KUMBUKUMBU ZA MZEE AMAN THANI AKIELEZEA ALICHOKIONA NA YALIOMFIKA - 2

  Рет қаралды 60,923

Bin Seif

Bin Seif

8 жыл бұрын

Mzee Aman Thani anaelezea yaliyomtokea baada ya Mapinduzi ya Zanzibar

Пікірлер: 74
@halimaomary7158
@halimaomary7158 6 жыл бұрын
ahsante sana sheikh amani thani hakika ukweli ni lazima usimame mola amekulinda ili upate kusimulia ukweli huu.
@mariama1490
@mariama1490 6 жыл бұрын
Tulidanganywa Ila ahsante sana sheikh Aman Thani, Allah anakulipieni Kwa dhulma mliofanyiwa, malipo ni duniani, znz na Tanzania haiwezi kuendelea Kwa dhulma na damu zilomwagika za watu walokua hawana hatia, Kwasasa tumeujua ukweli, hatudanganyiki tena na historia zao za uongo.
@asilclub
@asilclub 7 жыл бұрын
الله يحفظك يا شيخ امان ثاني
@samirs764
@samirs764 4 жыл бұрын
Pole sanaa mashekhe Allha atakulipa frdausi inshallaa kwa sote
@yaakoubmohammedalbarwaniy716
@yaakoubmohammedalbarwaniy716 8 жыл бұрын
Mola akuhifadhi ewe Aman ibnu Thani.
@saidsalim7612
@saidsalim7612 2 жыл бұрын
Huyu Mzee Amani bado Yuko hai.
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 4 жыл бұрын
Ahsante sana Mzee wetu.
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 2 ай бұрын
Subhanallah, sasa wako wapi hukmu mbele ya haki
@user-rf5jg2xd6t
@user-rf5jg2xd6t 4 ай бұрын
Hakika sichoki kusikiliza historia hii tamu yenye kusikitisha juu udhalimu waliofanyiwa ndugu zetu wazanzibari
@drnow1528
@drnow1528 Жыл бұрын
Nyerere na Karume wako Jehanam
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 Ай бұрын
Sasa munokaa mukamsifu karume hiyo ndio ilokuwa amali yake mukikaa father K father K kumbe hivi ndivyo alivyokuwa akiwazalilisha wazanzibar kwa kutaka sifa kwa nyerere na baadae hawo wazanzibar waloshirikiana nao kufanya Mapinduzi kawatafuna sijui kina Twala mdungi ussi : karume alikuwa ni mtwana kutoka Mawawi alishirikiana na jahili mwenziwe
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 Ай бұрын
kumamamae ningekuwa mimi ndio huyo kinyozi ningeanza kumnyoa nyele za nyuma na hilo bichwa ningelinyambuwa kwa viwembe kama uso wa mmakonde kwa sababu mwanzo alishirikiana na majajili kuwadhalilisha wazanzibar
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 Ай бұрын
aaa Diria kibaraka wa nyerere sasa ulipapa faida gani au ulikuwa ukijipendekeza
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 3 жыл бұрын
Laaanatullah Kila aloshiriki mapiinduzi NA kila anae sherehekea Mapinduzi laaanatullah
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 жыл бұрын
Waliuliwa kinyama ilfu ishirini uvamizi ungereza NA nyerere waarbu ni watu wawema waaslaam wenzetu NA wote hao ni wazaliwa zanzibari ni wanainchi watu wa oman ni watu wawema sana sio watu wamagomvi wanzetu tu wanatupenda wala sio wazungu wala americani wamechinjwa kama mbuzi
@hassanally9468
@hassanally9468 6 жыл бұрын
Ahsante mzee wetu kwa kutufunza Allah akulipe kila la kheri na akujaalie jannat firdaus yawe ndo makazi yako
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 жыл бұрын
Allahumma ameen yaarab jamian
@bilalikaoneka5080
@bilalikaoneka5080 2 жыл бұрын
Waswahili...wapwani...waislaimu...tuamkeni tulidhulumiwa... Bilaal from Tanga
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Mpaka leo tunadhulumiwa.
@kilosa2000
@kilosa2000 5 жыл бұрын
Allah atawalipia na waliowadhulumu Allah atawahukumu milele
@mariama1490
@mariama1490 6 жыл бұрын
Hawa ccm wameanza kuongozwa na vilaza toka zamani na ASP, alianza Baba Yao ndio maana hawataki wasomi Hadi leo. Maendeleo hayaji Kwa ubinafsi kama huu. Roho inaniuma wallahi Kwa hii historia.
@abdullahalaghbari3871
@abdullahalaghbari3871 4 жыл бұрын
l
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 6 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atawalipia na atawapa hao wapinduzi wanacho stahiki kutokana na waliyoyafanya Allah ni muadilifu na ni hakim Wa mahakim
@ashuraatanas5967
@ashuraatanas5967 6 жыл бұрын
Simulizi hizi sichoki kuzisikiliza ahsante Mzee aman thani
@MrKhatibu
@MrKhatibu 5 жыл бұрын
Is that you who may I know Bint Atanas?
@yusufige7030
@yusufige7030 5 жыл бұрын
miye vile nimesikiya haya nikiwa mdongo kwa maalim yetu sheikh mohamed Ahmed mzee wa mcomoro chunya
@davidmpulumba4039
@davidmpulumba4039 Жыл бұрын
Hata mimi dada angu
@yaakoubmohammedalbarwaniy716
@yaakoubmohammedalbarwaniy716 8 жыл бұрын
Mola akurehemu
@hzalloo
@hzalloo 8 жыл бұрын
IT LOOKS like nyerere approved all the crimes that karume and the members of MBM,committed and till today no apology or aknowledgement by CCM for the atrocites,but the paradox is the same is reapeted now by the people in power in Zbar,who were subjected to terror and now are commiting the same!!!
@jamalnassib2679
@jamalnassib2679 8 жыл бұрын
ť.
@alikabeya138
@alikabeya138 2 жыл бұрын
Zilikuwa Serikali za madhalimu sana, makatili wakubwa na wauwaji
@husseinfarid2883
@husseinfarid2883 2 жыл бұрын
na ndio iko madarakani mpaka leo, inshort since 1964 till now same story
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Allah akurehem huko uliko
@hassanburhan9796
@hassanburhan9796 4 жыл бұрын
Aamin Aamin
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 9 ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
@negwakomwasanyula6951
@negwakomwasanyula6951 2 ай бұрын
Daaaa😢😢😢😢😢
@muhammadmochenje1409
@muhammadmochenje1409 Жыл бұрын
Nyerere in nadhani uko alipo mola anamlipa na karume mwenzake
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Na bamkwe mandera!
@saidahmed9688
@saidahmed9688 4 жыл бұрын
Hakuna sharia. Mpaka sasa
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
auwae kwa upanga ufa kwa upanga, karume alikua mshenzi sana
@sirzicco
@sirzicco Жыл бұрын
Nasikitika sana kwa kuchelewa kukufahamu, Mungu awe nawe
@bekajr4463
@bekajr4463 5 жыл бұрын
Wallah roho yaniuma sana
@hassanburhan9796
@hassanburhan9796 4 жыл бұрын
صدقتا، صدقتا
@abdullkilawi5504
@abdullkilawi5504 8 жыл бұрын
Fallen hero's
@bawhizzy6202
@bawhizzy6202 2 жыл бұрын
Nimeumizwa sana na historia hizo
@yusufige7030
@yusufige7030 5 жыл бұрын
wasema kweli kabisaaa mfumo kristo
@mwinyimvuaomari5616
@mwinyimvuaomari5616 2 жыл бұрын
التقوا الدعوة المظلوم فإنه ليس بيها وبين الله حجاب،ويقول عز وجل لانصرنك ولو بعد حين،
@franciscoivo1591
@franciscoivo1591 Жыл бұрын
She sijalala juzi toka saa Tatum mpaka saa kumi na Moja asbh nakusikiliza,kumbe mapinduzi yalikuwa hivyo... it's shameful
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
Alla yuko pamoja na walio dhulumiwa⁰
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
👊✌️🙏.
@alikabeya138
@alikabeya138 2 жыл бұрын
Hizi Serikali zetu udhalimu ulianza siku nyingi, wayatendayo sasa wamerithi na wamezoweya kutesa na kuteka watu aka Torture and Abduction
@franciscoivo1591
@franciscoivo1591 Жыл бұрын
Nimejua history ya Zanzibar aseee
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Walio dhulumu walio dhulimiwa wote mbele ya hakki
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Subhaanallah 😢
@Abu-Khalid-
@Abu-Khalid- 4 жыл бұрын
42:00: Abdullah Kassim Hanga
@msabahaali758
@msabahaali758 Жыл бұрын
kiukweli haha mambo bado hayajaisha yapo kila chaguzi tumeshuhudia ata mashehe wa uamsho waliekwa ndani miaka 10 unguja na tanganyika mbinu zao mateso yao ni yale yale Alla azilipe damu za bibi na Babu zetu
@mussaali2707
@mussaali2707 18 күн бұрын
Huyu mzee bado hupo dunia 3:52
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 жыл бұрын
Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu awa laani kila alie husika na mambo hayo. Allahumma ameen yaarab
@gresmorutatinisibwa7210
@gresmorutatinisibwa7210 3 жыл бұрын
Daah! Hadi Mandela Kumbe Sio
@alimohd8427
@alimohd8427 2 жыл бұрын
Kumbe yule Idiria alikua mshenzi?
@asilclub
@asilclub 7 жыл бұрын
صبرا ال ياسر موعدطم الجمة
@zainabkhatib6509
@zainabkhatib6509 4 жыл бұрын
Hakika malipo wayatapata
@aliyissa9857
@aliyissa9857 3 жыл бұрын
Yu You are right
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 3 жыл бұрын
Ccm kuuwa na kudhulumu Kupo Ndani ya damu yao Tunawauliza ccm hawa wananchi wanotajwa wako jela gani akina Hanga, othman sharif, mdungi ussi. Jimy Ringo, saleh sadaka,jaha ubwa NA wenzao wapo wapi???
@asilclub
@asilclub 7 жыл бұрын
اللهم ينتقم من كل من عذبكم يا شيخ
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 4 ай бұрын
Huyo mzee hataongopa kumbe watoto wadogo hawajui thulma hiyo kwa zanzibari eti ni waaslaam au waarabu sasa hao waarbu walijikuta wamezaliwa hapo hapo toka miyaka mia tisa 900 iliyopita ni wananchi tu walipendwa hata hawajui kiyarabu wala hawajui kwao wala hawakwenda ni mashutara tu hata mama zao waafrika
@1961nungwi
@1961nungwi Жыл бұрын
Huu utamaduni wa kupiga watu hadharani unatoka wapi?
@isaackiptoo5833
@isaackiptoo5833 Жыл бұрын
You mean Zanzibar ilikuwa hivi? Na vile nilikuwa nikimheshimu Karume? Yenye tulisoma kwa GHC huku Kenya ni opposite! Poleni wazanzibari.
@muhammadmochenje1409
@muhammadmochenje1409 Жыл бұрын
Historia za shuleni nyingi hazina ukweli urongo mtupu na kuwasifu makatili eti wapiganiaji uhuru sijui baba wa taifa lakini wapi ndio waovu wa mwisho
@Abu-Khalid-
@Abu-Khalid- 4 жыл бұрын
28:38 Saleh Saadallah
@user-rf5jg2xd6t
@user-rf5jg2xd6t 4 ай бұрын
Hakika sichoki kusikiliza historia hii tamu yenye kusikitisha juu ya udhalimu waliofanyiwa ndugu zetu wazanzibari
@bawhizzy6202
@bawhizzy6202 2 жыл бұрын
Nimeumizwa sana na historia hizo
@user-rf5jg2xd6t
@user-rf5jg2xd6t 4 ай бұрын
Hakika sichoki kusikiliza historia hii tamu yenye kusikitisha juu ya udhalimu waliofanyiwa ndugu zetu wazanzibari
KUMBUKUMBU ZA MZEE AMAN THANI AKIELEZEA ALICHOKIONA NA YALIOMFIKA
2:33:49
16. Amani Thani: Kisa cha Hanga
24:11
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,5 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 9 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 35 МЛН
Kumbukumbu ya Sheikh Abeid Karume 2016
1:01:16
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 32 М.
16 Kutoka Gerezani 1967
13:15
MzeeBarwani
Рет қаралды 27 М.
SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI NA SIASA ZA ZANZIBAR
2:26:36
Bin Seif
Рет қаралды 77 М.
MAISHA YA ALLY SYKES
1:19:54
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 28 М.
17. Amani Thani: Aliyoyafanya Ahmed Hassan Diria Pemba
21:40
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,4 М.