Yaaani sijui nipataje the rest team member me am visionary
@GustaviusBanturaki8 ай бұрын
Me ni Human resources officer katika kituo cha afya changamoto iliyopo haya ni ukosefu wa innovator na analyst lakini shida kubwa hasa ni top leader kutokuwa tayari kwenda na changes mwishowe we loose our customers and at the end we are struggling financially . Sir please I need you help what can I do?
@evaomondi82188 ай бұрын
Mimi ni strategist. Kwa kweli wale wengine bado natafuta.😊
@pauljosephtarimo22798 ай бұрын
Hili limenigusa moja Kwa moja
@israelzakayo51798 ай бұрын
Ubarikiwe na mungu kaka
@maulidnuhu77338 ай бұрын
Ndugu yangu mimi naona sina kabisa
@ifmknowledgepower73338 ай бұрын
Somo limenifikia kwa wakati sahihi, Ahsante sana my friend Joel auther Nanauka
@Jackson_Kisanga8 ай бұрын
Ahsante kaka
@mohamedismail26628 ай бұрын
somo bora sana
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante br Joel hapo umegusa ndipo...kazi tunayo
@mohammedrashid29068 ай бұрын
Upo sawa
@joely228 ай бұрын
Samahan brother Kwa mda wa miez kadhaa nkufwatilia nimeipenda San Kaz Yako maan inaelimu ndani yak but naomba ushaur me Nafany Kaz ya kuwajiriwa nikijarbu kupang bajet yangu ya mwez ni kwamba nitabakiwa tu na &1 ya mshahar Wang naomba ushaur,🙏
@hildahmathew78008 ай бұрын
Well done broo
@clarasabutoke69078 ай бұрын
Amen
@vitarismujuni68898 ай бұрын
Ccm hao
@tumainselestine33988 ай бұрын
Nipo kwenye kundi la innovator...ninaye ona mbele
@eliastanda98258 ай бұрын
❤❤❤❤
@eliastanda98258 ай бұрын
Me nipo sehemu mbili communicator, pia visions but kweny team yangu sina action member
@brotherdanii97008 ай бұрын
🖊️🙏
@edithavalelian2568 ай бұрын
Somo zuri sana, ila hao marafiki nilionao sijaona mwenye sifa izo hata mmoja 😅😅
@joelnanauka8 ай бұрын
Hapo kazi kweli kweli
@newgarden80368 ай бұрын
Hujazyngunza watu wanaomwambia ukweli
@rizikikweka50188 ай бұрын
Innovative
@maulidnuhu77338 ай бұрын
Namnabora ya kuwapata ndiyo nahitaji
@masilastahona70108 ай бұрын
Nilidhani nikiherehere kumbe ndivyo ilivyo asnte nimepata kitu kipya Sasa 🤣 asnt kunipa jicho lingine 🙏