Mzee Aman Thani anaelezea yaliyomtokea baada ya Mapinduzi ya Zanzibar
Пікірлер: 74
@halimaomary71586 жыл бұрын
ahsante sana sheikh amani thani hakika ukweli ni lazima usimame mola amekulinda ili upate kusimulia ukweli huu.
@mariama14906 жыл бұрын
Tulidanganywa Ila ahsante sana sheikh Aman Thani, Allah anakulipieni Kwa dhulma mliofanyiwa, malipo ni duniani, znz na Tanzania haiwezi kuendelea Kwa dhulma na damu zilomwagika za watu walokua hawana hatia, Kwasasa tumeujua ukweli, hatudanganyiki tena na historia zao za uongo.
@asilclub7 жыл бұрын
الله يحفظك يا شيخ امان ثاني
@samirs7644 жыл бұрын
Pole sanaa mashekhe Allha atakulipa frdausi inshallaa kwa sote
@yaakoubmohammedalbarwaniy7168 жыл бұрын
Mola akuhifadhi ewe Aman ibnu Thani.
@saidsalim76122 жыл бұрын
Huyu Mzee Amani bado Yuko hai.
@ussikhamisussi48824 жыл бұрын
Ahsante sana Mzee wetu.
@SKY-fk3fz2 ай бұрын
Subhanallah, sasa wako wapi hukmu mbele ya haki
@user-rf5jg2xd6t4 ай бұрын
Hakika sichoki kusikiliza historia hii tamu yenye kusikitisha juu udhalimu waliofanyiwa ndugu zetu wazanzibari
@drnow1528 Жыл бұрын
Nyerere na Karume wako Jehanam
@eddynaeem6708Ай бұрын
Sasa munokaa mukamsifu karume hiyo ndio ilokuwa amali yake mukikaa father K father K kumbe hivi ndivyo alivyokuwa akiwazalilisha wazanzibar kwa kutaka sifa kwa nyerere na baadae hawo wazanzibar waloshirikiana nao kufanya Mapinduzi kawatafuna sijui kina Twala mdungi ussi : karume alikuwa ni mtwana kutoka Mawawi alishirikiana na jahili mwenziwe
@eddynaeem6708Ай бұрын
kumamamae ningekuwa mimi ndio huyo kinyozi ningeanza kumnyoa nyele za nyuma na hilo bichwa ningelinyambuwa kwa viwembe kama uso wa mmakonde kwa sababu mwanzo alishirikiana na majajili kuwadhalilisha wazanzibar
@eddynaeem6708Ай бұрын
aaa Diria kibaraka wa nyerere sasa ulipapa faida gani au ulikuwa ukijipendekeza
@imraniqbal007653 жыл бұрын
Laaanatullah Kila aloshiriki mapiinduzi NA kila anae sherehekea Mapinduzi laaanatullah
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Waliuliwa kinyama ilfu ishirini uvamizi ungereza NA nyerere waarbu ni watu wawema waaslaam wenzetu NA wote hao ni wazaliwa zanzibari ni wanainchi watu wa oman ni watu wawema sana sio watu wamagomvi wanzetu tu wanatupenda wala sio wazungu wala americani wamechinjwa kama mbuzi
@hassanally94686 жыл бұрын
Ahsante mzee wetu kwa kutufunza Allah akulipe kila la kheri na akujaalie jannat firdaus yawe ndo makazi yako
@rayaalhabsi17253 жыл бұрын
Allahumma ameen yaarab jamian
@bilalikaoneka50802 жыл бұрын
Waswahili...wapwani...waislaimu...tuamkeni tulidhulumiwa... Bilaal from Tanga
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Mpaka leo tunadhulumiwa.
@kilosa20005 жыл бұрын
Allah atawalipia na waliowadhulumu Allah atawahukumu milele
@mariama14906 жыл бұрын
Hawa ccm wameanza kuongozwa na vilaza toka zamani na ASP, alianza Baba Yao ndio maana hawataki wasomi Hadi leo. Maendeleo hayaji Kwa ubinafsi kama huu. Roho inaniuma wallahi Kwa hii historia.
@abdullahalaghbari38714 жыл бұрын
l
@imraniqbal007656 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atawalipia na atawapa hao wapinduzi wanacho stahiki kutokana na waliyoyafanya Allah ni muadilifu na ni hakim Wa mahakim
@ashuraatanas59676 жыл бұрын
Simulizi hizi sichoki kuzisikiliza ahsante Mzee aman thani
@MrKhatibu5 жыл бұрын
Is that you who may I know Bint Atanas?
@yusufige70305 жыл бұрын
miye vile nimesikiya haya nikiwa mdongo kwa maalim yetu sheikh mohamed Ahmed mzee wa mcomoro chunya
@davidmpulumba4039 Жыл бұрын
Hata mimi dada angu
@yaakoubmohammedalbarwaniy7168 жыл бұрын
Mola akurehemu
@hzalloo8 жыл бұрын
IT LOOKS like nyerere approved all the crimes that karume and the members of MBM,committed and till today no apology or aknowledgement by CCM for the atrocites,but the paradox is the same is reapeted now by the people in power in Zbar,who were subjected to terror and now are commiting the same!!!
@jamalnassib26798 жыл бұрын
ť.
@alikabeya1382 жыл бұрын
Zilikuwa Serikali za madhalimu sana, makatili wakubwa na wauwaji
@husseinfarid28832 жыл бұрын
na ndio iko madarakani mpaka leo, inshort since 1964 till now same story
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Allah akurehem huko uliko
@hassanburhan97964 жыл бұрын
Aamin Aamin
@salimabdallah51769 ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
@negwakomwasanyula69512 ай бұрын
Daaaa😢😢😢😢😢
@muhammadmochenje1409 Жыл бұрын
Nyerere in nadhani uko alipo mola anamlipa na karume mwenzake
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Na bamkwe mandera!
@saidahmed96884 жыл бұрын
Hakuna sharia. Mpaka sasa
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
auwae kwa upanga ufa kwa upanga, karume alikua mshenzi sana
@sirzicco Жыл бұрын
Nasikitika sana kwa kuchelewa kukufahamu, Mungu awe nawe
@bekajr44635 жыл бұрын
Wallah roho yaniuma sana
@hassanburhan97964 жыл бұрын
صدقتا، صدقتا
@abdullkilawi55048 жыл бұрын
Fallen hero's
@bawhizzy62022 жыл бұрын
Nimeumizwa sana na historia hizo
@yusufige70305 жыл бұрын
wasema kweli kabisaaa mfumo kristo
@mwinyimvuaomari56162 жыл бұрын
التقوا الدعوة المظلوم فإنه ليس بيها وبين الله حجاب،ويقول عز وجل لانصرنك ولو بعد حين،
@franciscoivo1591 Жыл бұрын
She sijalala juzi toka saa Tatum mpaka saa kumi na Moja asbh nakusikiliza,kumbe mapinduzi yalikuwa hivyo... it's shameful
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
Alla yuko pamoja na walio dhulumiwa⁰
@King_Of_Everything6 ай бұрын
👊✌️🙏.
@alikabeya1382 жыл бұрын
Hizi Serikali zetu udhalimu ulianza siku nyingi, wayatendayo sasa wamerithi na wamezoweya kutesa na kuteka watu aka Torture and Abduction
@franciscoivo1591 Жыл бұрын
Nimejua history ya Zanzibar aseee
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Walio dhulumu walio dhulimiwa wote mbele ya hakki
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
Subhaanallah 😢
@Abu-Khalid-4 жыл бұрын
42:00: Abdullah Kassim Hanga
@msabahaali758 Жыл бұрын
kiukweli haha mambo bado hayajaisha yapo kila chaguzi tumeshuhudia ata mashehe wa uamsho waliekwa ndani miaka 10 unguja na tanganyika mbinu zao mateso yao ni yale yale Alla azilipe damu za bibi na Babu zetu
@mussaali270718 күн бұрын
Huyu mzee bado hupo dunia 3:52
@rayaalhabsi17253 жыл бұрын
Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu awa laani kila alie husika na mambo hayo. Allahumma ameen yaarab
@gresmorutatinisibwa72103 жыл бұрын
Daah! Hadi Mandela Kumbe Sio
@alimohd84272 жыл бұрын
Kumbe yule Idiria alikua mshenzi?
@asilclub7 жыл бұрын
صبرا ال ياسر موعدطم الجمة
@zainabkhatib65094 жыл бұрын
Hakika malipo wayatapata
@aliyissa98573 жыл бұрын
Yu You are right
@imraniqbal007653 жыл бұрын
Ccm kuuwa na kudhulumu Kupo Ndani ya damu yao Tunawauliza ccm hawa wananchi wanotajwa wako jela gani akina Hanga, othman sharif, mdungi ussi. Jimy Ringo, saleh sadaka,jaha ubwa NA wenzao wapo wapi???
@asilclub7 жыл бұрын
اللهم ينتقم من كل من عذبكم يا شيخ
@alialamoudi97294 ай бұрын
Huyo mzee hataongopa kumbe watoto wadogo hawajui thulma hiyo kwa zanzibari eti ni waaslaam au waarabu sasa hao waarbu walijikuta wamezaliwa hapo hapo toka miyaka mia tisa 900 iliyopita ni wananchi tu walipendwa hata hawajui kiyarabu wala hawajui kwao wala hawakwenda ni mashutara tu hata mama zao waafrika
@1961nungwi Жыл бұрын
Huu utamaduni wa kupiga watu hadharani unatoka wapi?
@isaackiptoo5833 Жыл бұрын
You mean Zanzibar ilikuwa hivi? Na vile nilikuwa nikimheshimu Karume? Yenye tulisoma kwa GHC huku Kenya ni opposite! Poleni wazanzibari.
@muhammadmochenje1409 Жыл бұрын
Historia za shuleni nyingi hazina ukweli urongo mtupu na kuwasifu makatili eti wapiganiaji uhuru sijui baba wa taifa lakini wapi ndio waovu wa mwisho
@Abu-Khalid-4 жыл бұрын
28:38 Saleh Saadallah
@user-rf5jg2xd6t4 ай бұрын
Hakika sichoki kusikiliza historia hii tamu yenye kusikitisha juu ya udhalimu waliofanyiwa ndugu zetu wazanzibari
@bawhizzy62022 жыл бұрын
Nimeumizwa sana na historia hizo
@user-rf5jg2xd6t4 ай бұрын
Hakika sichoki kusikiliza historia hii tamu yenye kusikitisha juu ya udhalimu waliofanyiwa ndugu zetu wazanzibari