekuwa mama simba ningeshangaa wanaume huwa wavivu kujuaga vitu vidogo dogo kwenye nyumba,na pia hiyo nyumba hajakaa muda mrefu na watoto ndo wanatumia.
@salmamsakuzi30709 ай бұрын
Mume wangu nyumba nmemkuta nayo ila mpaka Leo anauliza hii taa inazimiwa wapi hajui mataa utamuona anahangaika na maswitch
@Goodluck-p9y9 ай бұрын
Camera man mzito
@veronicamlelwa-zh9vy10 ай бұрын
Saleh anaogop mbwa jmn😅
@asnathcharles984210 ай бұрын
Asumaniiiiiii💝
@swaumuabdallah688610 ай бұрын
Hata km mm ndio mama simba siondok 😂
@KhalidNa-bn4gp8 ай бұрын
Jamaniii umeona eee aan sichmoki mpak kifo
@elisifaedsoni10 ай бұрын
mwamba kavu anameza2 mwenyewe😂
@nantaembanusurupia567410 ай бұрын
Mwezi mtukufu atakuwa amefunga😊
@elisifaedsoni10 ай бұрын
@@nantaembanusurupia5674 ok labda
@hildahmushi752410 ай бұрын
Vijana acheni umama Wa kutegemea MTU chezeni michezo ya kina mama utajifunza kuwa na disprine ya hela kama alivosema DJ Aliy b Kweli Michezo inasadia Sana Mimi mwenyewe Niko kwenye iyo Michezo nayaona mafanikio
@joharifarahani273910 ай бұрын
Kweli kabisa mm natengeza nyumba kwakutumia michezo
@zenasalum223110 ай бұрын
Aiseee
@PrinceBonnyTz810 ай бұрын
Mama Simba alikua anaamhbusti baaria 😅
@Gamba8110 ай бұрын
Kumbe ela ya bongo aina samani sofa set milioni 40 daaaa
@kitomondo10 ай бұрын
It's easy to get 40m kuliko kupata 20,000$.
@KautharRamadhan-xv3gf10 ай бұрын
Mwenzetu unasofa za kias gani au ndo useme tu ujiridhishe na chuki zako
@Gamba8110 ай бұрын
@@KautharRamadhan-xv3gf sina chuki na wara siishi tanzania nime toka toka mtoto ndiyo mana nime uliza milioni 40 ni pesa nyingi sana kwa tanzania kumbe milioni 40 ni pesa ndogo sana ndiyo mana nime shanga milioni 40 kununua sofa
@Gamba8110 ай бұрын
@@kitomondo sasa wewe ume nijibu vizuli sana god bless you
@NjuuJera-gg9ec9 ай бұрын
Tokomea hukohuko 😂
@aminanamoyo8310 ай бұрын
Sauti haiko clear
@leaherasto92910 ай бұрын
Anaishi pazuri
@khalfannyanje897010 ай бұрын
Nikinya😂😂😂😂
@abhaijar407810 ай бұрын
Kila hatua
@mufdazizchande4533 ай бұрын
stoo yake ndo ghetto langu mim
@NeemaTosha-u3x3 ай бұрын
Mi nataka nione kwako na wewe
@DoriceStanslaus3 ай бұрын
amejenga au kapanga
@ForodhaniZanzibar10 ай бұрын
Hamna nyumba humo nenda kwa mbunge wa Zanzibar TAUFIQ hi yan hajafikia ata ile gharama ya gari ya TAUFIQ
@JimmyMgalama10 ай бұрын
Uwage na Akili ww bana!!!!! Utamlinganishaje bilionea TAUFIQ n zaidi kw Dj Ally b, Lakini Dj Ally b pesa anayo kw nafasi yke tena katuzidi sana tena kundi kubw la watu kimafanikio kw hiyo yatubidi Tumuombe sana Mwenyz Mungu atusaidie tupambane kiutafutj tuwe kama yy na cyo kumlinganisha n mtu mwngine 😮
@marymanoni553610 ай бұрын
Mimi Namuomba Mungu ata nusu anipe au zaidi❤❤
@leaherasto92910 ай бұрын
Kwani umeambiwa anafanya mashindano? Huwezi kumlinganisha dj na mbunge never
@JimmyMgalama10 ай бұрын
Uko Sahihi n kwel kabisa Reah! Uwez kumlinganisha Dj na Mbunge TAUFIQ n tapir mkubw sana Ana makampun mengi na mabasi mengi y mikoani
@ForodhaniZanzibar10 ай бұрын
@@JimmyMgalama kwanjia ipi shekhe na ss tufikie ubilionea