KILICHOMPATA KANALI ALI MAHFOUDH NA KUFUKUZWA NCHINI-MAELEZO YA MKEWE BI. NAILA JIDDAWI

  Рет қаралды 77,881

Zanzibar Kamili TV

Zanzibar Kamili TV

2 жыл бұрын

Kanali Ali Mahfoudh wa Zanzibar alikuwa Komandoo maarufu sana katika visiwa hivyo na Tanzania kwa ujumla. Alishiriki katika harakati za uhuru kwa nchi nchi za Afrika. Lakini baadae chini ya utawala wa Nyerere, Kanali Mahfoudh alikamatwa baada ya kifo cha Sheikh Abeid Amani Karume yeye pamoja na wenyiwe wengine na kuwekwa kizuizini na kisha kuachiwa na kwenda Msumbiji. Aliishi Msumbiji hadi kifo chake. Mkewe Bi Naila Jiddawi, mwanasiasa maarufu visiwani Zanzibar anaelezea kilichotokea na mambo yalivyokuwa. Tazama video hii.

Пікірлер: 172
@FreeMind-tr3iy
@FreeMind-tr3iy 9 күн бұрын
Wasiojitambua wanasema eti wazanzibari hawajasoma, wazanzibar ndio watu wa kwanza kuelimika kuliko jamii yoyote Afrika Mashariki
@abdishakurothowai4196
@abdishakurothowai4196 2 жыл бұрын
A book on the life of Col Ali Mahfudh is urgently needed. This book will shed light on this enigmatic figure in the histories of both Zanzibar and Mozambique. Hiyo kitabu inafaa kuandikwa kwa vile hiyo historia inaweza potea.
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 Жыл бұрын
Ubaguzi ulikuwepo tusitake kujisahaulisha.Mashuhuda ni wengi
@nassirali8342
@nassirali8342 Жыл бұрын
This story must awarded a trophy
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz Ай бұрын
Mashaaalah she is hero power speech,ata Farao Firaun ilikua hivhiv lkn Aliangamia,pole mami
@salahawad553
@salahawad553 Жыл бұрын
You are very strong lady Shujaa you deserve respect overall Dada Naila
@ramakira4822
@ramakira4822 2 жыл бұрын
Daaa inauma sana mw mungu akupe afya njema mamaetu🙏🙏🇹🇿😭😭😭
@AbdullahNoor-e2k
@AbdullahNoor-e2k 20 күн бұрын
Allah akuifadhi
@pandungozi1072
@pandungozi1072 2 жыл бұрын
Allhamdillah Allaah bless you!😭😭😭😭😭😢pole sana bi naila you have haert and you are strong to talk the truth 🙏
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 2 жыл бұрын
Historia ya kweli.Pole sana Mama.Mie Famlia yangu. İko Kikwajuni Zanzibar.Na Baba kutoka Nairobi Kenya.Wajomba wako Kichwele.
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
Bibi uko vizuri. Zanzibar wabibi bwana utawapenda . Mkiongea ni burudani Mungu awajale umri mrefu diary ya hekima. Mf Mama Karume nk. Mungu awajalie umri mrefu. Hongera mwanahabari waibueni wabibi wengi watupe historia ni diary ya taifa. Good observers.
@KassimUmeya
@KassimUmeya 2 жыл бұрын
Alhamdulilah Mashaalwahu Allah Subhana Wataala Akujaalie Kula la Kheri na Hifadhi na Akujaalie Umri mrefu, Inshallah Ameen Yaarabbil Alaamin.You are Eloquent, Straight forward and to the Point in your Explanation.Thank you Mama Nails no Wonder you were the COMMANDER's WIFE.
@omaribabu4962
@omaribabu4962 Жыл бұрын
Hongera bi nails kwa kutupa history from raw
@monicawagunda7751
@monicawagunda7751 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu muumba wasamehe, hawajui walitendalo. Mheshimiwa Nalaila Jidawi nakumbuka sana, nakumbuka uligombea kwa tiketi ya NCCR na ulifika Rorya Mume wangu Mussa akanileta kuwa pamoja nawe. Keep on mama.
@happyassan656
@happyassan656 2 жыл бұрын
She is a very bright women. I mean lady. MashaAllah.
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz Ай бұрын
Anyere mgundaa,tatii oh, maana yake,nani kanyea shamba, baba oooh
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 2 жыл бұрын
Mama andika kitabu cha Kanali cha Ali Mahafudh
@websuperspy
@websuperspy 2 жыл бұрын
Col Mahfoudh alibahatika sana ukilinganisha na Wanamapinduzi wengineo kama Abdullah Kassim Hanga, Jaha Ubwa, Saleh Saadallah, Twala, na wengineo.
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 2 жыл бұрын
Nyerere ndo alomuuwa Ali Mahfudh, alikuwa katumwa
@ramadhanhassan9308
@ramadhanhassan9308 Жыл бұрын
Pole Shangazi Allah atawalipa
@allykhamis3378
@allykhamis3378 2 жыл бұрын
Kwa kweli bi naila unajieleza vizuri sana kwakweli wewe ni ktk hazina kubwa katka Zanzibar
@websuperspy
@websuperspy 2 жыл бұрын
Na hiyo minyororo alitiwa na huyo Nyerere, kwa hivyo Nyerere ndie adui wa Col Mahfoudh.
@baloshimtei7764
@baloshimtei7764 2 жыл бұрын
pnknonnomnmnpnonnnppnnknoknnp onpkonoopnknnknpokbkponnkkoi
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 жыл бұрын
@@baloshimtei7764 😷🔥
@munaaqatar4109
@munaaqatar4109 2 жыл бұрын
Pole sana mungu atalipa malipo ni hapahapa duniani watakufa vifo vibaya
@abbiecox1
@abbiecox1 5 ай бұрын
Kifo cha karume atalipa nani! iwapo chake kitalipwa basi ujue hata cha karume atakilipia safi sana
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
Wanahabari mwigeni huyu mwanahabari mwenzenu aliyemwibua huyu bibi. Tumechoka siasa za uzandiki na unafiki. Hizi ndio story za kujenga ujasiri kwa wajukuu wa taifa hili. Hongera mwana habari. Hongera bibi waambie. Binadamu hana uhakika na analolifanya mwenye uhakika ni Mungu tu. Tukikoseana tuombe radhi tu.. Tujenge taifa la waungwana watu tunaopendana tusahau ya zamani tusibaguane.. Wabibi na wababu tulee taifa la waungwa.
@hajiboma1351
@hajiboma1351 2 жыл бұрын
Inshaallah mola atujaalie mushomwema
@user-ig6pg6oz9i
@user-ig6pg6oz9i 2 ай бұрын
Story nimeipenda nampenda maafurdhi comando wa ukweri stori taaaaaaaaaaaaamuuuuu kuliko
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 2 жыл бұрын
Wadhulumati wote watalipa siku la akhera tuuu, duniani Siasa chafu sana la Binadamu.....
@hamisholela2403
@hamisholela2403 2 жыл бұрын
Good speech
@alexedward4069
@alexedward4069 2 жыл бұрын
History nzuri tatizo msimuliaji anachanganya xana mihogo Na pilau kiswahili kiingereza sasa sijui Ni tumweleweje
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Alex,anatumia elimu yake kujieleza inavostahiki .Ameeleweka vizuri
@umbopaday
@umbopaday 2 жыл бұрын
Muulize baharia yoyote wa zamani walioshi Maputo au waliopita kuele.kea Africa ya kusini watakuelezea wema wa kanali mahfudh
@user-zr7on8ys1l
@user-zr7on8ys1l 4 ай бұрын
daaaa mam ume pitiy meng san Alhh ata kulip
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 2 жыл бұрын
This is History which past events
@mughairy6314
@mughairy6314 Жыл бұрын
👏🏼👏🏼👏🏼
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Жыл бұрын
Mbona habari hizi ni za upande mmoja. Ni vema zingejibiwa na upande unaolalamikiwa.
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 2 жыл бұрын
Wanamapinduzi watambuliwe zaidi kwa kuung’oa usultani, kuna vibaraka wengi walijitojeza baadae.
@kassimame3526
@kassimame3526 2 жыл бұрын
mama andika kitabu kabla mudawako haujafika nakuomba mama
@nassirali8342
@nassirali8342 Жыл бұрын
Story of the year 2022 very sad
@mohammednassor3081
@mohammednassor3081 2 жыл бұрын
Safi sana
@RichardLyamuya
@RichardLyamuya 2 ай бұрын
Why pumbavu ?
@hajiboma1351
@hajiboma1351 2 жыл бұрын
Ahste mama jidawi roho mbaya inawasumbua
@mamohamed1252
@mamohamed1252 2 ай бұрын
Bi Naila alikuwa mke wa Kanali Mahfoudh. Anajikomba kujiita mke wake kwani Walishaachana na Mahfoudh akaowa Msumbiji. Huko ameacha mtoto mmoja wakike.
@joycekingu1530
@joycekingu1530 2 жыл бұрын
Its so painful . Life has made you tough. We need to follow your example. Its hard without God. Mama kama hujaandika kitabu tafadhali fanya hivyo haraka sana. Ni hazina ya historia ya Tanzania na Africa. Mungu akutie nguvu.
@kalla4alex146
@kalla4alex146 2 жыл бұрын
Kwahiyo ulikuwa unasemaje ww maana history Yako haituelewi
@111dudi
@111dudi 2 жыл бұрын
Pole sana mama. Mazungumzo ya mama huyu hayana mpangilio kimuda (chronological order) tukafaham ujumbe wake ni nini. Anadai alikuwa mke wa canal, lakini kasema aliishi Kuwait,mara Marekani,mara England,mara Znz. Canal alifia Mozambique. Kama anadai alikuwa anamjua Nyerere kwanini asidai hotel yake. Ninavojua mimi, waliofungiwa bara walisalimika ,waliofungiwa znz waliuliwa (mahojiano na Aman Than). Kasema walifungwa miakan10,kuna mtu kamkosoa kuwa ni miaka 7.ipi ni sahihi? Kaniacha njiapanda
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 жыл бұрын
Bi Naila siyo anadai kuwa alikuwa mke wa Kanali. Ni kweli ni mke wa Kanali wa ndoa hasa na wamezaa watoto. Ulisema anadai ni kama unampora cheo chake cha mke. Hayo mengine ulisoma ni sawa.
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 жыл бұрын
Take positive and leave negative
@mahfudhmahfudh9195
@mahfudhmahfudh9195 2 жыл бұрын
So what is your point unasema hakumjua Kanal na hajamjua Mwalimu nyerere ??? Na kama kakosea 7 - 10 or 6 years in the time done in prison so ??? So what are you trying to justify that MUONGO OR WHAT ???
@aflizy3067
@aflizy3067 2 жыл бұрын
Nawewe unadai nin@?
@111dudi
@111dudi 2 жыл бұрын
@@aflizy3067 ni maoni sidai chochote, labda muulize huyo mama anadai nini?
@mataypanga5262
@mataypanga5262 5 ай бұрын
Yawezekana waliouawa walikuwa wasaliti.
@issakhamis6474
@issakhamis6474 2 жыл бұрын
Wamezoea kudhulum hawo
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Ali Mahfudh kafanya makosa lakini alikua akiamin socialists namipago mini yakuodosha hiyo serkali alipaga nanigekua hazikuchuliwa Zanzibar Tazania. Basi igekuabali kwa namna alivo ogonaz Ali Mahfudh.
@abdullaali8102
@abdullaali8102 2 жыл бұрын
Professor Abdulrahman M. Babu, was the Secretary General of MCF (Movement for Colonial Freedom) in the 50s in London; and the Chairman was Fenner Brockway a Labour Party Member of Parliament from Slough Bucks.
@abdullaali8102
@abdullaali8102 2 жыл бұрын
Ali Sultan who became Minister of Education in the 60s was Chief of Zanzibari Mission in Cairo in the 50s and worked hard to secure Scholarships for Zanzibaris from mostly Eastern Embassies in Egypt. He sent Ali Mahfoudh, Salim Ahmed, Moh'd Ali Foum, etc. to Havana
@abbiecox1
@abbiecox1 5 ай бұрын
but he was in mission to abolish black first dictator of zanzibar late Karume
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 2 жыл бұрын
Wanaadam ni wamoja wote ilamungu alipanga kila watu na sehemu yao.na mambo ubadilika pia waarab walisafiri umbali mkubwa sana kuitafuta neema maana huko pia ilikuwa hali tete wakati huo na baadae neema imekuja arabuni alhamdulillah.sasa msitambiane kwa mipango ya mungu ukakuta waarabuni tena wakarudi huku neema itapogeuka huku africa.yt ni sawa tu ila ukifika ugenini ht ukiishi miaka100 usije ukajisahau na kuhalalisha ni kwako haiwezekani.
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Bahiya,una agenda yako nyuma ya pazia.Watu ambao mababa na mababu wamezaliwa hapo,iweje wasijinasibu kuwa wao sio kwao? Unamaana wale wenzetu waliochukuliwa kama watumwa na kupelekwa marekani,vizazi vyao visijinasibu kuwa Marekani ni kwao?
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
🤔Mistakes were made but we can start a new leaf of history by discussion, understanding and reconciliation. We can’t avoid or forget the history but we can adjust the situation by forgiving each other. We need to know that the gem can not be polished without friction, nor man perfected without trials. Migongano haitoacha kutokea. Tuvumiliane, tusameheyane kwa kuzungumza. Bila ya mazungumzo hatutofikia makubaliano mazuri kwa maslahi ya wote🤔.
@abdullaali8102
@abdullaali8102 2 жыл бұрын
Kawaambie Wapemba waingiliwao majumbani na Masheha na Askari kwa Mabunduki usiku wa Manane kupigwa, kuibiwa Mali zao, kuporwa Simu zao na kulazimishwa watizame dada zao na mama zao na binti zao wakiingiliwa kwa nguvu. Uovu huu unaendelea mpaka kesho
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
@@abdullaali8102 Mzalendo mimi huwa nachangia maoni kutokana na mada. Sasa kusamehe au kutosamehe hilo ni chaguo la mtu kutokana na yaliyomfika.
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Vipi wtu wasamehe hawa kubwa samahani balikilasiku unasikia mapiduzi yaheshima .ikwa iwekamavo kitu yakwaza yakuodosha jina mapiduzi nakuta samahani twedeble.
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Vipi wtu wasamehe hawa kubwa samahani balikilasiku unasikia mapiduzi yaheshima .ikwa iwekamavo kitu yakwaza yakuodosha jina mapiduzi nakuta samahani twedeble.
@happyassan656
@happyassan656 2 жыл бұрын
I think Bi Naillah unapaswa kuandika kitabu.
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 2 жыл бұрын
Mbona msimuliaji yupo gizani haonekani?
@kidodim21
@kidodim21 2 жыл бұрын
Jee makosa ya Nani juu ya maelezo yote haya ? Jee juu ya maelezo yote Jee upande wa pili hauna hoja kupinga maelezo haya ? Au kuna sababu gani kushindwa kutoa majibu ya maelezo yote ya Naila Jidawi ?
@obillaezra6205
@obillaezra6205 2 жыл бұрын
Duh” Historia ya Zanzibar na vuguvugu zote ndani ya Zanzibar inabidi ipitiwe upya kuna mengi hayaelezwi Ndo maana mkanganyiko bado ni Mkubwa” Watoa Mchango ndani ya Zanzibar wengi hawazungumzwi”
@maryammuses6586
@maryammuses6586 2 жыл бұрын
Hakuna chakuelewa.Tunajuwa walochukuwa mabunduki wakatesa watu hata kuwauwa maranyengine
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d 2 жыл бұрын
Wewe unazungumza kizungu na kiswahili unajua kwanini huzungumzi kiswahili?
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 жыл бұрын
story
@websuperspy
@websuperspy 2 жыл бұрын
Nimeshangazwa sana kusikia watu kama Bavuai wanapongezwa baada ya kuuwa watu wasiyokuwa na hatia, na sio kwa kusingiziwa bali kwa ushahidi madhubuti. La Haula Wala Kuwata Ila Billah
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
Na hao waliouwa wenzao Na wao Mungu ameshawachukuwa wanakiona cha moto Kwa ukatili waliofanyia wenzao ,walifikiri wataishi milele
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
Hata Uarabuni weusi wanateswa na kuuawa kule. Na wauaji hupewa heshima. Hii ni Dunia imejaa mambo mengi ya maajabu
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301 Kwanini hamupendi kutaja wazungu Na matokeo Kila kukicha yanaoneshwa ya kuuwa watu wenye asili ya Africa Kwa mfano mauaji ya George floyd wa marekani , halafu munakaa Na kuwasingizia waarabu Na kuwasemea vibaya,then Hao hao ndio wanatusaidia
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
@@rastafare878 Walau wazungu wakiua weusi hata wazungu wenzao huandamana kulaani. Lakini ngoja waarabu waue ktk hizo nchi zao. Hakuna mwarabu wa kuandamana kulaani unyama huo.
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301 ndio tutajie hilo tukio la mtu kuuliwa huko arabuni , Na nini huyo aliyeuliwa Na kauliwa Nani , mumezoea kupaka matope nchi za kiarabu labda ni kwasababu ya udini hao hao ndio wanaokusaidieni Na misaada yao munaipokea mbiombio,
@khatibabass3106
@khatibabass3106 2 жыл бұрын
Mm hatakama utaniambia mapinduzi yalikua dhuluma na mauaji sawa lkn tukija kwenye waarabu na ubaguzi nijambo ambalo hata sasa yapo ,we ukiwa mweusi hata Leo nenda tu ukafanye negotiations na hao watu ndio utajua
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 жыл бұрын
Kwa hiyo na sasa CCM inavyowabagua katika kazi nao wale waarabu? Kila taasisi Zanzibar zimejaa "Waafrika" na ndo hao wanawakomesheni kuwabagua kila uchao. Kama huna gwanda la kijani huna ajira. Seif Idd mweusi tiiiii lakini alowafanyia Wazanzibari ana mabaya kuliko Mwarabu. Acheni ujinga fungueni macho nalishwa kasumba tu. Waarabu si malaika lkn chuki na sifa mbaya zinazidishwa na wazungu pia. Utasema wao wazungu wasafi kumbe watumwa wamejaa kwao. Ulaya na Marekani ubaguzi wa hali ya juu. Huko Tanganyika nako ndo wanaeneza sumu kuhusu waarabu. Utasema Wazungu ndo wa maana kumbe waliwatia minyororo shingoni. Wake up, open your mind. Mapinduzi ni dhulma yaliuwa watu Period. Hakuna cha kuyapamba. Mwarabu akiua na mwafrika akiua wote ni wahalifu na washenzi. Wala si kwamba mauwaji ya mwafrika ndo matamu kuliko ya mwarabu
@khatibabass3106
@khatibabass3106 2 жыл бұрын
@@malikajohnson8897 soma historia za nchi za kiarabu utaona mapinduzi yalivyo sababisha mauaji ya wao kwa wao soma Oman ,misri ,saudia ,aljeria utaona kwamba sio Zanzibar tu waarabu waliuliwa hata kwao ni. Asili yao kupinduana kwa kumwaga damu nakubaliana na we we hata wazungu niwashenzi tu na kwaufupi MTU mweupe popote alipo anamuona MTU mweusi mbwa, nyani, au MTU wa laana huo ndio ukweli
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 жыл бұрын
@@khatibabass3106 ndo nasema huyo mtu mweusi naye si msafi. Congo, hapa Tanzania na nchi za Afrika tunauwana wenyewe kwa wenyewe kwa uchu wa madaraka. Ninachosema kuwa hakuna msafi. Weusi kama Sefu nao wanauwa Weusi wenzao. Sisi Waafrika huwa tunanyooshea watu vidole na sisi tunafanya hayohayo. Uhalifu na mauwaji yanafanywa na kila asili. Waarabu unaowasema, Wazungu na hata sisi Waafrika. Tusijifanye wasafi
@hamisibura7781
@hamisibura7781 2 жыл бұрын
@@malikajohnson8897 wanaoua wachache wanafadhiliwa na Waarabu au Wazungu,hiyo mbona iko wazi.
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 жыл бұрын
@@hamisibura7781 Basi ukikubali kuuwa nduguyo kwa kushawishiwa na mgeni ujue wewe una tatizo. Kama wanakubali basi inaonyesha nafsi zao si wasafi. Hawana tofauti na hao unaosema wanawafadhili wauwe
@alijuma7882
@alijuma7882 2 жыл бұрын
Bi naila naona mambo yamemchanganya Anatuchanganyia kireno na kiingereza Hadithi za mapinduzi ni za mwamba ngoma huvutia upandewe ukweli unafichwa There are more questions than reliable answers
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 8 ай бұрын
Bibi general chief cheo gani jeshini?
@mombasa7
@mombasa7 2 жыл бұрын
Ukidhulumu Uta Dhulimiwa...
@fatmamohammed4821
@fatmamohammed4821 2 жыл бұрын
Wacheni kumuingilia anavyo ongea kwani humjui kiengereza nyie anaishi ungereza amezowea hivyo na kiswahili nilugha alitoka nayo Zanzibar shida nini sasa wivu tu
@user-fq3qh6nz3z
@user-fq3qh6nz3z 8 ай бұрын
Liveee
@alimohd8427
@alimohd8427 2 жыл бұрын
Kwa kua wewe hujuwi kiingereza nini?
@user-pf9cd6zj1g
@user-pf9cd6zj1g 2 жыл бұрын
Nyerere si adui mahfudh tu yeye alikua ni adui ya waislam
@salehaljadidi8206
@salehaljadidi8206 2 жыл бұрын
Karume kenge asili yake ni Mnyasa wa kutoka Malawi
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 Жыл бұрын
Karume ni shujaa wa Africa
@abdullaali8102
@abdullaali8102 2 жыл бұрын
We are the original people and we have every reason to stand up in the tallest mountains to proclaim who we are.” “We are beautiful, intelligent, sophisticated, highly adaptable and totally indestructible people - the Africans.” “Any other race that would have gone through what we’ve been subjected to would have been extinct and that’s the truth." Arikana Chihombori-Quao
@muzdalifatomar9712
@muzdalifatomar9712 2 жыл бұрын
Uibaguzi. Ulikuwapo. Wacha. Uongo. Kulikuwa. Na. Skuli. Za. Waarabu. Wahindi. Na. Wangazija. Na. Mji. Mkongwe. Waswahili. Walikuwa. Hawaruhusiwi. Kwenda. Isipokuwa. Watumishi b wa. Waarabu. Na. Wahindi na. Skuli. Za. Waafrika. Ilikuwa. Ngambo. Na. Kidongo. Chekundu.
@muzdalifatomar9712
@muzdalifatomar9712 2 жыл бұрын
Tumepewa. Historia. Hata. Bado. Vyama. Vingi. Kwanini. Waafrika. Hawakusoma.
@muzdalifatomar9712
@muzdalifatomar9712 2 жыл бұрын
Historia. Inaeleza. Kuwa. Waarabu. Hapa. Sio. Pao. Nyie. Ndio. Mliowanyanganya. Wazee. Wetu. Ardhi. Zao. Kwa. Kutumia. Hadaa.
@muzdalifatomar9712
@muzdalifatomar9712 2 жыл бұрын
Iangalie. Oman. Iliko. Na. Visiwa. Vya. Unguja. Inakuwaje. Hebu. Tujiulizeni.
@abdullaali8102
@abdullaali8102 2 жыл бұрын
@@muzdalifatomar9712 Elimu yaondoa UMASIKINI, Maradhi, UJINGA, Njaa, toka 1964 Muungano umewaletea neema tupu Watanzania hassa visiwani na kuwaondolea majanga yote haya; tuwashukuru Karume na Nyerere
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
Sasa km anataka kuongea Kiingereza si aende tu kule BBC!?
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 2 жыл бұрын
Inamaana kiengereza alokizungumza ni kikubwa na kinakukera kuliko dhulma, mauwaji, ubakaji, manyanyaso na vipigo tulovipata waislamu na wazanzibari? Damn
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
@@mohamedturanardan8871 Sijakuelewa unaongelea udini au Uzanzibari ?
@sultansallah4509
@sultansallah4509 2 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301 mm kinachonipa moyo ni kwamba hta wafanye vp visiwa havingoki vikaenda dodoma.. yuko wa nyerere
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
@@sultansallah4509 Wow!! Na pale moyo ukang'oka? !!
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301 nyinyi hamuelewi eti maana akili zenu zimeshatiwa unga wa muhogo ,kwani wale wasanii wa bongo wakihojiwa wanavyojitia kuongea kiengereza Huwa wanaongea Na BBC au Na watanganyika wenzenu
@hj9522
@hj9522 2 жыл бұрын
You have to have the courage to say that the revolution in Zanzibar was a mistake. Is the Zanzibar of today a better place than it was before Jan 11, 1964? It is sad to see the Zanzibar of today. The original culture which was a unique blend of all who were there then has been replaced by a deplorable one. Yes, it was not a perfect situation before but it was a million times better than the slavery to the tourism dollar, the intolerable version of Islam and the generally unsafe conditions that exist today. Zanzibaris need to be honest in admitting the truth.
@Nedjadist
@Nedjadist 2 ай бұрын
It so normal for those who enjoy the 'system' to think things were alright and everybody was happy!
@suleimanomar4693
@suleimanomar4693 2 жыл бұрын
ongea kiswahili au unasoma kitabu unatafsiri
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 2 жыл бұрын
Hujalazimishwa kusikiliza
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 2 жыл бұрын
Inamaana kiengereza alokizungumza ni kikubwa na kinakukera kuliko dhulma, mauwaji, ubakaji, manyanyaso na vipigo tulovipata waislamu na wazanzibari? Damn
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
@@mohamedturanardan8871 Kwani wewe umelazimishwa kumsoma mchangiaji kwenye ukurasa wake?
@sultansallah4509
@sultansallah4509 2 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301 waambie wizara ya elumu masomo.yote yasimwe kwa.kiswahili
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 2 жыл бұрын
@@sultansallah4509 Duhh upo sahihi maana hata Kiswahili chako tu ni mgogoro tupu😁😂😂😂😂
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 2 жыл бұрын
Unataka nini sasa. Pumbavu kwa huko OMAN fungua na joto
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 56 М.
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
8. Kuundwa Afro Shirazi Party, Zanzibar
14:24
MzeeBarwani
Рет қаралды 20 М.
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН