WALIOMUUA KARUME WALISOMA CUBA/ HUYU MZEE HUKAMATWA KILA MWAKA/ WAZAMIAJI ZANZIBAR HUSHTAKIWI

  Рет қаралды 33,648

ZamaradiTV

ZamaradiTV

6 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 102
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840 4 ай бұрын
mzee wetu anajua mengi sana na mamenifungua mengi hongera kwako black and White
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 5 ай бұрын
Huyu mzee Mungu amuweke anaifahamu sana Zanzibar kuliko viongozi waliopo sasa hawa ndio watu tunaowataka ktk uongozi
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 5 ай бұрын
😊
@ndalahwakulwa8758
@ndalahwakulwa8758 4 ай бұрын
John Okello ndio Ali ongeza Mapinduzi akisaidiwa na Tanganyika Karume alichomekwa na Tanganyika Ndio maana Tanganyika Tanganyika bado inaongoza na kuhakisha Jumbe Mwinyi waliwekwa kutawala
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 күн бұрын
KWA PESA ZAKE 😂😂HAKUIBA NA MENGI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAONGO WANAFIKI TAMAA HAKI KAILETA NA ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN.
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 5 ай бұрын
MV MAPINDUZI IHAIKUUNDWA CHINA NI JAPAN KTK KAMPUNI YA NIIGATA Engineering lkn umeme. Lift ya kwanza ILIKUA beiltjaib. Simu ikiwekwa pale Serena hotel.
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 Ай бұрын
Halaiki kwanza sisi tuliokuwa tunasoma Pemba tulifundishwa uwanja wa Ndugukitu anakumba Said 😂
@geraldgogadi7054
@geraldgogadi7054 5 ай бұрын
A nice interview, full information
@muddyausi8470
@muddyausi8470 3 ай бұрын
Nimeipenda hy hameni mabondeni na wanajibu kijeuri et mumejenga wenyewe kwenye mashamba ya mpunga
@eddyjabry6939
@eddyjabry6939 5 ай бұрын
Well done Mr.Miraji 🫡 nimefurahi sana.
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 2 ай бұрын
Lkn. Mimi mdogo mengine kakosea
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz Ай бұрын
Hatuwezi kujivunia mapinduzi kwasababu yalikuwa mauwaji ya wazanzibar kama alivyosema mzee Hashil anaomba radhi walihadaiwa
@user-pf6yw7vh1p
@user-pf6yw7vh1p 5 ай бұрын
Wahadimu sio wakusini maana ya hadimu ni huduma wahudumu ni watu kutoka bara waliokua wanatumwa mashambani 11:07
@georgemkira1720
@georgemkira1720 5 ай бұрын
Nimejifunza sana kuhusu zanzibar , mahojiano muhimu sana kwa vijana wa sasa
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 күн бұрын
😮😮
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 Ай бұрын
Gari za serikali SMZ
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 Ай бұрын
Said Miraji ambae nilisoma nae pamoja mwishoni mwa 70s mpka 81 kule kisawani Pemba
@karimdaud3993
@karimdaud3993 4 ай бұрын
Aquarium kubwa Africa ilikua fisheries .abayo wa bara wameivunja.chuo cha uvuvi 😅
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 Ай бұрын
Mchanganyiko wa watu hao ulowataja ukasahau kutoka Iran Ambao babu zetu ndio wametoka na kuingia Zanzibar tokea 1700
@wamisangi2801
@wamisangi2801 5 ай бұрын
Kenya hamna Bora kuna Batta. Bora ya Mwl JKN.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 4 ай бұрын
Ndugu nimekukubali, ingawa ni mbara lakini nilikuja Unguja nikiwa na miaka 13, 1969 Disemba 29, lakini nimeikuta Zanzibar iko bado na moto wa mapinduzi, Abeid A.Karume akisema CURFEW wote mnajifugia ndani siku kadhaa isipokuwa jeshi, polisi na mgambo wanatamba nchi nzima, ilikuwa raha kweli kweli.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 4 ай бұрын
Viatu vya raba Bora Tanzania na raba Bata na raba za China.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 4 ай бұрын
Nimecheza halaiki nyingi za mapinduzi Zanzibar tangu 1970
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 5 ай бұрын
Television ya rangi ya kwanza Afrika
@mamohamed1252
@mamohamed1252 5 ай бұрын
Waliomuuwa Karume hawakusoma Cuba. Kwa taarifa yako kwa mfano Humudi alipata mafunzo ya kijeshi Urusi. Fanya utafiti wa kina tusipoteshe.
@humphreychristopher8577
@humphreychristopher8577 5 ай бұрын
Kusoma Cuba na Russia si tofauti kwa kuwa nchi zote mbili hizo za kikomunist zilizalisha makomredi wenye mtazamo komavu na angavu😊
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 3 ай бұрын
Ndugu unamrekebisha mtu aliyekuepo wakati ule
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 3 ай бұрын
Kuna mambo mengine nmejifunza leo juu ya kifo cha Mzee Karume, haya mambo sikuwahi kuyasikia kabisa kabisa
@siasia5469
@siasia5469 6 ай бұрын
"Alikuwa Baharia Original "
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 4 ай бұрын
Haya hayakuwa Mapinduzi yalikuwa ni mauwaji yaliyopangwa Kwa makusudi kuwauwa Watu na akisaidiwa Na Laana tu Allah Mungu ampe adhabu Kali huko aliko kaburi limbane Sana Kafiri la Kitanganyika.
@fanityubumedia
@fanityubumedia 5 ай бұрын
Duh Zamaradi umempa nini jamaa Kutoka Dar24
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Ай бұрын
Yupo vizuri sana somo yangu huyu
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Ай бұрын
Dar 24 wana watu sana hata maalim Kondo(Shaban Kondo) yupo vzr sana.
@salmaabdu5011
@salmaabdu5011 5 ай бұрын
Mr x ndie aliemuuwa karume na ndie alieuwa wazanzibari 12/1/1964 akaweka ukoloni wa kitanganyika laana tullah Nyerere
@machaliakulima76
@machaliakulima76 4 ай бұрын
Waliomuua AAKarume ni makomred chini ya uongozi wa Abdulrahman Babu si Nyerere
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 4 ай бұрын
@@machaliakulima76 Watu wanajua lakini wanaogopa kusema tu kuwa kifo kibaya cha Karume Mwalimu alihusika. Mwalimu alikuwa na wasiwasi kuwa hurnda siku moja karume akaitoa Zanzibar katika mungano.
@sammarley1413
@sammarley1413 4 ай бұрын
​@abdifaraji2883 nyerere alikua adui mbaya sana kwa jamii yawaislam mapinduzi yanzanzibar ndie Alie yapanga nakuuwa waislam wengi kwa kisingizio cakuwapindua eti watu weupe Masikitiko makubwa baadhi yawaislam wakashiriki kuwauwa waislam wenzao. Nyerere alikula njama na wakoloni waingereza nahivyo wakakubaliana kuleta wanajeshi wa Kenya kuja kufanya mauwaji na Zama hizo hizo ndio ikapacikwa Mombasa kwenye ardhi ya Kenya Mombasa sio Kenya . Lengo kuu ilikua kuangamiza uislam mwambao wa bahari Hindi. Nabada ya hapo ikaletwa hila ya vita vya kagera ili kumuondoa pia Id amin dada. Yote haya yalifanyika kwa sirikubwa namasikitiko Hadi Leo waislam wa Tanzania wapo bado tu kwenye ujinga hawataki kujua ukweli Bali wao nikukaririshwa tu
@user-nv9to8cq6d
@user-nv9to8cq6d 3 ай бұрын
Mjinga mpe cheo, wewe ni kubwa jinga
@salmaabdu5011
@salmaabdu5011 3 ай бұрын
@@machaliakulima76 wazanzibari si wajinga kama wewe msione tunanyamaza ila hakuna tusokijuwa nyerere ndio alowatuma na akapanga njama
@saqrymo379
@saqrymo379 3 ай бұрын
Sheikh umesema mengi mazuri lakini mengi hukuyasema ya ubaya. Labda watu Unguja walikuwa na raha. Pemba tulisumbuka sana hasa 1969 - 1972. Njaa ilitupiga vibaya sana mpaka hata vilimo haviwi. Yakaja maduka ya ukoo tukiletewa sembe manjano mafunza watupu. Wapanga foleni ukifika mlangoni unaambiwa limekwisha. Karafuu ilikuwa haina faida mwisho wakaja serikali kuikata ili waPemba wazidi kufa njaa. Wakata mikarafuu kupanda raba na iliki. Iliki haikuwa. Tukaanza kufanya magendo ya kuuza karafuu Mombasa na Tanga ill tupate kula. Akaja Mh Rais Karume, Mtabwe Daya akasema nyie ndio munafanya magendo atakae kamatwa atapigwa risasi. Watu wakipigwa ovyo na watu walowekwa kwenye ubalozi wa nyumba kumi kumi. Ah inatosha Pemba tulipata adhabu sana mpaka leo. 😢😢
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey 4 ай бұрын
BABA HUMUD ALIMUUA. MUGHERI KWA AJILI KUWATETEA WATU WEUSI YOTE UONGO NA HAKUPEWA ADHABU YOYOTE NA YEYE AKAPEWA HUKUMU YA KIFO
@selemanshayo7126
@selemanshayo7126 2 ай бұрын
Nimemuelewa san mzee miraji ni mpinzani ila anaongea kweli
@abdisalim7900
@abdisalim7900 5 ай бұрын
Sk,Said Miraj umeekeza historia nzr kwa faida ya vijana wetu.Mungu akubarili sn!!
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 4 ай бұрын
Haijui vizuri historia ya Zanzibar na Maponduzi yake. Vijana waliokuwa katika Police Mobile Force wanayajua vizuri, kwani walikwisha pata habari miezi 2 kabla hayajatokea, lakini walinyimwa silaha na maofisa Wazungu, na wengi wao wakapewa ruhusa ya kwenda kulala majumbani kwao siku ya mapinduzi, yaani late pass.
@mikiothman103
@mikiothman103 5 ай бұрын
darajani canal imefukiwa 1932 na treni ya znz ilianza 1905 na safari yake ilianzia ngome kongwe ama forodhani na kuishia bububu namueka sawa kidogo.
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 5 ай бұрын
NI MAVAMIZI NA SIO MAPINDUZI.
@khatibabass3106
@khatibabass3106 5 ай бұрын
Ulikuepo?
@kassimhaji3238
@kassimhaji3238 5 ай бұрын
Aliyemuuwa rais KARUME ni mr X ambapo hadi leo haijawekwa wazi huyu mr X ni nani
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty 5 ай бұрын
Saidi miraji siasa vp umerud tna
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 Ай бұрын
Ni propaganda za kudanganya hasa wenzetu wa Tanganyika Said ndugu yangu hapa nakuonga mkono kuwazibua viziwi
@alijuma7882
@alijuma7882 5 ай бұрын
Tartan ilikuwa baadae sio wakati wa karume
@victorjeremiah246
@victorjeremiah246 5 ай бұрын
Aliyemuua Bado anaishi au keshatangulia mbere ya HAKI?
@machaliakulima76
@machaliakulima76 4 ай бұрын
Kauliwa siku hiyo hiyo 07.04.1972 pale pale Makao Makuu ya ASP Ijumaa saa 11 jioni, Capt Ali Humoud ndo alomuua AA Karume. Humoud aliuliwa na dreva wa AA Karume
@cosmasmilanzi7117
@cosmasmilanzi7117 5 ай бұрын
Huyu mtu anaijua vema Zanzibar
@machaliakulima76
@machaliakulima76 4 ай бұрын
Sana tu anajua sana lakini mengine kabania bania
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 Ай бұрын
Na wewe Said wakati tunasoma ulikuwa kiongozi wetu
@shahidmaftouh1141
@shahidmaftouh1141 4 ай бұрын
1976 halaiki iliyo shinda ni usalama ❤kutoka wete, ukombozi chake chake 😂
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 2 ай бұрын
Halaiki ya usalama na ukombozi PIA zilikuwspo Zbar
@machaliakulima76
@machaliakulima76 4 ай бұрын
Kwa kifupi kajitahidi kuelezea Zanzibar kuanzia mapinduzi, kaeleza kwa hamasa na fasihi
@nassorsubah3100
@nassorsubah3100 4 ай бұрын
Sio wote wazanzibar
@salma_6j975
@salma_6j975 5 ай бұрын
Majina ya miraji tunakuwaga na akili sana
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 3 ай бұрын
Nkuulize swali hivi muhammad Shamte sio mzawa na kazaliwa chambani Pemba.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 4 ай бұрын
Viatu vya Kenya ni Bata,sio Bora,Bora ilikuja baada ya kutaifishwa Bata. Bora imekufa,Bata bado ipo na ubora wake upo palepale.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 ай бұрын
cha kushangaza yani nchi yetu hii kila mzee wa miaka hiyo ana sema maisha yalikuwa bora kenye uongozi wa zamani ila sio sasahivi basi tume logwa ama kweli
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 5 ай бұрын
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio ulioiharibu Zanzibar bro Muungano ndio kirusi cha Zanzibar kutokukuendelea
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 5 ай бұрын
Karume alianzisha TV ya Rangi ya Zanzibar ya mwanzo Afrika.
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 6 ай бұрын
Naomba namba zake
@alijuma7882
@alijuma7882 5 ай бұрын
Maneno mengine anayosema ya uwongo Kupata passport utawala wa karume ilikuwa kama unataka kwenda sayari ya mars
@stanastana3199
@stanastana3199 4 ай бұрын
Mnona zanzibar isewe nchi kivyake
@hafidhali3020
@hafidhali3020 4 ай бұрын
Si wengi waliofurahi na mauwaji ya kimbari yayofanywa na wakoloni weusi
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 5 ай бұрын
Wakati wa ujenzi wa Hoteli ya Bwawani Karume hushika Sururu asubuhi na wafanyakazi.
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 4 ай бұрын
OKELO KUTOKA UGANDA NDIE ALIYEONGOZA MAPINDUZI, KARUME ALIKUWA TANGANYIKA AKIPAKWA HINA ZA MIGUU NA MIKONO, ACHENI KUDANGANYA WATU!
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 5 ай бұрын
Yani hatokei kama karume kwa kweli 😢😢😢 mola amlaze pma peponi
@stanastana3199
@stanastana3199 5 ай бұрын
Jamaa alitoka dar 24 au?
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 5 ай бұрын
Treni imeanza Bububu SIO mwembe makumbi Bububu mpaka shangani
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 4 ай бұрын
Mtafute jusa...huyo msanii tu...
@mbogelabairo4722
@mbogelabairo4722 5 ай бұрын
Hakika kunavitu ukisikia na kuambiwa kichwa kinakuuma sana. Zanzibar ilikuwa mbele sana sana Nadhan viungozi na siasa imekuwa changamoto ktk maendeleo
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 5 ай бұрын
Yani Acha tuu 😢
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
😮😮
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 5 ай бұрын
Siasa inatuvuruga
@maomacatta9770
@maomacatta9770 5 ай бұрын
Viatu Bora sio kutoka Kenya ilikuwa kiwanda cha serikali ya Tanzania Bara Pugu Road
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 5 ай бұрын
MV Mapinduzi imeundwa Uchina au Japani ?
@omarmsuya2459
@omarmsuya2459 4 ай бұрын
Japan
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 4 ай бұрын
Huyu jamaa muongo anaongea nn kama anaogopa kusema ukweli
@user-sq5mb2gd6x
@user-sq5mb2gd6x 5 ай бұрын
Unaijuajeehistoria ya mapinduzi wewe kumbe ulikuwa atahaujazaliwa.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 5 ай бұрын
Kwa kweli inauma unasema kweli mzee kama nayaona uongeayo mana tulikuwa wadogo lakin tulishuhudiyq bibi zetu wakifanya kazi humo mote
@abdulhalimjuma7786
@abdulhalimjuma7786 4 ай бұрын
Huyu anatafuta mchongo
@alikashmir2983
@alikashmir2983 4 ай бұрын
,,,,,,,,
@user-sq5mb2gd6x
@user-sq5mb2gd6x 5 ай бұрын
Wewe mzee ukweli bado hujasema kifo cha mzee karume.
@badruabdalla5301
@badruabdalla5301 4 ай бұрын
Hajui anachokisema
@humphreygodfrey5400
@humphreygodfrey5400 4 ай бұрын
Zanzibar ni Tanzania 🇹🇿 hao watu unaowasema ni Waarabu,wahindi, wa Iran nk hao wote ni foreigners, Zanzibar, Pemba nk hii ni Tanzania 🇹🇿 hakuna kitu kinachoitwa wazanzibar, wapemba.
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 4 ай бұрын
Zanzibar ipo na itakuwepo. wazanzibari wapo na wataendelea kuwepo. Kama hutaki rudi kwenu Tanganyika
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 ай бұрын
karume na nyerere ndio walikua viongozi kweli bwana saahivi hakuna viongozi
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 5 ай бұрын
Nyerere alikuwa mtawala, Karume alikuwa Kiongozi baye Watawala walikuwa hawampendi, wakiogopa asije kuvunja Mungano aliolazmishwa kuingia.
@karimdaud3993
@karimdaud3993 4 ай бұрын
Hata samia na hussein . Ndio maendeleo yanafufuka sasa mola awaweke AMEEN
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 5 ай бұрын
Karume kauliwa kwa sababu alitaka kuuvunja muungano
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 5 ай бұрын
That's it
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 5 ай бұрын
Si kweli
@iddiyrashid1682
@iddiyrashid1682 5 ай бұрын
Sasa imekuwa nyuma kama mkiya
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 87 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 8 М.
SIMULIZI YA UKWELI: KUTOKA KOMANDO WA JESHI HADI MUUZA SAA
9:48
Bin Nyange Media
Рет қаралды 33 М.
Hadithi ya makandokando kwenye mjadala wa DP World| GG Podcast
53:49
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 23 М.
Зря они облили полицейскую водой...😂
0:25
Какая Милота ❤️
0:10
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 5 МЛН
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 1,6 МЛН
БЕЛКА ПЕРЕПУТАЛА ТАРЕЛКИ #юмор #cat #топ #cats
0:13
Слепой парень помог раскрыть тайну 😱
0:45
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 1,5 МЛН