RAIS JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA WAKATIZA MTAANI NA KUNUNUA NG'ONDA

  Рет қаралды 807,630

Adam Gille

Adam Gille

10 жыл бұрын

RAIS DK JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA KIKWETE WAKATIZA MITAANI NA KUNUNUA NG'ONDA KIBANDANI BWENI WILAYA YA PANGANI,TANGA

Пікірлер: 251
@user-qc9jf6rn7u
@user-qc9jf6rn7u 3 ай бұрын
Nawapenda sana Rais mstaafu Kikwete na mama. Mungu awape maisha marefu yenye furaha na amani.
@yassinm69
@yassinm69 3 жыл бұрын
Gonga like Kama umemsikia Mh kikwete akipiga mluzi
@mavindimuhotwe4432
@mavindimuhotwe4432 5 жыл бұрын
Walimwengu jamani duuuh.! Kweli hakuna mtawala mzuri ndani ya utawali. Alitukanwa alibezwa wakati wa utawala wake. Sasa kastaafu mwajifanya mwampenda na kumpa sifa. UNAFIKI HUO NA NI DHAMBI KUBWA
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 күн бұрын
Wakati wa Jakaya maisha yalikuwa mazuri kusema ukweli kumuogopa mungu.Kikwete mungu akulinde sana. Tunakupenda na kukumbuka sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤🙏🙏👍👍😢
@Ja_Eid
@Ja_Eid 10 жыл бұрын
Daah nimeipenda sana..jk kila la kher mungu akupe uhai mrefu sana...
@nyambelewinfrida9074
@nyambelewinfrida9074 5 жыл бұрын
Kama umemuona babu akisalimia kwa goti la kisukuma gonga like twende sawa.
@lukasjnr886
@lukasjnr886 5 жыл бұрын
yaniii
@fortunatemathiasbarabara3686
@fortunatemathiasbarabara3686 6 жыл бұрын
mpaka machozi yamenitoka hongera kwake jakaya nawish ningekuwepo
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Ungekuepo wap
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 2 жыл бұрын
Mzee wangu bila wew nisingetoboa chuo kikuuu😘😘
@ejmalady6923
@ejmalady6923 Ай бұрын
Mzee alitujali sana akiwa waziri wa fedha na akiwa Rais wa jamhuri ya mungano,cjitambulishi.
@allyabdallah2794
@allyabdallah2794 6 жыл бұрын
Huyu ndo alikua raic wawanyonge salute kwake daima tutamkumbuka
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 жыл бұрын
Salute mjomba
@piusmnanka2755
@piusmnanka2755 5 жыл бұрын
Kweli kabisa hata jamaa muuza samaki Leo kafurahi..,
@mussaabdiel9797
@mussaabdiel9797 5 жыл бұрын
Dah nakumbuka wakat nasoma secondary Nina elfu30 mfukon saiv sisomi ila Nina buku tu umegundua nn apo
@abednego3876
@abednego3876 4 жыл бұрын
Ww ni mjinga
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Mussa Abdiel 😀😀😀
@ayutoamos1071
@ayutoamos1071 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@huszarb7865
@huszarb7865 7 жыл бұрын
Itachukua mda sana kuongozwa na mtu kama ww Tz respect nyingi kwako u are blessed
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Huszar B kaongoze wewe basi malaika ilì muda uwe mfupi ngedele mkubwa
@fatmaali2050
@fatmaali2050 2 жыл бұрын
Sifa moja ya kiongozi mzuri maisha hayawi taiti kipindi chake huyu mzee maisha yalikuwa mazuri
@swabratramadhan5045
@swabratramadhan5045 4 жыл бұрын
Mashaallah dady Mungu azidi kukupa moyo huo na utu wako udumu milele
@agustinolazaro7864
@agustinolazaro7864 Жыл бұрын
Mungu akubariki Asante Kwa uongozi wako
@ibrahimabdul5490
@ibrahimabdul5490 8 жыл бұрын
Rais wa watu Manshaallah. Allaah akurehem baba. Ila hakika hautosahaulika milele. Mana kati ya Marais ambao wanaopenda ustaarabu kwa wananchi wake Jakaya namba moja. Rait ingewezekana urudi tena hata madalaka. Inshaallah akupe uhai mrefu..
@goodlackriwa6728
@goodlackriwa6728 4 жыл бұрын
kweli .mungu amjalie aishi maisha marefu
@TZbwaay
@TZbwaay 10 жыл бұрын
Naona leo ni siku nzuri ofisini kwa muuza genge..Angalia bana isije ikawa 'chuma ulete' ...;-)
@xmathematics_
@xmathematics_ 6 жыл бұрын
Johnnie Nyoni 😂😂😂hajawahi uza kM vile
@mavindimuhotwe4432
@mavindimuhotwe4432 5 жыл бұрын
Imani za kimasikini izo. We mwengine wasema ajawahi km hao. Hao wote kachukua na wengine wamebaki. Hata acngepta Kikwete angeuza tu ndio maana kaweka
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Johnnie Nyoni Ww ndo chuma ulete
@kadolenyambasu5511
@kadolenyambasu5511 5 жыл бұрын
I miss u dady....nimeangalia had machoz yanataka kudondoka
@givenmeja6964
@givenmeja6964 8 жыл бұрын
tumekumis baaabaaa... kikwete daaaah...
@joramkumbemba4810
@joramkumbemba4810 4 жыл бұрын
Huyu mzee anaheshimu sana utu wa watu pia Mpenda democracy
@naseralenzi9419
@naseralenzi9419 6 жыл бұрын
kikwete alikua mtoto wakita wallah mngu amjalie kweli kwel baba mwenyewe huruma penda sana wewe
@meshackshedrack2974
@meshackshedrack2974 8 жыл бұрын
Raisi mpenda laia ndiohuyukubali ukatae big up kikwete na mama Salina .
@alvinlembo3360
@alvinlembo3360 5 жыл бұрын
Uwe na miaka mingi
@konde24ful
@konde24ful 5 жыл бұрын
Tz kiukwel ipo vizuri maisha marefu tz East Africa
@kingsfamily9373
@kingsfamily9373 5 жыл бұрын
Sssa huyu ndiye ndiye raisi wawanyonge
@happymushi2219
@happymushi2219 9 жыл бұрын
So nice JK.
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 5 жыл бұрын
nashukuru sana katika utawala wako nilibahatika Kuwa miongoni mwa washereheshaji, jimboni mwetu, Mr jk
@rahmakhassani4148
@rahmakhassani4148 4 жыл бұрын
Haya baba tunakumbukia bata kipindi chako saivi tunaziona kwa macho 😂😂😂😂
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 10 ай бұрын
Safi sana... Tuwe huru namna hii... Mi napenda sana
@sahjunior6361
@sahjunior6361 5 жыл бұрын
I miss you my dady
@iddybora1876
@iddybora1876 Жыл бұрын
Mzee ludi madalakan eeh Mungu tazama vilio vyetu Bora ww tunakumbuka utawala wako ujawahi kutokea cjawah kuckia mtu akikubeza lkn hao wengine wanajijali wao Mungu toa hukumu ya Allah yah Karim
@jpmmusic9662
@jpmmusic9662 4 жыл бұрын
Mama salima mzuri hongera my president tunakumis ulichagua
@ludovicshirima1793
@ludovicshirima1793 3 ай бұрын
Tuseme ukwl mh kikwete anajua kuoshi na watu ana kipaji hyu mzee.👏👏namkubali
@estherbebe2303
@estherbebe2303 3 жыл бұрын
This video makes me smile 😊
@tigertiger3206
@tigertiger3206 3 жыл бұрын
La Tanzanie est l un des pays le plus en paix
@rashidihamis6202
@rashidihamis6202 5 жыл бұрын
hana ulinzi mkubwa sana yaan kawaida tu
@abednego3876
@abednego3876 4 жыл бұрын
Kwa sababu alikua haingilii maslai na wizi wa matajiri
@reggancamp5247
@reggancamp5247 4 жыл бұрын
@@abednego3876 hahahahahahahahahahaaaaa
@isayasway8633
@isayasway8633 4 жыл бұрын
Kama umeona mfuko wa Rambo gonga like yak hap
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 9 жыл бұрын
Yes show love Mr president even to low social status people! Very nice and human.I like that
@nuhubalandya9164
@nuhubalandya9164 6 жыл бұрын
yes! indeed
@wahidaali2592
@wahidaali2592 9 жыл бұрын
Nampenda sana Rais wetu
@titoemmanuel1574
@titoemmanuel1574 5 жыл бұрын
Wahida Ali WO
@sylviamombo815
@sylviamombo815 4 жыл бұрын
Hadi raha
@uwimanasalua1334
@uwimanasalua1334 9 жыл бұрын
Wow nice president I like it
@nassorsubah3100
@nassorsubah3100 5 жыл бұрын
Angalieni tafauti ya makufuli na huyu makufuli anauliza matatizo ya watu kila anapokwenda ni kweli Rais wa wananchi na watu wanyonge jamani Angalieni wenyewe
@husseinmussa8229
@husseinmussa8229 6 жыл бұрын
kikwete bhana anapenda sana samaki wa aina hiyo ng,ando
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 2 жыл бұрын
Hivi ni samaki? Nilidhani mabanzi
@maigajohn702
@maigajohn702 4 жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania
@chelseafcfcful
@chelseafcfcful 10 жыл бұрын
Awsom prez
@saidomary4950
@saidomary4950 4 жыл бұрын
Simple kabisa hakuna ulinzi mkubwa dah miss u my president
@imanianyimike4942
@imanianyimike4942 9 жыл бұрын
Upendo wa dhati kwa watu wote, ubarikiwe, mungu awe nawe daima babaa,
@iddykaponda4123
@iddykaponda4123 4 жыл бұрын
Huyu ndyo rais wa wanyonge ongera sannaa jakaya mungu skubaliki
@allykarim1513
@allykarim1513 5 жыл бұрын
wenyewe wasitarabu sana
@petergathercole2500
@petergathercole2500 7 жыл бұрын
That's good, just like Obama, am so impressed
@jonsonmungure6552
@jonsonmungure6552 4 жыл бұрын
Tanzania tumepataviongozi wazalendo wachahe ndo vyura Mungu awape maishamarefu
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 4 жыл бұрын
Ukihesabu pesa lazima upige na uluzi safi sana
@auntdorah9141
@auntdorah9141 3 жыл бұрын
Hanaga makuu...bado tunampenda ...hii picha inaonesha ni mfano halisi wa Amani ktk nchi yetu... Mungu azidi kuwalinda.
@rithamremi5515
@rithamremi5515 2 жыл бұрын
Love them❤️🙏
@athumanmfangavu7320
@athumanmfangavu7320 4 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@costantineernest745
@costantineernest745 3 ай бұрын
4:48 sio siri kikwete mhhh
@harunamohamed3870
@harunamohamed3870 6 жыл бұрын
mashaallah nimeipenda hiyo
@brownlovekiwall6076
@brownlovekiwall6076 5 жыл бұрын
We love you papa
@mariamhabibu4711
@mariamhabibu4711 4 жыл бұрын
Nakumbuka katka utawala wake tulimtunga jina la big dady na alipokuja Zanzibar kufungua Ofis ya Mkuu wa mkoa na kuweka jiwe la msing shulen kwetu tulimpokea kwa upendo wa hali ya juu na zawad tulimpatia mis you baba
@matisony3603
@matisony3603 5 жыл бұрын
Penda sana rais wangu jakaya mrisho kikwete umemuachia jemedar ngaz kwa hilo nashukuru sana by ibra da silva bunda boy
@neemaukopovizurikakamasawe3394
@neemaukopovizurikakamasawe3394 5 жыл бұрын
westkid TZ vizuri sana mstaafu wetu kwa kupita sokoni na kuwaungisha wafanya biashara mama salima j kikwete oyeeee?
@maranathacharles6481
@maranathacharles6481 8 жыл бұрын
Big up.
@nyakinyaki1702
@nyakinyaki1702 5 жыл бұрын
tunakukumbuka sana mh kama ingewezekana ungeendelea tu kutuongoza sie wanyonge, bado tunakupenda sana mh
@edsoniminani7061
@edsoniminani7061 4 жыл бұрын
Jamani Hakika Tanzania imebarikiwa kwa kuwa na viongozi wenye kuwapenda wananchi wao cheki huo ukarimu wa Raisi wetu
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm 6 ай бұрын
Mzee anataka ng'onda mtu wa pwani safi sana
@gloryben4417
@gloryben4417 9 жыл бұрын
waooooooooooh unatish mzeeee big uo
@bernardmunuo2137
@bernardmunuo2137 9 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@nurjahanabdulrahim9588
@nurjahanabdulrahim9588 4 жыл бұрын
Nureen Ibrahim tuna omba mkuu wa Mkoa Mjini aje kutembelea Mkunazini Kwa lukman restaurant Na mara wote watu wana weka gari I mean parking bila ya pango.hamna utaratibu mkunazini imekua ofiyo you need to see utali wengi Na wana ona uchafu watu wana park gari kama wanao taka wenyewe
@Amaannehal
@Amaannehal 9 жыл бұрын
Very nice People's President
@mohamedramadhani4189
@mohamedramadhani4189 4 жыл бұрын
Yan uyu mzee namlaumu jambo moja tu. Kaondoka na ajira zake katuacha tunahangaika tu. Wee baba wewe daa acha tu
@saeedal-awen2190
@saeedal-awen2190 2 жыл бұрын
Hapo wngekua walinzi wa mwenda zake washasukuma watu
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Ай бұрын
Kila kitu ni enzi na enzi....
@abelyedson6483
@abelyedson6483 7 жыл бұрын
Tutakukumba milele na milele Baba
@kapanyatv4186
@kapanyatv4186 4 жыл бұрын
Nakubar Sana
@madiyaahmad7453
@madiyaahmad7453 5 жыл бұрын
The best president please come back
@iddybora1876
@iddybora1876 Жыл бұрын
Yan huyu akigombea Tena uraisi anapita tunamkubali sana
@rickrosswabongo4116
@rickrosswabongo4116 9 жыл бұрын
A President of the people
@emmanuelnzyuna8907
@emmanuelnzyuna8907 5 жыл бұрын
ur the good President
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 7 жыл бұрын
Mzee WA mambo safi 😆😆😆😆 may. U leave long Mr Jakaya
@abelsamwel9162
@abelsamwel9162 5 жыл бұрын
.
@davidprosper5304
@davidprosper5304 9 ай бұрын
Inapendeza Safi Sana kudumisha mila
@princesele6209
@princesele6209 5 жыл бұрын
dah mungu azid kumuweka huyu mzee kipenzi cha watu
@khadijaabasi4549
@khadijaabasi4549 Жыл бұрын
Hiyo Safi kua na mke sokoni
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Tanzania raha sana tuipende nchi yetu
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 7 жыл бұрын
waoo mm nampenda sana bi salma anavyojistri yani hanagashida na mtu wala hanakujisikia kama wake wengine wa wakubwaa penda sana wajina wanguu mwaaaaa
@ikramsafnes3019
@ikramsafnes3019 5 жыл бұрын
SAFI sana
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 7 ай бұрын
Sema huyu mzee miyeyusho sana anagonga na miluzi kabisa 😂😂
@bekashan4792
@bekashan4792 2 жыл бұрын
Ni hapo tu sijaona sehemu nyingine, JPM kiboko yao
@hamadeddy8089
@hamadeddy8089 5 жыл бұрын
Rais alietuacha tukiwa tunampenda tuna muhitaji tuna mkumbuka Sana ingekua sheria ya kutawala mpaka mwisho ningetamani aendelee kuwepo madarakani Mola akupe maisha mema yenye afya Tele Mhe. KIKWETE
@nyakinyaki1702
@nyakinyaki1702 5 жыл бұрын
kikwete alikuwa na huruma sana kwa watanzania, na hakutumia nguvu Bali alitumia busara na lugha nyenyekevu kwa watanzania
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 2 жыл бұрын
Enzi baada ya huyu hapo ungeona kila aina ya ulinzi,mabunduki,makamanda,bastola nk
@emmasayi1680
@emmasayi1680 9 жыл бұрын
man of the people. Mtu wa watu
@faridaaloyce7672
@faridaaloyce7672 2 жыл бұрын
Rais niliyeamini angenipa ajira...uwiii
@jamesmahatane2723
@jamesmahatane2723 5 жыл бұрын
Ume tisha sana kweli 2019 nime iona tena hii video yako wewe ni mkalim sana
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
Mkarimu siyo mkalimu
@michaelmuhando1461
@michaelmuhando1461 4 жыл бұрын
Yaan nampendaga sana
@shabanikavanga9038
@shabanikavanga9038 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu mzee
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 5 жыл бұрын
Kikweteee😍😍😂
@Adryfierce
@Adryfierce 9 жыл бұрын
MAN OF PPO
@mbondokambi8053
@mbondokambi8053 5 жыл бұрын
Safi mzee wetu wa Pwani
@auntdorah9141
@auntdorah9141 3 жыл бұрын
Ningepandisha bei😁😁
@julaimalidadi7721
@julaimalidadi7721 6 жыл бұрын
kwahakika viva rais we2
@florencekashaija7539
@florencekashaija7539 5 жыл бұрын
Rais wetu na mama Salma bado mnavutia sn
@presseg.6362
@presseg.6362 4 жыл бұрын
Huyu Mzee mbona halindwi kama magufuli Jamani
MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
6:56
Global TV Online
Рет қаралды 650 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 78 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 34 МЛН
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 549 М.
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA ALHAJI DANGOTE
8:16
Adam Gille
Рет қаралды 127 М.
OBAMA IN TANZANIA 2013
13:00
MUHIDIN MICHUZI
Рет қаралды 616 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН