Zitto Kabwe afunguka Bungeni “Mnatunga sheria za kuwanyonga wenyewe?”

  Рет қаралды 77,674

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Zitto Kabwe amekosoa mapendekezo ya Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 uliowasilishwa Bungeni leo January 29, 2019 na Serikali na kwamba vipengele vingi vilivyomo ndani vitakuja kuwaumiza hata hao wanaoipendekeza sasa.

Пікірлер: 141
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
Yaan kama unamkubali zitto kabwe acha majungu gonga like yako hapa
@aminamauhfoda9201
@aminamauhfoda9201 5 жыл бұрын
Hi serikali inamambo ya ajabu
@sabraham5308
@sabraham5308 5 жыл бұрын
Zitto ni moja ya hazina ya nchi hii,Serikali itambue hilo,tena imuenzi,hii ni lulu ya nchi,watu kama hawa katika nchi zilizo endelea,wanaenziwa,nasema haya nikiwa mimi si mwanasiasa,na si mpenzi wa chama chochote,ni mzalendo tu wa taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Saad Mohammed mbona husemi ruzuku inavyoliwa
@sabraham5308
@sabraham5308 5 жыл бұрын
Imma kama unataka mafanikio yako binafsi,basi tizama makosa yako,bila ya kujipendelea,kwani ikiwa utajipendelea bila kutizama uhalisia,siku zote ukijipendele utatengeneza matatizo ama mapya au ya zamani kwa kuyarudia,na yatakuathiri wewe mwenyewe kizazi chako cha sasa au kijacho,uungwana na hekima na kutendeana haki,ni baraka M Mungu,narudia tena kwa kusema sina upendeleo,binaadamu sote hatuko sawa,aliyoyazungumza zitto,ni maneno yenye uzalendo,yaliyokosa chuki,na yana kila dalili ya kulitakia mema taifa hili,Mungu ibariki Tanzania.
@johnisrael1968
@johnisrael1968 5 жыл бұрын
Saad Mohammed wewe unajielewa huo ndo ukweli
@thebaqiyyatullahionlinetv853
@thebaqiyyatullahionlinetv853 5 жыл бұрын
Nakusikiliza MH: Zitto kabwe, nakumbuka kauli ya Kabudi kua sio kila alie bungeni ni mwanasiasa, ila wewe ni mbunge mwanasiasa mkomavu unaakili Sana, unalipenda taifa lako mie ni mwana ccm kindakindaki ila nakupongeza Sana katika hili
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 жыл бұрын
Mungu amsaidie tuu!!
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
thebaqiyyatullahi Online TV Wewe ni mwendawazimu ndio maana unamwogopa mjinga
@karimujuma7784
@karimujuma7784 5 жыл бұрын
Mbatia ,nape,bashe,katani ,zito mdee ,bulaya mungu awape nguvu zaid
@mohamedshabani2263
@mohamedshabani2263 5 жыл бұрын
spika dungai anamkubali sana zito kabwa nandomaana keherehere mumoja anataka kutupotosha katikati ya mda nzuri akamugomeya big up sana spika.
@daudikassimu4574
@daudikassimu4574 5 жыл бұрын
AKILI KUBWA☝👏 ZZK hakika wew ni mbunge wa tanzania nzima..
@ndaukanjello5274
@ndaukanjello5274 5 жыл бұрын
Mimi ni mwana ccm Ila kwa mswada huu usiungi mkono kwasababu tunaonekana km atujiamini maana inaonekana vinalengwa vyama vya upinzani sasa siyo poa.
@elphickdesamuel4914
@elphickdesamuel4914 5 жыл бұрын
Nimekuheshimu,,Nzi akituria kaka anatengeneza asali
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Ndauka Njello unadanganya wewe hana mwana Ccm mjinga
@nurumvungi2210
@nurumvungi2210 5 жыл бұрын
Kama ulichosema kimetoka moyoni basi wewe ni mzalendo...maana tusijitetee kwa vyama vyetu wakati tunaiangusha nchi...ni ujinga...na muswada huu ni hatari kwa vizazi vijavyo..
@samwelstanley261
@samwelstanley261 5 жыл бұрын
Kati ya vichwa makini ambavyo sijawahi kuvichoka hata siku moja ni hichi😎
@wastambuli8039
@wastambuli8039 5 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana usiojali itikadi
@erastomajaliwa7629
@erastomajaliwa7629 5 жыл бұрын
Wasio kuelewa Zitto wenye erimu kama yangu ila wenye uwelewa wanakwelawa bilashaka
@nestoryabdallah8144
@nestoryabdallah8144 5 жыл бұрын
Saf sana
@msyangirichard8309
@msyangirichard8309 5 жыл бұрын
Erasto majaliwa unaambiwa msajili anapewa mamlaka ya kukifta chama chochote kwa mawazo yake wakati katika nchi ambazo mswaada huo umekopiwa wao wana tribunal ambapo itakuwepo kamati ya kuchungza ili kujiridhisha na maazimio ya msajili juu ya chama husika na itaunga mkono au kushauri vinginevyo sasa naamin umeelewa
@hajimakarabai4700
@hajimakarabai4700 5 жыл бұрын
Dar yani we jamaaa unaakili nyingi sana upo vizur
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 5 жыл бұрын
Wamechanganikiwa CCM hawapo kabisa na hivi sasa wanaumbuka hawana cha msingi wamegonga, Bundi limewaganda hawajuwi wapi pa kuingilia na wapiu pakutokea.
@samsonmwankosole375
@samsonmwankosole375 5 жыл бұрын
Asante Zitto Kabwe
@NajmahassanMunezero
@NajmahassanMunezero 5 жыл бұрын
ALLAH Akubariki na Akulinde jembe langu nakukubali sana maana wewe ni mbuge mfano Tanzania nzima badae tutasikia Mazwazwa tanaitisha waandishi wa habari ili kukuchafua na kuhoji uraia wako
@jubilatesamweli2874
@jubilatesamweli2874 5 жыл бұрын
Hawawezi elewa kaka haya ni mambo yenye impact mbaya sana kwa Watz baadae!!!
@ezapesambili2902
@ezapesambili2902 5 жыл бұрын
Machine ya kigoma hiyoooo
@origenlutego6222
@origenlutego6222 5 жыл бұрын
Hakika ubarikiwe sn kwa mchango wenye akili
@ngalawekikohingalawekikohi4768
@ngalawekikohingalawekikohi4768 5 жыл бұрын
Point zto unazungumz lakn mm ninajiuliza iv bila upinzani kweli hii nchi ingekua nahali gan mnao ukataa upinzan mkapimwe mkojo
@mrambajulius7819
@mrambajulius7819 5 жыл бұрын
Mimi niseme tu tukikaa na CCM bila kuwa na wapinzani tutafanywa watumwa. Kila kitu kitakufa ikiwepo elimu, Afya, Viwanda, Kilimo nk. CCM wabunge wake ni Mazuzu kabisa. Wakishapata mishahara yao kila kitu ndiyooooooo.
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
ngalawekikohi ngalawekikohi Wewe hujui hata ulichochangia zaid ya kumsifia mhalifu zitto. Mbona na hamsemi namna wanavyokula ruzuku
@paschalnghomba4671
@paschalnghomba4671 5 жыл бұрын
ngalawekikohi ngalawekikohi Upo sahihi sana
@enockbutane6388
@enockbutane6388 5 жыл бұрын
Exactly
@bungainnosent9061
@bungainnosent9061 4 жыл бұрын
@@mrambajulius7819 hilokweri hata mimi naungana na wewe kwamfano wanachokifanya kwa zito sio kwer anachosema zitto ni chakwer mh supika wa bunge asiweke fitina kwa zitto??
@mussakizingiti3552
@mussakizingiti3552 5 жыл бұрын
zitto ni kama mwalim kashasha abakie hivyohivyo kwenye uchambuzi siku wakimpa timu anaharibu kila kitu😂😂
@philiposam6684
@philiposam6684 5 жыл бұрын
Zito akili zako zinachaji sana na point zenye weredi wa hali ya juu sana asie kuerewa basi.
@smstore5535
@smstore5535 5 жыл бұрын
bright person
@BenCheck-jx9lo
@BenCheck-jx9lo 5 жыл бұрын
Safi sana Speaker
@alwysalehmohamedalammary3507
@alwysalehmohamedalammary3507 5 жыл бұрын
GOOD POINT ZITTO....
@elinazasendoro9951
@elinazasendoro9951 5 жыл бұрын
Napenda kuwa opposition leader cos unakuwa na uhuru wa mawazo. Akili kubwa
@mtumwasamaki6911
@mtumwasamaki6911 5 жыл бұрын
elinaza sendoro aq1a1qqaaaaaqqa*
@kamagetakama441
@kamagetakama441 5 жыл бұрын
safi sana mh spika
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 5 жыл бұрын
salute Mh. unatufundisha
@paschalnghomba4671
@paschalnghomba4671 5 жыл бұрын
Mh. Zitto mbona unaonge vtu vng vya maana lkn Serikali ya CCM hata hawashituki???? Hakka Chumvi,,Khanga,,,Kofia,,na Tisheti wanazohongwa RAIA wenye uelewa mdogo vitatudidimiza
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
Msajili wa ccm,upinzani mkimkubali mmekwisha
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 5 жыл бұрын
Huyu anafaa kuwa rais
@calvinmorgan66
@calvinmorgan66 5 жыл бұрын
Shukran Zizu
@emmanuelemith3567
@emmanuelemith3567 5 жыл бұрын
DAH AMA KWELI UNAUSHARI NZURI MATEKELEZO TU
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani ni wazuri pia spika katulia vizuri sasa miongozo ya kijinga tupa kule
@amanihamidu9213
@amanihamidu9213 4 жыл бұрын
Zitto kabeba vyama vyote ♥️♥️♥️
@bakarijumabakarijuma946
@bakarijumabakarijuma946 5 жыл бұрын
Zitto anatisha bwana
@bonfasmtafyatumuombeemungu5959
@bonfasmtafyatumuombeemungu5959 5 жыл бұрын
Mweshimiwa zito tumekuelewa sana
@geraldemmanuel210
@geraldemmanuel210 5 жыл бұрын
Nakukubali sana Mh. Zitto
@sospeterkamala5481
@sospeterkamala5481 5 жыл бұрын
Gerald Emmanuel Mh zito,mbowe,lissu kubnea mnyika msigwa na wengine kweli mnaona mbali can ndo maana hawawaelewi,asante
@awaziernest8000
@awaziernest8000 5 жыл бұрын
Zitto zitoo Zitoo
@chiefmk835
@chiefmk835 5 жыл бұрын
unajua kuchambua lakini tatizo lako unakua kama msaliti saa nyingine.
@wakatigaudens3884
@wakatigaudens3884 4 жыл бұрын
Tena usaliti wake ndo tunauona leo kwenye world Bank
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 5 жыл бұрын
Ccm inaturudisha kwenye zama za Giza tunarudi miaka 60 nyuma
@mbokulyangawi5165
@mbokulyangawi5165 5 жыл бұрын
Excellent zitto kabwe
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 жыл бұрын
Taarifa ya nini?? Kuna watu wanaboa kwelikweli, why don't you wait for your chance/session. Alichokua akiongea hakiendani na taarifa ilokuwa itolewe immediately.
@rosekweka9544
@rosekweka9544 4 жыл бұрын
Nnchi bila vyama vyangi akuna maendeleo yoyote hivyo Kama hawatakuwepo bac tumekwisha
@abdallamsham1074
@abdallamsham1074 2 жыл бұрын
ccm wanajifanya kumtumiliya msajili wa vyama kuvifuta nyama kumbe chama chao ndiyo kinatakiwa kifutwe wananchi hawakitaki kifutwe hakifai hahahaha
@pascalprince4408
@pascalprince4408 5 жыл бұрын
Million mbil
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 жыл бұрын
"..unapoweka sheria kuna jambo unataka kulitatua.." noted
@juriasangelo2110
@juriasangelo2110 5 жыл бұрын
Izi video kuna cku zitatazamwa tenaaa duuuh!!
@khamisubwabwa5737
@khamisubwabwa5737 4 жыл бұрын
Mh zito zuberi kabwe wewe ndio rais wangu mimi unamaono mno sio kama ccm awapo wapo sana kama vile bashe ila kwa upande wa ccm ukiwa msema kweli unatulizwa
@eliceelly9067
@eliceelly9067 5 жыл бұрын
Utoto wa kiutu Uzima unaimaliza Tanzania.Wabunge wa Ccm mjitafakari mnaipeleka nchi pabaya
@eliyamichael8450
@eliyamichael8450 5 жыл бұрын
God bless you!..
@lucaskabadi3825
@lucaskabadi3825 5 жыл бұрын
Hutufai zito katika Jamii yetu
@lucaskabadi3825
@lucaskabadi3825 5 жыл бұрын
Wewe zito hutufai siku zote unazungumzia machafuko utufai
@arnoldndyamukama4466
@arnoldndyamukama4466 5 жыл бұрын
Bring school to people... too much mbumbumbu
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 5 жыл бұрын
Wanafikiri nchi ya kikundi cha watu special,
@ngurukatabory6861
@ngurukatabory6861 5 жыл бұрын
Zitto God bless you. you are so strong ,kip it up man of the people
@dicksonlusinde2830
@dicksonlusinde2830 5 жыл бұрын
Yan taarifa zingine
@mataamiry6720
@mataamiry6720 4 жыл бұрын
Dawa ndo iyo ni kupita firishani
@wastambuli8039
@wastambuli8039 5 жыл бұрын
Akili nyingi
@anzurunimakala8416
@anzurunimakala8416 5 жыл бұрын
Zitto siyo mbunge wa kigoma tu bali watanzania nzima
@issaalfani1030
@issaalfani1030 5 жыл бұрын
Aiseee huyu jamaa nimuha mwenzangu nishida
@swedykarongo110
@swedykarongo110 5 жыл бұрын
jembe kigoma tupambanenie mueshimiwa unaweza kaka.
@hoseamgema9107
@hoseamgema9107 5 жыл бұрын
Kwanini mpaka waende mwembeyanga badala ya kubaki Hai ...
@SUPREMEDIGITAL
@SUPREMEDIGITAL 5 жыл бұрын
Nimelia,Machozi yamenitoka hakika.
@manganamanganamanganamanga7313
@manganamanganamanganamanga7313 5 жыл бұрын
Sasa ivi hakuna uhulu kweri ivi zitto hakili unazo ,umesema tusilaumiane unamanisha unataka kwenda porini,unalijua hilo jambo likitokea utalimudu
@pascalmwendakaz7178
@pascalmwendakaz7178 5 жыл бұрын
Kwaheli democracy na Tanzania
@jumafandey707
@jumafandey707 5 жыл бұрын
Mwache aendelee nimeisikia! Yaani Tutakutana Mwisho ili Mmpe Wakati mgumu 2020 kwa Sera Zake
@geraldjoshua1555
@geraldjoshua1555 5 жыл бұрын
Tutaburuzwa Kama mamburura komaeni jamani tunusulike
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Zitto ni mjinga, marekebisho yanasema vyama visituhusiwe kuwa na Ulinzi siyo chadema tuu. Ndio maana ya marekebisho
@husseinabdulaziz7314
@husseinabdulaziz7314 5 жыл бұрын
Imma Mlowe unaonekana ww ni mjinga zaidi na hujui ata kinachoongelewa
@benjaminbatano3293
@benjaminbatano3293 5 жыл бұрын
TANZANIA NINAKULILIA DAIMA UWE AMANI UKIHARIBIKA NITAKWENDA WAPI NA UZAO WANGU.
@bakarimashi8711
@bakarimashi8711 5 жыл бұрын
Zitto mmoja ni wabunge 20 wa fisiem, na ninachokiamini wanamuelewa sana mh zitto lkn matumbo yao na chama chao ndio tatizo
@ivanlegera2133
@ivanlegera2133 5 жыл бұрын
hapo umeongea bro
@ethanuk9437
@ethanuk9437 5 жыл бұрын
Democracy ya kujipendekeza kwa wazungu
@leonardmwazembe6810
@leonardmwazembe6810 5 жыл бұрын
Tuvumiliane
@omarysaid5407
@omarysaid5407 5 жыл бұрын
na kuku bali ila wabunge wa ccm kazi yao ndio
@dastunluswaga5182
@dastunluswaga5182 5 жыл бұрын
Ndio muache kutukana na kuropoka....
@amourajafari2814
@amourajafari2814 5 жыл бұрын
genius👊👊
@melklee5695
@melklee5695 5 жыл бұрын
Wabunge Wa CCM wanataka kuwa mfukoni mwa Msajiri na mwenyekiti wao. Hivi Mnatunga Sheria Msajiri amfukuze kiongozi wa chama, au amkatae Mgombea au Mbunge, Je Rais akimtuma Msajili amuondoe mgombea ama Mbunge yoyote wa CCM Mbunge gani wa CCM ata baki ? Mbunge gani wa CCM atapona?
@gabrielgodwin2576
@gabrielgodwin2576 5 жыл бұрын
Yaan hii channel ni ya wasaliti
@claverygavana5244
@claverygavana5244 5 жыл бұрын
Hivi hii nchi inaenda wap kama hamna elimu ya urai
@chiefmk835
@chiefmk835 5 жыл бұрын
hizo takwim uchwara
@evaristfuko9920
@evaristfuko9920 5 жыл бұрын
Akiliiii kubwaziiii!!!!! Maneno kuntuuu
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 жыл бұрын
Hili bunge linahitaji wazalendo.
@jamesluke2446
@jamesluke2446 5 жыл бұрын
Mbunge wa kihome hatariii sana gonga like hapa
@melklee5695
@melklee5695 5 жыл бұрын
Hivi Rais akimtuma Msajili amuondoe Mbunge yoyote wa CCM Mbunge gani wa CCM ata baki ? Mbunge gani wa CCM atapona ?
@meshackluhagasi4816
@meshackluhagasi4816 5 жыл бұрын
Bashe
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Unaongea ujinga kusajili was haimanishi hutaki kufutwa
@officialmence7896
@officialmence7896 5 жыл бұрын
Kwann tucmpe huyu mh kabwe nchi eti watanzania wenzangu,,,, gonga like tukubaliane
@philimonindinadyo4843
@philimonindinadyo4843 5 жыл бұрын
wewe ulikula mgebuka ukakuingia kwelikweli una akili nyingi sana
@deusipatrick9268
@deusipatrick9268 4 жыл бұрын
Tunamuomba mungu atuongezee Zittomwingine ili tuwlewe mengi
@kapingageorge7635
@kapingageorge7635 5 жыл бұрын
Zito mtu makini
@hajimakarabai4700
@hajimakarabai4700 5 жыл бұрын
Spika upo vizur
@gabrielgodwin2576
@gabrielgodwin2576 5 жыл бұрын
Wala Ruzuku za vyama safari hii mta iharisha! JPM hajawahi kufeli! kusoma Sayansi Raha
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 5 жыл бұрын
Ccm bila police,na tume ya uchaguzi hamna kitu ni kama mkate bila chai kwa wapinzani
@gabrielgodwin2576
@gabrielgodwin2576 5 жыл бұрын
Ayo kasha nunuliwa nae, kuhujumu nchi, interview za Lema na Zitto hakosagi, ila facts zenye evidence za msiba hatokei, you are mad!
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Mbona huongei mazuri?
@husseinabdulaziz7314
@husseinabdulaziz7314 5 жыл бұрын
Imma Mlowe akili yako kwny siasa ni ndogo sana bosi
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 5 жыл бұрын
Parapanda italiaa parapanda
@michaelkinga821
@michaelkinga821 5 жыл бұрын
UONGO! kaka juu ya JARIBIO/MAJARIBIO
@kijokombao5345
@kijokombao5345 5 жыл бұрын
Kuna vitu vi 2 navihisi kwako Kama ni mtanzania basi hujakua bado au siyo mtanzania maana Kama ni mtanzania then hujui unakua ni mbururaaaa fuatilia history ya nchi wewe
@emmanuelmnyonzi7177
@emmanuelmnyonzi7177 5 жыл бұрын
msenge wewe unajua hujui chochote
@kijokombao5345
@kijokombao5345 5 жыл бұрын
@@emmanuelmnyonzi7177 mimi msenge lakini we ndo umezidi sasa,maana hata kujielewa naona hujielewi
@kijokombao5345
@kijokombao5345 5 жыл бұрын
@@emmanuelmnyonzi7177 na urudishe simu ya watu haraka,naona hata kuandika tu ni mtihani
@emmanuelmnyonzi7177
@emmanuelmnyonzi7177 5 жыл бұрын
nyie ni mashabiki uchwara kabisaa wa kisiasa hamjui hata uhalisia, pumbavu wewe
@mbegesdigita5182
@mbegesdigita5182 5 жыл бұрын
Hawazi kuelewa wajinga hao
@lucasabunuas4662
@lucasabunuas4662 5 жыл бұрын
Hivi bunge haina vitu vya kujadili, mbona kama mnaleta vitu vya ajabu wakati kuna mambo makubw y kujadili jaman
@husseinabdulaziz7314
@husseinabdulaziz7314 5 жыл бұрын
lucas abunuas unaonekana hujui kabisa bunge linavyoenda
@abedinegoelias2660
@abedinegoelias2660 5 жыл бұрын
oyoooo wewe jembe
@eliankya3272
@eliankya3272 5 жыл бұрын
Tuondolee umbea mapinduzi nifikra zako potofu
@hamisinjinjo1807
@hamisinjinjo1807 5 жыл бұрын
Elia Nkya ww huna akili acha kujipendekeza vyeo vimeisha Lumumba yani kila kitu kujipendekeza nyinyi ndo mulikuwa munapongeza sheria ya kikokotoa cha wastaafu baadae mh.amefuta sheria hiyo munapongeza tena tumieni akili
@amryzubery1051
@amryzubery1051 5 жыл бұрын
Elia Nkya ww nichoko najuwa ww niccm fara ww sikia hoja zawatu makini
@nujakaambari5599
@nujakaambari5599 5 жыл бұрын
Acha porojo Ainisha kitu kipi ktk huo mswaada ni kibovu ili na sisi tusioelewa huo mswaada tuchuje maneno yako
@josephmtui7571
@josephmtui7571 5 жыл бұрын
Nujaka Ambari unasilikizaga na nn ww
@nujakaambari5599
@nujakaambari5599 5 жыл бұрын
Joseph Mtui Hakuna alichokiongea. Yeye ni hadithi za zamani na kutabili.
@TheLugiko
@TheLugiko 5 жыл бұрын
Kweli we kilaza... kwa maelezo yote hayo hujasikia sehemu alizotaja vyenye nia uovu. Endelea kufikiri kwa kutumia makalio😆😆
@emmanuelgeorge2654
@emmanuelgeorge2654 5 жыл бұрын
@@TheLugiko 😁😁😁😁
@meshackkwigize9848
@meshackkwigize9848 4 жыл бұрын
Kaka zito,ubarikiwe sana kwa maneno ya akili
@elymollel
@elymollel 5 жыл бұрын
Kweli India ni wataalamu.. 😃
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 5 жыл бұрын
Ukishakuwa ccm akili zinahama
Zitto Kabwe VS Waziri Kabudi Bungeni leo 'Siingii mtegoni ng'o'
5:47
AZIZ KI AUKATAA MSHAHARA WA MILIONI 97 KWA MWEZI?
2:29
Millard Ayo
Рет қаралды 4,8 М.
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 8 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,1 МЛН
FAIDA ZA KUFANYA DHIKRI MARA KWA MARA
27:25
Istiqaama Muslim Community of Tanzania
Рет қаралды 5 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
Lecture 2: From Soviet Communism to Russian Gangster Capitalism
1:10:43
PVV-minister Faber sloopt Rutte volledig
50:08
Maarten van Rossem - De Podcast
Рет қаралды 64 М.
Zitto Kabwe kumpeleka Abdul  Nondo Uhamiaji
1:26
Millard Ayo
Рет қаралды 37 М.
Which Senior Tories Could Lose their Seats?
9:25
TLDR News
Рет қаралды 266 М.
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 8 МЛН