No video

EXCLUSIVE: AyoTV yamtembelea Mstaafu Kikwete "nanenepa siku hizi, mlikua mnanifuja"

  Рет қаралды 729,434

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Kama ulikua miongoni mwa wanaotamani kumsikia au kufahamu shughuli anazofanya kwa sana Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, taarifa ikufikie kwamba AyoTV imemtembelea Msoga na akatuonyesha anachofanya.

Пікірлер: 469
@chipatv677
@chipatv677 7 жыл бұрын
Mstaafu Jk nakukubali sana. Like hapa km unampenda JK
@emanueljtluway1265
@emanueljtluway1265 6 жыл бұрын
Chipa Tv jk
@alyaly9941
@alyaly9941 5 жыл бұрын
Hongera kj kilimo huondoa stress
@stevensosipita2851
@stevensosipita2851 3 жыл бұрын
Ampende Nani?muuaji mkubwa huyo?
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 7 жыл бұрын
mzee wa Msoga hongera sanaa,U na busara sanaa wewe Mzee.Mungu akupe maisha marefu
@migogelemkude7415
@migogelemkude7415 5 жыл бұрын
Hongera Mzee utazidi kupendwa daima Allah akulinde akulipe ulitutumikia sema ASANTE SANA
@verohumpa7126
@verohumpa7126 4 жыл бұрын
Good
@romanus9700
@romanus9700 6 жыл бұрын
Safi sana, I am from Kenya and I like Tanzanian leaders from Nyerere, mwinyi makapa, kikwete to magufuli.great leader's.
@hishamally4846
@hishamally4846 4 жыл бұрын
Mzee nakuhusudu sana mpaka basi
@jamessanga7120
@jamessanga7120 2 жыл бұрын
👊❤️🇹🇿
@jimmyjohn8184
@jimmyjohn8184 6 жыл бұрын
Safi sana mzee wetu, vijana tupo nyama tunasubiria baba usafishe njia nasi tupite kwa wepesi. Mungu akufanyie wepesi na kukuhifadhi miaka mingi zaidi
@alquinmadoro5767
@alquinmadoro5767 7 жыл бұрын
Hongera Sana mkuu Wewe ni mfano WA kuigwa ,yan daaah Much respect kwako #former president
@abdillahmkumba9217
@abdillahmkumba9217 6 жыл бұрын
Alquin Madoro
@colmanmwacha5811
@colmanmwacha5811 6 жыл бұрын
Alquin Madoro poa sana jemedary
@sylivesterraphael0112
@sylivesterraphael0112 4 жыл бұрын
Mzee sikiliza mzee bado nakumbuka ile salusafa yako maisha mazuri kwa kila mtz nilijenga kwa uongozi wako lakini leo hata banda la kuku limenishinda kwa hapa kazi tu nakukumbumbuka mwana democracy God bless you
@senatormatemu5580
@senatormatemu5580 7 жыл бұрын
One of the best video clips ,inspirational move .Congratulations former President JK Kikwete.
@shelbykackoy5309
@shelbykackoy5309 2 жыл бұрын
Tukipata maji ya kumwagilia ? Fuck off you were president for 10 years.
@gracekulaba7015
@gracekulaba7015 6 жыл бұрын
Hongera sana JK. You will always inspire many of us
@josephgomalo41
@josephgomalo41 7 жыл бұрын
Nitajitahidi na mimi nifikie hapo.. asante sana mzee Kikwete .. You practically bring me back to Bagamoyo secondary.. Agriculture class...
@stewartmillanzi7198
@stewartmillanzi7198 7 жыл бұрын
Hongera sana mkuu...wewe ndo mfano bora wa kiongozi mvumilivu unayejitambua na kufanya mambo kama mtu mzima. Hongera kwa kuwa msuluhishi mzuri. Wenzako uliowaacha hawajiwezi...wamebaki kufanyiana visa tu na hata majirani zao wameanza kuwa na utata nao. Ni hatari tupu. Kumbe wewe ulikuwa chaguo la Mungu. Tumekumisi sana Kamanda.
@flyhigher5393
@flyhigher5393 7 жыл бұрын
mzee huyu ana hekimaaa sabaa,mwnyez mung ampe maisha marefu..... Amiiin
@geofleyshiuga2487
@geofleyshiuga2487 6 жыл бұрын
p1
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Abdul Gingo Ameni
@mugenyagakala3350
@mugenyagakala3350 7 жыл бұрын
maisha bora kwa kila MTZ. Hongera jembe.
@ismailramole1700
@ismailramole1700 7 жыл бұрын
DAH...KWELI YOU WILL NEVER KNOW WHAT YOU HAVE UNTIL WHEN YOU MISS IT...NOW NDIO NAJUA UMUHIMU WA MZEE WETU JK.HE WAS A GREAT LEADER WA MFANO AFRICA.GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY.
@jichomtandaoni8281
@jichomtandaoni8281 4 жыл бұрын
Yaan we fikiria akiondoka magu, makonda anachukua nchi
@agneserasto9806
@agneserasto9806 5 жыл бұрын
Afi sana raid ,wetu mstafu ,kwa kazi njems ya hufugaji ,tutajifunza kutoka kwako ,
@fransicochunji327
@fransicochunji327 6 жыл бұрын
Mungu akuinue mheshimiwa,kazi yako imeonekana,ndo maana Tanzania iko hapa.
@NashonMbumba5
@NashonMbumba5 7 жыл бұрын
Hongera rais mstaaf....hiyo n kazi njema
@sophiamsangi9763
@sophiamsangi9763 3 ай бұрын
Hongera sana huo ni mfano wa kuingwa mungu aendelee kukubariki na kukutunza ningekuwa karibu ningekuja kuchukua gunia moja
@jamesjoseph4460
@jamesjoseph4460 7 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo mkuu kwakweli ninahitaji elimu hiyo ya ufugaji wa ngombe wa maziwa ,na kilimo.Mungu akubariki elimu hiyo itufikie na huku KAHAMA,asante sana.
@moviesandinfotv9933
@moviesandinfotv9933 5 жыл бұрын
Naomba Kaz ya kukamua maziwa 🙊 mzee wetu nakupenda mstaarab sana
@abdallahmashua7234
@abdallahmashua7234 7 жыл бұрын
Safi sana kiongozi,naona unazidi kutuongoza kwenye ujasiriamali
@sheiykingtv3713
@sheiykingtv3713 4 жыл бұрын
Kikwete Mungu akupe Afya zaidi
@feliciankavishe6792
@feliciankavishe6792 4 жыл бұрын
Watanzania hatujui tunatakann hata trump juz kazkati katuahangaa
@michaelchongolo1316
@michaelchongolo1316 7 жыл бұрын
nakupenda sana mzeee wangu jk haya ndo maisha yetu
@feliciankavishe6792
@feliciankavishe6792 4 жыл бұрын
Hongere baba mzee kikwete, ila mzee nikwambie kitu huyu ulietuachi kazi tunayo kufa hatufi ilakilamtu siriyake
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa JK. Unaonekana kijana na mwenye afya njema kuliko wakati ulee. Hii ni kwasababu huna roho mbaya wala chuki. Wewe ndio baba yetu wa Taifa Sasa mzee wetu Mwinyi umri umeshakwenda. Allah azidi kukujalia afya njema wewe na familia yako inshallah.
@nkeshgomegwa1677
@nkeshgomegwa1677 4 жыл бұрын
Duh nafurahi sana nikikuona baba Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu
@gregorymmasi3442
@gregorymmasi3442 5 жыл бұрын
Miss u sana mzee wetu. Hope one day nitakuona. Busara kubwa. Appreciated sana sana live long Mzee JM Kikwete.
@jumamataro4870
@jumamataro4870 2 жыл бұрын
Jakaya poa sana watanzania tunakutakia maisha malefu mbele za mungu
@esperancenathali
@esperancenathali 4 жыл бұрын
Tanzania kila kiongozi anaye mnae mchagua huwa anajaa tabasamu na nyuso za ukarimu big up sana my country born
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 7 жыл бұрын
Mwanasiasa mwenyesiasa zake we miss u mheshimiwa jk
@kibondeezekiel4459
@kibondeezekiel4459 7 жыл бұрын
AYO TV nawakubali Sana.... Hiyo Ilikiwa bonge la Interview.....our ex-President is so inspirational!
@yunushamis4839
@yunushamis4839 5 жыл бұрын
safi sana unahekima, unajua kujibu dah! wanaokutukana mungu anawaona akina msiba walaaniwe kabisa safi sana kwa darasa lako nimejifunza kitu kupitia majibu yako mazur.
@abedkirway3640
@abedkirway3640 5 жыл бұрын
Mwenyenz Mungu akupe maisha marefu Babaetu tunaekupenda jk Rais Wa mfano duniani
@sanaanimaisha4072
@sanaanimaisha4072 7 жыл бұрын
Tunakupenda sana mstaafu. Hekima na busara zako hazina kipimo. Wewe ni mfano wa kuigwa.
@shemsasereman7582
@shemsasereman7582 6 жыл бұрын
mashallah
@hosearwechungura7164
@hosearwechungura7164 7 жыл бұрын
Tunakupenda sana Mhe. Jk, Obama wa Tanzania!
@simonmacktauo6521
@simonmacktauo6521 7 жыл бұрын
i wish you were still our president .we miss you so much. so deep in agriculture mpaka unajua tissue culture.congrats sana nazichanga na mimi nije huko kupiga picha tuu.
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 жыл бұрын
Hongera sana Kikwete, uko vizuri, kumbe nazaliwa ndio unaanza kilimo, duh! hongera
@abdallahramadhani3571
@abdallahramadhani3571 4 жыл бұрын
Mambo
@mosesndahani3049
@mosesndahani3049 5 жыл бұрын
Rais wetu unamoyo wa peke Mungu akujalie maisha marefu.
@zuhuraabdurlazack8008
@zuhuraabdurlazack8008 7 жыл бұрын
Nampenda sana huyu baba😘😘
@halimamlili8803
@halimamlili8803 7 жыл бұрын
Tumekimis kwakweli baba yetu 😘😘😘mung akupe maish malefu
@bertinsayumwe6621
@bertinsayumwe6621 5 жыл бұрын
we miss you our lovely Dad Mungu akupe maisha marefu
@salumabdallah1617
@salumabdallah1617 7 жыл бұрын
mungu akuzidishie mheshimiwa
@anthonyyalanda1540
@anthonyyalanda1540 4 жыл бұрын
Mkuu Kikwete Barikiwa sana,kilimo ni uhai wa maisha ya mwanadamu,hongera baba
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 7 жыл бұрын
Salute mkuu
@ludovicshirima1793
@ludovicshirima1793 Ай бұрын
Kaka milard Ayo naomba sku moja nikapaone nimerudia hii clip Ina funzo kubwa namfatilia Sana kiongozi wetu socially na anafanya mazr naomba nipelek live kka milard Ayo nikajifunze
@marymichelle6280
@marymichelle6280 5 жыл бұрын
Very inspiring interview, hongera sana mheshimiwa Raisi mstaafu.
@hamzazimbwe1327
@hamzazimbwe1327 5 жыл бұрын
Hata vizuri viwe vingi vipi, ila kila mmoja hakosi kitakacho mvutia zaidi, My President, nakukubali sana, na nimevutiwa sana na hekima mungu akizo mjaaliwa, May Allah protect you from all the bad deeds
@abdulmamboya4561
@abdulmamboya4561 5 жыл бұрын
mungu akupe umri mwema kweli ukiwa kiongozi unazeka ukitoka kwenye madaraka unaludi ujana kabisa mungu akupe swiha mzuri
@hamzazimbwe1327
@hamzazimbwe1327 5 жыл бұрын
Kweli kabisa @abdul
@enockkitomarys4909
@enockkitomarys4909 6 жыл бұрын
ni juhudi nzuri mh jk mungu akupe maisha marefu
@fransicochunji327
@fransicochunji327 6 жыл бұрын
Asante mheshimiwa kwasomo lakilimo,kuna kitu kikubwa sana,umekifundisha
@ramadhaniissa5370
@ramadhaniissa5370 5 жыл бұрын
Nakukubari kikwete we ninoma nakupenda we ni raisi bora kuliko maraisi wote thenk you Mr plesdent
@josephndomba1895
@josephndomba1895 7 жыл бұрын
hongera sana rais wetu mstafu.
@wilsonmkumbo7199
@wilsonmkumbo7199 3 жыл бұрын
Hongera mstaafu,upo vizuri!
@adamgeorge5532
@adamgeorge5532 7 жыл бұрын
nice sana baba your good example for people
@maryamsinganomaryamsingano7938
@maryamsinganomaryamsingano7938 7 жыл бұрын
nimtu msitaalabu sana na mcheshi sana mungu akupe umri mrefu
@kamandab7976
@kamandab7976 7 жыл бұрын
Ubarikiwe raisi mstaafu
@TheKilasi
@TheKilasi 7 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu mstaafu
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
HUYU baba MPOLE, mkalimu, ana huruma, ana subira YAANI anaweza kutembea kwa mguu usiku kucha bila bodigadi, anaweza kulala nje ya nyumba miaka hata 50 bila ulinzi. KTK marais waliopita ameacha historia iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu. Asilimia 99.9 ya WATANZANIA tulimpenda. Bila kuwasahau wazee watu 2 MZEE Mwinyi na Mkapa mlitumia akili nyingi saaana kutupatia unafuu wa maisha japo asilimia 50! Tunawashukuru, Mwl. Nyerere anayo pia mengi mazuri Aliyotufanyia tunamshukuru, Rais Magufuri hata anayo mengi mazuri tumuombee tusimkatishe tamaa hakuna aliyekamilika. Hata niliowasifia wanazo pia lawama. MUNGU IBARIKI TZ NA WATU WAKE, WABARIKI VIONGOZI WATU.
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 5 жыл бұрын
Well said unaakili sana
@amryzubery1051
@amryzubery1051 5 жыл бұрын
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe kweri kabsa umenena ukwer
@jarednyakomitta6570
@jarednyakomitta6570 7 жыл бұрын
What a great man.
@johnmpeka5494
@johnmpeka5494 2 жыл бұрын
You are Great Leader Mzee
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Dr. Bna anaish maisha ya raha sana hana hata matambo yan
@andrewwilliam2792
@andrewwilliam2792 4 жыл бұрын
Mzee Safi Sana,tutajifunza kwako.
@zephaniahkinuno7473
@zephaniahkinuno7473 6 жыл бұрын
Vizuri zaidi,
@shaabanmusa5127
@shaabanmusa5127 7 жыл бұрын
All de best Mkuu
@charlesmartin1448
@charlesmartin1448 7 жыл бұрын
congratulations my former president .That was good
@chachayohana2717
@chachayohana2717 6 жыл бұрын
Hakika umenihamasisha sana kiongozi, ili mtu ufanikiwe lazima uwe na mawazo mbandala na si kuangalia kwa macho yote kazi moja. Mungu akujaalie afya njema.
@agathaluambano8305
@agathaluambano8305 7 жыл бұрын
Mungu akubarik
@simonmacktauo6521
@simonmacktauo6521 7 жыл бұрын
i will be so fake if i dont like it.big up my president you are my no 1 president though i am upinzani.putting politics aside you are such an inspirational figure in our society come rain come sunshine..mimi nafanya research za tissue culture majoring in plantain bananas.lakini sijui ardhi nitapataje au nikipata sijui wa sasa hivi watatunyang'anya.stranded
@jordantwarindwa5399
@jordantwarindwa5399 13 күн бұрын
MHESHIMIWA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, NDIYE MTU MWENYE MVUTO NA WA THAMANI SANA KATIKA MEDANI ZA KISIASA, KIJAMII NA KIUCHUMI DUNIANI, KWA VIONGOZI WASTAAFU WALIOKO AFRIKA
@daudimariseli3627
@daudimariseli3627 7 жыл бұрын
hongera sana mkuuu
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Nakupenda sana mzee wangu kwa hekima ulonayo
@ephraimrichard6701
@ephraimrichard6701 4 жыл бұрын
Tunakumiss jk charming sana
@zakaboy1305
@zakaboy1305 5 жыл бұрын
ulituongoza vyema be blessed
@olaislukumay571
@olaislukumay571 7 жыл бұрын
aise nimeipenda sana
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 7 жыл бұрын
Nakukubali sana rais mstaafu kupiga stori na vijana wako namna hii raha sana Mkapa hawezi muda wote yeye ni utandawazi na siasa tu.
@agneserasto9806
@agneserasto9806 5 жыл бұрын
Waheshiwa wote wa cha mapinduzi mungu awabariki sana henderheni kumuhombea mdogo wenu rasi jpm kwa majukumu mriyomkabizi ya kuwatumikia watanzania ccm hoyeeeeeeee
@daudimahede6014
@daudimahede6014 7 жыл бұрын
nice lesson my former president
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 7 жыл бұрын
congratulation the former president J.K. I miss you a lot. may god bless you. you encourage us to work hard as farmers. we try to do at our best effort may be one day we can reach the goal.
@silikonnyondo5899
@silikonnyondo5899 3 жыл бұрын
Shemeji tutakukumbuka milele
@richardmakala9354
@richardmakala9354 7 жыл бұрын
MZEE PEACE SANA HUYU
@mjegembishalms2461
@mjegembishalms2461 2 жыл бұрын
Mzee ana loho mbaya sana na watanzania wote wala hana huluma mshenzi watabia
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 2 жыл бұрын
Sante sana Mhe.Kikwete kwa kuwa mkulima shupavu.Hata sasa unaelimisha wengine.
@okokamdimbwaokoka2179
@okokamdimbwaokoka2179 3 жыл бұрын
Nakupenda sana mstafu ww unahekima sana
@isaackalenge8194
@isaackalenge8194 Жыл бұрын
Kikwete ni mtu mzuri,Mungu akulinde na kukuongezea siku
@johngaramtoni924
@johngaramtoni924 3 жыл бұрын
Uko vizr mr jk ni wachache wanao fanya ivo baada ya kustaafu
@abedymigodela1314
@abedymigodela1314 5 жыл бұрын
Kwakweli kikwete ni mwisho wa maelezo aiseeee Mungu akurinde mh.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Jembe kama Jembe, hanaga mbwembwe wala mambo meeengi wala Masifa ya Kijinga, Ubarikiwe saana na Mungu akupe umri Mrefu
@lizwanilwila4294
@lizwanilwila4294 7 жыл бұрын
hongera sana baba
@abdulkamjang7250
@abdulkamjang7250 7 жыл бұрын
ziara
@SensaManzagata-tv7ds
@SensaManzagata-tv7ds 7 ай бұрын
Hongera sanaa Rais msitafu wa awamu ya nne nimeisoma sana hiyo click yako ya kilimo na ufugaji uliyoitoa miaka wakati nikiwa form two ukiwa kwenye mazungumzo ya ayo tv
@petronillajosephat2655
@petronillajosephat2655 3 жыл бұрын
binadamu sisi viumbe wa ajabu sana kipindi Jk akiwa raisi watu walimsema vibaya sana ila leo hii comment nyingi we miss you ,kiongoz mwema.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Nafurahishwa na viongozi watanzania...huku Kenya hata naibu wa chifu ana acre Mia...wananchi wa kawaida wanaishi kwenye slums....
@agnesschengula5937
@agnesschengula5937 4 жыл бұрын
hatataacha kukumbumbuka kwa mema uliyotutendea.mungu akupe maisha marefu mheshimiwa
@fortunatusyemilliokaguo3883
@fortunatusyemilliokaguo3883 4 жыл бұрын
HONGERA SANA BABA MSTAAFU KWA KILIMO BORA
@swidickbatenga7714
@swidickbatenga7714 7 жыл бұрын
Vizuri sana msitahafu prezida
@vibetz9991
@vibetz9991 7 жыл бұрын
Kwa maisha yalivomagumu, MTU unaeza ukatamani uwe ng'ombe wa jakaya
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Tanzania Funny hahahahaha hakiamungu Magufuri kazi anayo, watu mln 55! 50 ni weu
@tressbamazing5256
@tressbamazing5256 6 жыл бұрын
kabisa yani
@kulwahamisi4079
@kulwahamisi4079 5 жыл бұрын
Haaaaa,yaani unaweza kunenepa acha.
@mwalukoerick2801
@mwalukoerick2801 5 жыл бұрын
Tanzania Funny Kuma kweli ww unafikili au funza
@Amani715
@Amani715 5 жыл бұрын
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe ha ha ha ha...umenena😂😂😂
@mpokimwasimba
@mpokimwasimba 7 жыл бұрын
I love this former president
@janebrighton7312
@janebrighton7312 3 жыл бұрын
After nyerere your the best too for me
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz 4 ай бұрын
Kikwete mzuri Sana
@taraiyalaizer6172
@taraiyalaizer6172 7 жыл бұрын
Amazing project👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@teresiagodfrey4786
@teresiagodfrey4786 5 жыл бұрын
Mimi nayapenda Sana hayo mahindi tafadhali unaonapo ujumbe huu unipatie hayo mahindi pls rais mstafuu
@daudimaguha9447
@daudimaguha9447 7 жыл бұрын
ridhiwani, mshauri dingi afuge Ng'ombe wekundu, sawasawa.?
@yonasangitho4485
@yonasangitho4485 7 жыл бұрын
mzee uko vizuri mzee
@missionarymallyachannel1531
@missionarymallyachannel1531 5 жыл бұрын
Ayo eee hapo kwa JK sawa tusaidie tena projects za mzee Mkapa tuone nani zaidi
@ernestjohanes9087
@ernestjohanes9087 7 жыл бұрын
Upo vizuri
@nyakiemaranga3115
@nyakiemaranga3115 6 жыл бұрын
Big up Mr President,
@wazirimakua8769
@wazirimakua8769 7 жыл бұрын
Wabongo tumeshasahau ya kuwa tulimtukana sana kana kwamba hajaifanyia lolote nchi hii, mwacheni apumzike na kuendesha shughuli zake binafsi.
@hamadhosseini4694
@hamadhosseini4694 5 жыл бұрын
vp
@googleskills7049
@googleskills7049 7 жыл бұрын
Hongera
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 551 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 30 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 33 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 13 МЛН
Natengeneza Millioni Ishirini kwa Wiki - Kyando
5:35
TAHA ONLINE TV
Рет қаралды 37 М.
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 289 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 30 МЛН