Nmekuelewa zitto ..nakupenda sana nondo mungu akuvushe na amlipe kila mmoja sawa na matendo yake
@vandan4536 жыл бұрын
Huo ndiyo uongozi tunao uhitaji big up kwakusimama kutetea haki #zitto
@pigapesa10136 жыл бұрын
Good idea zitto kabwe..!
@hansbiko25006 жыл бұрын
Big up mbunge wetu Tupo nyuma yako
@neemaswai83846 жыл бұрын
Safi sana Mh.Zito,mpeleke na weka mambo yote wazi
@wilbroadsiyonga58896 жыл бұрын
Waitangazie uhuru kigoma kama sio tanzania!
@princenelsonsinko52373 жыл бұрын
Safi sana zitto
@jumajaffary96986 жыл бұрын
Ili iwe haki isiishie kwa huyo kijana Nondo tuu kila mtu wa kigoma , Arusha , kagera , Mtwara wapeleke vyeti vya kuzaliwa vya babu zao na bibi zao maana wako mpakani ...Haipendezi kwanini tumefikia hapa , ukimuonea huyu kijana mnapata nini ? Kila mkihutubia mnaanza na kumtaja Mungu ..Mungu yupi ? Kwa sababu mungu anapinga dhuluma na hujma , muogopeni Allah
@khalidunited59786 жыл бұрын
safi mh zito wanataka kutuletea upuuzi kwani mtu kuzaliwa kigoma imekua ndosababu chuki binfsi ninaiman nahili watashindwa kisa namkasa kijana wawatu anamsimamo allha karem atakusimamia songa mbele sio kila mtu anaabudu miungu watu
@amanrashid99936 жыл бұрын
Mlimtuma kakosea mashart sasa yanawatokea puani
@rayanalhabsi80296 жыл бұрын
mimi natoa maoni yangu tanzania sasaivi umekua mtihani paspot tukitaka kubadilisha tunambiwa tuwe na chet cha kuzaliwa cha baba na mama ndio tupate paspot kwahiyo wengine wazazi wetu awana cheti cha kuzaliwa
@rayanalhabsi80296 жыл бұрын
awana chet cha kuzaliwa wangefanya utaratibu wakupeleka kadi ya kupigia kula ingepata kutusaidia maana wengine hatuna hivyo vyeti sisi tz lakini tunapewa mikakati migumu
@Tiffany3406 жыл бұрын
mpeleke tu zwazwaa mwenzio
@RomwardWM6 жыл бұрын
Verry nice
@santyhassan41866 жыл бұрын
Aisee hata aibu hamna? Duh!
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
sio nondo pekee kila MTU Tanzania inabid apelekwe kwenye uhamiaji achunguzwa
@shabanmtasha95586 жыл бұрын
Zito sasa kawa zwazwa
@yusuphmruma17714 жыл бұрын
Kweli hii serekali haina haki ata kidogo leo mtanzania sio mtanzania kwakuatu anaipinga serekali wakati unaweza ukakuta hao ndosio watanzania ndomaana hawana roo zakitanzania
@salmadashlaquimanelaquiman44276 жыл бұрын
Unatafuta kkkk una jipya kka mkubwa mmeishiwa sela mmekua na sela za matukio ssa kikitokea k2 ndio mpate Cha kuongea polen sana msha poteana ssa
@deuscr18436 жыл бұрын
😂😂😂huyu angekua mchagga lazima ungesikia ni mkenya
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
wachaga ,wamasai ,wakuliya irijino yao Kenya ,wahaya Uganda,wamakonde msumbij ,kwa nn watu wa kigoma tu?waha tuamken tujivue utumwa tuwe huru ,tutadhalilishwa ivi mpka lini
Badala ya kusoma na kujua kilichokupeleka chuo unaenda kuangaika na siasa halafu kwa bahati mbaya siasa zenyewe huziwezi. Ni aibu sana kidato cha I hadi cha VI halafu umefika chuo bado hujui unachokitaka
@khalidunited59786 жыл бұрын
Emmanuel Kavishe hayakuhusa
@officialkamdudu6 жыл бұрын
Mi hua nawambia watu unaweza ukamaliza madarasa yote ila bado ukawa huna akili. Ndio ya huyu Nondo.
@khalidunited59786 жыл бұрын
Official Kamdudu kama wewe ulivyo jinga unadhani kila mtu anaakili kama zako
@diniyangu74156 жыл бұрын
Emmanuel Kavishe Usicoment mpaka mtu akajua unatumika.... Cc tuliopita chuo ndo tunajua vigezo vya kumchagua kiongozi wa wanafunzi ni lazima awe na sifa Kama za nondo na wengine cwataji.... Ulitaka asiongee juu ya hali tete mpka kifo kutokea... Nyie ndo wale tunaunga mkono hoja tunajua mko wengi humu mnatumika kudiscourage comment za mitandao ili tuone ni sawa haki kufichwa.... Ludi English course labda utaelewa
@aichaabdul58446 жыл бұрын
Dini Yangu,-------- unavyosema "nirudi English course labda ndio nitaelewa" unamaanisha nini kaka. Ningeomba tuwasiliane zaidi kama itawezekana.
@olaislogiru27786 жыл бұрын
Duu hii ndo Tz
@sayoclassicsayoclassic77596 жыл бұрын
Hivii kwani kigoma iko Tz au iko sauzi mbona sielewi jaman mmhm
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
kigoma ili tuwe huru tuacha kuambiwa sio RAIA wa Tanzania ,inabidi kutafta Uhuru wetu ikibid hata kwakumwaga damu
@KADALAtv2556 жыл бұрын
Nchi ina vituko hii
@deogratiashaule52246 жыл бұрын
Awe mwangalifu watamtumia kutafuta kick mwisho wa siku ataachwa peke yake.
@asiazuberi97226 жыл бұрын
Nendeni mkajue mbivu na mbichi
@jumanguru6706 жыл бұрын
Huyo mondo baadae atakua MTU mkubwa sn!!
@abbysaad7476 жыл бұрын
Watu wa Kigoma tuliopo Dsm tunajua Mbunge wetu yupo Kigoma Ujiji anawatumikia wananchi kwenye Jimbo lenye Halmashauri zilizopata hati chafu ya ukaguzi wa mahesabu, Nenda Kigoma kajenge mji kwa ustawi wa Kigoma yetu Brother. .
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
zito tangaza lolote watu wa kigoma tupo tayari make wamezid kutubagua hao mbwa
@bkdbkd86836 жыл бұрын
mbona ukiwa mtu unasema ukweli unazushiwa sio mtanzania duuu mm napita tuu
@brightonfils18356 жыл бұрын
Anatafutia ugali famia yake zitto,sote tunajua sia ni uongo mtupu tena mchezo mchafu
@jonaselias77296 жыл бұрын
kukosa hekima sio tuu kuvua nguo hadharani hamjaambiawa Nondo sio mtanzania rasmi ila tuu nisababu za kiuchunguzi...na baada ya hapo hatua zingine zingefuata kwanini msingesubiri mpaka mwisho muone dhamira zao ndio muanze kelele zenu za kichawi....????
@eliphaziamon87946 жыл бұрын
Jonas Elias kwanin achunguzwe yy tu wakat wa Tanzania weng
@sir.josephmbeya70176 жыл бұрын
Jonas Elias Dhamira chafuuuuuu imekwisha onekanaaa, kama walimpa mikopo chuo iweje leo kuhoji uraia wakee?
@officialkamdudu6 жыл бұрын
Pumbavu wanasiasa wamemponza kijana wa watu kakosa masomo. Haya msaidieni arudi shule sasa
@khalidunited59786 жыл бұрын
Official Kamdudu wewe sio mtu nimdudu kama jina lako hilo neno la zwazwa umeliiga kutoka kwa msomi mh zito
@officialkamdudu6 жыл бұрын
Khalid United zwazwa ndio nn ?
@hashimumkunda34826 жыл бұрын
Leo kapata tuzo. mtasemaje wajinga?
@shabanikibana42796 жыл бұрын
Psmoja zitto wewe ndio unafaa kuwa rais maana unasfa zote za urais busara, mzalendo, siasa zako zakistaarabu, umesoma vizuri una maono nk ila kwavile watanzania wengi wanafuata mkumbo wa uchama badala yakumchagua kiongozi anaefaa km wewe nk lakn ipo cku itafika zamu yenu tu mnafanya mambo makubwa sana wapinzani wetu mpaka ccm tunalijua hilo sema roho mbaya zetu tu
@adolfkambala18756 жыл бұрын
hivi uhamiaji hawana kazi za kufanya,sasa km sio mtanzania ni raianwa wapi?kweli damu ya akwelina inamlilia mungu itafahamika tu,mara mbunge hoi,mara viongozi wa chadema ndani segedansi,mara iringa mara abdul dar,mara sio raia,mara kafikuzwa shule,damu nzito kuliko maji
@ccmchadema81076 жыл бұрын
nyie nnao mlaumu nondo kosa lake nn mjuwe bila akwilin akwelina kupigwa lisasi aya yote nondo yasinge mkuta au alivyo sema kamanda na wazilii usika ajiuzuru cyo fea mungu awalaaani yote mnao mwangaisha uyu kijana wa watu