DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....

  Рет қаралды 1,384,804

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 07, amewasili mkoani Sumbawanga akiendelea na ziara yake nchini ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali...
Katika ziara yake ambayo ilianzia mkoani Songwe, Rais Magufuli, ameongozana na mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, Waziri wa mambo ya nje, Profesa Kabudi pamoja na naibu waziri wa michezo, Juliana Shonza..
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 739 750 910 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzbin.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzbin.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzbin.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
kzbin.info?list...

Пікірлер: 478
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e
@isdoryndasi
@isdoryndasi 3 күн бұрын
Ok
@KelvyKessy-sy4dd
@KelvyKessy-sy4dd 2 ай бұрын
Alieangalia mwaka huu gonga like
@carlmax2221
@carlmax2221 Жыл бұрын
God bless Tanzania 🇹🇿🇹🇿 and rest in peace President Magufuli...much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@goldgod9963
@goldgod9963 4 жыл бұрын
E mwenyezi Mungu nipe namimi kipaji cha kua kiongozi bora kama cha Rais wetu kipenzi Magufuri
@happymsaki1720
@happymsaki1720 4 жыл бұрын
🙄🤗🚶‍♀️
@yusraswalah4734
@yusraswalah4734 3 жыл бұрын
Rest in peace Doctor John Pombe Magufuli no one will replace your party
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 5 ай бұрын
Really no one but maybe me
@emmanuelraphael679
@emmanuelraphael679 2 жыл бұрын
Tunakumiss sana rais wetu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@saidntisi5994
@saidntisi5994 4 жыл бұрын
Aliesikia kuwa kiongozi wa soko ni mnene anipe like zang.
@rajabukhalfan3026
@rajabukhalfan3026 4 жыл бұрын
President JPM to be honest I appreciate you very much for your strong leadership You are the Gift from God to Tanzanians.. CCM didn't do mistake to nominate you.
@viateurminani4863
@viateurminani4863 2 жыл бұрын
He was one of the best African president
@omarbunu3412
@omarbunu3412 9 ай бұрын
I am Kenyan but I miss magufuli BaBa wa wanyonge
@hadijaangura6572
@hadijaangura6572 4 жыл бұрын
Makufuli i wish ww ungekuwa rahisi wa kenya jamani
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 жыл бұрын
Karibu Tanzania. Tunaenjoy kuwa na Rais Magufuli.
@victorsudi2687
@victorsudi2687 4 жыл бұрын
Kweli bro
@aliandrew3537
@aliandrew3537 3 жыл бұрын
Ndo nuru ya magufuli isha enda ALLAH ATUREHEMU FROM KENYA... SITOKUSAHAU
@hamissuche6576
@hamissuche6576 3 жыл бұрын
Mie 🇰🇪 ila nauliza wakenya wenzangu na waganda respectively,.. Je akifa uhuru na yoweri watu watauzunika kama alivyokufa jpm jmni naomba majibu yenu,. Rest in peace magu,.. Nalia sana
@nsanzetito1453
@nsanzetito1453 3 жыл бұрын
Na Uganda si Kenya tu
@davidmayenga48
@davidmayenga48 3 жыл бұрын
Asante Mungu kwa maisha na uhai uliompa JPM!
@wilisonastone660
@wilisonastone660 4 жыл бұрын
For you to be leader you need to have wisdom from God.karibu Kenya uwe rais wetu hapa Kenya hakuna haki
@presidentzenith
@presidentzenith 11 ай бұрын
Always a pleasure listening to you JPM ❤
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@dorcharity1005
@dorcharity1005 Жыл бұрын
🤝🤝🥰🥰
@elvisthoya3864
@elvisthoya3864 Жыл бұрын
Well quoted bro
@dismassabinus7031
@dismassabinus7031 3 жыл бұрын
tutakukumbuka daima rais John pombe magufuli
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 жыл бұрын
Nimegoma kuitisha uchaguzi 2020 namtaka MAGUFULI aendelee kuongoza
@fabiankyando1189
@fabiankyando1189 4 жыл бұрын
Mungu akulinde Rais wangu,Mungu akurehemu,Mungu akupe hekima uishi miaka mingi ili tuone nchi yetu itafika wapi,Viva Tanzania, Viva Rais Magufuli
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿
@yakoubayoub8958
@yakoubayoub8958 Жыл бұрын
😔😭😭
@ernestonesmo405
@ernestonesmo405 4 жыл бұрын
Kiongoz wa soko naye mnenee 😂😂😂😂 daaah magu ni shidaaa sijui maneno anayatolea wap
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 4 жыл бұрын
Ernest Onesmo 😀😀😀
@visualservices8897
@visualservices8897 2 жыл бұрын
Utafika mbinguni umechoka
@mbwanaomary7537
@mbwanaomary7537 Жыл бұрын
Allah ailaze roho yako mahali pema peponi amiin
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 2 жыл бұрын
Lala Salama Nahoza wetu Jahazi umeliacha ila Manahoza wamekuwa wengi sasa na limeshazama 😭😭😭😭
@orgenessjasper7649
@orgenessjasper7649 4 жыл бұрын
Hongera Rais wetu kwa kazi nzuri ya ufwatiliji unayofanya mungu akubariki
@guleedadan3403
@guleedadan3403 3 жыл бұрын
We want president uhuru to do exactly this kind of work and he should start it with Wajir county goverment.
@peterngige1813
@peterngige1813 Жыл бұрын
Hawezi
@neemaalby5825
@neemaalby5825 4 жыл бұрын
Mungu akuwezeshe Akupe umri Sijapata kuona kiongozi kama wewe MHESHIMIWA RAIS. MIMI NI MKENYA NA NATAMANI NINGEKUWA MTANZANIA NIKAJIONEA NA KUFAIDI KATIKA UONGOZI WAKO.
@kiswahilikitukuzwe2547
@kiswahilikitukuzwe2547 4 жыл бұрын
Usijali kwani tutamchagua JPM kuwa raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki atakapomaliza awamu yake ya pili ya uraisi wa Tanzania.
@happymsaki1720
@happymsaki1720 4 жыл бұрын
Njoo Tz ndgu yngu sie tunaraha kama zote na MAGUFULI wetu kipenzi changu wanyonge 2020 bila kupingwa
@yasingawaza3087
@yasingawaza3087 4 жыл бұрын
Neema Alby
@lastborn6620
@lastborn6620 2 жыл бұрын
@@kiswahilikitukuzwe2547 ndugu zangu kizuri hakidumu.
@mcmwasha9668
@mcmwasha9668 4 жыл бұрын
Kuna mtu anasema eti utawala wa kisheria umekufa ulitaka sheria gani sasa inayobembeleza mpk lijengwe ghorofa wakat wafanyabiashara hawana tena soko,tunga sheria yako weka ghetto kwako we need to move far now
@pendael02
@pendael02 4 жыл бұрын
Ulituchelewesha, na watu huwa wanataka kupata mianya ya jato asilimia kumi. Tupilia kule
@pendael02
@pendael02 4 жыл бұрын
Pia ni mifumo ya kizungu
@neemahalisi9302
@neemahalisi9302 4 жыл бұрын
nice nice niceeee
@husseinomary4466
@husseinomary4466 4 жыл бұрын
Sidhani Kama kunasababu yakufanya uchaguz labda wawabunge tu lakini kiapnde hiki aapishwe tu Mambo yaende
@leonardemmanuel9249
@leonardemmanuel9249 4 жыл бұрын
Pesa za kampeni za 2020 ,zijenge zahanati na vituo vya afya ,2020✔️
@lukaspatrick4117
@lukaspatrick4117 4 жыл бұрын
Kweriii kabixa
@yussufbare4913
@yussufbare4913 3 жыл бұрын
Kàbisa mi kaa mkenya
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Nakufuatilia vzr sanaaaaaaa baba. Na mm naomba kazi tuu ya kukusaidia. Maana upoooo vzr nkpnd presidaaaaa wanguu
@arthurochieng386
@arthurochieng386 3 жыл бұрын
This man Magufli . It's only that we cannot question God , but we say 'let thy will be done'
@esaukalanje5378
@esaukalanje5378 Жыл бұрын
Mh
@awiloligola7674
@awiloligola7674 Ай бұрын
KAMA UNAMUONA MAKONDA HAPAA!! NDANI YA MAGUFULI GONGA HAPA!!❤
@mansourmkanakuta6641
@mansourmkanakuta6641 2 жыл бұрын
Tunakukumbuka Sana kwa ajili ya wanyonge unaenda peponi hayati magufuli
@br.luckieafrica9233
@br.luckieafrica9233 2 жыл бұрын
Africa needs more presidents like jp magufuli
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 4 жыл бұрын
Uyu ndio Rais wawatu banah,, acha mzee Magu awanyooshe
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 жыл бұрын
He was really a wise man I say, Rest in Peace Mr. President.
@mosesmwasi4795
@mosesmwasi4795 3 жыл бұрын
will there be another JPM?
@mosesmwasi4795
@mosesmwasi4795 3 жыл бұрын
it's a big Q
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
Nalia Sana kila nikitazama izi hotuba.JPM wetu jamani??😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 4 жыл бұрын
Wajinga ndio viongoz.watanzinia mjuwe magufuli ni nyota 5 star
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 4 жыл бұрын
Kibonge ameongea kweli
@stanydizzy480
@stanydizzy480 4 жыл бұрын
Daaah kwa Uncle Magu ukienda kichwaa kichwaa Unaumbukaa
@user-zk8sg3iw1z
@user-zk8sg3iw1z 5 ай бұрын
Mungu akuepushie na mateso ya kuzimu na akuvishe taji ya Mbinguni nankukupa Raha ya mile Amina.....❤❤️‍🔥💗💓💞💕♥️🤍❤️🧡💛💚💙💜🤎
@Mariaclala536
@Mariaclala536 4 жыл бұрын
Ila huyu mzee ni genius Sana ndo anasafisha njia hvyo 2020
@emmanuelbonifas3517
@emmanuelbonifas3517 3 жыл бұрын
Mungu akusamehe rais wetu upumzike kwa aman sipati picha kbs kwamba atujikukuona tena ukiongea na ss
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 4 жыл бұрын
2020 kura yangu hiyooo
@zahramunir8596
@zahramunir8596 4 жыл бұрын
Raisi hawa viongozi wengi ni majanga tuu..usiwacheleweshee ktk taifa fagia tu..weka watu mwingine..
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 4 жыл бұрын
Magufuli hoyeeeeeeeee "Uzeni nyanya Uzeni dagaaa" Hahhhhh Safiiiiii
@felixkanyimbu6862
@felixkanyimbu6862 3 жыл бұрын
Long live magufuli. We truly shall miss you.
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 2 жыл бұрын
Sema ndo mungu tu ame mchukua lakini ninge pata kuku tana nae ninge mshauli kwenye mikutano yake tuwe tuna Ingia Kwa kiingilio jamaa alikuwa ana tupa mzuka kwelikweli
@willywaire50
@willywaire50 2 жыл бұрын
Mungu aiwekeroho yake mahali pema peponi,watanzania mlikua na ndume jasiri kweli Mungu alimpenda Zaidi..
@kibajetihassan6218
@kibajetihassan6218 3 жыл бұрын
Yani tundurisu na jamaa zake watasubiri sana
@simbaboy9435
@simbaboy9435 3 жыл бұрын
RIP Magufuri Rais wetu wa Africa Allah ailaze Roho yako mahari pema peponi Amiin
@nurjanhaidar740
@nurjanhaidar740 3 жыл бұрын
Simba amin
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Hakuna uamuzi umenifurahisha Kama leo. In maana Hawa viongozi walikuwa hawayaoni mpk rais ajeeeeeeeee jamani. Tumbua woteee haoooo
@lazarosailepu5666
@lazarosailepu5666 4 жыл бұрын
Kweli Tanzania mungu katupa kiongoz mungu akbariki ras wet
@khalidjohn6576
@khalidjohn6576 3 жыл бұрын
Mungu akukinge na majanga ,
@biashaallyally3701
@biashaallyally3701 4 жыл бұрын
Magu shikamoooo uko vzr 2020 kura yangu nakupa tu
@valentinemtei2927
@valentinemtei2927 4 жыл бұрын
Sidhani kama Meya anastahiki kumjibia mkurugenzi
@munguaibarikitanzanianawat9254
@munguaibarikitanzanianawat9254 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa kazi zurii mashallah nakuombea sana hunatafauti nakabus wallah
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Thks god for give us Good leader🙏😊.
@fatumamasudi2153
@fatumamasudi2153 4 жыл бұрын
MashaAllah big up Mr prezzo for u're concerned
@adhanduale7466
@adhanduale7466 4 жыл бұрын
U are blessed guys...
@abdullahrashid6297
@abdullahrashid6297 3 жыл бұрын
Good leader passed away Dua kwa wingi Kwake
@chachamwita9987
@chachamwita9987 2 жыл бұрын
Laa Rais wetu sijui tutakuja kupata mtumwingine kamawewe mungu atujalie
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 4 жыл бұрын
Hahahaaa ngoja nimalize hili,mnababaisha tu,hahaaaa make some noise for the prezidaaaa.
@abdulfatahjuma5355
@abdulfatahjuma5355 4 жыл бұрын
kiongozi wa soko nae ni mnene ,anakula hela nini?
@alphoncenestorybishirangon1836
@alphoncenestorybishirangon1836 4 жыл бұрын
2020 kura yangu na za familiya zangu zote kwa JPM 100%
@cassiusniyimpagaritse5347
@cassiusniyimpagaritse5347 4 жыл бұрын
Nikikuwa mutanzania mwaka 2020 na familiya yangu yote nikwa JPM 100% arakini niko murundi
@delicateone9214
@delicateone9214 3 жыл бұрын
Rest Easy President 😭😭we miss you alot
@nameless533
@nameless533 4 жыл бұрын
Kwanin tuharibu mamilioni kwa ajili ya uchaguzi wa 2020?
@nelsonnmwaipaja6980
@nelsonnmwaipaja6980 4 жыл бұрын
umenena mzee
@lazarosilayo6918
@lazarosilayo6918 4 жыл бұрын
Elias Dioniz Katibu ndvyo inavyosema uchaguz n kila baada y miaka 5, sasa hayo mawazo yko tafuta sehemu sahihi y kuyasemeaa au kasome katiba vzur uielewe uache kuropokaropoka.
@issamaulidi8407
@issamaulidi8407 4 жыл бұрын
Lazaro Silayo Acha useng mangu atabak kuwa juuu
@mbwanaomary7537
@mbwanaomary7537 4 жыл бұрын
@@lazarosilayo6918 mbona kama unateseka unajibu kwa hasira na gazabu hayo ni mawazo yake tu kama yeye kwa mtazamo wake ameona hamna haja ya uchaguzi ni mtazamo wake yaheshim
@nameless533
@nameless533 4 жыл бұрын
@@lazarosilayo6918 😊 nidhahiri unateseka nahii spidi ya JpM. Mbona Mr Freeman mmempa uenyekiti w kudumu nawala hatusemi.?
@mariammatitu6392
@mariammatitu6392 3 жыл бұрын
Ahsante rais wa wanyonge mungu akupe uhai mrefu wenye mafanikio
@abuyabally5086
@abuyabally5086 4 жыл бұрын
uchaguzi wa urais ufanyike 2025 tu 2020 ifanyike wabunge na madiwani tu urais no hatutaki
@namlessnamless1207
@namlessnamless1207 4 жыл бұрын
àhahahahhaahahahahahahahahahahahHHahah
@imaninjau9135
@imaninjau9135 Жыл бұрын
Rest in peace my hero father
@adinanipaulobogaadinanipau3665
@adinanipaulobogaadinanipau3665 3 жыл бұрын
Mm nakupenda sana rais wangu mungu akubariki
@abdulramanhemed3749
@abdulramanhemed3749 3 жыл бұрын
Wakenya tuna lia na tunalia hatuna viongozi huku tupeni jpm tutawapa viongozi 50 na tutawaongezea raila odinga juu
@IRENEKOMBA-li6op
@IRENEKOMBA-li6op 4 ай бұрын
😂😂
@sammygichuki5664
@sammygichuki5664 3 жыл бұрын
Fantastic article
@peterandrew2795
@peterandrew2795 9 ай бұрын
Punzika kwa amani baba naumia sana nikisikia sauti yako tuu jpm.....mungu umpunguzie adhabu huyo baba kwake uongo ni mdogo.
@agnessjumanne1819
@agnessjumanne1819 3 жыл бұрын
Pumzka kwa amani baba,,, tutakukumbuka sana
@barakamachard1944
@barakamachard1944 3 жыл бұрын
Naumia sana huyu alikua rais kwa kweli
@chuwaloonlinetv6672
@chuwaloonlinetv6672 4 жыл бұрын
Yan baba umepita kula yang 2020 we Chukua
@SammySammy-es4ug
@SammySammy-es4ug Ай бұрын
Me namkubali makuvuli mungu naomba utuurumie utupe rais kama makuvuli jee kama mnaamini tutapata sema amen 🙏
@samwelmlingi7822
@samwelmlingi7822 2 жыл бұрын
Eeemwenyezi mungu mpumzishe mahari pemapeponi raisi wetu, Amina
@abuyabally5086
@abuyabally5086 4 жыл бұрын
salute nakuukubali sana raisi wangu mpendwa jpm heshima yako mkuu
@mbwanaomary7537
@mbwanaomary7537 4 жыл бұрын
Sioni sababu ya kuchezea fedha kwenye uchaguzi wa raisi maana hata huyo anaeshindana na magu anajua wazi atashindwa kwa kura zote lamsingi tuangalie fedha za uchaguzi wa raisi zipelekwe kwenye mambo ya maendeleo na huduma za afya wabaki kwenye uchaguzi wabunge na wadiwani basi
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 4 жыл бұрын
Taifa limepata Rais! Miaka inakimbia lkn Mungu hata sasa amtusaidia. Miaka 5 ijayo Mungu akupe afya njema umalize kazi njema uliyoianzisha
@polycarphildbrand851
@polycarphildbrand851 3 жыл бұрын
Mama kasema bango moja mkuu wa mkoa/wilaya unatembea hizi kero zitawaondoa wengi.. baba alikuwa mpaka aje ndo kero zinasemwa dah 😔😔💔💔
@francisgichuhi4337
@francisgichuhi4337 2 жыл бұрын
Kwanini uhuru wa Kenya hawesi kufanya kama huyu raisi wa Tanzania?
@annakisiga889
@annakisiga889 3 жыл бұрын
Duhu mpka naumia Sana ka har hii tawala mpka mwenyez mungu akutwaee
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
Ndo maana watu walizimia baada ya kifo chako baba🙏🙏
@samiraali5505
@samiraali5505 4 жыл бұрын
Sijuti kura yangu Magu oyeeeee,2020 InshaAllah, utapita tu babalao!!
@johnmiligo429
@johnmiligo429 4 жыл бұрын
Mweshimiwa naomba msamaha sikuweza kukupingia kula sikujuautakuwa laisi muzuli kiasi hiki jamani nimekumpa kula yangu tena haina haja ya uchanguzi wa laisi magufuli anatosha kambisa
@lukaspatrick4117
@lukaspatrick4117 4 жыл бұрын
Kweri kabisa
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 4 жыл бұрын
Anco magu hatari💥
@wanzambinya8501
@wanzambinya8501 Жыл бұрын
The best president in the world. i miss u Mr. Prezo. Continue to rest in peace.
@athumanyusuph1099
@athumanyusuph1099 4 жыл бұрын
Raisi wangu unanigusa mpaka nashindwa kusema kitu....wanyonge tupo huru sasa..napenda twende wote pamoja mpaka mwisho MUNGU akulinde kwa kweli
@johanesbina1302
@johanesbina1302 2 жыл бұрын
hii comment😢😢😢😢 naliaa tulivimba
@josephmanyama435
@josephmanyama435 3 жыл бұрын
Jamani jamani huyu Raisi daaa inauma sana mpendwa wetu
@pastorrusagarajosephsolo8692
@pastorrusagarajosephsolo8692 2 жыл бұрын
Mwenye haki akiwa na Amri watu hufurahi. Pumzika kwa amani Mhe.JPM
@user-pt9vm4vd1d
@user-pt9vm4vd1d 5 ай бұрын
Dah Uyo jamaa sjuw kwann hakuslimu
@mathiask128
@mathiask128 8 ай бұрын
"Mr President, rest in peace."❤
@jumannerajabu1356
@jumannerajabu1356 2 жыл бұрын
dah jamani roho inauma bado napitia hotuba za jpm mana nimejifunza mambo meng sana kama naww unaangaria 2022.6(29/gonga like kam zote wamachinga oyeeeeee
@mussasuleiman2287
@mussasuleiman2287 4 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Raisi wangu. wewe una roho ya peke yako. Mungu akusimamie akupe umri furaha na afya njema katika maisha yako
@johnmbugani6532
@johnmbugani6532 4 жыл бұрын
Mh hao wote ni wapiga dili, kwanini wanalazimisha kinyume na matakwa ya wahusika? 5b ni mzigo mkubwa kuna uwezekano watu wana 40% zao
@claudekimu9511
@claudekimu9511 2 жыл бұрын
Hakika Mungu amrehemu
@rastalukumai
@rastalukumai 2 жыл бұрын
Akiyamungu magufuli. Mungu aisamehe roho yako. Naukojuu akupeuongozi wowote. Tumekumiss sana
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 4 жыл бұрын
mbona sido mbeya wameweza
@akidanyanje9072
@akidanyanje9072 2 жыл бұрын
Mungu ebu tufufulie Jpm ,tuko chini ya miguu yakoo
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 жыл бұрын
Huyu mzee alitakiwa aendelee kuishi ,alikuwa anafurahisha sana .
@visualservices8897
@visualservices8897 2 жыл бұрын
Ndo basi tena
@samwelmbaule5003
@samwelmbaule5003 4 жыл бұрын
Ahsante sana Rais.
@JumanneRashid-kr2nv
@JumanneRashid-kr2nv 9 ай бұрын
Raisi wa wanyonge mungu akubaliki sana magufuri
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
Baba kweli ndio maana tulizimia na kukata tamaa baada ya msiba wako kutokea. Pumzika kwa Amani Rais wangu JPM
@anithagilibert6808
@anithagilibert6808 4 жыл бұрын
Kiongozi Wa soko nimnene
@henrickovicent2933
@henrickovicent2933 4 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha!!!!
@deniseusebius5505
@deniseusebius5505 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@stanydizzy480
@stanydizzy480 4 жыл бұрын
wanaposema hawa mataraamu weetu
@thomasnyarusanda2608
@thomasnyarusanda2608 4 жыл бұрын
Wezi wa Mali ya umma na wananchi ni wengi,unawasamehe bure Keisha wanakuzunguka na kukupigia makofi.
@maniscamullah6282
@maniscamullah6282 Ай бұрын
LEO NI JUNE 2024 TUJUANE TULIO MMIS RAIS KIPENZ CHETU
@stephenkilele5071
@stephenkilele5071 2 жыл бұрын
Yaani uyu alikuwa kiongozi ...real president
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 4 ай бұрын
Huyu angekuwepo mpaka saiv tungekua mbali😢😢
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 13 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 581 М.
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН