RAIS DK JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA KIKWETE WAKATIZA MITAANI NA KUNUNUA NG'ONDA KIBANDANI BWENI WILAYA YA PANGANI,TANGA
Пікірлер: 251
@user-qc9jf6rn7u3 ай бұрын
Nawapenda sana Rais mstaafu Kikwete na mama. Mungu awape maisha marefu yenye furaha na amani.
@yassinm693 жыл бұрын
Gonga like Kama umemsikia Mh kikwete akipiga mluzi
@mavindimuhotwe44325 жыл бұрын
Walimwengu jamani duuuh.! Kweli hakuna mtawala mzuri ndani ya utawali. Alitukanwa alibezwa wakati wa utawala wake. Sasa kastaafu mwajifanya mwampenda na kumpa sifa. UNAFIKI HUO NA NI DHAMBI KUBWA
@aminaomary55673 күн бұрын
Wakati wa Jakaya maisha yalikuwa mazuri kusema ukweli kumuogopa mungu.Kikwete mungu akulinde sana. Tunakupenda na kukumbuka sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤🙏🙏👍👍😢
@Ja_Eid10 жыл бұрын
Daah nimeipenda sana..jk kila la kher mungu akupe uhai mrefu sana...
@nyambelewinfrida90745 жыл бұрын
Kama umemuona babu akisalimia kwa goti la kisukuma gonga like twende sawa.
@lukasjnr8865 жыл бұрын
yaniii
@fortunatemathiasbarabara36866 жыл бұрын
mpaka machozi yamenitoka hongera kwake jakaya nawish ningekuwepo
@samwelimoshi56142 жыл бұрын
Ungekuepo wap
@idanysedrc12002 жыл бұрын
Mzee wangu bila wew nisingetoboa chuo kikuuu😘😘
@ejmalady6923Ай бұрын
Mzee alitujali sana akiwa waziri wa fedha na akiwa Rais wa jamhuri ya mungano,cjitambulishi.
Kweli kabisa hata jamaa muuza samaki Leo kafurahi..,
@mussaabdiel97975 жыл бұрын
Dah nakumbuka wakat nasoma secondary Nina elfu30 mfukon saiv sisomi ila Nina buku tu umegundua nn apo
@abednego38764 жыл бұрын
Ww ni mjinga
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Mussa Abdiel 😀😀😀
@ayutoamos10714 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@huszarb78657 жыл бұрын
Itachukua mda sana kuongozwa na mtu kama ww Tz respect nyingi kwako u are blessed
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
Huszar B kaongoze wewe basi malaika ilì muda uwe mfupi ngedele mkubwa
@fatmaali20502 жыл бұрын
Sifa moja ya kiongozi mzuri maisha hayawi taiti kipindi chake huyu mzee maisha yalikuwa mazuri
@swabratramadhan50454 жыл бұрын
Mashaallah dady Mungu azidi kukupa moyo huo na utu wako udumu milele
@agustinolazaro7864 Жыл бұрын
Mungu akubariki Asante Kwa uongozi wako
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
Rais wa watu Manshaallah. Allaah akurehem baba. Ila hakika hautosahaulika milele. Mana kati ya Marais ambao wanaopenda ustaarabu kwa wananchi wake Jakaya namba moja. Rait ingewezekana urudi tena hata madalaka. Inshaallah akupe uhai mrefu..
@goodlackriwa67284 жыл бұрын
kweli .mungu amjalie aishi maisha marefu
@TZbwaay10 жыл бұрын
Naona leo ni siku nzuri ofisini kwa muuza genge..Angalia bana isije ikawa 'chuma ulete' ...;-)
@xmathematics_6 жыл бұрын
Johnnie Nyoni 😂😂😂hajawahi uza kM vile
@mavindimuhotwe44325 жыл бұрын
Imani za kimasikini izo. We mwengine wasema ajawahi km hao. Hao wote kachukua na wengine wamebaki. Hata acngepta Kikwete angeuza tu ndio maana kaweka
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Johnnie Nyoni Ww ndo chuma ulete
@kadolenyambasu55115 жыл бұрын
I miss u dady....nimeangalia had machoz yanataka kudondoka
@givenmeja69648 жыл бұрын
tumekumis baaabaaa... kikwete daaaah...
@joramkumbemba48104 жыл бұрын
Huyu mzee anaheshimu sana utu wa watu pia Mpenda democracy
@naseralenzi94196 жыл бұрын
kikwete alikua mtoto wakita wallah mngu amjalie kweli kwel baba mwenyewe huruma penda sana wewe
@meshackshedrack29748 жыл бұрын
Raisi mpenda laia ndiohuyukubali ukatae big up kikwete na mama Salina .
@alvinlembo33605 жыл бұрын
Uwe na miaka mingi
@konde24ful5 жыл бұрын
Tz kiukwel ipo vizuri maisha marefu tz East Africa
@kingsfamily93735 жыл бұрын
Sssa huyu ndiye ndiye raisi wawanyonge
@happymushi22199 жыл бұрын
So nice JK.
@mcyudasicqo96105 жыл бұрын
nashukuru sana katika utawala wako nilibahatika Kuwa miongoni mwa washereheshaji, jimboni mwetu, Mr jk
@rahmakhassani41484 жыл бұрын
Haya baba tunakumbukia bata kipindi chako saivi tunaziona kwa macho 😂😂😂😂
@rashidmohamed194910 ай бұрын
Safi sana... Tuwe huru namna hii... Mi napenda sana
@sahjunior63615 жыл бұрын
I miss you my dady
@iddybora1876 Жыл бұрын
Mzee ludi madalakan eeh Mungu tazama vilio vyetu Bora ww tunakumbuka utawala wako ujawahi kutokea cjawah kuckia mtu akikubeza lkn hao wengine wanajijali wao Mungu toa hukumu ya Allah yah Karim
@jpmmusic96624 жыл бұрын
Mama salima mzuri hongera my president tunakumis ulichagua
@ludovicshirima17933 ай бұрын
Tuseme ukwl mh kikwete anajua kuoshi na watu ana kipaji hyu mzee.👏👏namkubali
@estherbebe23033 жыл бұрын
This video makes me smile 😊
@tigertiger32063 жыл бұрын
La Tanzanie est l un des pays le plus en paix
@rashidihamis62025 жыл бұрын
hana ulinzi mkubwa sana yaan kawaida tu
@abednego38764 жыл бұрын
Kwa sababu alikua haingilii maslai na wizi wa matajiri
@reggancamp52474 жыл бұрын
@@abednego3876 hahahahahahahahahahaaaaa
@isayasway86334 жыл бұрын
Kama umeona mfuko wa Rambo gonga like yak hap
@ngasikajoel95769 жыл бұрын
Yes show love Mr president even to low social status people! Very nice and human.I like that
@nuhubalandya91646 жыл бұрын
yes! indeed
@wahidaali25929 жыл бұрын
Nampenda sana Rais wetu
@titoemmanuel15745 жыл бұрын
Wahida Ali WO
@sylviamombo8154 жыл бұрын
Hadi raha
@uwimanasalua13349 жыл бұрын
Wow nice president I like it
@nassorsubah31005 жыл бұрын
Angalieni tafauti ya makufuli na huyu makufuli anauliza matatizo ya watu kila anapokwenda ni kweli Rais wa wananchi na watu wanyonge jamani Angalieni wenyewe
@husseinmussa82296 жыл бұрын
kikwete bhana anapenda sana samaki wa aina hiyo ng,ando
@imelidamfikwa79542 жыл бұрын
Hivi ni samaki? Nilidhani mabanzi
@maigajohn7024 жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania
@chelseafcfcful10 жыл бұрын
Awsom prez
@saidomary49504 жыл бұрын
Simple kabisa hakuna ulinzi mkubwa dah miss u my president
@imanianyimike49429 жыл бұрын
Upendo wa dhati kwa watu wote, ubarikiwe, mungu awe nawe daima babaa,
@iddykaponda41234 жыл бұрын
Huyu ndyo rais wa wanyonge ongera sannaa jakaya mungu skubaliki
@allykarim15135 жыл бұрын
wenyewe wasitarabu sana
@petergathercole25007 жыл бұрын
That's good, just like Obama, am so impressed
@jonsonmungure65524 жыл бұрын
Tanzania tumepataviongozi wazalendo wachahe ndo vyura Mungu awape maishamarefu
@slowclimbertothetop45724 жыл бұрын
Ukihesabu pesa lazima upige na uluzi safi sana
@auntdorah91413 жыл бұрын
Hanaga makuu...bado tunampenda ...hii picha inaonesha ni mfano halisi wa Amani ktk nchi yetu... Mungu azidi kuwalinda.
@rithamremi55152 жыл бұрын
Love them❤️🙏
@athumanmfangavu73204 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@costantineernest7453 ай бұрын
4:48 sio siri kikwete mhhh
@harunamohamed38706 жыл бұрын
mashaallah nimeipenda hiyo
@brownlovekiwall60765 жыл бұрын
We love you papa
@mariamhabibu47114 жыл бұрын
Nakumbuka katka utawala wake tulimtunga jina la big dady na alipokuja Zanzibar kufungua Ofis ya Mkuu wa mkoa na kuweka jiwe la msing shulen kwetu tulimpokea kwa upendo wa hali ya juu na zawad tulimpatia mis you baba
@matisony36035 жыл бұрын
Penda sana rais wangu jakaya mrisho kikwete umemuachia jemedar ngaz kwa hilo nashukuru sana by ibra da silva bunda boy
@neemaukopovizurikakamasawe33945 жыл бұрын
westkid TZ vizuri sana mstaafu wetu kwa kupita sokoni na kuwaungisha wafanya biashara mama salima j kikwete oyeeee?
@maranathacharles64818 жыл бұрын
Big up.
@nyakinyaki17025 жыл бұрын
tunakukumbuka sana mh kama ingewezekana ungeendelea tu kutuongoza sie wanyonge, bado tunakupenda sana mh
@edsoniminani70614 жыл бұрын
Jamani Hakika Tanzania imebarikiwa kwa kuwa na viongozi wenye kuwapenda wananchi wao cheki huo ukarimu wa Raisi wetu
@mohamedkondo-tq2bm6 ай бұрын
Mzee anataka ng'onda mtu wa pwani safi sana
@gloryben44179 жыл бұрын
waooooooooooh unatish mzeeee big uo
@bernardmunuo21379 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@nurjahanabdulrahim95884 жыл бұрын
Nureen Ibrahim tuna omba mkuu wa Mkoa Mjini aje kutembelea Mkunazini Kwa lukman restaurant Na mara wote watu wana weka gari I mean parking bila ya pango.hamna utaratibu mkunazini imekua ofiyo you need to see utali wengi Na wana ona uchafu watu wana park gari kama wanao taka wenyewe
@Amaannehal9 жыл бұрын
Very nice People's President
@mohamedramadhani41894 жыл бұрын
Yan uyu mzee namlaumu jambo moja tu. Kaondoka na ajira zake katuacha tunahangaika tu. Wee baba wewe daa acha tu
@saeedal-awen21902 жыл бұрын
Hapo wngekua walinzi wa mwenda zake washasukuma watu
@sir_ENOCKMACHAАй бұрын
Kila kitu ni enzi na enzi....
@abelyedson64837 жыл бұрын
Tutakukumba milele na milele Baba
@kapanyatv41864 жыл бұрын
Nakubar Sana
@madiyaahmad74535 жыл бұрын
The best president please come back
@iddybora1876 Жыл бұрын
Yan huyu akigombea Tena uraisi anapita tunamkubali sana
@rickrosswabongo41169 жыл бұрын
A President of the people
@emmanuelnzyuna89075 жыл бұрын
ur the good President
@mwambirekwamboka95257 жыл бұрын
Mzee WA mambo safi 😆😆😆😆 may. U leave long Mr Jakaya
@abelsamwel91625 жыл бұрын
.
@davidprosper53049 ай бұрын
Inapendeza Safi Sana kudumisha mila
@princesele62095 жыл бұрын
dah mungu azid kumuweka huyu mzee kipenzi cha watu
@khadijaabasi4549 Жыл бұрын
Hiyo Safi kua na mke sokoni
@hisanmwakijungu102 жыл бұрын
Tanzania raha sana tuipende nchi yetu
@salmamasoud60557 жыл бұрын
waoo mm nampenda sana bi salma anavyojistri yani hanagashida na mtu wala hanakujisikia kama wake wengine wa wakubwaa penda sana wajina wanguu mwaaaaa
@ikramsafnes30195 жыл бұрын
SAFI sana
@OchoaHomeDecor_7 ай бұрын
Sema huyu mzee miyeyusho sana anagonga na miluzi kabisa 😂😂
@bekashan47922 жыл бұрын
Ni hapo tu sijaona sehemu nyingine, JPM kiboko yao
@hamadeddy80895 жыл бұрын
Rais alietuacha tukiwa tunampenda tuna muhitaji tuna mkumbuka Sana ingekua sheria ya kutawala mpaka mwisho ningetamani aendelee kuwepo madarakani Mola akupe maisha mema yenye afya Tele Mhe. KIKWETE
@nyakinyaki17025 жыл бұрын
kikwete alikuwa na huruma sana kwa watanzania, na hakutumia nguvu Bali alitumia busara na lugha nyenyekevu kwa watanzania
@richardtungaraza75092 жыл бұрын
Enzi baada ya huyu hapo ungeona kila aina ya ulinzi,mabunduki,makamanda,bastola nk
@emmasayi16809 жыл бұрын
man of the people. Mtu wa watu
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Rais niliyeamini angenipa ajira...uwiii
@jamesmahatane27235 жыл бұрын
Ume tisha sana kweli 2019 nime iona tena hii video yako wewe ni mkalim sana