Hawa ndo katika viongozi wazalendo na waadilifu wa bara letu la Afrika
@JamesLyakurwa-zi8kb Жыл бұрын
Ñilimpenda Sana
@AbdallahSimba-wr1wr Жыл бұрын
Edward moringe sokoine alikuwa ni muadilifu sana msicomment kitu ambacho hamkijui kila kiongozi amefanya kazi kwa nyakati zake kuna watu wanatuletea udini hacha kama ijui viongozi wetu wanafanya nini Unafananisha viongozi mnajua julias nyerere kazi alizofanya
@daboy_255 Жыл бұрын
Ile Dhana ya watu wa kaskazini hawatakiwa kuwa Marais ndo ilitekelezwa hapa ... ila jamaa ni mtu na nusu aisee
@saidramadhan5086 Жыл бұрын
Hongera Sana sokoine
@allychale2885 Жыл бұрын
Nandomaa nyerere analaaniwa na wazanzibari hadi leo
@sylvanusmillanzi Жыл бұрын
Huyu ndiye kiongozi mzalendo SI kama mwanakwenda na makanjanja wengine
@khamissaleh921 Жыл бұрын
Mmm haya kifo chake kilipangwa au kilikuja kimazingira gani ?
@paschalmartin9598 Жыл бұрын
Angekuwepo leo angeitwa dikteta
@kisotatiitye8221 Жыл бұрын
Vichwa vya kitanzania halisi ndio hisi
@juliuskitaluka1206 Жыл бұрын
Huyu bwsna alikuwa ni mcha MUNGU
@edwinnzigo4670 Жыл бұрын
Sokoine alikuwa nimtu nanusu hawa ndio viongozi bhana. Alafu anatoka mtu mmoja anasema wazuru wanadumu kivi?
@josephmoyo5617 Жыл бұрын
Mamburula ndiyo haya , yanayosema wazuri hawafi.yani nikauli yaajabu kbs kuwahi tokea.
@fadhilmoses5499 Жыл бұрын
Alishiba makande yule mzee
@sebastiangeophrey7860 Жыл бұрын
Wanajituma viongozi wetu watakatifu
@Smartboy-wt1es Жыл бұрын
Alikua bado kijana kabisa daaaaa
@leahsamson9354 Жыл бұрын
Baada ya sokoine amefuata majaliwa, hapa Kat mawazir feki
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Watu watatu tu Tz
@ramadhaniseifuledi513 Жыл бұрын
Walimuua people sio people
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
JPM alifuata nyayo za huyu jamaa!
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Unajuwaaaa ivoivooo Tania nzuri uerewa WA maisha ya watu Hawa ndo viongozi WA kweri lakin mungu anajuwa tungekuwa mbari sanaa kiuchumi arooooo
@TamuzaKale Жыл бұрын
Halafu mnajiongopea kwamba wakati wa Nyerere hakukuwa na upigaji?
@johnbabo975 Жыл бұрын
sijaona kiongozi km sokoine na mgufuli wengine wanaiga tu na hawatatokea kamwe
@hanafitotoya7762 Жыл бұрын
Mimi naona shetani nimama yko mzazi pamoja na babayako
@user-gr2ec5uj1s Жыл бұрын
Uyu na magufur ndio viongizi bwana sasa iv mafsad watupu
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Kiongozi ni SOKOINE na MAGUFULI wakina samia na kikwete ni mashetani wanaotembea
@yakobokuzenza6837 Жыл бұрын
Kama ulivyo shetani ww.
@nemecymsanya4952 Жыл бұрын
@@yakobokuzenza6837 😂😂😂
@stevenbenedict1750 Жыл бұрын
Lazima angekua raid baada ya mwNyerere
@stevenbenedict1750 Жыл бұрын
Kifo chake ilikua in njama za mabeberu Kwa aliegonga gari lake hakua mtanzania.
@frashconnect.1 Жыл бұрын
Watu hua wanajizima data, jana nimetoka mahakan mshikaj wangu aliandika upuuz kama huu na kupewa sifa, leo mwez wa 3 yupo ndani . Kijana kabla ya kuandika , Tafakari. Nione mjinga sasa, lakin utakumbuka siku 1