Рет қаралды 16,155
Bwana Aman Thani Fairuz anaendelea kueleza yaliyompata Zanzibar ya MAVAMIZI. Baada ya kuadhibiwa na kupigwa na Mandera huko kwa Bamkwe mpaka kakaribia kufa,amerejeshwa jela. Kufika jela wameambiwa mumehukumiwa kufungwa miaka kumi tena.
Jela wamefika kutoka kwa Bamkwe viongozi wa Afro-Shirazi, Abduaziz Twala, Mdungi Usi, Jaha Ubwa, Ngwengwe na mzee Abbas Kenyata. Pia wameletwa Saleh Masta, na Mohamed Amor Barwani.